#LIVE

  Рет қаралды 20,608

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 47
@laupetpet7779
@laupetpet7779 20 сағат бұрын
Nakushauri mbowe uenyekiti mwachie tundu lisu please nakushauri baba yang
@simonsadala2386
@simonsadala2386 18 сағат бұрын
Kati ya makosa makubwa ambayo CHADEMA wanaweza kuyajutia milele ni kumuachia chama huyoooo muuza alizeti a.k.a Lialia kichwa kibovu kuropoka ropoka ovyooo Kwa mtazamo wangu bora hata angekuwa Heche
@BlandinaLukole
@BlandinaLukole 18 сағат бұрын
Waongo huo mpango amechezesha mwenyewe looo kweli hakuna demokrasia mnatia huruma, Kwan hicho ni chama ama kampuni ya mtu binafsi. Tundulisu amepata mpaka ulemavu kweli wanadamu sio watu. Nimewadharau mno😭😭😭
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 21 сағат бұрын
Mbowe usikubali,muachie chizi Lissu awachanganye usije kuonekana chizi kama lissu. Ukiingia CCM utashinda na uwaziri utapata.Wewe ni mzalendo🎉
@zyelewiloboo
@zyelewiloboo 21 сағат бұрын
Chama kishakua Cha familia endeleeni na familia yenu lisu forever
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 21 сағат бұрын
HIZO SABABU ZA WANAWAKE MBONA HAZINA MASHIKO MUDA WAKE UNATOSHA HAKUNA UMAANA WA KATIBA
@halimamasai2234
@halimamasai2234 19 сағат бұрын
Ndo nashnga kwani bila mbowe chadema itakufa? Mbona Lisu ni jembe jamani
@IgiranezamasunzuYagizimana
@IgiranezamasunzuYagizimana 20 сағат бұрын
Hapana jamani😅😅😅😅😅hakuna cha uimara tindu lisu anaweza
@joelyonah2386
@joelyonah2386 17 сағат бұрын
Lissu is the best men
@balljmushi9599
@balljmushi9599 21 сағат бұрын
Comred,,,,, aweke & jiko la kupkia hpoo kbsaaaaa.
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
Mbowe is diehard❤
@godssevant
@godssevant 18 сағат бұрын
Mh! Hakatae wapi mbowe hawezi acha kugombea ,hizo ni bush beatings , si akachukue tu form makelele yamezidi sasa
@jacksontesha7997
@jacksontesha7997 5 сағат бұрын
Muda wake umekwisha vipi wakati katiba ya chadema inamruhusu kugombea tena.
@JumaMartin-e4v
@JumaMartin-e4v 17 сағат бұрын
Mimi nawashauri viongozi wa chadema kila mgombea atoe sera ku anamuelekeo gani kukifikisha chama kinapo takiwa kufika.haya mambo nani bora nani kafanya nini kupigana vijembe wakat wote chama ni kimoja.mtawagawa wanachama na mtakibomoa chama.mimi ni ccm ila napenda uwepo wa chadema kukichemsha chamachetu kutukosoa napenda sasa mkikibomoa dah nntasikiyika mbona viongozi wote wako vizuri kila mmoja ana uchapakazi wake.hapo nikura tu ndio itsongea wasikilizwe wanachama wanataka nani.samahani lakini niwaxo tu
@AbdulSinga
@AbdulSinga 20 сағат бұрын
Hiki chama kinaenda kubomokq aisee maneno ya kajeli yako mengi sana. Hususan wote ni wanachama mnatakiwa mkijinge chama.
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
Chadema damdam ❤❤
@HumphreyNyiti
@HumphreyNyiti 20 сағат бұрын
Mm nichadema lkn huyu jamaa akichukua form tena asee mm ntashangaa sana
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 18 сағат бұрын
Kuna huyo mzee aliyetoa mfano wa Fedelcasto ni fund wa kuonge sijui anaoitwa nan?
@igulug5450
@igulug5450 21 сағат бұрын
BORA KUBAKI CCM KULIKO KUKAA KWENYE CHAMA KISICHO KUWA NA BUSARA KUSHAMBULIANA KUJENGA CHUKI NDANI YA CHAMA HUYO ABAKI NA CHAMA CHAKE
@melch3097
@melch3097 21 сағат бұрын
Ni uhuru wako
@JeremiasGasperMowo-hi5un
@JeremiasGasperMowo-hi5un 21 сағат бұрын
Mna uhakika kama hao wanaomwomba Mh. Mbowe achukue fomu hawajatumwa na chama tawala? Sipo Kwenye chama chochote ila siafiki huu utaratibu (kwa CDM na vyama vyote vya siasa nchini).
@RobertshijaMakumi
@RobertshijaMakumi 21 сағат бұрын
Nawatakia kila la heri kati uchaguzi wa viongozi ngazi ya Taifa Mungu awajalie
@RehemaAbas-v8m
@RehemaAbas-v8m 21 сағат бұрын
Ninyi ni ccm nani asiyejua? Hapo mnazinguwa tu
@mangasachiragi6201
@mangasachiragi6201 20 сағат бұрын
Mbowe tunakuomba sisi makamanda mwachie lisu nayeye awe mwenyekiti kwa mda ulio Fanya kazi ya chama imetosha achia ngazi
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 20 сағат бұрын
CCM NDIO CHAMA HAWA JAMAA WANAKATISHA TAMAA MIAKA 20 ?????/ NI MWENYEKITI KWELI CHAMA CHA FAMILIA NA WEWE LISSU NENDA CCM KATULIE ACHANA NA HAO VIPOFU WAKIONGOZANA WATAISHIA KUTUMBUKIA SHIMONI ACHANA NAO NENDA CCM WAACHIE VIPOFU HIYO SACCOS. KAMA ALIVYO SEMA MSIGWA. KUMBE MSIGWA HAKUKOSEA.
@AgustaZaile
@AgustaZaile 14 сағат бұрын
Mbowe ni tapeli na chama chake cha kichaga
@BonyMayunga
@BonyMayunga 21 сағат бұрын
Huyu nae ni mgabe ,,,nimeamini madalaka nimatam ccm haiwezi kutoka madarakini,,,tundulisu mmemuania mpaka kugombea urais leo hii umeamua kumpiga hicho chama chenu kinarana
@HabibKhamis-b2x
@HabibKhamis-b2x 19 сағат бұрын
Singidan plus kaskazin let's see battles
@YonaRajabu
@YonaRajabu 20 сағат бұрын
Akunakitu Apo ni porojo tu
@igulug5450
@igulug5450 21 сағат бұрын
WANACHAMA WANACHINJWA WANACHAMA WANAKUFA YEYE YUPO KIMYA TU KAMA MWENYEKITI KUMBE HATUOMBEANI MEMA
@YonaRajabu
@YonaRajabu 20 сағат бұрын
Walewale walokunywa uji wa mgonjwa
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
❤❤❤
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 21 сағат бұрын
*Sina chama cha siasa. Lakini yafaa tukumbushane kwa swali, "Je, ya akina Paul Biya [Kameruni tangu 1982]; Yoweri K Museveni [Uganda tangu 1986]; na Paul Kagame [Rwanda tangu 2000]; au Robert G Mugabe [Zimbabwe toka 1987 hadi 2017] yalianzaje?* *Kisingizio: Kazi nzuri aliyoanzisha bado haijakamilika.* *Afrika yetu haina budi kuchuchumilia kufuata demokrasia ya kupata viongozi wa nchi zake walio radhi kung'atuka, 'timely'; ikiwa ni pamoja na kung'atuka kwa viongozi wa vyama vyake vya siasa.*
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 20 сағат бұрын
HUYO JAMAA HAMNA KITU UTASIKIA KUNJA NGUMI KAMANDA. LEO UNASEMA DEMOCRACY HATA AIBU MIAKA 20??? UKO KWENYE UENYEKITI??? APUMZIKE TU AWE NA AIBU
@ramadhanikassimu
@ramadhanikassimu 21 сағат бұрын
Chawa
@RichardbituroMakole
@RichardbituroMakole 21 сағат бұрын
Chadema ni ccm B,mbowe anajifanya mpinzani,lkn ana mkono ktk chama tawala ,mspo mpitisha lisu chadema itakuwa imekufa,na lisu akiache hicho chama .maana mbow anashinikizo.
@BonyMayunga
@BonyMayunga 21 сағат бұрын
Acheni uchawa ikulu mtaisikiatu kwenye maredio
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
❤❤❤❤
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mcharo255
@mcharo255 20 сағат бұрын
❤❤❤❤
Phina ft Harmonize - Bye Bye (Official Lyrics Video)
3:07
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
USA strikes Russia / Zelensky's statement on negotiations
15:12
NEXTA Live
Рет қаралды 477 М.
UTAPENDA; UNYAMA WA FRIDA AMANI KWENYE LIVE PERFOMANCE
16:05
Millard Ayo
Рет қаралды 883
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН