Carry mastory unafeli kuweka vitu randomly inafanya hata ufatiliaji wa account yako inakua chini weka vitu vyako kwa mpangilio
@yangaMwananchimedia4 сағат бұрын
Mnao furahishwa na povu za wazee wa kibwela gonga like mpaka yafe mwaka huu😂😂😂
@osumsafi20954 сағат бұрын
Mpaka msemeeeeee makolo
@tanzanitetv5 сағат бұрын
Simba mmesahau kuwa mnauza Madawa ya kulevya na kocha wenu msaidizi yuko mahabusu hadi leo
@AshaAlliy4 сағат бұрын
Amna Akili Nyote
@PaulinaJoseph-q3k3 сағат бұрын
Mnakata kata maneno wekeni yote Ili wajue nn wanakosea wanereta maneno machafu kweny serikal yetu hawa kenge blue
@stanastana31992 сағат бұрын
Wazee wanepanik sio,yanga bingwa
@peterlujuo16405 сағат бұрын
Kolo zee 😂😂😂😂
@FrancoBeda7 сағат бұрын
Mimi kusema ukweli ni simba damu lkn kwa upande wa mamuzi ya marefa ni kawaida ata ulaya tunaona kuna siku unafaidika wewe kuna siku anafaidika mwingine japo kuna VAR mimi kinachoniuma katika mpira wetu wa tanzania ni TFF kuacha GSM kuzamini timu 8 katika ligi kuu huu ni utoto sana lazima upangaji wa matokeo utakuwepo tu kwanini TFF mnakubali hichi kitu
Kwa hiyo wewe unawafundisha hawa wazee kwamba wanachoongea hawakijui au siyo... Sasa nyinyi endeleeni na kucheza na hisia za watu... Mtaona mwisho wake
@janejoel24655 сағат бұрын
Sasa kumbe mliona wanatoa hela mlinyamaza, mli subili mechi ichezwe , badala ya kushtaki, 😅😅😅😅😅 hapo nimecheka
Chakushangaza yanga ikifungwa huwa hailaumu mtu Ila inajilaumu wenyewe .samahani wazee mkubali matokeo GSM nimfabiashara achaneni naye
@allynasri75446 сағат бұрын
Mzee namkubali anaongea point
@samwesupa69063 сағат бұрын
Umelewa ww
@lwagamwakalinga80387 сағат бұрын
Mkiitwa takukuru mnaweza kuthibitisha hayo ya kutuhumu mawaziri ?
@BenedctSangoda3 сағат бұрын
Nyie yanga wote kimatuuu sungedere mnajua bahasha
@vincentdaud99543 сағат бұрын
Kuma nyie mazeee hayana akili
@jofreymhagule75053 сағат бұрын
Awa utopolo yanabebwa sana Simba Sc imekua timu yatima apa Tz kumbe mpaka viongozi wa serikali waingia kuihujumu Simba duuuh!!!
@AshaAlliy4 сағат бұрын
Mzee.unautubia Injil
@GodfreyBikukan3 сағат бұрын
Ulivyokua unachukua ubingwa mara Nne hamkuandamana mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu uchungu
@chemstry4096 сағат бұрын
Mlipowafunga Azam hamjaja na kuitisha Press na Azam walinyamaza maana ndio mpira lakini lakini mmefungwa mnaanza kuchongoa midomo,...MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU UNAUMA....😂😂😂
@uzurihalisilukumay295748 минут бұрын
Yanga itaendelea kuwanyanyasa mtasema na bado hamjasema!!!!! mpaka mseme!! 😂😂😂
@chusseboywcb28086 сағат бұрын
Niko nawazee mnaongea madini na mnachosema nikweli huwezi kua bingwa ndani njee ziro na selekali inachangia kuua mpila wabongo sema nimecheka kusikia kanyoko😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@GodfreyBikukan3 сағат бұрын
Njaa mbaya tengenezeni timu acheni mdogo timu mbovu
@anuarymzee98988 сағат бұрын
Gsm kawakosea Nini
@BrunoKaimukilwa5 сағат бұрын
Makongoro yup ww mzee acha ushamba mjinga wew
@PaulinaJoseph-q3k3 сағат бұрын
Mngeeandika na namba za hao wazee Ili tiwapigie manake hakuna mweny hakili hata m1 hapo alafu utackia alifika kwake anajiita kichwa Cha familia
@jumabaranyikwa18337 сағат бұрын
Mawaziri wametumwa na boss wao
@eliaszephania31155 сағат бұрын
Bado amjasema mpaka msemeeeeeeee
@AnthonySafari-rv5wf6 сағат бұрын
Nakula hatupigi wakapige yanga
@BrunoKaimukilwa5 сағат бұрын
Unaushahid huo
@alexndihokubwayo80106 сағат бұрын
Mutakufana na presss
@linuslusian-d5w8 сағат бұрын
leo kafungwa simba yameuma hee kumbukeni 2020 wazee
@YugoAlly5 сағат бұрын
Akuna kitu kama hicho GSM kudhamini timu nane haipo
@DJINNOSSBTZ7 сағат бұрын
Mnakataje kataje habari kama darasa la kwanza banah wekeni habari kama ilivyo mtu kama hana bando la kuingalia yote aiache.
@chusseboywcb28086 сағат бұрын
Hata kanyoko sawa tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila kanyoko katuweza kabisa😂😂😂
@venancemalima11816 сағат бұрын
Hamjawa na kikosi cxha kuahindana na Yanga kwa kikosi hiki cha Simba dhidi ya Yanga zaidi ya kupunguza magoli.
@LoxJuma-r8u7 сағат бұрын
Mmekata kata kwanini tunaoumia niwanasimba Mpira uchezwe adhalani asibebwe MTU yyte
@jumabaranyikwa18337 сағат бұрын
Aliyetoa Ndege ndio kawatuma
@onekisstv8412Сағат бұрын
Acheni mambo ya ajabu wazee azamu akijitoa kwenye ligi kisa mambo yenu ya hovyo mtafanya ligi hii ishuke
@BrunoKaimukilwa5 сағат бұрын
Manara haj nakuamin hebu jibu hawa wazee haraka
@AnthonySafari-rv5wf6 сағат бұрын
Kura wakapige yanga na kayoko
@gwakisagedion4575 сағат бұрын
Wazee wana hoja za msingi sio za kupuuzwa kuwa makini kuwasikiliza kuliko kutumia,zaidi hisia zenu baadhi ya wachambuzi katika kujadili
@onekisstv8412Сағат бұрын
Hawa wazee wakipelekwa maakamani watajua hawajui
@chemstry4096 сағат бұрын
Hawa Wanaojiita Wazee, Serikali itashangaza sana sana kama hawa wasipo chukuliwa na kuhojiwa na ikiwezekana hatua kali zichukuliwe na maneno wanayotoa ni ya kichochozi na uvunjifu wa Amani, Mpira ni Furaha,Upendo...Yanga na Simba ni watani wa Jadi msitake kutuletea Uvunjifu wa Amani....
@FahadAbubakari-y3f6 сағат бұрын
Sjawahi skia wazee wa Madrid wala Barcelona, tz ni nchi yakishamba sana
@YugoAlly5 сағат бұрын
Wazee wameongea kwel hawa sio wajinga kaka yanga mmezoea kubebwa tuu hakuna timu ndimana ata ranking ya caf simba anaongoza haiwezekani mtu adhamini timu nane hakuna hyo kitu
@rexgodwill73535 сағат бұрын
We unadhani ni masihara eeh... Sasa endeleeni na ujinga wenu nyinyi vyura.. Ila kumbukeni Amani ikipotea kuirudisha ni shida
@nuruosward81615 сағат бұрын
Nyoko zako unaongea nn ww matako iv unajua maaana ya kudhulumiwa huku unaona matokeo mmpewa bure inaumaaa wanasimba tuungane kweli tuwanyooshe wanahujum mpira wa tannzania
@chemstry4095 сағат бұрын
@YugoAlly Kaka yangu tuacheni USHABIKI MAANNDAZI NA USIINGIE KWENYE USHABIKI HUO, mkiwa mnashinda huwezi kusikia swala la GSM kudhamini timu laikini ukifungwa tu ndipo swala la udhamini linapoanza huo ni Utoto kaka...
@Frank-b2d6u5 сағат бұрын
Ongeen siasa msifanye wananchi wanaishi kwa mpira siasa hamuongei wote ni ccm mnalalmika nini