KWANINI 50 CENT HAMPENDI MTOT0 WAKE WA KUMZAA?

  Рет қаралды 85,220

BONGO FASTA

BONGO FASTA

Күн бұрын

Пікірлер: 158
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Жыл бұрын
Binafsi' mwanangu akionesha chuki kwangu bila sbabu za msingi kama huyo, namptezea tu
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Kabisa
@mwanalau2457
@mwanalau2457 Жыл бұрын
Kbsa
@harthaseif5497
@harthaseif5497 Жыл бұрын
Wazazi tunapitia changamoto sana kutokana na aina yawatu tunaoo zaazaoo eengine mkiachana wanakuwa nachuki za ajabu naudui wa ajab wallaah mungu ndie mjuzi zaidi wahili
@hastatz
@hastatz Жыл бұрын
MUNGU atupa zawadi na furaha ambazo ni watoto ila wengine hua laana ukubwani ila all in all wanawake huzalisha chuki kwa watoto baada ya kutengana na mume nashukuru sana mama yangu ulitengana na baba Mimi nikiwa mdogo sana lakini uliwahi kunisisitiza niwapende wazazi wote na mama yangu mdogo Yani mama wakambo nimuheshimu pia mama yangu alikua shupavu aisee mama yangu wa kambo hadi Leo kuna watu hawajui kama ni mama wakambo one all the time 🤝
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Shukuru ulibahatika
@catenzeki678
@catenzeki678 Жыл бұрын
Mm pia Mamangu alitengana na baba nkiwa na umri wa miaka kumi lkni alikua atuusia kwamba tumpende na tumheshimu baba ye2 sababu hatuwezi kupata baba mwengine duniani ila yy tuu
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 Жыл бұрын
Hata mimi pia
@Dantaata
@Dantaata Жыл бұрын
hongereni,, sisi tulitengwa kabisa lkn hatujalipa ubaya kwa mzee sasa tunampa Haki yake ila yeye ndio anateseka akikumbuka
@amantuyininahaze7794
@amantuyininahaze7794 Жыл бұрын
@@Dantaata bora hata wew anakumbuka, wengin walifanya mambo ya ovyo kabisa, na bado kwenye uzee hawajajiona kua waliwahi kutenda makosa makubwa
@hillarymachano6310
@hillarymachano6310 Жыл бұрын
Unajua wanawake Ni watu ajabu yaan huyo mtoto mpaka kufikia huko Ni sumu kutoka kwa mama ake
@m.rtemperatureriser4808
@m.rtemperatureriser4808 Жыл бұрын
Inasikitisha Sana ila hii sumu yote uyu dogo aliyo nayo kapewa na mama yake
@dorcaskahwarakaliza8190
@dorcaskahwarakaliza8190 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@rajabmwasangala5472
@rajabmwasangala5472 Жыл бұрын
Kinachoonekana hapo ni mama ndie aliyempandikiza chuki,na hii imo kwa akina mama,unajuwa sisi akina baba tuna tabia ya kumpa mama pesa kumhudumia mtoto sasa hawa wenzetu wanatumia sababu hizo na kumwambia mtoto kuwa hizi huduma no mimi ndie ninayekuoiga ia mwanangu baba yako yuko bize ,wala hajali. Sasa mtoto anapoambia hayo huona kuwa baba hampendi ila.mama ndie anayempenda. Sumu huoandikizwa na akina mama.
@Sandra39823
@Sandra39823 Жыл бұрын
@@rajabmwasangala5472 kuna wengine hawaudumii watoto wao, mimi nina watoto wawili na najilelea watoto wangu pekeangu tangu wakiwa wadongo, yaani hawajanunuliwa chochote hata kalamu, unathani nitawafundisha watoto wangu kumuudumia baba yao? Twende mbele turudi nyuma, cwezi lea watoto pekeangu alafu niwafundishe watoto baba yao ni mzuri yeye ndio utoa uduma kusudi wasaidie cwezi na cwezi na cwezi kabisa, saa hii mtoto wangu wa kwanza anaenda secondary, mimi nijikakamue pekeangu kutoka unyao mpaka utosini uniform pear mbili, viatu, saduku mattress, mashuka, school fee etc, everything, na babake anafanya kazi na anapata pesa kubwa, alafu mtoto akifanikiwa bac ni wa baba, haiwezekani kabisa, hila huyo wa 50 cent anafanya makosa cos anasaidiwa, akicheza atapata laana
@Beautiful-Place
@Beautiful-Place Жыл бұрын
Bora amepata mtoto mwingine wakumpa furaha maana huyo wakwanza nihatari!!!
@gallodecor2773
@gallodecor2773 Жыл бұрын
Mtoto ndio Hana shukran na kajazwa sumu naMama..hata mm nisingeweza kumpenda mtu amabaye hatosheki na upendowang
@christophermrema5277
@christophermrema5277 Жыл бұрын
Mitoto Kama hii Bora Ife tu
@jengajuma8825
@jengajuma8825 Жыл бұрын
Mitoto kama hiyo ipo mingi duniani, yani kwakeli ni mtihani sanaaaaa,
@tinomzungu8070
@tinomzungu8070 Жыл бұрын
ukweli nikwamba lait ingelikua mm ndio 50 ninge bet yani kuozea jeala ningetafuta wauwaji wamuuwe
@cgf365
@cgf365 Жыл бұрын
Acha hujinga hiyo sio mtoto wake mtoto wake ni 6ix9ine
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 Жыл бұрын
Natamani upendo wa baba yangu lakini siwezi kumuona
@blacknesaya744
@blacknesaya744 Жыл бұрын
Yan mtoto wangu anifanyie ujinga hivyo...namwita vizur na kuja kumpiga kipigo ambacho hata sahau kila akiniona ana pata presha
@hafidhali815
@hafidhali815 Жыл бұрын
Hapana tutumie Busara na hekma kwasababu tunaweza kupiga kumbe ndio tunampoteza kabisa ndugu yangu
@maryammohmmed6526
@maryammohmmed6526 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@danielmkama24
@danielmkama24 Жыл бұрын
Bro hv habar ni nzur sana, hasa znapokuwa ndef kama hv 🔥🔥🙏
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Mtoto mshez kwa maelezo tu mama ndo amemlea vibaya
@saluyaadamz
@saluyaadamz Жыл бұрын
Haki yake kumchukia toto alina heshima
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 Жыл бұрын
50 yuko sahii
@johnbuluma8861
@johnbuluma8861 Жыл бұрын
The person you love the most will Hurt you the most
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 Жыл бұрын
Exactly
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 Жыл бұрын
Absolutely true
@SalumJohn-h2s
@SalumJohn-h2s 19 күн бұрын
Absolutely yes
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Жыл бұрын
Mama wa huyo mtoto ni mshenzi sana
@EsterPaul-jt5im
@EsterPaul-jt5im 4 күн бұрын
Mimi nimeumia sana pole kaka huyo mwanamke mwezangu hana akili
@juniorkaguo8616
@juniorkaguo8616 Жыл бұрын
Dogo aliharibiwa namamaake
@ezeedi871
@ezeedi871 Жыл бұрын
Wamama wanaharibu Sana watoto yaan
@omuyaalphonce4387
@omuyaalphonce4387 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂wanafaa kugeuzwa kuwa pesa kama pesa wanazopewa haziwatoshi.... atowe wao bana waache kelele zisizoleta faida
@jackbk392
@jackbk392 Жыл бұрын
50 hana kosa lolote, shukrani ya punda ni teke, uyo mtoto akatafute zakwake Kama babayake anavyo hustle!! Jack from Australia 🇦🇺
@starshinetz
@starshinetz Жыл бұрын
Bila shaka mama wa mtoto amechangia mtoto na baba kugombana
@g_crayz_5507
@g_crayz_5507 Жыл бұрын
kama mtoto mungu anampa bahatii ya kua na baba kama huyo alafu ana muona kama matamvua respect to 50cent maamuz yak sahihib
@victormneney1307
@victormneney1307 Жыл бұрын
Watoto wa Amerka Ulaya wanapewa kila kitu ila hawana Adabu wala heshima kwa wazazi kutokana na katiba na sheria zao mbovu Na Wazazi hawakai na watoto wanapelekwa kwenye vituo wanalipia mtoto ananyonyeshwa muda mfupi sana Mila za kiafrika ni nzuri kuliko wao ukipewa mtoto mmoja week moja ukae nae utampakia ndege arudi aliko toka utafikiri siyo binadamu
@victormneney1307
@victormneney1307 Жыл бұрын
Watoto wa Amerka Ulaya wanapewa kila kitu ila hawana Adabu wala heshima kwa wazazi kutokana na katiba na sheria zao mbovu Na Wazazi hawakai na watoto wanapelekwa kwenye vituo wanalipia mtoto ananyonyeshwa muda mfupi sana Mila za kiafrika ni nzuri kuliko wao ukipewa mtoto mmoja week moja ukae nae utampakia ndege arudi aliko toka utafikiri siyo binadamu
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 Жыл бұрын
niatari sn kweli iyo ndokazi yawanawake yy 50cent ni bb nakama ni bb amsamehe kilakitu kilapwa apaduniani n'a yy uyo mtoto wa 50cent watoto wake nao watamfanyia ivyo sote tunalipa madeni
@softtlipssLive
@softtlipssLive Жыл бұрын
There's Something Special About This Video 📺 🌟. Like your Content 👀, You all welcome KENYA 🇰🇪
@niahpike8593
@niahpike8593 Жыл бұрын
Shida ni mama , yani wazazi mkigombana Mama ndo unywesha wstoto sumu kali kuliko ile ya blackmamba!
@khasianussamson6227
@khasianussamson6227 Жыл бұрын
Kwanza hajamchukia labda niseme hivyo anampenda kwangu mambo yangekuwa tofauti sana
@aminaissa9709
@aminaissa9709 Жыл бұрын
Heri amepata mwengine huyo mkubwa sura mbovu na tabia pia kama sura zake na mamake wote hawatosheki
@adammj6258
@adammj6258 Жыл бұрын
Kama pesa haimtoshi si ameshafikisha miaka 18 ,atafute zake sasa, mshenzi mkubwa na mama yake ndio aliemlisha sumu
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 Жыл бұрын
Nimempenda sana hii story asante sana. 13.11.22.
@neemamkemae2580
@neemamkemae2580 Жыл бұрын
Nimeumia jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭, anayo haki ya kumchukia ila km atajirudi na kutambua makosa yke! Amsamehe tu
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Жыл бұрын
Ivi unamjua uyo mtot yan nikiburi sijapata kuon
@jokhahamad6684
@jokhahamad6684 Жыл бұрын
Mtihani yarabbi Allah atupe vizazi vya kheri aamin yarabbi
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Жыл бұрын
Amin
@cosmasathanas1184
@cosmasathanas1184 Жыл бұрын
Naitwa.cosmas.a.vugije.huyojamaa.hanahak.ya.kumukataa.mtoo
@maggymasindet4686
@maggymasindet4686 Жыл бұрын
He is no longer a child but full grown up man he should go get a job and make a living for himself. Very spoiled nd rude boy.
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 Жыл бұрын
Asimchukie ni mwanae tu ila atafute muda wa kumuelewesha kuhusu hali halisi ya maisha.
@rasootheoneclothingstore9579
@rasootheoneclothingstore9579 Жыл бұрын
Majib ya 50 yanaonesha bado anampenda mtoto wake ila mtoto sasa
@martinfrancis9808
@martinfrancis9808 Жыл бұрын
Huyu mtoto wa Kwanza chizi Hana adabu
@clarafussi8149
@clarafussi8149 Жыл бұрын
Yupo sahihi kumchukia hata kama akiwa wangu nitamchukia na kumsahau kama ni wangu mtoto lazima awaheshimu na kuwa tii wazazi wake ila hapo mama ni sumu
@hamzambasha6647
@hamzambasha6647 Жыл бұрын
Wanawake ndoo chanzo Cha kufanya wazazi wachukiane na watoto.
@arnoldnickson2912
@arnoldnickson2912 Жыл бұрын
toto kama hlo la nn sasa 50 hana shida mtoto na mama yake ndio wana matatizo hao
@selinanyongole5264
@selinanyongole5264 Жыл бұрын
Kangekua kakibongo haka saivi kangekua kanaokota makopo
@monicacyprian9137
@monicacyprian9137 Жыл бұрын
Yaaan kafanana na baba yake mpaka basi ila duuh ndo hawapendan
@championtv255
@championtv255 Жыл бұрын
Namkana maisha naenda mpaka maakamani kumkana kisheria mbwa kabisa huyo mtoto.nyoooo namkana kisheria najina langu asitumie shetani mkubwa.mtoto wakiume anaingilia ugonvi wawazanzi mzenge kweli
@angeldejoice3202
@angeldejoice3202 Жыл бұрын
Aachane nae ,maana hata nabii nuhu aliachana na mtoto wake akafa na maji.
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Mtoto ni mshenzi kalishwa sumu na mama yake
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 Жыл бұрын
Nampendaje mtoto ambaye hathamini upendo wangu kwake na hana shukrani na bado hanipendi kiasi kushirikiana na mtu aliyetaka kuyaondoa maisha yangu?sijui ila binafsi ktk ubinadamu huu wa damu na nyama ni ngumu sana .
@bonabonala5559
@bonabonala5559 Жыл бұрын
Mtoto msariti nae asaritiwe 2
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 Жыл бұрын
Better find your job you have enough support. Go through the forest
@maryammohmmed6526
@maryammohmmed6526 Жыл бұрын
Mitoto yasikuizi ni Mibedui nimeona jana Instagram kunamzee amemkataa mwanae kisheria kwa maandishi na asisogelee mali zake akiwa yupo hai adi akifariki na asirithi
@barakakubomoa1726
@barakakubomoa1726 Жыл бұрын
50 cent yupo sawa na Hilo ni tatizo kubwa la akina mama ikitokea kutengana na mume la kwanza Huwa ni kutengeneza chuki kati ya watoto na baba
@issasanjari2063
@issasanjari2063 Жыл бұрын
Yupo sawa huyo mtoto mbwaa
@nicholaslekitale2767
@nicholaslekitale2767 Жыл бұрын
Sheddy,,,tafadhali naomba simulizi Moja la shadd aquarium ilioko Chicago.tafadhali kwa mara ya pili.ili niombi langu kutoka Kenya.
@keystartz3665
@keystartz3665 Жыл бұрын
Co kweli dogo anazngua
@Aaron-nu7dv
@Aaron-nu7dv Жыл бұрын
wazazi sometimes jauu..wanazingua sana
@mustaphahadija8860
@mustaphahadija8860 Жыл бұрын
Ndio baya halafu jinga
@mujambo
@mujambo Жыл бұрын
Mzee embu fanya utulete history ya tajili aliye mpiku mukeshi ambani kuwa tajili namba moja india
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Жыл бұрын
Tobaaa
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 Жыл бұрын
Da wanawake wanapandikiza sana Chuki kwa watoto..yaani huwaaingiza watoto kwenye ugomvi wao..
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085 Жыл бұрын
Tatizo linakuwa la mama kumjaza sumu mtoto kisa wao kuachana basi anataka na mtoto na baba waachane
@guccij6236
@guccij6236 Жыл бұрын
Ogopa Sanaa mtoto akilelewa na Mama tuu😣
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 Жыл бұрын
Weee a anajazwaga chuki balaa
@nurualamoody4305
@nurualamoody4305 Жыл бұрын
Sio wote waliokosa imani ya mungu.
@agogomgagagigigogo2672
@agogomgagagigigogo2672 Жыл бұрын
Mitoto ya miaka hii tuzae tu ,kini ni ya hovyo sana,hebu imagine halitaki kufanya kazi,linataka liishi kistaa tena kwa makusudi ni kama linamkomoa dingi na linamkazimisha M/Mungu nalo liwe listaa,pumbfu kabisa,na hapa nahic mama yake ndo kaliharibu toto hilo kwa kudhani atamkomoa 50 cent.🤔
@mussaissa6796
@mussaissa6796 Жыл бұрын
HILI TOTO LIMELELEWA KIKE KIKE NA MAMAAKE KWA HIYO LINA AKILI ZA KIKE, ACHA DUNIA ITALIFUNZA TU
@bahishandimubenya1868
@bahishandimubenya1868 Жыл бұрын
Anayo haki ya kumchukia mtoto wake.
@abbyibu5463
@abbyibu5463 Жыл бұрын
Siwezi mpenda Wala kumsamehe mtoto kama huyo,, anashirikiana na adui 😡😡ipo siku ataamua baba yke..
@zaikokingnil7727
@zaikokingnil7727 Жыл бұрын
Hata senti tano simpiii
@mwantimazdombo6049
@mwantimazdombo6049 Жыл бұрын
Sawa kabisa nilikua nampenda ila sasa no
@yasimintinzan5144
@yasimintinzan5144 Жыл бұрын
Hakika kwa stail hii n sawa tuu kumchuki n kutokumpenda mtt wake yaan aistail kbs
@laylatali9203
@laylatali9203 Жыл бұрын
Mmmh kweli mungu hasemi uongo kwamwe wanawake ni fitna kubwa sana
@lemmyodanga2519
@lemmyodanga2519 Жыл бұрын
50 ajilaumu mwenyewe Kwa kutendekeza mtoto,asimchukie kamwe
@gretarobert17
@gretarobert17 Жыл бұрын
Uyo mama ake ndo kamwaribu wanawake huwa wanaaribu watoto afu sis hatunaga shida na watoto kbsa
@kiflikhamis5205
@kiflikhamis5205 Жыл бұрын
Ni tabu sana wazazi wanapoachana na watoto kuishi na mama zao lazima watapandikizwa chuki kutoka kwa mama zao, kama hiyo pesa ni ndogo si akatafute zake.
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 Жыл бұрын
Babake kazisaka kweli hjtania sasa huyo choko cjui antk nn
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Ampeleke huyo ndondocha kule Wodi ya Vichaa. Au hata amtafutie dokta wa hayo.
@yasminsalim291
@yasminsalim291 Жыл бұрын
Mungu Atunusuru ila Toto kama Hilo Ni laana Tupu 50 yuko sawa uyo Atafute zakw
@kingkong1506
@kingkong1506 Жыл бұрын
Hivi unaungana na maadui waliotaka kuniuwa kafie mbali
@zakiamuniss5695
@zakiamuniss5695 Жыл бұрын
Hapo mwenye tatizo ni mama atakua kamlisha masumu sana uyo mtoto
@carolineivan3748
@carolineivan3748 Жыл бұрын
yes ofcourse
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 Жыл бұрын
yaani toto limefikisha umri wa kujitegemea na bado Lina razimisha kuhudumiwa ,,tena hata kufanya kazi halitaki ,senge kweli hili,,laana
@timanighosto888
@timanighosto888 Жыл бұрын
50💯
@mwajumariami2997
@mwajumariami2997 Жыл бұрын
Hii ipo live au
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 Жыл бұрын
Jmaaaa kajizaa mwenyew ndo maana hapendi kinachoendelea
@saidyomary1671
@saidyomary1671 Жыл бұрын
mbwa huyu badala aombe mtaji wa biashara anawaza ujinga
@jenipherjackson3826
@jenipherjackson3826 Жыл бұрын
please Justin sheb tuletee story ya rose alienusurikaga kwenye ajali ya titanic 🙏
@ashnaom2270
@ashnaom2270 Жыл бұрын
Mmh afai na asimuamini kumpa nafas atakuja uliwa namwanae
@lawijosephezekieli1078
@lawijosephezekieli1078 Жыл бұрын
Toto kubwa hakili ndogo
@humeidabolfida5955
@humeidabolfida5955 Жыл бұрын
Ayo haki yaku mchukia na kuto juwa hata kanaishi vipi
@saidimalilo9640
@saidimalilo9640 Жыл бұрын
ndiyo nitamchukia ana mapenzi na baba yake Sasa wann
@timanighosto888
@timanighosto888 Жыл бұрын
Noma sanaaa
@milasbaibe307
@milasbaibe307 Жыл бұрын
He's a grown ass man he needs to find a job and stop complaining
@arafahhh5574
@arafahhh5574 Жыл бұрын
Mtoto akishanza manug"uniko ya uongo jisepee atafute vyake
@Dantaata
@Dantaata Жыл бұрын
toto km hili unaliacha kuna siku litakuja tu lenyewe
@Sppah697
@Sppah697 Жыл бұрын
Yes, 50 akae mbali na huyo kiumbe!
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Mtoto Hana shukuran hata chembe
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 Жыл бұрын
That's common to the Black people...
@marymichael8111
@marymichael8111 Жыл бұрын
Ningemuulia mbali uko
@sydecheekcomedy
@sydecheekcomedy Жыл бұрын
Noma sana
@jcomanartist6227
@jcomanartist6227 Жыл бұрын
jcoman artist...please samehaneni..
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏
@Sppah697
@Sppah697 Жыл бұрын
50Cent ametokea Rukwa!
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Остановили аттракцион из-за дочки!
00:42
Victoria Portfolio
Рет қаралды 3,7 МЛН
WORLD BEST MAGIC SECRETS
00:50
MasomkaMagic
Рет қаралды 54 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 56 МЛН
Top U.S. & World Headlines - September 25, 2024
10:41
Democracy Now!
Рет қаралды 171 М.
Liban/Israël : le Hezbollah contre-attaque
10:24
LCI
Рет қаралды 291 М.
WAT0T0 WA WATU MAARUFU WALIOWATIA AIBU WAZAZI WAO.
8:42
BONGO FASTA
Рет қаралды 80 М.
Hitting Hezbollah Hard | Jerusalem Dateline - September 24, 2024
25:25
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12