Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom
@ismailhamis23313 ай бұрын
Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi
@DouglasBilishanga3 ай бұрын
Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea
@suleimanmwenyemvua9953 ай бұрын
Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊
@vincentkatabalo2862 ай бұрын
Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia
@omarMchoya3 ай бұрын
Huyo jmaa yupo very Very point san
@Rarmba3 ай бұрын
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
@EnockKombolela3 ай бұрын
Mwl zuber big up sana
@EmmanuelBukindu3 ай бұрын
Jamaa Yuko vzr
@KS-iw7qv3 ай бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
@RichardAmos-eo9dh3 ай бұрын
Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
@bentvmedia3 ай бұрын
Karibu bentv
@mohamedikassimu70162 ай бұрын
Fact broo umenena
@JassonKagaruki3 ай бұрын
Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha
@anafiselemani39573 ай бұрын
Big up sana bro zuberi
@mikidadijumanne74413 ай бұрын
Uko sahihi
@DarliotonTumaini3 ай бұрын
Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉
@NTUSOTV-xx8qe3 ай бұрын
Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊
@kayagahamisi5723 ай бұрын
Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani
@speciallvoice80913 ай бұрын
Uyu jamaa Yuko vzr sana
@athumanmapunda3 ай бұрын
Kweli
@fabiandanford35722 ай бұрын
Big upp umeongea kisoccer zaidi
@kibasamohamedi80292 ай бұрын
Uchambuzi mzuri
@allysinde62082 ай бұрын
Huyu jamaa nimemkubali sanaaa... Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....
@ezramichael70383 ай бұрын
Mpira anaujua vizuri
@veelmng77463 ай бұрын
Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira
@BraisonIssack3 ай бұрын
Kaka shikamoo
@fredmbossa-kc3qn2 ай бұрын
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
@suleimanmwenyemvua9953 ай бұрын
Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅
@alphoncealmack92403 ай бұрын
Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao
@vincentkatabalo2862 ай бұрын
Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu
@vincentkatabalo2862 ай бұрын
Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo
@Zaynab-ny6gr2 ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana
@salumallymngumba3 ай бұрын
Umeongea point tupu.
@EnockKombolela3 ай бұрын
Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea
@DullahIweni2 ай бұрын
Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂
@amanilupembe97882 ай бұрын
Hupepes macho
@saidmwinyi44372 ай бұрын
Eeeh mkaraboko umeuwa
@ImanikhatbMussa2 ай бұрын
Huyu km kaka wa "K" mziwanda
@amanilupembe97882 ай бұрын
Ukopoa bro
@kichefuchefu23823 ай бұрын
Unajua kaka
@salagolusangija87273 ай бұрын
Bonge la mchanbuzi
@franccoz943 ай бұрын
Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo
@JohnMbogo-c1n3 ай бұрын
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
@Evance-op4jw3 ай бұрын
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
@reonardchatanda63712 ай бұрын
Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.
@andrydengaah73893 ай бұрын
😅😅😅
@anicethy69783 ай бұрын
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
@errydeo88653 ай бұрын
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
@Evance-op4jw3 ай бұрын
umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu
@AyubuIssa-np3vc3 ай бұрын
Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani
@mwanangusana3 ай бұрын
@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk
@AyubuIssa-np3vc3 ай бұрын
Uyo nichura kama chula wengine
@suleymanyasinmkufu15703 ай бұрын
Amejaa wivu ,uto.
@salummbuleti60473 ай бұрын
Huyo mchambuzi wako ni chizi
@AyubuIssa-np3vc3 ай бұрын
Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee
@mwanangusana3 ай бұрын
😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba
@KareemMandela-d5l3 ай бұрын
Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka
@mwanangusana3 ай бұрын
😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff
@gerowadamwandika6693 ай бұрын
Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo
@erasmuskwayu56433 ай бұрын
Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui
@JimmySonko-g8k3 ай бұрын
Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga
@CharlesMgassa3 ай бұрын
Kuma ya mama zenu
@maryjkiosa33803 ай бұрын
Huna jipya wewe ebu tupishe
@mwanangusana3 ай бұрын
Tupisheee wewe
@KS-iw7qv3 ай бұрын
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢