Amen...Kwa Mungu unayemtumikia nina imani nimeokolewa.Mungu akuzidishie uendelee kuomoa watu wake
@favourndila8474 Жыл бұрын
Ameeen kwa Jina la Yesu kwa mamlaka ya Damu ya Yesu.
@user-ws2sg7un7z3 жыл бұрын
Amina
@ghhfgbgfhh19805 жыл бұрын
AMEEN AMEEN TUMESHINDA NA ZAIDI YA KUSHINDA..SIFA NA UTUKUFU ZIMRUDIE YEYE ALIYE KUWEKO NA YUKO NA AKUWAKO AAMEEN.
@shohamuwokovuhalisi.26487 жыл бұрын
Amina tumeshinda...pokea SIFA BWANA WA MA BWANA .Hallelujah MAJESHI ya BWANA yako vitani.
@gracepaul7612 жыл бұрын
Amen
@marthakarundi27505 жыл бұрын
Nashukru kwa mafundisho,maana nilikuwa mpagani ,wa neno,nashukru kwa mafundisho ,nimepokea katika jina la yesu kristo
@gracenyangusi623010 ай бұрын
🔥🔥🔥👍
@salomepius18407 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu, tunamshukuru Yesu kwa kua tunashinda na zaidi ya kushinda kwa jina lake.
@belindajulius46215 жыл бұрын
Ahsante kwa maubiri yko mazuri mungu akubariki kwa somo zuri
@yunesnyabonyi17287 жыл бұрын
Amen pastor through God everything is possible
@Janet_xd-rj5ec7 жыл бұрын
Amen to God be the glory
@estasage4985 жыл бұрын
Pastor wewe uko mpakaliwa mafuta ya bwana lakini ungeomba roho mtakatifu akuongoze usiseme amani iwe musikitini. Yesu Kristu ndiye prince of peace. Sasa, amani itakuwa je musikitini mahali hawajuwe kazi za msalaba na damu ya Yesu Kristu? Hawaitike kama Yesu Kristu ni Mungu. Kamani wewe ni mtumishi wa Bwana Mungu aliye hai usitafute kujipendekeza kwa wa Islam. Ubarikiwe