Daaa!!!...dogo Hana amani....tff ingilieni kati dogo moyo unamsononeka sana...dogo muulize fei toto alishindaje hizo vita kama hiyo
@user-ib2ew9ec3d16 күн бұрын
Uyo ataondoka akiwa huru naligi ikianza hatoonyesha makali malengo yake sio kucheza cost😅😅😅 anataka kwenda juu
@salimmalaka25615 күн бұрын
SI MSEME TU HIZO NI FITINA ZA MATOPOLO MACHOGO FC
@JacobKibiki17 күн бұрын
Mnazani anapenda laki kuliko mil
@erickprotace946312 күн бұрын
Shida ya waandishi wa habari ni kutoelimisha hatua ya kusitisha mkataba kuendelea kwa watu ili watu waelewe vizuri sakata. Bila hivyo watu wataakaa bila kujua mmiliki halisi wa mchezaji. Elimisha njia za kusitisha mkataba au makubaliano Kama zimefatwa au la Kama vilifatwa watu wajue mmiliki
@JacobKibiki17 күн бұрын
Mbna kuongea mchezaji TU mnaogopa au Kuna kitu mnajua ataongea nn hata yy czani kama amependa