Рет қаралды 206,273
Wanasema hawana lolote la kufanya kwani maisha yao ni msituni na serikali imeonekana kuwatelekeza na ndiposa wakajitosa katika biashara haramu ya wizi wa mifugo huku wakijetea kwa kusema lau eneo hilo lingekuwa na maendeleo hawangejishughulisha na mifugo ya wenyewe......nazungumzia wakaazi wa eneo la Pokot ....na huku hayo yakijiri, mpango wa serikali wa kuwapokonya wakaazi wa eneo hilo silaha haramu unaendelea......Kwa wenyeji swali ni moja tu ikiwa watapokonywa bunduki hizo na wasiwapate askari wa ziada je watajikinga vipi na adui.