#ShajaraCloudsTV inamleta mmoja ya wakongwe wa muziki wa Hip Hop Tanzania Rashid maarufu kama Chid Benz ambaye anapiga stori na Babbie Kabae kuhusu mambo mbalimbali
Пікірлер: 525
@AbdikadirHussein-mb5ni9 ай бұрын
Chidi benz you are so bright my brother. May Allah guide you to the right path
@abeidali69789 ай бұрын
👍
@FredrickSimba10 ай бұрын
Kazungumza mafumbo mengi yenye maana kubwa sana, Kila kitu kina sababu katika maisha ya kila mtu i hope kila kitu kitakuwa sawa
@nathanjustine397310 ай бұрын
Siku moja mfanyieni interview Mama'ake Chid,Maza atakuwa ana mengi sana ya kuongea maana sijawahi kusikiliza interview ya Chid akamaliza bila kumtaja Mama'ake
@trendstv684810 ай бұрын
Dear God if it pleases u, please let this soul heal🥹 Best interview, na hamna mtu anaongeaga vitu vkubwa na vya mafumbo sana kama Chid Benz namuelewa sana huyu bro💪💯
@francobravotheforester5429 ай бұрын
Before he started to cry 😢😢😢, I cried....... touching story, pale alipobeba ndoo, mama yake akalia sanaaaa
@tidesmwakinyuke863310 ай бұрын
That sad! also I cry. God protect U Chid
@JESHI1079 ай бұрын
WENYE AKILI YA KAWAIDA HAWATAMUELEWA #ALLTHEWAY FROM 🇺🇸🫡 # CHIDIBENZ
@Hm024479 ай бұрын
One of the best shajara interview...he still got it... anahitaji msaada kidogo tu atarudi kwenye mstari.
@ONJAHWorldwide9 ай бұрын
BEST INTERVIEW OF ALL THE TIME, HERE IN TZ
@abubakermachatha18769 ай бұрын
Sauti na visuals haziendani. Clouds ilivyo station Kubwa wameshindwa kazi. Mumezingua sana
@mamamwajei87899 ай бұрын
msaada mkuuubwa mtu atakaompa chidi si kumpa pesa,,,ni kumuombea Kwanza ili kumnasua ktk kifungo Cha mihadarati,,,akifunguka akiwa free kabisa ndipo atakapoweza kujisimamia....kifungo Cha ulevi kina mtesa na kinatesa sana familia zetu.....Kuna watu wapo kwaajili ya kuchukua nyota za wenzao wanatumia na wanatajirika wao na kuwatwisha wenzao mizigo mizito kama hii...Kwa jina la YESU KRISTO chidi ufunguke
@Chombezaflava9 ай бұрын
great of all time chid benz ana powerfull word kuwahi kutokea
@AnordNgimba10 ай бұрын
Ukiwa unaongea ukweli dunia aikutaki inataka watu waongoo😢😢
@philemonmartine731710 ай бұрын
King Kong the best ever👊 best interview
@joycekingaz51710 ай бұрын
Kabae your the best 📌
@aishasaid94769 ай бұрын
Life is spiritual, if you know you know, music life is all evile
@chachajoseph137910 ай бұрын
Kiukweli ukisikiliza hii interview ni very spiritual kunavitu vingi vya sirini katika mziki vya utumwa na ni ngumu kuviepuka ukiwa katika Hilo eneo na anaamini kwenye mziki unaweza ukawa kiumbe wa ajabu tofauti na mtu wa kawaida kuna influence nyingi sana katika mziki zinazoweza kubadilisha maisha yako na ukawa the whole different person ni huzuni sana😢
@mackjr529110 ай бұрын
FA, AY,FIDQ,MIKE T N.K hawajabadilika haya ni maisha bunafsi
@chachajoseph13799 ай бұрын
@@mackjr5291 ndo maana nikasema mziki unasiri kubwa sana na unavitu vingi ambavyo ni influence ya kukupoteza ni ngumu sana Kila mtu kuweza ku manage bila shida mfano Ray c ,dudu baya na wengine wengi wamepoteza muelekeo kwa hizo influence unaweza ukamlaumu ila kasema ukweli kwamba unapokuwa mwanamziki tena staa unajiweka karibu na majaribu mengi tena mabaya kuyashinda inahitaji nguvu ya ziada
@naifathassan26079 ай бұрын
@@mackjr5291walikubaliana na hali bro ila industry ya mziki ina mengi
@gazzomaster946210 ай бұрын
Wasanii chipkizi mnao shobokea ustar msikilizen chid Benz Kwa jicho la pili kuna kitu anamaanisha ni fumbo kubwa
@saluuhans9 ай бұрын
Chid Benz alimuumiza Rashid apa ndio utaamin kama huyu jamaa ni Genius, that the reality ya maisha yetu tunayoyaishi USHETANI NDIO UNAUMIZA UHALISIA WETU Ukirejea kwenye vitabu vya dini Ndio utaelewa ChidBenz amemaanisha nini.
@SwaleheAlly-d9u10 ай бұрын
Hii sio interview kwangu ni movie
@khalidsaid502210 ай бұрын
Chied kazungumza kwa mafumbo sana! Yahan Rashid alimuunda child Benz harafu child alimuumiza Rashid jamaha anaongea point sana
@wahidkimara748210 ай бұрын
Chid he is one of the best artist hakuna msanii mwenye uwezo kama chid Chid anataka msaada tena msaada wa mwanasaikolojia wa hali ya juu then akipata mtaji arudi kwenye game k I swear east africa itasimama
@fadhiliyusuph519510 ай бұрын
Kurudi kweny game hawez kuwa km zamn dada
@queenlaty678810 ай бұрын
Haswa
@bainolatino34129 ай бұрын
@@fadhiliyusuph5195unaongea hivo we kama Nani choko wewe
@JulianaJackson-nm7te9 ай бұрын
Chid Msanii ninaempenda from the scrach.pamoja na changamoto zote ila Akili yake bado iko vizuri.madawa sio Mazuri Mungu Asaidie aache bado Tunampenda
@silvestarstanley407310 ай бұрын
Daah napenda sana anavojibu interview chib benz kma husikilzi uwez kuelewa
@husseintwaha173710 ай бұрын
Huyu kijana kama ingelikuwa taifa lenye maono na watu wake basi mtu kama huyu Chid ilitakiwa wamsaidie
@ramsojimmykelly337910 ай бұрын
Unavyo fikiri chid ajawahi kusaidiwa?
@kudoja_fish_shop959210 ай бұрын
Sikio la kufa hilo shida hana nidham ujeur ujuaji
@mansa_islam989810 ай бұрын
@@kudoja_fish_shop9592😂😂😂😂 eti sikio lakufa sio mchezo
@nassoroomary262110 ай бұрын
Sure kaka umeongea sana
@ridhiwanabass358610 ай бұрын
Asaidiw mara ngapi bwana
@abasmwika34329 ай бұрын
Dah mchizi yuko high vibaya
@ahmedahzab94399 ай бұрын
The skills that uyo mfanya Presenter show is out of the proffional🤍 salute.
@MeckzJuma10 ай бұрын
❤this interview chid anaakilo kubwa Sana daaah😢😢
@esnethephraim792810 ай бұрын
Uyu kaka ana akili sana jamani. Mungu amponye jamani
@nurukhamis745410 ай бұрын
Nampenda Chidi mwema kweli
@teddymaliatabu20399 ай бұрын
Chidy ana maumivu makali.... yan ayavumiliki muachen tu awe ivo... bebi n professional mtangazaj mwngne hamuwez chidy... uksikiliza utagundua chidy anasauti ya rohoni...
@Rubytrendingtv25510 ай бұрын
Chidy kwanini anakata tamaa sasa😢😢😢
@RainJohn-w2l10 ай бұрын
Hii imeniuma sana ila hata kama hatuna cha kumsaidia tumuweke kwenye maombi yetu kila siku😢
@ramladhire10 ай бұрын
Kabisa has alot of pain , na vile pia watu wanamdhulumu nyimbo zake
@seifdachi715810 ай бұрын
Chidi Bado anahitaji usaidizi' Mungu amsimamie sana 🙏
@mackjr529110 ай бұрын
Self recognition ndiyo wengi tunakosa ndugu, hata tupewe nn kama hatuamui kutoka ndani ya mioyo yetu hakuna kitu
@josephatmathiasgalagalabuh7869 ай бұрын
Oh. Chid Anamlilia mama akiwa hair kwa uchungu.
@kareemrajab4419 ай бұрын
It's a GENIUS
@Swaahib-i7n9 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu amuokoe Chid awe Rashidi
@NDIZIMEDIA10 ай бұрын
Interview Bora
@willydangote409510 ай бұрын
NIMEMPENDA MTANGAZAJI ANA CONFIDENSE SANA😂😂😂MAANA KUNA MDA UKU NILIKUA NAHISI CHID ATARUSHA BANZIII
@rehmakondo9 ай бұрын
Yani apewe maua yke, me nisingeweza😂😂😂
@otiliamethodokello82829 ай бұрын
Itoshe kusema binadamu wabaya
@thelaoban62369 ай бұрын
Best unscripted interview! Dada umejitahidi kwa Chidi the G.O.A.T 🐐
@tariqahmed40559 ай бұрын
Our brother’s problem isn’t drugs and never was this issue is mostly based on some illiminati shittt and if you listen carefully you’ll understand!!!!
@adrianohyerapsychologist61449 ай бұрын
dah aisee
@digital-d2t10 ай бұрын
Unga ni hatari sana. Daaaaah
@bainolatino34129 ай бұрын
Usiombe hata kuuona,usikie Tu na Bora urogwe chizi au ufe sio kukuroga uvute unga ni zaidi ya hatari yn sijui hata nikuambiaje
@mikemutabuzi366510 ай бұрын
Chidi kapagawa na huyu demu plus alichokunywa ama vuta ndo maana yuko hivi😂😂😂. This is a man love😂😂😂
@JumaKimanga10 ай бұрын
Big no HUYU Yuko kwenye tiba ya methadone ndio maana ana kuwa hivyo
@hassanbakari452510 ай бұрын
CHIDI HAFANYI IVO BILA KUPEWA GO AHEAD,,,,KUNA ITVW UNAWEZA UKASEMA HUYU GENIOUS...
@abrazo263910 ай бұрын
Ndani ya pumba anazoongea kuna ukweli wenye maumivu anauwasilisha😢
@estermartin92189 ай бұрын
Naku respect brother maisha yangu yote
@mimazcollectionmimaz887410 ай бұрын
Chidi twamkubali lakini daaahh sometimes huwa ana vitu vya ajabu kweli...imagine anavyo zungumza kama mlevi kwenye interview kubwa kama hii ya clouds
@bainolatino34129 ай бұрын
Ni kweli lkn kuna waswahili kama Mimi na wewe walimtengeneza chid huyu
@HajiGolie10 ай бұрын
Nimejikuta nakosa Nguvu ghafla 😢
@onepeakprime9 ай бұрын
26:30 jamani Chid Benz ameumizwa sana hadi huruma 🙏
@farishatyga3739 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi chidi🥺umejua kuniliza😭💔
@SalaSalumu9 ай бұрын
Love you chidibenz mungu amsimamie
@ramadhanisakalani837210 ай бұрын
😂😂😂😂😂 chidi mme mlisha nini mnyanganyeni mic 😅😅 mpenz yana umaa sana
@kombakarata18849 ай бұрын
Daaah aiseeh 😢😢😢 majanga kweli yani
@abiboseleman164910 ай бұрын
Fact yeye yanga nani kawahi kufanya interview kavaa jez❤
@bainolatino34129 ай бұрын
Hakunaga
@yuakil62689 ай бұрын
Interview ingekuwa nzuri, tatizo mmempa alcohol sana inaonyesha
@simbawateranga702010 ай бұрын
Mbn anazidi kuvurugwa2 daah😭😭😭
@hakimameir17669 ай бұрын
Ukipitia comments wengi wanaona interview nzuri lakin wanasahau kuona kwamba shida ya huyu msanii anaonekana hataki kuamini kama Mtindo wa muziki na maisha unabadilika sana yaan ana imani zake ambazo anaona yeye ndio bonge la msanii hata kama amekua hawezi kwasasa kufanya kitu kama yeye bila kusahau yaliopita, Kama anataka kusimama basi ajikubali kama anataka kubadilika aiswe anaongea sana kujiona yupo sahihi kwenye kila Idara , Inabidi ajitoe arudi nyuma na kukubali anahitaji msaada.
@malichanda31469 ай бұрын
Daah chidi jamani hadi machozi yananitoka hajui anaishi wapi anaongea kwa akili sana kwa waaelewa
@otiliamethodokello82829 ай бұрын
Mungu awe jawabu ya maombi yako chid benzi urudi kwa ukubwa huo tuliouona kwa interview. U still have second chance. ❤
@negredorapha75919 ай бұрын
Chid Anajua mpka Anabohaaa.. Tena Anajiamini kwa matamshiii yake... Ebnha watasema Ngadaaa. Ila Chuma Anakitu... Then Stress za Lifeeee😂.. Sema Tunaooo. 👌🏼👌🏼Appriciet. NiggA🙏🏽
@Saripa234-u7g9 ай бұрын
Pole cn chidi benzi ila inshahalla mungu Atakusaidia kila kitu kitakaa sawa kwa Uwezo wa Allah inshahalla kwani mungu Ashindwi na kitu
@chiefkoko29 ай бұрын
Una msahau vip Nasma Hamis kidogo??? Dully sykes haongelewi why?? Maswali mazito ya chid benz
@michaelcheyo407210 ай бұрын
Mmmmh jamaa hayuko sawa at all!!
@AreefTamim-s8u10 ай бұрын
Chini anaitaji msaada sana dah
@jumannenamwette404110 ай бұрын
Wewe unahitaji akili ili umuelewe
@kingomar939 ай бұрын
Yupo full loaded hapo...... daah hatari
@AyzalRicco-mi6iu9 ай бұрын
Machozi yamenitoka Yani kuna vitu vikubwa sana ila inahitaji uwe na hi Q kubwa kumuelew
@neemamshote957710 ай бұрын
Ila inaumiza sana ukimuangalia chid aiseee walaaa aniwe wanao wauzia Madawaska ya kulevya aiseeee wanauwa vijana wenye maonooo
@josephmabula965810 ай бұрын
Tatizo chidi msumbufu sana,hata ukimsapoti
@saidanswer9 ай бұрын
Akili nyingi sana bro 💥💥💥
@sensational69839 ай бұрын
Anaongelea alter egos masikini jamani Mungu amlinde 🙏🏼
@pancrasbwena116610 ай бұрын
Watoto wa hiv wanawapenda sana mama zao
@InsideTanzania10 ай бұрын
Ni kwa sababu, mama ni mwanamke pekee hawezi kukutupa aijalishi unapitia mangapi
@SebastianDaniel-es4rf9 ай бұрын
uko sahihi blood
@masalakulwa76019 ай бұрын
balaaa. humtoi kwa mamake
@siahtemu24149 ай бұрын
Huyu kaka anahitaji msaada jamani daah so sad😢
@anthonymashaka807510 ай бұрын
Chid benz chuma 💪🏻 mr kingkong
@JosephNdege-f8z9 ай бұрын
Jamani daa 😢😢😢
@ivankmugi22269 ай бұрын
Jamaa anapiga sound studio alafu live 😂😂😂
@dismaskamanzi23659 ай бұрын
GOD did..kingkong is Live pureLy 🙏🙏😢 ReaLLy taLk
@MasudiSefu10 ай бұрын
Sema kavaaa jezzi kari sana chidi noma kinomaaa😅😅😅
@ommybrain960710 ай бұрын
Mbona alie edit ameshindwa ku match na wanavyongea,
@BabakerashidaMamake10 ай бұрын
Bongo ukiwa na shida ndio wapendwa watu wanafurahia maisha ya chidi ikiwa yko hivi na sio msaada nani bongo hamjui chid
@SelemanCharles-m8h9 ай бұрын
Daaah!jamaa ana kipaji sana,xema anamengi xana ambyo hatuyajui
@senckiusndozi549110 ай бұрын
The best interview ever
@winfridapeter945510 ай бұрын
Yaan chid MUNGU amsaidie sana kwa alipofikia jamani,mpk huruma😢😢😢😢
@princegabriel37709 ай бұрын
Dah 😢😢😢
@khalsasalim79309 ай бұрын
Had nimelia 😢
@leawistoni71419 ай бұрын
Inasikitisha Mungu amsadie
@mpenzisamaki94889 ай бұрын
Huyu jamaa Ako na akili sana mbali na kuwa ktk Hali aliyonayo Bado zipo timamu anaongea facts tupu
@glorianikiza39409 ай бұрын
Ila kufanya interview na chidi ni mtihani ila chidi anaakalii saana