🔴

  Рет қаралды 69,841

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 328
@globaltv_online
@globaltv_online 2 жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Naipenda sana global na milardayo TV za uhakika bsun wanaongea uongo mwingi sanaaaa
@yusraabdallah4288
@yusraabdallah4288 2 жыл бұрын
Wigi ni dhambi amebadilisha maumbile aliyo umbwa kwenye dini yetu ya kiislaam
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@margarethpolepole7438 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@idaaman7489
@idaaman7489 2 жыл бұрын
ana confidence in beyond. honestly siku yke ipo ya kuunbuka
@gracekadzo1767
@gracekadzo1767 2 жыл бұрын
Kabisa
@noraazan9124
@noraazan9124 2 жыл бұрын
Ukimsikiliza huyu kaka vizuri utagundua ni muongo sana
@halimakindamba4883
@halimakindamba4883 2 жыл бұрын
mmmmh Huyuuu Hata Hajuiiii WHAT IS LOVE KHAAAA😢😢😢😢😢
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Tapeli huyu
@celline3148
@celline3148 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akusaidie Diva ulipoangukia Mungu akupe macho ya Roho kilio kilichoko mbele yako ni kikubwa sana mdogo wangu Mungu Mwema akusaidie.
@gracekadzo1767
@gracekadzo1767 2 жыл бұрын
Kwa kweli amsaidie
@celline3148
@celline3148 2 жыл бұрын
Yaani tena haraka kabla siku za maombolezo hazijamfikia
@davidvictoriousdv
@davidvictoriousdv Жыл бұрын
Yamemkuta sasa, maombolezo.
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 жыл бұрын
Duh muogope mmungu ww kama pesa mbona ww ujitibie kwanza uwe na pesa .dawa kama ugojwa sawa ila. Sijui utajiri au mtu kuolewa ni uongo hiyo anajua Allah
@alwiyad1977
@alwiyad1977 2 жыл бұрын
Misri hakuna hadharal maut, ni mji uko yemen na wa Yemen wanajua duuu jamaa muon go but diva attracted her style kicha Kama yeye
@emraanmansour8568
@emraanmansour8568 2 жыл бұрын
Kweli
@mwadawaamani2432
@mwadawaamani2432 2 жыл бұрын
Abduli hayo mauaji sasa
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 жыл бұрын
khaaaaaa kaka unamahanisha haumutambuwi Diva 😂😂😂😂😂
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 2 жыл бұрын
Wanaume Mungu anawaona
@chantalharakandi2576
@chantalharakandi2576 2 жыл бұрын
Apana kakangu wigi na mtandio tofauti wewe usisemi ivo apo hauko sahihi ni kumuombea pole pole tu Allah amuongoze
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 2 жыл бұрын
Unajiita shekhe halafu unasema unasema unasema unawasaidia watu kuroga,waliorogwa.sijui mapenzi Allah atuhurumie
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 2 жыл бұрын
Kwendraaaaaa.ndio unapenda Sana umaaarufu.acha uongooooo.
@serahrobath7685
@serahrobath7685 2 жыл бұрын
Umeongea vizuri
@zainabusabas7421
@zainabusabas7421 2 жыл бұрын
Mganga msanii kwa ushekhegani kutwa kuloga wanawake ulale nao mfyuu na wanawake wengi tunaingia mkenge kwakupenda walamba lips
@ahyatibenn5719
@ahyatibenn5719 2 жыл бұрын
mnafiki mkubwa, anasahau anavyowanyanyasa wanawake kwa kutumia dawa kisha anawalala..
@binhussain3445
@binhussain3445 2 жыл бұрын
Tobaaaaaa
@zainabufeka87
@zainabufeka87 2 жыл бұрын
Huyu shekhe ubwa ubwa tuu anataka utamu kwanza niaibu mwanaume waivi eti sheikh tumuogope allah
@RajatSharma-uq7pz
@RajatSharma-uq7pz 2 жыл бұрын
Abdul ww ni shehena sio sheikh, Una halalisha wig
@maisarah6819
@maisarah6819 2 жыл бұрын
Kuusu kajala na harmonize Sheikh nmekuelewa.
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 2 жыл бұрын
Vyombo husika vichunguze na kumchukulia hatua huyu abdul, inaoneka anatumia uganga wake wa kienyeji kama sehemu ya kuwapata wanawake wenye matatizo/emotional na kuwalaghai kisha anawatumia kingono. Hili ni swala ni very serious.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Litapeli hili
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Abdulazaki anasauti ya kuchombeza akaerewa na wadada lkn anaonekana ni mtu mapenzi sn anapenda sex na anaonekana ni muongo mnoo kuwadanganya wadada🤞
@dullah__theking9529
@dullah__theking9529 2 жыл бұрын
Sema huyu mwamba ako na Akili mingi sana🙌
@dismasstanslaus5985
@dismasstanslaus5985 2 жыл бұрын
Wewe unaakili sana ,jamaa yupo smart mno
@ruckiadady3812
@ruckiadady3812 2 жыл бұрын
Dah
@maryamalhajri5886
@maryamalhajri5886 2 жыл бұрын
Misri ni Egypt n.a. hathar mout ipo ndani ya yemen
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 2 жыл бұрын
Kwa sifa za diva hio mimba angekua nayo kweli nahisi angepima mkojo live akatuonesha results anyway zaidi nyinyi ndio mnajua na Mungu Namalizia kumpa pole kama kweli
@berthamahangila4462
@berthamahangila4462 2 жыл бұрын
Hakuna cha mimba hapo ni drama tu
@ummySheikh72
@ummySheikh72 2 жыл бұрын
Hakuwa na mimba mipango yao tu ya kutaka kupiga pesa mjini
@jennylunsinde9770
@jennylunsinde9770 2 жыл бұрын
Jamani nina swali. Je navipi mwanaume ambae hakubali kutengenezwa
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 жыл бұрын
Eti "MIMI NI SHEIKH, Wajua maana ya sheikh wewe,, Acha Bangi zako weweee!!!
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 жыл бұрын
TAPELI HILI NUMBER ONE
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Kabisaa ni tapeli mkubwaa
@zulfaomari8555
@zulfaomari8555 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه 2 жыл бұрын
Unaunjanja sana we mganga kwakujitetea hujambo na kutunga uongoo acha hizo tabia 😂😃😃😃😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
@bakariomari8758
@bakariomari8758 2 жыл бұрын
Huyu kaka nimuongo na hajui lolote kuhusu uislamu na amuogope mungu. Kwanza uislam ni haramu kuvaa wigi. Alafu hadharamut haipo misri. Huyu ni conman wawazi
@raghad.2801
@raghad.2801 2 жыл бұрын
Kweli kabisa tapeli shek gani
@maalimabdhuli6213
@maalimabdhuli6213 2 жыл бұрын
Kabisa muongo sana, huo mji uko Yemen na yeye anasema uko Misri.
@fatmaabdul2712
@fatmaabdul2712 2 жыл бұрын
Huyu ni taperi kabisa mshezi kabisa
@njumamussa401
@njumamussa401 2 жыл бұрын
Hongera kwa kufunza jamii
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 2 жыл бұрын
Jamaa amekili “ hawezi kuishi maneno yake 100%”
@zoozzoz9879
@zoozzoz9879 2 жыл бұрын
Mmmmh...Tapeli wetu
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Mm nafanya hospital mahusiano yangu mengi nayapata hospital ivyo ni kawaida
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 жыл бұрын
Ebu acha upumbavu wewe usijiite shekhe kbs juu ya huo upumbavu wako au hujui maana ya shekhe.huyu jamaa ni Mjanja Mjanja sanaaa kiukweli na ipo siku atapata aibu hatakuja kuamin ktk maisha yake
@hanifa9153
@hanifa9153 2 жыл бұрын
Tena mchana kiama acha ajimwambafai iko cku yatamtokea puani hata amini muache azidi kpoteza hao wanawake wallah ni mbaya sana kktana sana na mwanaume anaejifanya kama ivi alafu hana imani yakmuogopa mola wake ee ogopeni siku mtakae rejeshwa kwa Allah dunia ni sitarehe ndogo yenye kpmbaza
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 жыл бұрын
@@hanifa9153 kbs jmn
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 2 жыл бұрын
Huongo mtupu unaachaje mwanamke Hospital 🏥 eti ukutaka kusikia wee kijana achana nahizo
@madelineayo5717
@madelineayo5717 2 жыл бұрын
Sheikh nimemkubali kwenye dakika 5 za kuachwa🤣🤣🤣
@hamidahassan1282
@hamidahassan1282 2 жыл бұрын
Tiba kama tiba
@janethomary2005
@janethomary2005 2 жыл бұрын
Kwakua wew Huna Acha watu wawe namaisha yao bwana
@SaidSaid-ef8md
@SaidSaid-ef8md 2 жыл бұрын
Mwanangu nimekukubali kwa 100% hivo ndo mwanaume anatakiwa awe, we kamanda wangu kabisaaa 👍
@felistersmejumaa5188
@felistersmejumaa5188 2 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 2 жыл бұрын
@@felistersmejumaa5188 😅
@salomeandrew4148
@salomeandrew4148 2 жыл бұрын
@@felistersmejumaa5188 😀😀
@aminahassan3588
@aminahassan3588 2 жыл бұрын
Hadhramaut iko yemen shehe
@faridamhunga7548
@faridamhunga7548 2 жыл бұрын
Nyoko mtandio na wig n vitu vi2 tofaut
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Wewee usililembe wee jina mganga🤣🤣🤣🤣🤣ww ushaitwa mganga wa diva🙌mange et mganga wa diva🙌🤣🤣
@mishiabdu7478
@mishiabdu7478 2 жыл бұрын
Dah hy hajielewi
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 жыл бұрын
Safi sana hii ndio dawa ya diva alikua anaringa sana hapo diva utaimba haleluya 🤣🤣🤣utasoma no my dia hakuna ndoa mama hapo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@fatmarashid3137
@fatmarashid3137 2 жыл бұрын
Uwii sheikh abdulazak mbona hapo umetukoroga?
@btylove1870
@btylove1870 2 жыл бұрын
Huyu baba hapana aise 😅😅😅
@happymrema6728
@happymrema6728 2 жыл бұрын
Ni kweli
@shumesaalhabsi1722
@shumesaalhabsi1722 2 жыл бұрын
Hata mimi nataka namba ya abdul razaq ninamasuar mengi sana
@queentanitah1346
@queentanitah1346 2 жыл бұрын
Hadhramaut haiko Misry muongo wewe. Hadhramaut iko east-central Yemen, on the Gulf of Aden. Waongopee hao waliokuwa hawakusoma na hawajui.
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kwahiyo inamaana hiyo psychology hajasoma. Yaani nisome Mzumbe Morogoro alafu niseme iko Mwanza.
@sumeyaahmed4187
@sumeyaahmed4187 Жыл бұрын
@MissHaffy. والله نحنا اليمن هههههههههههههه كذاب هذا الشيخ
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 жыл бұрын
Kuusu umarufu apana sabab nilimjuwa uyu Abdul razak Toka zamani sio kwasababu ya diva
@kulway4669
@kulway4669 2 жыл бұрын
nimecheka sana
@chemstry409
@chemstry409 2 жыл бұрын
Hahahahahaa...huyu jamaa TAPELI...kweli...😆😆
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 жыл бұрын
yapeli mukubwa uuuwi 🤣😂😂😂🤣🙌🙌🙌🙌
@honeybaby7120
@honeybaby7120 2 жыл бұрын
Kweli jaman
@husnamadai7052
@husnamadai7052 2 жыл бұрын
Mwenyewe hajielewi kwenye mahusiano mbona hukumtengeneza Sabrina awe bora ulimtengeneza kwa manyanyaso
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه 2 жыл бұрын
Hapo sasa wanaomsikliza huyu shubamiti wamsikilize tuu ila so kwangu bd hajanifunza kitu hata
@veronicapotas5706
@veronicapotas5706 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nyie mi sina neno ngoja niendelee kuenjoy na usingle
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Huyo ni Doctor Wazimu ukimuangalia hali yake anatakiwa akajitibu kwanza halafu ndio ajiite Doctor wa mapenzi kuna wanawake wa napenda kutumia moyo pekeyake bila kutumia akili Misiri shele gani Misiri kubwa watazania mnapenda kufeki ampendae mke wake haondoki hata kama inauma inauma kwako wewe na yule alieubeba ujauzito huo ni uongo
@boubabizo246
@boubabizo246 2 жыл бұрын
Wewe akikufuata lazma uwende box. Aca uwoongo. Simnapenda wanaume wakulamba lips.
@mashaurilameck1327
@mashaurilameck1327 Жыл бұрын
Mkubwa mungu tu punzi na chakula umesikia jina lako apo acha izo
@WinWilly4162
@WinWilly4162 2 жыл бұрын
Huyu huwa haponi kwenye mapenzi ndo maana anaishia kuumiza watoto wa watu
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 жыл бұрын
Hyu kaka mjanja sana akili nyingi umshindi kuongea yupo na confident safi sana kichwani yupo vizuri kwakweli😂😂😂 yote wanayomshutumu binadamu wote wanafanya au wanaume wote wanafanya binadamu atujatimia ,. Mjanja sana bid up mwandishi pia umehoji kirafiki
@zayoumaus8235
@zayoumaus8235 2 жыл бұрын
Asalalaa😂😂Eti wingi ni mtandio😂😂😂🤣🤣😂🤣😂shekhe shikamoo
@zuwenasaleh9613
@zuwenasaleh9613 2 жыл бұрын
Hahahaha hatari voo
@Assam8885
@Assam8885 2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅asalalaa nimecheka😅😅
@joleenmasha
@joleenmasha 2 жыл бұрын
Eti ku sacrifice mwili wake kwa kuwa fame? Watu hufanya hivyo, huyo jamaa ni mjanja sana
@berthamahangila4462
@berthamahangila4462 2 жыл бұрын
Dr wa mapenzi huwez ht kumkata kucha mkeo😀😀😀😀😀huyu ana maigizo
@felistersmejumaa5188
@felistersmejumaa5188 2 жыл бұрын
Maake kwanza hapo ncheke mie 🤣🤣🤣 Eti Diva alipendewa shape nae 🤣🤣 kaka muongo ww alafu mjanja kweli
@KhadijaKhadija-di6ch
@KhadijaKhadija-di6ch 2 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaahahaahahahah
@ashazuber6548
@ashazuber6548 2 жыл бұрын
Khanisi barazuli wahed mfyuuuuuuu umemtelekeza ndugu yetu nyoko ww
@safiasaleh669
@safiasaleh669 2 жыл бұрын
Kweli ata mimi msikilizaji nnamadeni kibao na nnawadai watu kibaooooo
@alsam4881
@alsam4881 2 жыл бұрын
Huyo jamaa ni mjanja, muongo na ni tapeli mkubwa Shekhe ukoko.
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 жыл бұрын
wanaume waki bongo khaaaaaa mimi na Mange kimambe niwazungutuuu 🤣😂😂😂😂😂😂
@clintonmathias4603
@clintonmathias4603 2 жыл бұрын
Liongo mweee so iyo compn imtak wem wamtumie yey kwa umaarufu gan
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 жыл бұрын
kaka uyu anachow kalikabisa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 2 жыл бұрын
Hilo jina la sheikh tafadhali mslimuite mwiteni jina lake
@ashahassan1877
@ashahassan1877 Жыл бұрын
Nikweli huyu nibaba nikaka mnajipatia madhambi bure alafu mtakuja juta
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 2 жыл бұрын
Nani anampenda mwenzake zaidi ya inajulikana.
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 2 жыл бұрын
Dah!🤣🤣🤣 au basi!
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Жыл бұрын
Mtu mwenyewe wa kupendwa yukuwapi hana mpango kwanza hayo macho gani
@ashahassan1877
@ashahassan1877 Жыл бұрын
Ubaya wake Nini wanaume wote waongo wakweli wapo peponi tu huyuni mume boratu natamani awe mumewangu ilacjui wapi nampata nanita muheshimu Sana nawa Toto wake pianitawapenda chai nitakuwekea shekhe njoo kwangu😄😄😄🍉
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 2 жыл бұрын
Huyu kijana anaonekana sio mkweli. Uso unasema mengi.
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 жыл бұрын
👌
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه 2 жыл бұрын
Muongoo kamuacha diva jamn loooh
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 2 жыл бұрын
HUWEZI KUMTENGENEZA MTU ,,,KWANZA MNAINGIA KWENYE MAHUSIANO KWA HOBBY NA DESTIRI ZA MAISHA ZIENDANE KIDOGO,,OTHERWISE KAMA WAZAZI WAKE WALISHINDWA KUMTENGENEZA NDIO UTAWEZA WEWE,,,ACHA UONGO WEWE.....ULICHOKIFUTA UTAKIPTA
@guenterernst5481
@guenterernst5481 2 жыл бұрын
Kwani diva amekukosea nini hata umuache na anakupenda sana hata haya huna mrongo mkubwa unachezea wanawake KWA vile unajiona Handsome mbaya wewe
@gloriamkude7172
@gloriamkude7172 2 жыл бұрын
Kakayuko sawa big up
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 2 жыл бұрын
yaani ukiona mwanaume anaongea ongea hivyo ujue hamna mtu hapo yaani hiyo mdo sign ya kwanza ya kumjua tapeli huyu bro yupo vizuri tu kama binadamu ila mjanja mjanja sana kwenye mapenz hayupo real...
@marthagodson4447
@marthagodson4447 2 жыл бұрын
Duuuuuuuuh haakuna mume
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 2 жыл бұрын
Matapeli wamekutana eti bank zinadawaiwa maneno gani hayo
@shamilaalhabsi909
@shamilaalhabsi909 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hadharamaut ni Yemen vp imekuwa misri doooo uongo umedhihirisha😀😀😀
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Yn Kaka tapel uyu htr
@ashaally6993
@ashaally6993 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Diva kuchamba kwingi Umewezekana
@Pedeshee01
@Pedeshee01 2 жыл бұрын
Kupenda walamba midomo,bora mimi nije kukuchukua aisha
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 жыл бұрын
Ma-love hauna na hauyajui halafu wajiita dr LOVE pumbavuu kafiee hukoo
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Kwan ni kweli ndoa chalii🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ 🤣🤣🤣Ndoa za wasanii Kama muvi
@irenechris5418
@irenechris5418 2 жыл бұрын
Siasa za uongo nyingi sikupendi
@fatmareshed9975
@fatmareshed9975 2 жыл бұрын
Huyu sitaki hata kumsikiza jongooo
@ahmadzubeir3363
@ahmadzubeir3363 2 жыл бұрын
Sheikh mimi mwanafunzi wako naona umeniacha kipindi kireefu. Nituie ticketi ya ndege nije tufanye kazi kama zamani Sheikh wanguu.
@zulfaomari8555
@zulfaomari8555 2 жыл бұрын
Tatizo huyu umalaya na kujiramba2
@khadijajuma1912
@khadijajuma1912 2 жыл бұрын
😂😂😂kwakwel dakika 5 hii kitu ni pasua kichwa aiseee
@pracxedismathias5555
@pracxedismathias5555 2 жыл бұрын
midomo na macho tuu vinakutambulisha kuwa wee ni katapeli fresh🤦
@Lewinglovbi6699
@Lewinglovbi6699 2 жыл бұрын
Umesema ww ni doctor wa mapenzi Leo umeumbuka ndugu yangu 😝😝😝 katika mapenzi usijisifiye eti upo pingwa wa mapenzi no
@raiyanmohd8261
@raiyanmohd8261 2 жыл бұрын
Mh mtihani huyu mapepe kwenye uislamu Hakuna kitu mahusiano yy ana shajiisha zinaa hana ushehe wala nn ni ao ao vijana wa mtaani
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 2 жыл бұрын
Duh jamaa kamba kaali. Kasomea misri sehem inaitwa Hadramout. Misri na hadramout wapi wapi boss
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Hiyo ndiyo kazi yao waswshili kuachana hovyo kuoana jumamosi kuachana jumapili hicho kwao siyo kitu cha ajabu sana
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 2 жыл бұрын
Usitukane wakunga uzazi ungalipo alaf kuoa na kuacha ni tabia ya mtu sio uswahili
@berthamahangila4462
@berthamahangila4462 2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀eti shape😄😄😄😄diva ana shape gan, baba mwongo huyu
@binhussain3445
@binhussain3445 2 жыл бұрын
Mapenzi ndio yalivyo Dada yule unayemuona mzuri mwingine anamuona vibaya sasa Hayo ndio Mapenzi..Halafu shape ya Mwanamke inaonekana vizuri akiwa uchi🥰🥰🥰
@furahahappiness110
@furahahappiness110 2 жыл бұрын
@@binhussain3445 Apo kwanza nicheke 🤣🤣🤣🤣 Eti shepu ya mwanamuke inaonekana akiwa uchi
@zayanaalmarjibi4254
@zayanaalmarjibi4254 2 жыл бұрын
Umri wa kuzaa umeshapita, na mwanamke akutembea na wanaume wengi si rahisì kuzaa
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Жыл бұрын
Mwanaume mzima ati kusema ati naogopa kurogwa huna mpya mbona wewe unawaroga wanawake ili wakutake
@annakattoa7502
@annakattoa7502 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 jamani Mganga huyu ukimsikiliza usiwe seriouz ww furahi anaongeza mda wa kuishiii ujue yaani nacheka mbavu sina hapaa
@rayrayndiema
@rayrayndiema 2 жыл бұрын
😂😂😂
@nemapare3611
@nemapare3611 2 жыл бұрын
Huyu amepotosha umma wa kiislamu. Wigi katika sheria sio stara bali ni haraaam.
@beatricerading5984
@beatricerading5984 2 жыл бұрын
This guy is a real womaniser,Penda yeye Sana..
@guddenhazard6686
@guddenhazard6686 2 жыл бұрын
So you love kwasababu ni womanizer?
@reyyathu8978
@reyyathu8978 2 жыл бұрын
What do you mean lol why are you contradicting your statement..is being a womaniser something to be proud of .jinga
@samiratahir9815
@samiratahir9815 2 жыл бұрын
Diva kauvaa mkenge
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Mume wa Diva Afunguka | "Mwanamke Kuacha na Mimi ni Mjinga"
25:45
Malaysia's Minister Says Growth Set to Surpass 5% in 2025
28:42
Bloomberg Television
Рет қаралды 32 М.
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19