Amina..tunafiatilia kipindi hikikwa makini,ni muhimu..Mbarrikiwe iwa utumishi huu.
@user-fd1yj9gn1t12 күн бұрын
Martha Togoro mbarikiwe watumishi wa Mungu tupo pamoja mafuatilia
@juliuskitomari305711 күн бұрын
Ambapo naweza nikahitaji muda kujibu ni habari ya utatu lakini hayo mengine yaliyobakia ni uongo mweupe 1.Yeye hawezi kuwa Elia kwa maana Yohana ndiye Elia 2.Hakuna mahali Biblia ilisema nyoka alizini na Eva,ni uhongo mweupe 3.Habari ya wanawake napo anapotosha tuu