YAMETIMIAA! TAARIFA MPYA KUTOKA CAF, IBENGE AIPELEKA YANGA KUCHEZA LIBYA, SALEH JEMBE AFICHUA MAZITO UMEONA?
Пікірлер: 28
@MisheckNgapulila2 күн бұрын
Uko sahihi kiongozi hataleo nilikuwa nawa ambia Jamaa zangu timu ya kuogopwa ni tipi mazembe
@reginaldmapunda67023 күн бұрын
Mungu Ndiye tegemeo letu na tunamshukuru kwa yote tunayoyapata na tumaibi letu ni kwamba hatatuacha na machungu.Atatenda kilicho bora kwetu na kutujaza furaha . Amina
@muhammadmuhammad50433 күн бұрын
Hicho Ndio Kitu Muhimu Kumtegea Allah Na Kuhusu Teim Zakiarabu Zinajulikana Na Hata Baadhi Ya Teim Hizo Za African Wanfujo....
@James-sz4ec2 күн бұрын
Sisi yanga tunamwomba mungu tu inshallah tutashinda sana
@MfunjoWabaBoydays2 күн бұрын
Ndugu zanguni niwaulize hivi kiatu kinachonuka unaendeleaje kukitazama si utakikimbiya? Acaneni na vitu vinavyonuka wanaonukisha hivi vitu wanapata faida .Get your good news from the source
@SuleimanChief2 күн бұрын
Yanga cku zote anapata mechi ngumu hata ligi yetu lakini anashinda.
Haikuwa hivyo wkt kila kitu kimeonekana uwanjani inatiwa mipira 10 uwanjani. Yanga mambo hayo wameshayazoea.
@ibrahimalharthi45993 күн бұрын
Ili kupata mafanikio, tegemea kumuomba Mungu kwasababu kejeli na matusi huleta misiba
@daudkondo40693 күн бұрын
Hili bwege Huwa inaiombea Yanga mabaya tuu
@JamesMaiga-z1n3 күн бұрын
Ally Kamwe ana utoto mwingi. Cheo hicho hakimfai maana ni zaidi ya mshabiki Hana ueledi wa Afisa habari,; aanaweka hadi brichi jamani !
@jumannemsengi21953 күн бұрын
Ww nani hutaki awe afisa habari!! Kama vipi jinyonge sasa
@muhammadmuhammad50433 күн бұрын
Nikweli Teim Zote Mzuri ila Tumemsikia Yusuf Kazi Simba Kasaidiwa Pwents 6 Kwa Mechi Tatu Moja Dodoma Jiji Na Azam Kunatim Nimeisaha Hayo Nimaelezo Yusuf Kazi Kioenga Cha Mwisho Kwahiyo Inawezekana Kwasababu TFF Inajuwa Nini Wanafanya Marefa Kusaidia Simba Na Hajaingilia Kati Kuhusu Marefa Kufungiwa Kukemea Na Kuwapiga Fain..
@SalvatoryMtunga3 күн бұрын
Wewe mwuliza maswali ni zero.
@Evance-op4jw3 күн бұрын
mimi nalivoona yanga walishangilia walipoona wamepangwa na timu kubwa zitakazo zitakazo leta upinzani utakao onyesha ubora wa Yanga umefikia wapi na kuibland timu
@DenisNyalus3 күн бұрын
Daa brohter unaongea uharisia na unafundisha unatisha wewe ni nguli
@elvisnzovu82823 күн бұрын
Huyu jamaa ni Shabiki la Simba, uchambuzi wake huwa ni wa kuibeza Yanga
@FundiKami-dv5ix2 күн бұрын
Anajulikana sana km mkia....
@AnthonyDcosta-f3q2 күн бұрын
Hakuna mchambuzi kama huyu Tanzania
@martinSaliboko-z3m17 сағат бұрын
Wandishi bwana wewe ndo wahvyo kwasabu unazingumzia timu zingine hata hizi timu zilisha badirika zinawachezaji wazuri
@costantinestephen25943 күн бұрын
Yanga haogopi , Tumejipanga na tutawashangaza wengi.
@ChingaPambakalii2 күн бұрын
Mmekutana na mizoga raund zote apo ndo mmkaa kwa vidume sasa tuone 😂😂😂
@hassanyassin-ny3qh3 күн бұрын
Ware walio luka luka sio yanga walee. Wale ni nyuma mwiko. Ambao manara alisema awana akili na nguonimwao kumejaa vinyesi. Niwahuni wa ovyootu. Ule niushambaa. Watu wakimataifa km simba awawezi kuruka ruka kwenye droo. Simba nguvu 1.
@salehemsumi6153 күн бұрын
Unakazwa
@mussammanga77913 күн бұрын
Kwani nyinyi mnashiriki ligi gani?
@SalvatoryMtunga3 күн бұрын
Hamna mwana yanga aliyesema tp kundi lina vibonde.
@IddMsongo3 күн бұрын
Wewe kolo hunalolote , wewe si unasoema yanga amefungiwa na caf