Barikiwa mchungaji tangu nilianza kufuatialia mafundisho yenu from 2019 hakika maisha yangu yali badilika na kupokea nguvu ya roho mtakatifu mm ni mkenya nakuzikiliza kutoka Qatar injili lasima ifike pande zote dhuniani
@dawsonsheshahu7737 Жыл бұрын
Somo zuli.
@marigolddiamond36196 ай бұрын
Pastor David Mbagga, Mimi ni Muislamu, Nakukubali Pastor, Mafundisho Yako Nayafuatilia, Yamenijenga Sana Kimwili, Kiakili, Na Kiroho. Asante Sana Sana, Mungu Akupe Nguvu (Power) Ili uweze Kutufungua Mpaka Tuwe Huru, Na Ili Tuweze Kuutafuta Na Kuupata Ufalme Wa Mungu Kwanza NDANI Yetu Ili Na Mengine Yote Mtaongezewa. Ameen, Mungu Akubariki Sana Pastor.
@scolastikapeter58923 ай бұрын
Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi Mbaga
@labankoech3116Ай бұрын
❤❤aki mafundisho tamu kupita halua zeeka pole pole pr 🙏🙏♥️♥️🎇🎆
@RamadhaniSelemani-tr1gd10 ай бұрын
Barikiwa sana pasta mmbaga wew vkiwa na pasta peter nimebarikiwa sana kwa mahubiri yenu mungu azidi kuwapa nguvu sana mim no bahati baraka kutoka mkoan Kilimanjaro wilaya ya same mwembe
@hezekiamhapa739510 ай бұрын
Amina pr Mungu akubariki Sana unatubariki sana
@joyikaya74293 ай бұрын
Amina. ZIDI KUBARIKIWA PASTOR.
@jydsonnzanzu10907 ай бұрын
Asante kwa mahubiri mutandaoni,nashukuru hapo congo
@fatemajohn319510 ай бұрын
Ameen ubarikiwe sana pastor
@margaretwanjiru9096 Жыл бұрын
Amin Amin Amin
@gladysmwende75005 ай бұрын
Amen
@marykainyu4191 Жыл бұрын
Muchugaji mungu hawe wewe na akuogezee Sababu nilikuwa nasema beleni sitaweza .lakini umenitoa bali nasikiza nikiwa Saudi kutoka kenya.injilii iede mbele 2023 ameni.
@damasbunzalicharles673 Жыл бұрын
barikiwa pr kwa masomo yako mazuri yanatubariki sana
@sawebenjamin4015 Жыл бұрын
Nimebadilika na ninaendelea kubadilika mbaka atakaporudi yesu.
@eddiejoshua38186 ай бұрын
Amina mchungaji Mungu akubariki. Hadithi ya Mchungaji mtini imenitia moyo kweli kweli.
@user-ro1jw9od7v11 ай бұрын
Pastor ubarikiwa cna
@PrincessSally777 Жыл бұрын
God i need your presence!!
@dianarobert7953 Жыл бұрын
Mungu akutunze pastor, asantee kwa mwendelezo wa somo makini, nazidi kubarikiwa sana.
@eustina0 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kila jambo asnte pr Mungu akubariki uingiapo na utokapo
@sarahemukule3230 Жыл бұрын
God bless you pastor mahubiri yako yamenijenga kiimani
@esperancemukini79536 ай бұрын
Kweli postor anaokowa kwa mda wake na hata asipo fanya atabaki kua Mungu.
@moricemnyambi5323 Жыл бұрын
Asante sana pastor, you are good pastor and teacher
@roselinemkonyi9188 Жыл бұрын
AMENI AMENI NAPENDA SANA MAHUBIRI YAKO
@definitelykoechy8726 Жыл бұрын
Amen mungu ndio kila kitu
@estheremmanuel4593 Жыл бұрын
Ameni MUNGU awabariki
@upendotv2776 Жыл бұрын
Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu🙏🙏
@azizamlilo7464 Жыл бұрын
My GOD blessed you
@halimaramadhani7049 Жыл бұрын
Pr unanibariki sana....barikiwa san
@alexanton9183 Жыл бұрын
Mchungaji Mungu azidi kukutunza maana kupitia ww ujumbe wake nimeupata na nimebadilishwa
@rahimajuma5306 Жыл бұрын
Yaan upo sahihi huku oman tunamwaga hadi nyama kuku samaki hawali chakula kilicholala watu Wana kifuru sana Mungu atusamee
@user-si3uk7xj8x7 ай бұрын
Nafurahia mahubiri yako yaani mch mmbaga mimi ni mpendekoster ila nampenda mch mmbaga mafundisho yake habagui mtu wala dini natamani nionane na huyu mch nimepe pongezi
@nezerinejuma551011 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@rosepeter8996 Жыл бұрын
AMEN🙏...NAFWATILIA NIPATE KUBARIKIWA.
@philesombongi5793 Жыл бұрын
May God bless pastor ❣♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Kufwatilia mahubiri haya imenifanye kusogea mbele za mungu kila wakati
@maggyirene110 Жыл бұрын
Amen amen
@daddypmalima2919 Жыл бұрын
Ameen mchungajii
@jobwafula2666 Жыл бұрын
Thanks pst
@johnstonjtenkule7151 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Pastor ninajengwa mno Mungu akubariki zaidi
@fatemajohn319510 ай бұрын
Nikweli kabisa pastor anatubariki sana Samahani mtumishi wa MUNGU nipo nakuuliza uko wapi
@samwelgidion3401 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@froline5209 Жыл бұрын
Barikiwa sana pastor nimebarikiwa hata mimi nikiwa Saudi
@dancankamau6944 Жыл бұрын
Saudi tuko wengi sana
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Nmekupata sana pasta kutoka geita Kila ninapoweka bando naanza na mahubir anayokutumia yes krsto ameee nmebarikiwa mno
@AjuayeEmanuely Жыл бұрын
Mchungaji naomba uniombee
@amjudith Жыл бұрын
Unatuelimisha sana mchumgaji🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aimeirankunda2338 Жыл бұрын
papa Past barikiwasana
@clarencemushi7602 Жыл бұрын
Bwana Yesu aendeleye kukunza kwa hekima alyoikupa upendo wa aman furaha
@patricksomi8203 Жыл бұрын
Pastor kitabu cha silaha zakiroho nitapataje?Niko Kilimanjaro moshi
@ezekielm4174 Жыл бұрын
Mchungaji naomba unisaidie pale BWANA YESU alipo sema msipo wazidi haki ao mafarisayo hamta ulithi ufalme wa mbinguni alikua ana maana gani? Naomba kufahamu tafadhali
@mariamkehongwe6376 Жыл бұрын
PR pls nisaidiwe hili swali kuwasha UDI ukiwa una sali unaruhusiwe kwa imani yetu SDA
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Sijaona andiko lolote linalosema tuwashe udi wakati wa maombi! Udi ni manukato kama mengine tu