Allah akurehemu shekh nyundo na ukupe mwanga na akupunguzie adhabu za kaburi
@buruhaniimamusherukingatz4358 Жыл бұрын
Mungu amuondoshee kshehe wetu ndani ya kaburi lake liwe mashimo katika mashimo mazuriii amin
@hassanmkumba5852 Жыл бұрын
Kaburi lake liwe kati ya bustsni ya Peponi
@yusufurajabuomari647 Жыл бұрын
Allhah akusamehe makosa yako na alifanyekaburi lako kuwe miongoni mwa viwanja vya peponi wewe pamoja na waumini wengine waliotangulia mbele za haki Inshaallha
@nishumkastudio4170 Жыл бұрын
May Allah grant him janatul firdows,Amiin ya allah
@aishaaisharagp93812 жыл бұрын
Al Habib nyundo umetuwachia mzigomkubwa sasa hivi watu wanazidi kuangamia wakutuonya mnaondoka Allah akulipeni Janna kwamlioyafanya Amina
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
Ameen
@mariammuscat43002 жыл бұрын
Amin yarab
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Alifanya kaxi kubwa sana mungu amuhifadhi na ampe darja ya juu kabisa kwa alichotufanyia
@athmanmuhammed73332 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Amrehemu sheikh nyundo
@hamadimuya72482 жыл бұрын
Allah akulipe sheikh nyundo na akusemehe madhambi yako yote na akuepusha na adhabul ghabri..
@zeitunazei24422 жыл бұрын
Amen
@domcityfarmingcenter77542 жыл бұрын
MASHAALLAH ALLAH AKUSAMEHE DHAMBI ZAKO NA AKUJAALIE PEPO 🙏🙏🙏
@suleman-ox7ce Жыл бұрын
Mungu akupe sheikh nyundo kitabu chako cha a'mali kwa mkono wa Kulia.amiin
@zainabmaulidi98462 жыл бұрын
ALLAH AKUANGAZIE NURU KTK KABURI LAKO 😰🤲
@abdallahmajura25192 жыл бұрын
Allah akurehemu sheikh wetu
@yusuphhugugu97592 жыл бұрын
Mashaallah.... MWENYEZI MUNGU MTUKUFU akujalie kila la kher uko ulipo
@swaumuntandu9127 Жыл бұрын
Mashallah 🥰, mwenyez mungu akuweke habity. Pepo ya firdaus iwe stail yako, inshallah
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Amiin
@Abdallahmohamed72 Жыл бұрын
Amiin thummah amiin
@kombomaulid12492 жыл бұрын
Allah will pay your good heart of talk to the truth
@raziaidd23922 жыл бұрын
Allah akurehem sheikhe wetu
@kinkybanjukome217 Жыл бұрын
Aamiin yaa raabbal aalamiin
@haithamjuma24722 жыл бұрын
Ni mtihani kwa kweli wao waona ni fesheni kumbe hawajui wanajishusha hadhi. Allah akurehemu sheikh wetu nyundo yako itabaki kugonga tu
@Awatee2 жыл бұрын
Amiin yarabal alamin
@khalidhaji85702 жыл бұрын
HAKIKA amesema kweli Al habib Marehemu shiekh Nyundo , INSHA ALLAH BIIDHILLAH KAREEM ALLAH (SW) AZIDI KUKUHIFAHDI INSHA ALLAH MILELE na sisi tupo nyuma YAKO TUTAONANA JANNA BIIDHILLAH KAREEM.
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
Ameen insh allah
@raziaidd23922 жыл бұрын
Ameen
@alihemed Жыл бұрын
Aamin
@jumamohammed53782 жыл бұрын
Allah amrehemu Aaaamiin
@EdsonBenedict10 ай бұрын
Allah akusahe dhambi zako shekhe
@SbOm-b7k6 ай бұрын
Allahu aqbar, Wallahi hatunawezo wala guvu ,basi tu binaadamu tumeisaha akher yetu, Allah akuraham ulikua anatukumbusha mambo mazur Wallah Allah alikuhitaji Aid
@ahmedyusuf96342 жыл бұрын
Allah yarham sheikh nyundo ameen
@ahmadjuma-xx5nd7 ай бұрын
Allah akurehemu sheh nyundo na alitiye nuru kabur lako na akupe kitabu chako Cha amali kwa mkono wa kuliya
@BiushiNaaman Жыл бұрын
Allah akurehemu ailaze roho yk mahali pema peponi
@lawskuli9876Ай бұрын
Allah akufanyie wepesi katika njia ya kuingia peponi. AMIN.
@hamisdad Жыл бұрын
Allah akupe Nuru amina
@maulanasayid69532 жыл бұрын
Mashalahu mungu akurehemu
@abdiadan48372 жыл бұрын
Masha Allah, mola mlezi akurehemu
@mussamuhoza57749 ай бұрын
May Allah grant him janatul firdaus 🤲🏽
@faridaali68502 жыл бұрын
ALLAH akurehemu 😭
@FatimaFatima-bx8ez7 ай бұрын
Jamani tumsalieni mtume Muhammad. (S w)Allah akbar 😢😢😂😂mungu amrehemu shekhe nyudo ishaallah 😊😊❤
@ahmedhamisi83352 жыл бұрын
In shaallah mwenyezi mungu amrehemu shekh wetu
@abuusirleh8196 Жыл бұрын
👐👐
@musawaziri6487 ай бұрын
msema kweli kipenzi cha mungu shekhe nyundo ni miongon mwao mungu amjalie pepo
@HarryKane-x3s7 ай бұрын
Allah akujalie pepo ya firdaus akuondoshe adhabu y kaburini
@nassorochura7838 Жыл бұрын
mungu msamehe madhambi yake mpe pepo iliyonjema
@AbassNgosele Жыл бұрын
Mashallah unasema ukweli sheikhe
@nooroman25352 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah shelkh wetu Allah hakupe pepe ya fildas
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
Ameen
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Amiin 🙏
@QChief2 жыл бұрын
Mashaaaalah tunakukukbuka sn maneno mazitoo
@salmamakame64392 жыл бұрын
Allah akurehem kaka yetu akujaalie firdaus iwe makaazi yako
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
Ameen
@mariammuscat43002 жыл бұрын
Aamin
@najmanajma9632 жыл бұрын
Amiin thuma amiin yarab
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Amiiin
@Issamuemede6 ай бұрын
Allah akulinde na adhab za kabr na haletewanga milele ktk kabr lako shee nyundo😢😢😢😢😢😢😢
@ZainabuMwambashi Жыл бұрын
Allha akurehemu shehe wetu 1:16
@GudgudKitika5 ай бұрын
Mashalaah mungu akusameee sheer wetuu
@nasseralmaqbali63172 жыл бұрын
Allah akurehemu ya shekh Hassan
@ramadhanbaraka64742 жыл бұрын
Mngu akurehemu sheikh nyundo umefuzu MashaALLAH.
@mussavande-mcstar18902 жыл бұрын
Allah akuhifadhi Al marhoom shekhe nyundo yaani uliongea Kwa hisia kali sana😢
Yaa Allah Mrehemu shekh huyu alikuwa anajituma sana
@ramzaomar30672 жыл бұрын
Ameen yaa Rabbal alamin
@muhammedyussuf8406 Жыл бұрын
Ameen yaarabbi
@SaidKhamis-sb1dlАй бұрын
Ameen
@Hawa-d2q7 ай бұрын
Allh akuingize peponi amin
@GatekaFatma7 ай бұрын
Naimani hakuna mkamilifu duniani Allah akurehem shekh Wetu na akusamehe uloyatanguliza
@mariamhamad41712 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekh wetu maskin hakika soteniwaja wa Allah nakwake ndiomarejeo yetu
@ashanjeri52812 жыл бұрын
Allah akuhifadhi
@mohamedhajj98812 жыл бұрын
Mashalla mungu akuhifadhi
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
Ameen yarabby
@najmanajma9632 жыл бұрын
Amiin thuma amiin yarab
@najmanajma9632 жыл бұрын
Allah akuhifadhi inshaAllah 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@abdillahbakar84762 жыл бұрын
Uhakika yani
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu 😭
@alimashua6322 жыл бұрын
Kweli mambo meng hatufai kufnya tunamdarau mungu San
@hawaabdallah47822 жыл бұрын
Masha allah
@StevenMutale-xt9yj2 ай бұрын
Mungu akusaidie sana uko uliko
@fgg8794 Жыл бұрын
Mashaallah I lovo you so much Allah
@bakarkhamis53692 жыл бұрын
Allah akurehemu
@noot-oe2mw Жыл бұрын
Shelkh Hassni Allah hakujalie Pepo ya Firdausi
@marshaly84732 жыл бұрын
Allah Arham amlaze pema peponi shekh nyundo
@hassannuno55532 жыл бұрын
Allah akurehemu sheikh 💛
@AsumanRamazankanick Жыл бұрын
Hakika maneno mzuri sana
@AbdulrazakOmar-qu8wm Жыл бұрын
Alhamdulillah 🤲 kwa kutupa mu ongo wa dini
@nabawiyaissa387 Жыл бұрын
Muongo kivip??
@platiniali8609 Жыл бұрын
Imam mkubwa uyu
@mwarukunikiwera14392 жыл бұрын
Duhh subhanallah
@gsplundi1327 Жыл бұрын
Allah wahkubaro
@muslimmuslim512 Жыл бұрын
Allah akhulehem
@salmamakame64392 жыл бұрын
Ameacha pengo kubwa mkemeaji maafa kama yye hatuna tena Allah akurehemu
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
Hakika
@ShabaniSudi-wf1of2 ай бұрын
Ameen
@hassanmkumba5852 Жыл бұрын
Allah amrehemu
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Siku hizi wanaume wanavaa urembo kuliko hata Wanawake
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Kweri kabisa
@eliyanorobeth85672 жыл бұрын
Njaaa mbaya
@abullahkabaka8774 Жыл бұрын
Daimond duniani hayuko na akhira huzengewa, yeye na babake wanafanya istizae kwenye dini ya kiislamu, mungu awaongoe
@abdullaabdullahmpakanjia23362 жыл бұрын
Naam mwalimu mwenyezimungu alifanye kaburilako liwebustani miongoni mwabustani zapeponi
@cashyngendo70522 жыл бұрын
Am a Christian and l have lived in Arab countries where l understand men don't wear chains or gold ring gold belongs to women and girls men only wears ring
@SmartSmart-n4i26 күн бұрын
Exactly
@timanighosto8882 жыл бұрын
Nice🙏
@aminashariff87842 жыл бұрын
Allah akupe jannatulfirdaus
@henrishjohn87837 ай бұрын
Mafundisho mazuri
@yasirsaidealidade77172 жыл бұрын
King kina
@husseinboru6613 Жыл бұрын
Yuko mbele ya haki
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Rabii wasamehe wenzatu walotangulia
@twahatembo78182 жыл бұрын
Harmonize
@ZainabuMwambashi Жыл бұрын
😮
@lonelyparent2 жыл бұрын
Usipige kelele na Jasho kukutoka kama uko vitani,ongea pole pole taratibu kama ma Shekhe wa makka na madina,wapole sana.
@johnmichaellukindo212 жыл бұрын
Anapotosha watu kusema eti wazungu makafiri ! Teknlogia yote hiii hawana akili
@yussufsuleyman25482 жыл бұрын
Sharif yussuf
@maxcharles5436 Жыл бұрын
Mi mroma lkn huyu yupo vzr
@fgg8794 Жыл бұрын
Akuna
@chiefmajai93452 жыл бұрын
Mavazi siyo dini nafisi yako na imani yako ndiyo dini
@omarswaleh60822 жыл бұрын
Ingia msikitini na suruale ya kipande ukaswali. Ndugu yangu mavazi ni muhimu kwenye dini yetu
@nyatya1992 жыл бұрын
Basi tembea uchi ubaki na nafsi na imani yako , Kama mavazi si katika dini
@zully7562 жыл бұрын
Dini mfumo wa maisha,Kulala, kula , kwenda chooni, kuvaa na kuishi maisha ya mtume kwa masaa 24 kwa maisha yako yote ni DINI.
@athumansuphian58912 жыл бұрын
Wewe unaesema mavazi wewe hujielewi kabisa tembea uchi basi tuone acha ufala wewe nenda kasome dini yako vzr
@abdallahshekibula39392 жыл бұрын
Huwez kufanya ibada km hujajistr
@teddysanga18402 жыл бұрын
Hata mick unayo tumia katengeneza kafili sasa kama ww MUNGU anakusaidia mbona hujui kitu chochote kazi kupiga mdomo
@fgg8794 Жыл бұрын
😂😂😂
@johnjonath66872 жыл бұрын
Makafili ndo nn bas
@amurimzungu-tn4jf Жыл бұрын
Kafiiri yule aliyekufuru mitume na ujumbe wao so kama unamkubali mtume mmoja na unawakataa wengine basi mtu atakua hajaamini kwani mitume wote wamekuja na ujumbe mmoja so kama mtu anasema anamuamini yesu au kwa Jina Lengine katika kuran Issa mwana wa Mariam so na unamuamini na lakini unamkata mtume Muhammed rehma na Amani ziwe juu yake basi utakua hujaamini bado na ikiw mtu anamumanini mtume Muhammed na anamkataa yesu Issa basi au mitume mengine basi utakua hujaamini kwani mitume wote wamekuja na kazi moja na kutaongoza sisi wanadamu kufanikiwa hapa na maisha ya milele huko akhera so sisi waislamu tunamuamni mtume Muhammed ndio mtume wa umma huu na ndio mtume wa mwisho na tunamuani Issa mwana wa Maryam au yesu kuwa alikua mtume na Tena miongoni mwa mitume watukufu na tunawaamini mitume yote waliopita na ndio Habari zao zimo katika quran, so ukiwa utamuamini mmoja na unawakata wengine basi mtu ndio anaitwa kafiri aliyekufuru ujumbe
@rashidiwaiti66862 жыл бұрын
Mjingaa falaa Sana huyoo mpaka eleeni itakuwa ana..............huyoo