#live

  Рет қаралды 21,014

BENTV MEDIA

BENTV MEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 66
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 3 ай бұрын
Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom
@ismailhamis2331
@ismailhamis2331 3 ай бұрын
Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi
@DouglasBilishanga
@DouglasBilishanga 3 ай бұрын
Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 3 ай бұрын
Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 2 ай бұрын
Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia
@omarMchoya
@omarMchoya 3 ай бұрын
Huyo jmaa yupo very Very point san
@Rarmba
@Rarmba 3 ай бұрын
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
@EnockKombolela
@EnockKombolela 3 ай бұрын
Mwl zuber big up sana
@EmmanuelBukindu
@EmmanuelBukindu 3 ай бұрын
Jamaa Yuko vzr
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 ай бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
@RichardAmos-eo9dh
@RichardAmos-eo9dh 3 ай бұрын
Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
@bentvmedia
@bentvmedia 3 ай бұрын
Karibu bentv
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 2 ай бұрын
Fact broo umenena
@JassonKagaruki
@JassonKagaruki 3 ай бұрын
Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha
@anafiselemani3957
@anafiselemani3957 3 ай бұрын
Big up sana bro zuberi
@mikidadijumanne7441
@mikidadijumanne7441 3 ай бұрын
Uko sahihi
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 3 ай бұрын
Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉
@NTUSOTV-xx8qe
@NTUSOTV-xx8qe 3 ай бұрын
Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊
@kayagahamisi572
@kayagahamisi572 3 ай бұрын
Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 3 ай бұрын
Uyu jamaa Yuko vzr sana
@athumanmapunda
@athumanmapunda 3 ай бұрын
Kweli
@fabiandanford3572
@fabiandanford3572 2 ай бұрын
Big upp umeongea kisoccer zaidi
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 2 ай бұрын
Uchambuzi mzuri
@allysinde6208
@allysinde6208 2 ай бұрын
Huyu jamaa nimemkubali sanaaa... Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....
@ezramichael7038
@ezramichael7038 3 ай бұрын
Mpira anaujua vizuri
@veelmng7746
@veelmng7746 3 ай бұрын
Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira
@BraisonIssack
@BraisonIssack 3 ай бұрын
Kaka shikamoo
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 2 ай бұрын
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 3 ай бұрын
Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 3 ай бұрын
Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 2 ай бұрын
Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 2 ай бұрын
Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 2 ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana
@salumallymngumba
@salumallymngumba 3 ай бұрын
Umeongea point tupu.
@EnockKombolela
@EnockKombolela 3 ай бұрын
Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea
@DullahIweni
@DullahIweni 2 ай бұрын
Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 2 ай бұрын
Hupepes macho
@saidmwinyi4437
@saidmwinyi4437 2 ай бұрын
Eeeh mkaraboko umeuwa
@ImanikhatbMussa
@ImanikhatbMussa 2 ай бұрын
Huyu km kaka wa "K" mziwanda
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 2 ай бұрын
Ukopoa bro
@kichefuchefu2382
@kichefuchefu2382 3 ай бұрын
Unajua kaka
@salagolusangija8727
@salagolusangija8727 3 ай бұрын
Bonge la mchanbuzi
@franccoz94
@franccoz94 3 ай бұрын
Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 3 ай бұрын
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 3 ай бұрын
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
@reonardchatanda6371
@reonardchatanda6371 2 ай бұрын
Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.
@andrydengaah7389
@andrydengaah7389 3 ай бұрын
😅😅😅
@anicethy6978
@anicethy6978 3 ай бұрын
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
@errydeo8865
@errydeo8865 3 ай бұрын
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 3 ай бұрын
umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 3 ай бұрын
Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 3 ай бұрын
Uyo nichura kama chula wengine
@suleymanyasinmkufu1570
@suleymanyasinmkufu1570 3 ай бұрын
Amejaa wivu ,uto.
@salummbuleti6047
@salummbuleti6047 3 ай бұрын
Huyo mchambuzi wako ni chizi
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc 3 ай бұрын
Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba
@KareemMandela-d5l
@KareemMandela-d5l 3 ай бұрын
Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 3 ай бұрын
Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 3 ай бұрын
Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui
@JimmySonko-g8k
@JimmySonko-g8k 3 ай бұрын
Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga
@CharlesMgassa
@CharlesMgassa 3 ай бұрын
Kuma ya mama zenu
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 3 ай бұрын
Huna jipya wewe ebu tupishe
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
Tupisheee wewe
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 ай бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 4,3 МЛН
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 27 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,3 МЛН
ALICHOSEMA ALI KAMWE MSEMAJI WA YANGA FC
12:47
DUNIALEO
Рет қаралды 2,9 М.
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 4,3 МЛН