Рет қаралды 104
Unajua kwamba unaweza kuendelea kuteswa na madhabahu ambazo ulikuwa umejiunganisha nazo awali kwa sadaka zako hata kama umegundua uovu wao na kuamua kuhama dhehebu? Unajua kwamba unatakiwa kupanda mbegu na sio mavuno? Unajua kwamba huwezi kuvuna mazao ambayo hujapanda mbegu yake? Fuatilia ujumbe huu!
Unaweza kuupata kwa maandishi katika Blog au App kupitia link hii www.appcreator...