Labda Nasibu hataki kuzaa nae anaogopa atazaa mtoto mbaya, kwa ajili wote wawili wanafanana
@ashaali71543 ай бұрын
Mmbea wewe hebu tulizana. Eti mpenzi wake wa kalibu ame leveal whaaaaaat?
@ashaali71543 ай бұрын
Wakiimba taarab na kushiriki kiki za kijinga watafikaje huko nje wataishia hapo hapo Zanzibar waendeleze taarab. Mtoto siyo ishu kwa Diamond kwani kazaa kama kuku na wengine anawakataa sasa yeye anadhani akizaa ndio itasaidia. Huyo anahangaikia maisha yake tu hajali mtu mwingine yeyote ni mbinafsi wa hali ya juu hivyo jiondoe kabla hujaondolewa la sivyo utasikitika sana baadae.