Did you watch last episode kzbin.info/www/bejne/qn-4dZmbmMSee6csi=CevLWOlSoB4FZeng
@Africanqueen364 ай бұрын
Lkn PL WHY ARE YOU NO REPLYING MY MESSAGES ON WHATSAPP 😢
@abigaelwanyonyi74344 ай бұрын
Brighton narataka number yako tuongee watsap
@fatumafadeshi25144 ай бұрын
Pl plz nizaidie na namba ya dakitari kama unaeza, nimekuomba tu pls
@LOISENJOKI-b8n3 ай бұрын
@@fatumafadeshi2514ulipewa number
@NNwr-b8h4 ай бұрын
Mm nitafurai san Angie b akiwa na Brighton ilikuwa couple tamu sna in the world 🌎 Love Guys 😻😻
@marylinebarasa17644 ай бұрын
Alafu umekua mweusi karibu ufanane embarambamba
@celiphaprince4 ай бұрын
Call a spade a spade its high time people should know GOD
@BariisSamatar4 ай бұрын
True
@nancynyaboke27194 ай бұрын
Exactly 💯
@liliankemuma94754 ай бұрын
Exactly
@dennyosoko80754 ай бұрын
Huyu mganga ni mpole but anafanana na adi wa badala Yule mwenye alikwaabatumia image wa Daina wa Azizi
@carolboondox43494 ай бұрын
True
@everlineodiri32834 ай бұрын
Brighton unaamini katika Mungu????... Seek God young man,
@lynlk23464 ай бұрын
Acha kuekelea uchawi ... Treat bibi yako vizuri
@MERCY254-l3b4 ай бұрын
Kama Huwamini uchawi upo na mimi hapa nina ushuhuda walifanya hadi tukahama kutoka shamba la ukooo and thanks to God sai maisha yetu amebadilika kidogo
@MERCYmercy-rl3lu4 ай бұрын
Aki uchawi uko walai kwanza huko kisii
@gladysnyongesa51244 ай бұрын
Exactly 👍kunywa soda kwa bili yako🤣🤣🤣
@nyangarisaSharon4 ай бұрын
Of course kuna uchawi najua soon watarudiana,ata sai n yy anawashughulikia,,,mambo ya watu wawili never ingilia piii
@user-help0464 ай бұрын
@@MERCY254-l3bnakupa mukono pia mm hta wemefanya babagu wasimu sijui nibate aje huyo dakitari
@SebiasWandera4 ай бұрын
Tafuta mungu bro achana na uganga angie b anapenda mungu ndio mahana mpatani akuna siku mungu ataelewana na uchawi unakosana na wife juu ya uchawi na uganga bro tafuta mungu please
@Hildahlimoo4 ай бұрын
Ata bibilia imekataa "amelaaniwa anayemtegenea mwanadamu"
@ChristineWaswasikinga4 ай бұрын
Mungu wangu na tamani nikuone na angie b mungu abariki ndoa yenu
@zipporahkemunto44094 ай бұрын
Ndio ivo wengine furaha yao wanataka waachane
@user-help0464 ай бұрын
Niko sure mungu hta fanya jambo ak
@RehemaYassin-n8t4 ай бұрын
Mmi natka mkeo arudi na umueshim kma bbi yko napia mambo na prank uache na umpende mkeo juu mkeo anakupenda sana na pia maneno ya watu kwa ndoa sio poa mmi napenda sana ukiwa na familia yko❤❤
@emilynyaberi58754 ай бұрын
Why do you want her back si ulisema she is not your type achana msichana ya watu anone 😂 utosheki kumtesa
@maggieshi6904 ай бұрын
Qwani hauoni shida ya ndoa Yao kuvunjika ..qwani hujawai pitia negativity in life ,,,,,,shetani akiingilia maisha ya mtu huonagi maxuri
@AGNEST-f9n4 ай бұрын
Si upelekee Huyu sènior Dave Haki,hali anaptia imekua ngumu 😢😢😢😢
@MERCYmercy-rl3lu4 ай бұрын
Hapa Sasa mtarundiana kabisa mungu awasaidie kwa ndoa yenu aki nilitamani sana,, naomba number ya huyu dakitari please na inaeza kua how much please
@winniegasheri21374 ай бұрын
Ukipewa unisaidie
@nellykaimuri25874 ай бұрын
Nice episode. Naona season 2 we are moving on well
@mercyongangi4 ай бұрын
Tumefika episode ngapi wadau😂😂😂😂 mlisikia angie akisema anaumwa na kichwa ama atajipata kisii kama eve alijipata Nairobi 😅😅😅 angie uko wapi prepare ur self usijipate bila nguo 😅😅😅😅😊
@mumblessed0014 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅ata buruka leo
@Lzzlzz-k3m4 ай бұрын
😂😂😂😂hii ni maajabu😂😂
@naomykorir29194 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kweli but wakirudiana ni sawa aki
@christinekayosa22244 ай бұрын
Yeah 🤣🤣😂
@Sky-rancky..4 ай бұрын
Aah 😂😂😂😂 Mercy wacha
@chancyfoods45484 ай бұрын
What's the name of the director in KZbin?
@annclere47394 ай бұрын
Kwani lazima upitie njia ya uganga kumrudisha bibi yako, it's high time ujue hata njia ya kuenda kwa kanisa.
@rizzieangote364 ай бұрын
Imagine once you connect yourself na uchawi it means you're one of the maombi na Mungu anafungua
@Mosetieunice4 ай бұрын
Kabisa
@MartoMurithi4 ай бұрын
@@rizzieangote36vipindi tupu 😂😂😂
@NabwireGladys-mu6lr4 ай бұрын
My happiness is seeing you together with your wife
@sifasifa22174 ай бұрын
Me too ❤❤🇬🇦🇺🇸👌
@RAMANETWORKS.4 ай бұрын
Amelaaniwa amtengemeaye mwanadamu, Jeremiah 17:5
@Mamabrandon4 ай бұрын
Yes
@maximillahmakokha37834 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kipyeqonchepkwony1774 ай бұрын
namba ya dakitari bro juu niko na shida please
@Janet-p6k4 ай бұрын
Tena pl akirudiana na angi b .amuombe musamaa juu alimukosea sana😢😢
@conniekerubo83254 ай бұрын
Hata Angie b alikosea kuweka kila kitu kwa mtandao mambo ya ndoa ni ya watu wawili
@AbigaelNekesa-fc4cz4 ай бұрын
Wyf ni mtu wa maana kweli, uyu ameparara araka sana
@sifasifa22174 ай бұрын
Musimuseme vibay Briton pl bcz wamewachangany wote akili mahaduyi zao 😢
@jasminmoraa-io8tw4 ай бұрын
Mchawi ulijitakia mwenyewe
@PhilomenaKawira4 ай бұрын
Walae sijawai amin Kuna uchawi for real but vile nmewatch thee pl from yesterday I'm no longer to believe it guys 😮
@daphinekemto30944 ай бұрын
Nothing is really here
@galaxyqwer74384 ай бұрын
Mi iko penye niliona hivi vitu zikitolewa na hiyo mboma ilikwa nashinda no ilipo tolewa ikakwa sawa na mtu wahiyo family ndio walikwa wakiweka
@PhilomenaKawira4 ай бұрын
@@galaxyqwer7438 I believe it now for real
@PhilomenaKawira4 ай бұрын
@@daphinekemto3094 I don't think so
@mwangisalim4 ай бұрын
Just acting,
@Omobasitv24 ай бұрын
You're cheating and you are here saying ni uchawi😢😢😢 respect yourself and your wife
@collinswafula44043 ай бұрын
Kabisa mi hua siamini huyu jamaa tangu ile time walifake death ya Fai
@josephatogori20864 ай бұрын
Bro naeza taka unaeza mipea namba ya yule ndugu tulifanyia show Anaitwa ongiri niongeze naye anizaidie na swala fulani
@chustekimani4 ай бұрын
Mkirudiana please pl muache kuweka vitu zenu ni public 😢😢Angie B alikuwa anakupenda but hizo vitu mingi zinatokea kama Levyne Tv na Trish na vyeye mlikuwa mnakaa fine together❤❤❤
@Naj27620 күн бұрын
sorry Brighton 😢😢 duh umpitia magumu jmn
@silviatsi89464 ай бұрын
Angie alikua ameanza kurudisha mwili,,umchukue tena umpee stress abaki mifupa😏take care of that gal plz❤
@sharonjelagat62074 ай бұрын
Brighton I can't wait to see you with anjieB together,i am Soo happy.God is good
@DianaMuhonja-oi9co4 ай бұрын
But you must believe in God not uchawi, mungu ni mzuri na mwaminifu kwa kila jambo after hiyo uchawi murudie mungu muumba mbingu na inchi
@christabelchemutai99703 ай бұрын
Pl plz aki rudi kwa mungu hata heri Ezekiel sasa
@EuniceEuny-po2hw4 ай бұрын
Please pl watch your video with Angie ya June 28 the 2020 and go back to that life
@catherinemakokha14004 ай бұрын
Hi pole sana Dakitari Mungu awafunguwe katika jina la Yesu kristo
@maximillahmakokha37834 ай бұрын
Unaunganisha muganga na yesu😂😂😂
@aplokimo4054 ай бұрын
Pl ??unataka kuwa mganga??😂😂Acha hizo
@Hildahlimoo4 ай бұрын
This is the last episode i think
@MaryAyona4 ай бұрын
Waaaaa ni mungu tu atusaidiye wanadamu awana wema😮😮😮
@JoyceJoy-sy3zj4 ай бұрын
Brighton pls mini fans wako naomba pls saidia senior Dave ako kwa shida😭😭😭
@MosesOuma-lk2bo4 ай бұрын
Senior dave ni mukora 😂😂😂😂
@JoyceJoy-sy3zj4 ай бұрын
@@MosesOuma-lk2bo aki apana
@eunicendege5764 ай бұрын
Kabisa @@MosesOuma-lk2bo
@Kanawajeschu592754 ай бұрын
Bright be strong! Hiyo ni kisii wachawi wako May God be with
Hii kuringa ringa kwake ndio inafanya ata anarongua mbona asisimame kwa maobi kama mke wke kuna day mke wke alikwa akioba pl akamwambia ati awache kujifanya
@charityrita4154 ай бұрын
😂😂😂😂
@Faithmokeira2544 ай бұрын
😂😂😂 akii wewe
@Estee6494 ай бұрын
Exactly my thoughts dear God bless you 😂
@Lzzlzz-k3m4 ай бұрын
@@SolomeKuto waah..ama ni kamchawi sababu huezi penda vitu za Giza ukiwa mzuri,angie atarogwa na hako ka sheitoo
@Jackline-e9h4 ай бұрын
Saidia senior dave pl bodyguard wake alitekwa nyara
@SylviaChuni4 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢Nimelia
@zeinabuAchiengOkara4 ай бұрын
Mungu arudishe ndoa yenyu pamoja
@nancymuendi47684 ай бұрын
Agy usirudi aende aoe
@jackiedosh48554 ай бұрын
Mnipee number ya huyu doc plz
@TeresiahWaithera-zu3qe4 ай бұрын
Aki n watu walisema vile Brighton anabehave hayuko sawa its means ilikuwa uchawi waaah trust God every thing itakua poa
@Catherine-jv4qg4 ай бұрын
Wonders shall never end😢😢😢hio uchawi yooote iliwekwa na mtu mmoja ama kuna combination
@Faithmokeira2544 ай бұрын
Wah mm sina maoni juu sijawei amini hawa watu kuna kutu nataka hiyo siku dio nitamini😢
@IrineKosgei-kd5bf4 ай бұрын
Clout imeisha sasa...wacha "warudiane "
@mwanaidi4444 ай бұрын
Nani anakumbuka story ya fay mimi siamini huyu mtu
@Nyakachi4 ай бұрын
Ni content creation they are here pamoja
@MwanamisiMohamed-tk7le4 ай бұрын
Namba ya dakitari plz
@ScholarJoyline4 ай бұрын
Brighton sio unipee number ya huyo dakitari please
@Vedcah4 ай бұрын
Mm nilipewa number kiza nikaborwa Doo 😢
@Nyakachi4 ай бұрын
@@Vedcahhuyo ni mzee wa nduthi
@SiphirahWaithira-e2f4 ай бұрын
@@Vedcahna nani?
@annetManyonge-gw7rh4 ай бұрын
But ata kama angie atarudi ujue ulimuonyesha your true colour ukipata tupesa she will be very wiser than you think and believe from huyo doc wako bro
@rachelmaina34764 ай бұрын
Briton Uchawi tu.Hujui kuna mungu
@johnmeshack44314 ай бұрын
Ndyo ujue watu ni mashetani awapendi kuona watu wakiendelea😮😮😮pl mbona unataka kukimbia😂😂😂
@hellenkamau68424 ай бұрын
Why ukumaliza story ya Ongiri
@dolphine624 ай бұрын
Can't wait to see Angie happy ❤❤❣️❣️🫂
@nancyanderson35994 ай бұрын
Lakini unakosa kwa nn uoe mabibi wawili please
@AmyMuindi4 ай бұрын
At least tunaeza sikizana ukirudisha familia back ❤
@marylinebarasa17644 ай бұрын
Umeona anjie ana glow anaendelea vizuri uko desparate Sasa unadanganya ni uchawi shame on you
@rizzieangote364 ай бұрын
Angie maombi yake haiwezi enda bure
@DorrisKathini4 ай бұрын
Nlijua n uchawi inawasumbua ak kisii na uchawi mmesidi kuliko wakamba
Now u can recall she is your wife angie b😂haki dunia ina mambo,
@damariskathambi69104 ай бұрын
Hizi ni vipindi 😂😂😂, we knew it.
@marionnyambura77844 ай бұрын
Wakisii ni wachawi tupu
@miriammasai86024 ай бұрын
Ata Levyne anaitaji help😅
@levinerdewano15974 ай бұрын
Haki hii syllabus inaenda mbio sana...mimi ata sijui sai tumefika wapi🤣🤣 aseol chuth🙌
@flezzyroshan93804 ай бұрын
Bt nilijiuliza maswali sana kwanza huko kisii watu hawafurahii wakiishi pamoja uchawi upo na kiko na nguvu aje🤔🤔🙄🙄🙆
@Emmaemily-cj5bz4 ай бұрын
Hi ni kama acting
@CiaraMulela4 ай бұрын
Na bado kuna wenye wanaamini ni uchawi,,,,juzi kuna video pl alifanyia kwa bedroom yao na viatu za angie zilikua hapo.
@Achy6504 ай бұрын
Good content kw wenye wanaamini ni uchawi wiii 😅😅kaende kaende@@CiaraMulela
@marymary83134 ай бұрын
Faith na Debra walipotelea wapy, nimeona huyu dakitari nikawakumbuka
@Glorymuthoni-t2x4 ай бұрын
Glory to God,, but nlikua nafeel nkuchape makofi
@hildanjoki83174 ай бұрын
That's why I said I can't get married in kisii,hii uchawi ni moto moto,kumbe kulikuwa na sababu ,
@Doriskapretty4 ай бұрын
Team briton kindly nipitieni plz,tawapitia back❤❤🎉
@ErumbiAgens4 ай бұрын
How are you I wanted to talk to you
@biggievandar2544 ай бұрын
Twd pitia huku
@prizooresh62934 ай бұрын
Aqh mambo ingine so mchawi akishafanya hivi anapata nini kwa Angie ama kwa PL wakiachana huyu atachomeka tu na uchawi yake,,mungu awafunganishe na pingu ya maisha mkiwa na your wife
@Princes-zy7un4 ай бұрын
Mbona hungeenda upige magoti kanisani au popote pale na uombe Kwa kumaanisha
@Roz-m2z4 ай бұрын
Tulikwambia kitambo unatembea na dactari awezi kusaidia anji b ni mutuwa kuomba alafu nunamtesa katmai yeye angekua na mali
@AminaAlly-q5f4 ай бұрын
Daktar mmi nipo Tazania je unaweza kuja nkikuhitaji
@marygatiji55764 ай бұрын
Siku hizi watu hawataki kuona familia xikiwa pamoja Brighton .na ujue shetani ni binadamu but hananga nguvu.mi ningependa kila kitu kiwe sawa mrudiane na madam wako Amen 🙏🙏
@paulantony540110 күн бұрын
Nisaidia na namba ya daktali aki plz
@wilyfrida95584 ай бұрын
Pl wakati mulikuwa n your wife ulikuwa unaglow ebu siangalie saii..some tyme men plz think twice
@Simeonfbitv4 ай бұрын
Mmepannga tumdanganye
@abdulasiz78224 ай бұрын
kama ni hivo afufue aliye kufa.....aache za ofyo
@dennyosoko80754 ай бұрын
Am sure Trish new that uchawi
@florencebosibori99614 ай бұрын
Kwani unamtaka Angie B tena!!!??
@kathyndwash91034 ай бұрын
Mmnilisema Hawa vijana ni uchawi labda wamefanyiwa b4
@AlshashaCenter-u8q4 ай бұрын
Namuache kuhipost post kwa social media,,protect what you have,not all people in social media has good agender some are using social media to accomplish their evils agender,,pple hate progress,, succeed in silent,,wataendelea TU kuwaroga kaa hamtajiwejea privacy
@TotoMashaku4 ай бұрын
Haki ntafurahia mukiwa pamoja ❤❤❤weee God 🙏🙏🙏🙏👐👐👐
@FaithNyandieka4 ай бұрын
Aki wachawi mbinguni amuoni
@felixmaigo77434 ай бұрын
Muache uongo na kuibia watu maumbwa nyinyi
@alexsaidi39404 ай бұрын
What we is two of you reunite cz Satan fights marriages cz if marriage's are spared he has no peace
@Mercy-gi8cn4 ай бұрын
Unamuitaji juu ameomoka
@FaithNyandieka4 ай бұрын
Ombi langu ni mrudiane ndoa ni mwanamke hadi pl amekonda wueee
@wayawaya-xi4vk4 ай бұрын
Nesaida
@ceciliamutua4 ай бұрын
Yaani mwanaume ni mke tu huyu ni pl amekonda hivo wah depression is really kweli pole