Maandalizi ya mazishi ya marehemu Leonard Mambo Mbotela yaanza

  Рет қаралды 2,497

KBC Channel 1

KBC Channel 1

Күн бұрын

Familia ya mtangazaji nguli marehemu Leonard Mambo Mbotela imetangaza kuwa maandalizi ya mazishu yake yameanza. Kwa mujibu wa msemaji wa familia hiyo Donald Mbotela, tarehe na eneo la mazishi litawekwa wazi hivi karibuni. Wakati huo huo, aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga alitoa rambirambi kwa familia hiyo alipozuru nyumbani kwa Marehemu Mbotela. Raila alimtaja Mbotela kuwa mzalendo, rafiki na mshauri wa kisiasa.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: twitter.om/KBC...
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive

Пікірлер: 1
@maicymaicy
@maicymaicy 3 сағат бұрын
Kwani siku hizi kbc wako na uniform 😂😂😂😂
Tawasifu ya Leonard Mambo Mbotela
4:20
NTV Kenya
Рет қаралды 19 М.
His Highness Aga Khan IV to be buried in Aswan, Egypt
3:37
NTV Kenya
Рет қаралды 7 М.
Wafuasi wa wanasiasa wakabiliana na kutatiza mazishi
1:40
KBC Channel 1
Рет қаралды 144
Raila aitembelea familia ya marehemu Mambo Mbotela
3:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 9 М.
Ali Salim Manga amuenzi mwendazake Leonard Mambo Mbotela
8:40
KBC Channel 1
Рет қаралды 9 М.
Leonard Mambo Mbotela aaga dunia
7:38
NTV Kenya
Рет қаралды 2,1 М.
Veteran broadcaster Leonard Mambo Mbotela is dead
4:28
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 10 М.
The life and times of Leonard Mambo Mbotela
3:39
KBC Channel 1
Рет қаралды 4,5 М.