SEMINAR YA NENO LA MUNGU NA MAOMBEZI YA ILYOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA DEAR MAMA HOTEL NA KUONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU SUNBELA KYANDO KUANIA TAREHE 18 - 20 OCTOBER 2019 #SUNBELLA_KYANDO #DODOMA_STEP_AHEAD
Пікірлер: 117
@naomykasiti7772 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua na kukupa upako mpya Mtumishi wa Mungu🙏...tangu nianze kufuatilia mafundisho Yako ,nimeimarika kiimani pakubwa sana,.utukufu kwa Mungu🙏🙏🙏
@gladnessbenjamin2900 Жыл бұрын
Mimi pia
@happinesspatrick39022 жыл бұрын
Mafundisho yako yananigusa siku zote.Namuomba Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wake
@user-bd9sf6mb2f4 ай бұрын
God bless you mchungaji
@pauletmajinanina81784 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu .Mafundisho yako yamenikuza sana kiroho
@johnmayeka89578 ай бұрын
The annointing of God lord our father Amen.
@philipsimiyu24432 жыл бұрын
Pastor Philip from Nakuru-Kenya Servant of God,am much blessed Honour and Glory be to God
@mendepatrick56343 жыл бұрын
May God bless u Man of God kwa maana nimejifunza kitu from you
@winnerjudith20073 жыл бұрын
Karibu Mbeya pastor
@alicesafari601911 ай бұрын
Powerfully teaching be blessed Pastor
@angeljoseph46662 жыл бұрын
Asante Mungu,kwa uwepo wako Mtumishi,unafundisha vizuri sn
@francisakanga4808 Жыл бұрын
Good teachings
@bahatimwitike47012 жыл бұрын
Asante baba najifunza mengi sn kutoka kwako
@adelambaye1298 Жыл бұрын
Amen unafundisha vizuri ninabarikiwa mno MUNGU azidi kukuinua mtumishi
@georgeswaiswai45813 жыл бұрын
Nafundishika,Sana mtumishi mungu kyando,nakupata toka pande za mozambique
@joshuaeliudi45022 жыл бұрын
Ameni hii imegusa kabsa maisha yangu yote Amina ubarikiwe
@jackmichael19534 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi kwa mafundisho yako
@edinahndege63142 жыл бұрын
More than a teacher amazing be blessed.
@vailethgedion18803 жыл бұрын
Asante kwa masom mazur Mungu akubarik San unatufungua san
@agnesmbilo72702 жыл бұрын
Barikiwa sana baba, naendelea kupokea uponyaji. Naomba Mungu anipe nafasi ya kukuona.
@joshuaezekiel29274 жыл бұрын
ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@theodoratungaraza22142 жыл бұрын
Anahubiri vizuri
@nginamugwe80934 жыл бұрын
Amen Amen Amen
@emmanuellema18794 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sn.
@ElibahatiMalisafi-nt7uw Жыл бұрын
Ashukuriwe mungu
@erycahkiwale8757 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@wilbard36924 жыл бұрын
Hakika Mungu anakutumia kwa viwango vya juu yaan unafarriji unatia moyo jamanii God bless Yu Mim Sunbell
@ambelamwaitebele75404 жыл бұрын
Wilbard 36 habari
@wilbard36924 жыл бұрын
@@ambelamwaitebele7540 Salama Mtumishi kwema
@arkmaeda14442 жыл бұрын
Am so blessed about this
@rehemakatana11372 жыл бұрын
Amen pastor 🙏
@catherinenjoki93782 жыл бұрын
Let the grace of the lord Jesus Christ be with you always
@angeljoseph4666 Жыл бұрын
Amen
@petermunuo16572 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi
@peterkemei71683 жыл бұрын
Amen mungu akuongoze
@mosesnyoninyoro34932 жыл бұрын
Ujumbe huo Ni mzuri nimeupenda
@janemwita29622 жыл бұрын
Amina
@neemakameka36312 жыл бұрын
amen
@rosekalume92582 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@lizzymachocho29482 жыл бұрын
Hakika ujumbe huu ni wangu haswa nimekua na miaka kumi nikipitia mambo magumu,mitihani kisha usiku ukifika ndio balaa,attacks kila ucku Ila toka nianze kukufuatilia nimeelewa ni kwa nini, na kupata suluhisho,Asante mtumishi,Mungu akubariki sanaaa,you are heaven sent.
@deborahogega46002 жыл бұрын
Wow chanzo cha tatizo ndio mafanikio thank u Jesus.
@luhekelondelwa97143 жыл бұрын
Amin
@bintisayuni23512 жыл бұрын
Amen amen
@agneskainga143 Жыл бұрын
Chochote shetani umepanga juu ya mtoto wangu Jose napangua in Jesus name 🙏
@LeonardKNdege4 жыл бұрын
Mungu skin a riki sana upo duniani kwa makusudi kamili la mungu
@joshuasayuni89923 жыл бұрын
Unahubiri vizuri sana Pastor. Mungu akuongeze na kukuzidisha
@belindachallo390810 ай бұрын
Dodom mnaabudu sehem gani na utaratibu wa ibada ukoje
@alamnyopo97394 жыл бұрын
Ameen
@everlyneiminza57222 жыл бұрын
Hallelujah Amen 🙏 🙌 👏
@makaramayatibamrmichaelkih36834 жыл бұрын
Amina kubwa
@evangelistdanielsenyagwa40182 жыл бұрын
Mtumishi mungu azidi kukutumia
@revocatusngomele49052 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@anitasamson57353 жыл бұрын
🙏🙏
@getruderichard28014 жыл бұрын
Mungu akutunze sana mtumishi nabarikiwa sana. Arusha mnakuja lini?
@benadetadeonakupendadadama40223 жыл бұрын
Amina mtumishi
@user-xx9wg8el4y8 ай бұрын
Napataje namba Barikiwa mtumishi wa Mungu naomba namba zako
@hosianamsemwa88952 жыл бұрын
Asanteee
@felichismimoshi28302 жыл бұрын
Poster God bless you
@naomifrancisramadhani56982 жыл бұрын
Mungu wangu ninakushukuru kwa ajili ya faraja ninayoipata kupitia neno lako kwa mtumishi wako huyu.ninapita kwenye mapito magumu na oma kupata namba ya simu au ninavyoweza asiliana na mtumishiwako
@nicholuswanjohi2 жыл бұрын
Great
@irenefraterin80812 жыл бұрын
Mahubiri yako yanabariki na kuinua sn Yana mafuta ya roho mtakatifu
@valjanirlenado85632 жыл бұрын
Thank you .and may God continue to bless you
@doreengaspar6772 Жыл бұрын
Mungu akulinde man of God
@user-xz5px5cx7c11 ай бұрын
Powerful teaching be blessed paster,, please pray for me and my family,we passing through hard and pain thorns
@havillamaira33677 ай бұрын
ppppp
@venancemlelwa7312 Жыл бұрын
ni somo la October 2019 lakini hivi leo limenifungua ufahamu wangu wa kuelewa na kufahamu zaidi
@hopejacob24363 жыл бұрын
here I am
@jordanasadjah84512 жыл бұрын
POWERFUL REVELATION 🙏🙏🙏
@gracekahinga90183 жыл бұрын
MUNGUAkuinue zaidi
@mariazabron90134 жыл бұрын
powerful teachings
@ambelamwaitebele75404 жыл бұрын
maria zabron mzima
@ambelamwaitebele75404 жыл бұрын
maria zabron habari
@ambelamwaitebele75404 жыл бұрын
Mzima
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Naomba nipate namba ya mtumishi
@weddymwanginde79624 жыл бұрын
Unatupa mwanga mkubwa sana mtumishi, Mungu akusaidie sana
@rihannabellion56364 жыл бұрын
yanii balaaa fire la uakika
@rihannabellion56364 жыл бұрын
yanii balaaa fire la uakika
@everlineeva5943 жыл бұрын
Ameeen mtumishi kwa fundisho hilo ,nime barikiwa mno
@trizahakwara7408 Жыл бұрын
Bwana asifiwe pastor please mimi huwa nakufatilia sana please mtu anaweza kupata aje juu mimi ni mkenya but nafanya kazi Saudi Arabia please I need you're help pastor
@sarahsoso72024 жыл бұрын
Hata nami naomba yesu asinipite.God bless you man of God 🙏
@alphoncealmack92403 жыл бұрын
GOD BLESS YOU JEHOVAH akutunze mpakwa mafuta wa BWANA
@gracemlelwa43833 жыл бұрын
Nimebarikiwa sn na mafundisho yako
@experancerzabron40733 жыл бұрын
Amen Mtumishi nimebarikiwa sana,he Dodoma mko sehemu gani? Pia naomba no.ya mtumishi taf
@abiutali48942 жыл бұрын
ni vema kufanya biashara za ngurwe
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Jamani naomba namba ya Mtumishi uyu
@annaanthony92903 жыл бұрын
Dodoma mpo wapi
@rihannabellion56364 жыл бұрын
niko nasikiliza sshv
@zitashio79202 жыл бұрын
Jamila mtumishi umenipa kitu cha thamani sana kila nikisikiliza unanipa maarifa
@zitashio79202 жыл бұрын
Hakika sio Jamila
@focuseric41092 жыл бұрын
wanao dislike hao niwachawi najuua wanapigwa sana hao sio wakawaida.
@lucyshedrack15322 жыл бұрын
Kweli ni wachawi na sijui wamefata nn humu
@gracekahinga90183 жыл бұрын
Amee
@neemaisaack58963 жыл бұрын
Nimepokea kitu
@marrytabuya9703 жыл бұрын
MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI NAMUOMBA MUNGU AENDELEE KUKUINUA KWA VIWANGO VYA JUU,MAFUNDISHO YAKO YANANIBARIKI SANA,YAANI NABARIKIWA KWA VIWANGO VYA JUU,KUNA VITU VINANIGUSA MIMI NA MAISHA YANGU,HATA NA MAJARIBU NINAYOPITIA.
@getrudawilbert63014 жыл бұрын
Mtumimish wa mungu help me please niombee juu ya masomo yangu
@getrudawilbert63014 жыл бұрын
Mtumishi please uje mwanza baba please nakuomba
@edwardchallo66304 жыл бұрын
Mtumishi nabarikiwa sana. namafundisho yako nimekutafuta zaidi ya Mara NNE Mtumishi niombee
@happinessakim28893 жыл бұрын
🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@dastanmboera84452 жыл бұрын
Mimi nipo Dodoma napenda sana huyu Mch ananibariki sana ingawa Mimi Nina kanisa lakini naomba kujua Kama kanisa la Dodoma Wana ibaada za katikati ya week niweze kuhudhuria.
@realityofchristchurch2 жыл бұрын
DODOMA tuna ibada kila siku ya Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama, Area C njia panda ya kuelekea Arusha. Karibu sana.
@zenahassani20922 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Amina Amin mwenyewe nipo dodoma sikujua kila jumatano takuja kila jumatano
@kaayatv68754 жыл бұрын
Muda maalumu wa ibada zenu ni saa ngapi huwa nnaanza? Mfano j3 j5 ni saa ngapi ibada inaanza?
@MrSunbella3 жыл бұрын
Sasa ni jumatano sa kumi na moja na nusu ijumaa kumi na moja na nusu na jumapili sa tatu asubuhi
@joshuaombima82303 жыл бұрын
Powerful samon I wish ututembelee Nairobi Kenya man of God .
@joycesanga69512 жыл бұрын
@@MrSunbella mtumishi ninahitaji sana kugusa mikono yako msaada tafadhali.
@joycedavidbusha89902 жыл бұрын
Amen
@angumbwikeanangisye97663 жыл бұрын
Amina
@rihannabellion56364 жыл бұрын
niko nasikiliza sshv
@martinmuchau53632 жыл бұрын
Mchungaji mafunzo yako ni makuu na mazuri. zidi kubarikiwa.