#live

  Рет қаралды 4,751

Carrymastory

Carrymastory

Күн бұрын

Пікірлер: 90
@onekisstv8412
@onekisstv8412 Сағат бұрын
Carry mastory unafeli kuweka vitu randomly inafanya hata ufatiliaji wa account yako inakua chini weka vitu vyako kwa mpangilio
@yangaMwananchimedia
@yangaMwananchimedia 4 сағат бұрын
Mnao furahishwa na povu za wazee wa kibwela gonga like mpaka yafe mwaka huu😂😂😂
@osumsafi2095
@osumsafi2095 4 сағат бұрын
Mpaka msemeeeeee makolo
@tanzanitetv
@tanzanitetv 5 сағат бұрын
Simba mmesahau kuwa mnauza Madawa ya kulevya na kocha wenu msaidizi yuko mahabusu hadi leo
@AshaAlliy
@AshaAlliy 4 сағат бұрын
Amna Akili Nyote
@PaulinaJoseph-q3k
@PaulinaJoseph-q3k 3 сағат бұрын
Mnakata kata maneno wekeni yote Ili wajue nn wanakosea wanereta maneno machafu kweny serikal yetu hawa kenge blue
@stanastana3199
@stanastana3199 2 сағат бұрын
Wazee wanepanik sio,yanga bingwa
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 5 сағат бұрын
Kolo zee 😂😂😂😂
@FrancoBeda
@FrancoBeda 7 сағат бұрын
Mimi kusema ukweli ni simba damu lkn kwa upande wa mamuzi ya marefa ni kawaida ata ulaya tunaona kuna siku unafaidika wewe kuna siku anafaidika mwingine japo kuna VAR mimi kinachoniuma katika mpira wetu wa tanzania ni TFF kuacha GSM kuzamini timu 8 katika ligi kuu huu ni utoto sana lazima upangaji wa matokeo utakuwepo tu kwanini TFF mnakubali hichi kitu
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 6 сағат бұрын
Ww sio Simba kilaza uto Simba hawana viraza wasio jierewa
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 5 сағат бұрын
Kwa hiyo wewe unawafundisha hawa wazee kwamba wanachoongea hawakijui au siyo... Sasa nyinyi endeleeni na kucheza na hisia za watu... Mtaona mwisho wake
@janejoel2465
@janejoel2465 5 сағат бұрын
Sasa kumbe mliona wanatoa hela mlinyamaza, mli subili mechi ichezwe , badala ya kushtaki, 😅😅😅😅😅 hapo nimecheka
@MasoudMganga
@MasoudMganga 3 сағат бұрын
Wewe franco muongo nakujua harafu wewe ni shoga
@MasoudMganga
@MasoudMganga 3 сағат бұрын
@@janejoel2465 kuchekakwenyewe unaweza ukucheka unajamba
@vincentdaud9954
@vincentdaud9954 3 сағат бұрын
Yanga ina nguvu zaidi ya nyuklia
@YugoAlly
@YugoAlly 5 сағат бұрын
Kaongea point
@nsabimanaabedi541
@nsabimanaabedi541 2 сағат бұрын
Chakushangaza yanga ikifungwa huwa hailaumu mtu Ila inajilaumu wenyewe .samahani wazee mkubali matokeo GSM nimfabiashara achaneni naye
@allynasri7544
@allynasri7544 6 сағат бұрын
Mzee namkubali anaongea point
@samwesupa6906
@samwesupa6906 3 сағат бұрын
Umelewa ww
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 7 сағат бұрын
Mkiitwa takukuru mnaweza kuthibitisha hayo ya kutuhumu mawaziri ?
@BenedctSangoda
@BenedctSangoda 3 сағат бұрын
Nyie yanga wote kimatuuu sungedere mnajua bahasha
@vincentdaud9954
@vincentdaud9954 3 сағат бұрын
Kuma nyie mazeee hayana akili
@jofreymhagule7505
@jofreymhagule7505 3 сағат бұрын
Awa utopolo yanabebwa sana Simba Sc imekua timu yatima apa Tz kumbe mpaka viongozi wa serikali waingia kuihujumu Simba duuuh!!!
@AshaAlliy
@AshaAlliy 4 сағат бұрын
Mzee.unautubia Injil
@GodfreyBikukan
@GodfreyBikukan 3 сағат бұрын
Ulivyokua unachukua ubingwa mara Nne hamkuandamana mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu uchungu
@chemstry409
@chemstry409 6 сағат бұрын
Mlipowafunga Azam hamjaja na kuitisha Press na Azam walinyamaza maana ndio mpira lakini lakini mmefungwa mnaanza kuchongoa midomo,...MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU UNAUMA....😂😂😂
@uzurihalisilukumay2957
@uzurihalisilukumay2957 48 минут бұрын
Yanga itaendelea kuwanyanyasa mtasema na bado hamjasema!!!!! mpaka mseme!! 😂😂😂
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 6 сағат бұрын
Niko nawazee mnaongea madini na mnachosema nikweli huwezi kua bingwa ndani njee ziro na selekali inachangia kuua mpila wabongo sema nimecheka kusikia kanyoko😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@GodfreyBikukan
@GodfreyBikukan 3 сағат бұрын
Njaa mbaya tengenezeni timu acheni mdogo timu mbovu
@anuarymzee9898
@anuarymzee9898 8 сағат бұрын
Gsm kawakosea Nini
@BrunoKaimukilwa
@BrunoKaimukilwa 5 сағат бұрын
Makongoro yup ww mzee acha ushamba mjinga wew
@PaulinaJoseph-q3k
@PaulinaJoseph-q3k 3 сағат бұрын
Mngeeandika na namba za hao wazee Ili tiwapigie manake hakuna mweny hakili hata m1 hapo alafu utackia alifika kwake anajiita kichwa Cha familia
@jumabaranyikwa1833
@jumabaranyikwa1833 7 сағат бұрын
Mawaziri wametumwa na boss wao
@eliaszephania3115
@eliaszephania3115 5 сағат бұрын
Bado amjasema mpaka msemeeeeeeee
@AnthonySafari-rv5wf
@AnthonySafari-rv5wf 6 сағат бұрын
Nakula hatupigi wakapige yanga
@BrunoKaimukilwa
@BrunoKaimukilwa 5 сағат бұрын
Unaushahid huo
@alexndihokubwayo8010
@alexndihokubwayo8010 6 сағат бұрын
Mutakufana na presss
@linuslusian-d5w
@linuslusian-d5w 8 сағат бұрын
leo kafungwa simba yameuma hee kumbukeni 2020 wazee
@YugoAlly
@YugoAlly 5 сағат бұрын
Akuna kitu kama hicho GSM kudhamini timu nane haipo
@DJINNOSSBTZ
@DJINNOSSBTZ 7 сағат бұрын
Mnakataje kataje habari kama darasa la kwanza banah wekeni habari kama ilivyo mtu kama hana bando la kuingalia yote aiache.
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 6 сағат бұрын
Hata kanyoko sawa tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila kanyoko katuweza kabisa😂😂😂
@venancemalima1181
@venancemalima1181 6 сағат бұрын
Hamjawa na kikosi cxha kuahindana na Yanga kwa kikosi hiki cha Simba dhidi ya Yanga zaidi ya kupunguza magoli.
@LoxJuma-r8u
@LoxJuma-r8u 7 сағат бұрын
Mmekata kata kwanini tunaoumia niwanasimba Mpira uchezwe adhalani asibebwe MTU yyte
@jumabaranyikwa1833
@jumabaranyikwa1833 7 сағат бұрын
Aliyetoa Ndege ndio kawatuma
@onekisstv8412
@onekisstv8412 Сағат бұрын
Acheni mambo ya ajabu wazee azamu akijitoa kwenye ligi kisa mambo yenu ya hovyo mtafanya ligi hii ishuke
@BrunoKaimukilwa
@BrunoKaimukilwa 5 сағат бұрын
Manara haj nakuamin hebu jibu hawa wazee haraka
@AnthonySafari-rv5wf
@AnthonySafari-rv5wf 6 сағат бұрын
Kura wakapige yanga na kayoko
@gwakisagedion457
@gwakisagedion457 5 сағат бұрын
Wazee wana hoja za msingi sio za kupuuzwa kuwa makini kuwasikiliza kuliko kutumia,zaidi hisia zenu baadhi ya wachambuzi katika kujadili
@onekisstv8412
@onekisstv8412 Сағат бұрын
Hawa wazee wakipelekwa maakamani watajua hawajui
@chemstry409
@chemstry409 6 сағат бұрын
Hawa Wanaojiita Wazee, Serikali itashangaza sana sana kama hawa wasipo chukuliwa na kuhojiwa na ikiwezekana hatua kali zichukuliwe na maneno wanayotoa ni ya kichochozi na uvunjifu wa Amani, Mpira ni Furaha,Upendo...Yanga na Simba ni watani wa Jadi msitake kutuletea Uvunjifu wa Amani....
@FahadAbubakari-y3f
@FahadAbubakari-y3f 6 сағат бұрын
Sjawahi skia wazee wa Madrid wala Barcelona, tz ni nchi yakishamba sana
@YugoAlly
@YugoAlly 5 сағат бұрын
Wazee wameongea kwel hawa sio wajinga kaka yanga mmezoea kubebwa tuu hakuna timu ndimana ata ranking ya caf simba anaongoza haiwezekani mtu adhamini timu nane hakuna hyo kitu
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 5 сағат бұрын
We unadhani ni masihara eeh... Sasa endeleeni na ujinga wenu nyinyi vyura.. Ila kumbukeni Amani ikipotea kuirudisha ni shida
@nuruosward8161
@nuruosward8161 5 сағат бұрын
Nyoko zako unaongea nn ww matako iv unajua maaana ya kudhulumiwa huku unaona matokeo mmpewa bure inaumaaa wanasimba tuungane kweli tuwanyooshe wanahujum mpira wa tannzania
@chemstry409
@chemstry409 5 сағат бұрын
@YugoAlly Kaka yangu tuacheni USHABIKI MAANNDAZI NA USIINGIE KWENYE USHABIKI HUO, mkiwa mnashinda huwezi kusikia swala la GSM kudhamini timu laikini ukifungwa tu ndipo swala la udhamini linapoanza huo ni Utoto kaka...
@Frank-b2d6u
@Frank-b2d6u 5 сағат бұрын
Ongeen siasa msifanye wananchi wanaishi kwa mpira siasa hamuongei wote ni ccm mnalalmika nini
@ramadhanlipendelee3496
@ramadhanlipendelee3496 7 сағат бұрын
Mbkna mnakatakata taarifa
@NOVATISIYAME-t3x
@NOVATISIYAME-t3x 5 сағат бұрын
Akuna dunian kote mzamini mumoja akazamini vilabu Zaidi akuna akuna popote dunian
@ibnmoses979
@ibnmoses979 7 сағат бұрын
Mmekata kata clip Hata mkikata ujumbe utafika tu
@onekisstv8412
@onekisstv8412 Сағат бұрын
Hawa wazee wametoka wapi mbna wamepauka 😂😂😂😂
@NOVATISIYAME-t3x
@NOVATISIYAME-t3x 5 сағат бұрын
Utopolo wanaalibu Amani ya nchi yetu kama viongozi mnaona nikawaida izoo kula mtapiga utooo pekee yenuu
@AlfaCharles-e8h
@AlfaCharles-e8h 5 сағат бұрын
Kufungwa mech moja tyu tayal mmeanza kulalama
@daughterofthemoon680
@daughterofthemoon680 6 сағат бұрын
Hawa wazee wa simba wanahitaji wazee wa kuwashauri
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp 8 сағат бұрын
Hujielewi
@issapagali1330
@issapagali1330 7 сағат бұрын
BADO HAMJASEMA NG'OMBE NYIE.😮
@ezekiamaluma6091
@ezekiamaluma6091 6 сағат бұрын
Hivi ile pen dhidi ya Dodoma ilikua hàlali kweli?
@mycotv2020
@mycotv2020 6 сағат бұрын
Hii video ume-upload vibaya mkuu
@phabianmagesa1039
@phabianmagesa1039 7 сағат бұрын
Mlipoifunga azamu magoli hamkusema kitu wala azamu hawakulalamika mkakaa kimya leo mfungwe nyie muanze malalamiko mikia
@fj8317
@fj8317 4 сағат бұрын
Kwani wewe Azam tulia
@mcmwasha9668
@mcmwasha9668 4 сағат бұрын
Nyie mnapopewa magoli ya mchongo mbona huwa hamlalamiki??? 😂😂😂
@BrunoKaimukilwa
@BrunoKaimukilwa 5 сағат бұрын
Jinga ww
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 5 сағат бұрын
Timu ya tisa ni simba, nyie pia ni tawi la Yanga? Mtafungwa tena mara sita.
@treyvissy9854
@treyvissy9854 8 сағат бұрын
Kwann kipande cha azam mmekitoa kiwekeni ili washitakiwe maboya hawa😂
@gwakisagedion457
@gwakisagedion457 5 сағат бұрын
Wazee wasipuuzwe. Uchunguzi wa kina ufanyike katika baadhi ya hoja na tuhuma zilizotolewa kuliko kuwaona kama wanaongea pumba
@treyvissy9854
@treyvissy9854 8 сағат бұрын
Jitoeni tu 😂 mkapigane na ngumi zenu😂
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 5 сағат бұрын
Pumba nyie, salungi hammukumbiki?
@piuslugata4931
@piuslugata4931 4 сағат бұрын
Ponti zuli sana
@nurdinngalo-hj1ow
@nurdinngalo-hj1ow 5 сағат бұрын
Kwo ushahidi upo nendeni mahakamani shenzi.nyie afu sio kanyoko ni kayoko kanyoko ni wewe fara ww
@LutenganoCharles-d7t
@LutenganoCharles-d7t 6 сағат бұрын
Gsm kama anadhamin team 8, mwambien Mo nae adhamin hizo 8 zilizobaki kama hizo hela anazo Tz ina club 16
@BrayanKavishe
@BrayanKavishe 6 сағат бұрын
Acha ujinga ww
@YugoAlly
@YugoAlly 5 сағат бұрын
Wewe mpumbavu boss mmoja awezi kumiliki timu nane
@BrayanKavishe
@BrayanKavishe 5 сағат бұрын
@@LutenganoCharles-d7t mpumbavu mwenyewe,, GSM anazamini timu ngap
@anuarymzee9898
@anuarymzee9898 8 сағат бұрын
😂😂😂😂 ww mzee kubuka Yanga ni taaaasisi sio club ya Mchangani ndio mana ina Raisi na Makamo wa Raisi
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 34 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 44 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,7 МЛН
سورة البقرة كاملة لطرد الشياطين من منزلك وجلب البركه باذن الله surat albaqra
3:59:57
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 34 МЛН