Kila siku nasema sisi wanaume tumejitakia wenyewe haya matatizo tiliamua kumgeuka muumba wetu na kumthamini mwanamke kwa asilimia 100 ambayo mwenyezimungu alitukataza na kutuambia tuishinao kwa akili kubwa sana Cha ajabu huyu demu alishalipwa na wakayamaliza kimya kimya lakini bado amepanga kumkomoa jamaa na kumpoteza kabisa na alipwe zaidi ya alicholipwa. Guys tujifunze hapa hawa wadudu sio wa kuwaamini katika maisha maana wanaweza kukufanyia maudhi na ukamuadhibu lakini akaja kulipa kwa kuonyesha kama ulikua unamuone na kumnyanyasa mimi maisha yangu mwanamke naishinae kwa umakini mkubwa maana yalishanikuta kma haya ya diddy
@benjo_brighter4 ай бұрын
Tatizo la kuchanganya kazi na mapenzi.
@gtzrreception55324 ай бұрын
Huyu demu anazngua bhana sasa tokea siku zote ulikuwa wapi
@HamzaMbasha4 ай бұрын
Sasa mbona wanamuandamaga chirs brown na wakati kuna mashetani wako pembeni wametulia.....