Рет қаралды 1,489
I was taught this song by my grandfather when I was still young. I never knew it had an english version 'And Can It Be' lol.
I loved it since then upto now and forever 😊, I've learnt that God is Love.
I hope it blesses you too.
Thank you ❤️
And Subscribe If you haven't
Lo! Ajabu Kupata Uzima
1. Lo! Ajabu Kupata Uzima katika damu ya Mwokozi wangu. Alinifilia pendoni mimi niliye msulubisha. Upendo huu wakushangaza kabisa wewe Mungu wangu kunifilia Pendoni. Upendo huu nashangaa Mungu wangu Kunifilia.
2. Mungu wangu alitoa damu, siwezi kuelewa neno hili, viumbe vyote vya mbinguni navyo haviwezi kufahamu. Najua tu ni kwa Rehema zake Mungu, Malaika watu wote wamsujudu mno. Ni Rehema tumwabudu tumwamini ndiye Mwokozi.
3. Aliondoka kule mbinguni kwa nyumba yake Mungu Baba yake, Na utukufu aliacha Afe kwa ajili ya waovu. Rehema zake ni nyingi na ukarimu kwani Mungu wangu aliniokoa mimi. Sistahili neema yake lakini aliniokoa.
4. Roho yangu ilifungwa sana dhambi na giza vilinilemea ukaniangaza rohoni gereza yangu ikang'aa mno. Ikafunguka minyororo yangu yote, Nikaondoka nikaanza kukufuata. Siku ile nikapata uhuru Kweli kwako Mungu.
5. Hukumuni mimi simo sasa, mimi ni wake Yesu ndiye wangu, yeye ni kichwa changu kweli na amenivika haki yake. Mimi hodari sasa kwa kiti cha enzi napewa taji ya milele katika Yesu. Sina hofu kusogea katika Bwana wangu Kristo
Upendo huu nashangaa Mungu wangu Kunifilia
Ni Rehema tumwabudu tumwamini ndiye Mwokozi
Sistahili neema yake lakini aliniokoa
Siku ile nikapata uhuru Kweli kwako Mungu
Sina hofu kusogea katika Bwana wangu Kristo