Wewe mzee mfundishe mungu kazi soon atawaonyesha kwamba kila kitu kina mwisho
@Esterkomba-ef7ebСағат бұрын
Usicheze na mungu waulize marekani kilicho wakuta
@SteveShemsanga-il3ct2 сағат бұрын
Mbona jamani imewauma sana kuambiwa atakufa nahuyu MWAMBA akitabili huwa inatokea hivyo tutubu haraka namuwache kula jasho lawanyonge maskini bira hivyo tutamwanbia nabiii atabili
@dorothmsuya168615 минут бұрын
@@SteveShemsanga-il3ct Muombe akutabirie na wewe kama kufa ni kuzuri! Kwani yeye jiwe! Mbona hasemi atakufa lini!
@kiluiWanguvu3 сағат бұрын
Yani lema kuwa tabilia watu kufa kwanza toa boliti ktk jicho lako ndio utowe kibanzi ktk jicho la mwenzio ujitabilie kufa utakufa lini hakuna anae juwa nafsi ila Mwenyezi Mungu
@halimamasai22343 сағат бұрын
Utakufa mwenyewe mbwa wewe kila siku unatabiri kifo kwa watu kwani wewe hutakufa
@salimbinargan96582 сағат бұрын
Mtu kama kifikia halihii ijuwe ameshaishiwe iakili wa imani yeye anachukua kama ni allaha mwenyi mungu kusema atakufa aniambie nani asiweza kuwa yeye hatakufa hiyo ni ayejua wenyezi mungu tu mwenye kauli ya kuanua nani afe na nani ataishi watu wengie ni matapeli tu
Wewe lema ninani unaetabilia watu vifo utakufa Wewe kwani
@maase202351 минут бұрын
Huyu nae.yy ni hodari kutabiria wenzake vifo tu anajisahau yy
@hamadhamud-n4j4 сағат бұрын
Yeye anajua kutabiri vifo vya watu.je yeye anakufa lini?
@XYZ123-t4b3 сағат бұрын
Unachobisha ni nini? Kama unakataa utabiri ina maana na wewe ni mtabiri. Wewe kuna mtu alikukataza kutabiri? Toa utabiri wako na wewe.
@JosephWambweСағат бұрын
Lema umekuwa mtabiri wa vifo na wewe ujitabirie basi
@QwakuHanguСағат бұрын
Huyu lema msenge Yani yeye anatabiria watu vifo yeye amekuwa jiwe? Mpumbavu
@BonifaceShiyo3 сағат бұрын
NYIE MSIKASHIFU WATU
@peterjohnson1674 сағат бұрын
Nabii mjinga aitwaye Lema.... Zaidi nabii feki anaye jitafutia umarufu ambao hana... Chadema mgawanyiko upo nabii Lema una tabiri nini? kwa sasa hivi ni 2 Chadema.
@vicentbunzal73422 сағат бұрын
Wewe ndo mjinga,tena kubwa jinga kkabisa
@benderakashindi3834Сағат бұрын
Mwaka huu CCM inaenda.
@dorothmsuya168617 минут бұрын
@@benderakashindi3834 Kwa lipi jipya! Mtasubiri sana! Ikulu ileeeee! Poleni!
@rahmamikidadi22133 сағат бұрын
Hatar
@KopiscoIsayaСағат бұрын
Lemma shame on you, Stop Nonsense, try to use your common sense period.
@tabumagige76042 сағат бұрын
Acha upumbavu safari hii utakufa wewe
@OS-pf6op3 сағат бұрын
Chama chochote kitakachokuwa madarakani watafanya miradi ya maendeleo! Hizi kauli za kijinga. Hela za kodi zinachangiwa na wote na sio chama fulani!
@issacklyandala70233 сағат бұрын
Waambie wa tz wengi wajinga, kauli za kufuru na kaburi Yesu atawatoa madarakani mwaka huu
@halimamasai22343 сағат бұрын
Kwa hiyo imekuma kunywa sumu basi 😂😂😂
@issacklyandala70232 сағат бұрын
@halimamasai2234 acha ROho yakichawi wewe
@dorothmsuya168611 минут бұрын
@@OS-pf6op Kama maendeleo mnayaona sasa mnataka nini! Sera hawana kutwa kuropoka tu! Hii ni nchi sio kijiji brother!
@clemencemkondya85614 сағат бұрын
Lema nimtu asiyenaakili timamu watu wa Arusha walichaguwa mbunge kichwa .Kufa hata wewe Lema unaweza kufa .Kwani utaishi milele.?!!!
@bahatielias64433 сағат бұрын
Kwani alikuambia kuwa hatakufa
@vicentbunzal73422 сағат бұрын
Wewe ndiye huna akili timamu maana hujaambiwa we Wala hujatabiliwa ww cha ajabu aliyetabiliwa hajaongea wewe ndiye imekuuma unaongea,sasa hapo mjinga Ni nani wewe au aliyetabili?we kweli kichwa tikiti