Рет қаралды 20,857
Lyrics
Mwamba wenye imara, kwako nitajificha
Maji hayo na damu, yaliyotoka humo
Hunisafi na dhambi, hunifanya Mshindi.
Kwa kazi zote pia, sitimizi sheria
Nijapofanya bidii, nikilia na kudhii
Hayaishi makosa, ni we wa kuokoa
Sina cha mkononi, naja msalabani
Nili tupu nivike, ni mnyonge nishike
Nili mchafu naja, Nioshe mi sijafa.
Nikungojapo chini, nakwenda kaburini
Nipaapo mbinguni, nakukuona enzini
Roho yangu na iwe, rahani mwako wewe
VIDEO : Vinmark
AUDIO: Dokta b(NEW HOME MUSIC?
ARTIST: Limmie official.
#latestgospelsongs#mwambawenyeimara#gospelmusic #limmie#rosemuhando