very nice my mungu akupe ubunifu zaid na zaid Ayo tv vpi ile habar ya anthon mda sana tuletee tujue kafikia wap
@cypmkutubi31095 жыл бұрын
Hongera sana Mwalimu, hii style yako inamfanya mwanafunzi kuvutiwa na shule na kumpenda sana mwalimu wake. Pia yale ya shuleni anashawishika kuyafanya nyumbani bila shuruti.
@festoaidan89555 жыл бұрын
Namkubali sana Joyce
@suzanhumbi41785 жыл бұрын
She is the best
@andrewchaula61345 жыл бұрын
The use of teaching aids contribute a lot on student understanding.
@sadockchengula55422 жыл бұрын
What she is doing is part of what she learnt in teaching. But most of teachers leave all when they graduate. In teaching what is insisted is for teacher to be creative. Big up madam
"watoto wangu" I love that... Keep it up dada mzuri
@mjuba5 жыл бұрын
Uko vizur sister!!!keep it up
@gomelimoto27515 жыл бұрын
Hongera sana,wewe ni miongoni mwa walimu tunaowahitaji Tanzania
@johnmbugani65325 жыл бұрын
Hongera mwalimu kwa ubunifu, Tanzania inahitaji sana watu km ninyi
@moseskayan37055 жыл бұрын
Good relation ship with student hongera madam
@lulumichael87845 жыл бұрын
Safi
@lucyakinyi51285 жыл бұрын
chinese english teaching style,this is how i teach here in china too
@jeremiahmwanyika44415 жыл бұрын
“Watoto wangu “ dah nimeipenda iyo
@upendokariro42522 жыл бұрын
Hongera mwanangu kazi yako ni njema naikubali
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Hongera da
@MenTPL5 жыл бұрын
Ongera sana, kweli mwalimu ni lazma awe mbunifu kwa ajili wanafunzi waelewe vizuri
@a.8565 жыл бұрын
👏👏👏
@RehemaIssa-q7bАй бұрын
❤
@johntonya4365 жыл бұрын
Nice
@mashmashmkeyenge92105 жыл бұрын
mbunifu sana lkn acha kujichubua nikuoe
@hawa49685 жыл бұрын
Asante
@mashmashmkeyenge92105 жыл бұрын
@@hawa4968 umeipenda eee
@mwanamutemi5 жыл бұрын
Kenya wamebadilisha style ya kufundisha watoto wadogo. Nursery yaani chekechea HAKUNA KUSOMA BALI NI KUCHEZA NA KUZOEZESHWA KUWA NJE NA NYUMBANI kuanzia darasa la kwanza ndio sasa alfabeti zinaanza kusomeshwa kwa muda mchache sana, Huyu mwalimu amepata upeo huo yeye mwenyewe na nithibitisho la kweli kwamba watoto wadogo wanafaa kusaidiwa kuwa watoto wala sio kuwalimbikiza masomo masomo ili wafaulu mitihani pekeee !!!
@amidumselle56595 жыл бұрын
I see you baby girl Nancy Mselle keep on moving dear. Congratulatiom madam Joyce #patmojuniourschool
@polycarplazaro84825 жыл бұрын
Private schools ni HATARI.... watu wamechizika kufundisha sio mzaha na WANALIPWA BALAA NA POSHI KIBAO.... WHY NOT TEACHING WELL, CREATIVITY ETC!!!!!???
@jicholafursa70585 жыл бұрын
a
@kedy82975 жыл бұрын
big up mrembbo
@mumybhay65615 жыл бұрын
mbona miaka ulitaka ni kdg lakini sura imekomaa kweli!
@matha77503 жыл бұрын
She is right seriously coz ukimfundisha mtoto kwa michezo anakalili sana afu vtu vingi kwa wakat mmoja
@winfredbespoke84405 жыл бұрын
Mda mwingi unatumia interview had inaboa
@Kidotii5 жыл бұрын
Big up Joyce!
@priscaandrew5545 жыл бұрын
On my side mm pia ni teacher,there is nothing new kwake...labda kwa asiye mwalimu anaweza akaona ni magen
@eliudbrown55 жыл бұрын
Ni wivu tu
@racheldauson94715 жыл бұрын
Acha wivu
@AishaAisha-xp6je5 жыл бұрын
Prisca Andrew acha wivu ww kama wajiweza na ww toa ubunifu wako tukuone
@ibrahimhemedy38105 жыл бұрын
Teacher kuna tofauti...kubwa...ushaonekane Ayo TV...uchangamfu wake wa pkee ***nyotaaa
@edwardmkwelele5 жыл бұрын
Hii inafanywa sana Ulaya niliona Hii Marekani
@gvanafrica29345 жыл бұрын
Marekani sio ulaya!!
@gvanafrica29345 жыл бұрын
Marekani sio ulaya
@rkhamis17715 жыл бұрын
We nae muongo, marekani tang lini ikawa ulaya
@edwardmkwelele5 жыл бұрын
@@rkhamis1771 Nitakutafutia hiyo vidéo ya huyo mwalimu wa kiume anafanya hiyo na nahisi ndiko huyo dada kaitowa ni kaiwada in Amerika Nipe email yako nikutumie
@edwardmkwelele5 жыл бұрын
@@rkhamis1771 nimekuambia Marekani na Ulaya hiyo inafanyika
@mihatamnyaturu90695 жыл бұрын
safi god
@marrystellahgulian27714 жыл бұрын
she is suitable but i wanna know which school she teach
@johnburra49755 жыл бұрын
Millard huyu reporter anaboaaaaa anashusha hadhi ya AyoTV
@mbanguluzito54965 жыл бұрын
Kama mjapani uyu kaka mtangazaji
@jicholafursa70585 жыл бұрын
.
@missmoona44975 жыл бұрын
Maashallah unajitahid pia unafanya kaz nzur mno, lkn kwa miaka 25 hapana aisee sura tu inaongoza ww ni wa 30 naaa semann mwembamba lkn usikufanye ukajirudisha miaka mpnz
@upendowakwelinaamani10605 жыл бұрын
Huyu inawezekan akawa na umrii huo 25 ila sema nini mikorogo anayotumia ndio imemkomaza sura kakoroga ngozi matokeo anonekana tofauti na umrii wake.
@ashaali71545 жыл бұрын
Miss Moons acha kuwapa watu umri kutokana na muonekano wao kila mtu kaumbwa totauti wako walio na umri mkubwa lakini wana baby face hayo ni maumbile tu hata hivyo hapa tunaangalia kazi sio umri.
@injili905 жыл бұрын
Punguza kula mafuta mtangazaji unahema sana au maiki nzito
@jojoshavu6685 жыл бұрын
ambokile mgimbe hahahahha
@potnews97025 жыл бұрын
Hiyo njia inaitwa Montessori teaching method,, Joyce acha kujifanya huijui!! Ziko shule nyingi sana za Montessori zinatumia hii njia!!!
@elitegeneration16135 жыл бұрын
mtangazaji unaboa mzee
@andrewkazala92175 жыл бұрын
Napita
@hotpotato41915 жыл бұрын
Yaani mm ni mkubwa zaidi yake? Sasa mbona naishi kwa wazazi bado? Nifanyeje?
Kwan mtangazaji ana tatizo gani? Mbona kama kalewa hivi......am sorry lakini.
@mrautoelectrician89645 жыл бұрын
Huyu dada ako sawa juu anafanya masomo yanakua funny na hiko ndicho kiegezo bora ambacho wanafunzi wanahitaji nimempenda bure angekua kenya angesomesha watoto wangu
@justustwina74915 жыл бұрын
Uyu anamiaka 45 na hapo kajichubua tu asingejichubua angekuwa kama nani?
asia asia ... namie ndo nashangaa shoga angu 25?? Hapungui 32
@ibrahimhemedy38105 жыл бұрын
Unaharibu point ,Elimu yako ndogo unaangalia uso ulimzaa wewe kuna maumbile yako tofauti...usi comment ..kama hufikiri..
@pendael025 жыл бұрын
Naomba chagua kuongea lugha moja. Aidha ongea english ama kiswahili. Ukichanganya changanya nakuoneni kama Kiowa_english. Mwl unachanganya changanya hivyo. Wewe ni mswahili au mu england ? Tuache ushamba baadhi yetu watanzania
@iddyamri26295 жыл бұрын
Pendael Ulanga Hatujaskia vile lugha anachanganya,Dada yupo vizur
@bomplextv955 жыл бұрын
Fahamu nyimbo za mbele zenye maneno ya Kiswahili kzbin.info/www/bejne/haKXqYesjdWMf9U
@siwemamichael6905 жыл бұрын
Unamiaka 25 uso umechakaa hivyo
@zuheorsalim77595 жыл бұрын
Chezea manii wewe😆😆😆
@robertyrwagasanarwagasana71545 жыл бұрын
Siwema Michael dada kaz ya ualimu inachosha sana ,nilifundisha mwaka nikazee ,asante mungu nina biashara yangu sasa
@MusaNgao5 жыл бұрын
Hatuishi namna hiyo.
@winfredbespoke84405 жыл бұрын
Hata kama kachakaa ila ni mzr had raha
@siwemamichael6905 жыл бұрын
@@winfredbespoke8440 mbingu utaisikia tu
@zuheorsalim77595 жыл бұрын
Usenge mtupu unawafundisha wtt kukata viuono
@winslowzirops35985 жыл бұрын
Shika Adabu kutukana watu bila sababu
@zuheorsalim77595 жыл бұрын
@@winslowzirops3598 Hilo sio tusi ni hali halisi
@winfredbespoke84405 жыл бұрын
Naww anza kuwafundisha kukata vichwa
@zuheorsalim77595 жыл бұрын
Lakin mi simshangai kuwafundisha watoto upuuuzi huo kwani kilicho kua ndani ya debe ndo hicho hicho kitatoka km ni mahind mahind tu
@ashaali71545 жыл бұрын
@@zuheorsalim7759 Wanaofundisha wanafunzi kukataa viuno ni wale wasanii Wanaowafuata mashuleni au huwa huauwaoni acheni kumtukana mwalim kwa sababu munapenda tu kudhalilisha watu.