MIMI NA WEWE TUSHAMALIZANA 'NCHAPEEE' HILI NENO KWAAJILI YA WATU WALIOSOMA SIJAISEMA MADRASA
Пікірлер: 12
@rajabtully36094 ай бұрын
Da ongera baba endelea kutupa madin mungu akupe umri mlef wenye manufaa
@ExcitedEel-bb3nz7 ай бұрын
Jamaa anajuwa sna kaswida ipo kitaalam sna mwenyew nlkuwa cjailewa lkin asaiv ipo vzr
@SanaKhan-fh8et2 ай бұрын
❤🎉
@adamboyka31999 ай бұрын
Mkiambiwa msome mnakataa jamaa ana mbinu nyingi kwenye qaswida za kuwachapa wapinzani kiufupi tanzania hii jamaa hawamuezi kuanzia sauti mpka utunzi kiufupi hawa jamaa wanapiga kama jet lee😅😅
@KhafidhmzeeAwesu-rs3gm9 ай бұрын
ngoz hunakaswid mipasho mengi namkubali San Hamza kwabongo
@user-yp2rw2dy5r6 ай бұрын
Apo anasemwa islaa😂😂😂
@Twahamwela-ch5lz8 ай бұрын
Hakuna mwanazuon liyefundisha kukhitalifiana waislam kwa waislam ila allah atakulipa kwa mujibu wa nia yko qaswida ina majungu kusemana vibaya tu upuuz mtupu
Kikao ndo habari ya mjini kwa asaivi hana lolote uyo
@user-cc7us2tc7n8 ай бұрын
Yani dah iyo kaswida aibu tupu ukiskiliza
@user-gi2jv4kl7s8 ай бұрын
Ngoziiiiii mwamba umewanyoosha halafu umewapa talaka dah?? Wapemba wabovu mziki baridi kasida zao mbovu ustadhi wao farhani kasida zake zinafanana sauti moja ndoiyo iyo anabadili Sha mashairi tu
@Twahamwela-ch5lz8 ай бұрын
Huna elimu yoyote ni upuuzi tu uliokuwa nao nyie dini mnaichukulia simple nyie gombaneni kisa midufu peaneni mipasho halaf hiko kipande chenu (mchape) ndo mtakuja kuchapwa nacho siku ya kiama nyie ghazal na khalid ibn lwaleed labda mumuombe msamaha allah na mkubali kuwa kitu kimoja km waislam na muondoshe ikhitilaf kati yenu na mtakasiane nia