Somo hili ni kipande tu cha somo, Endapo utahitaji masomo yanayohusu Tendo la ndoa kwa wanandoa tu, wasiliana nasi uweze kupata masomo haya na uboreshe na kuimarisha ndoa yako.
Пікірлер: 170
@omarikintu86426 жыл бұрын
Somo hili ni nzuri sana,nilikuwa na tatizo na mke wangu tuliposikiliza kwa pamoja somo hili nimegundua mabadiliko makubwa,shukurani sana Mchungaji
@sesiliachungu11184 жыл бұрын
Nimelipenda somo baba ,ukapumzike kwa amani
@njiaUpdate6 жыл бұрын
Barikiwa sana mtu wa Mungu.
@yohanajulias142 Жыл бұрын
Hahahahahahahaha maziwa ni watu wawili nimeipendaa hili Somo barikiwaa
@fettysaidcharata59745 жыл бұрын
Duh noma sanaaa hongera kwa elim nzur lakin wanaume wengi wa sasa ivi hawaridhki hata umpe kla dakka
@salummpala41764 жыл бұрын
Mungu Akuweke Sehemu salama
@mariamakinda71556 жыл бұрын
somo nzuri sana mitimingi ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri sana kwakweli
@charlesjames71445 жыл бұрын
Somo nzur sana me slim
@samsalum71565 жыл бұрын
Saf sana
@omarikintu86424 жыл бұрын
Ulienda mapema sana mtumishi,tulikuwa bado tunakuitaji kwenye mafundisho yako mazuri.
@modestmushi79346 жыл бұрын
wow! great. thanks for the nice and genuine lectures
@loisafelix8816 жыл бұрын
Asante, pastor. Wadada Mungu anawazoom!
@aeroportonissan80776 жыл бұрын
msomi mzuri wa elimu hii. nimekukubali kwa elimu uliyoisomea vyema
@hilarymsigwa87696 жыл бұрын
Dr. wewe ni msaikolojia kweli nakukubali mno baba
@alexandermtambala90396 жыл бұрын
Hilary Msigwa
@maureenmuhonja7226 жыл бұрын
asante kwa funzo nzuri
@alexandermtambala90396 жыл бұрын
Maureen Muhonja
@rhinaregina58066 жыл бұрын
Wow thank you for great massage I love this massage because I am close of my wedding
@allysingu41795 жыл бұрын
Asante sana mungu akubarik sana.
@adesankaandre94346 жыл бұрын
Ahsante kwa masomo mazuri
@geofreyjohnn42676 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@mipawatambu71466 жыл бұрын
sawa sir
@graceoisso32385 жыл бұрын
Asante kwa somo mwalimu. Kwa eneo hlo najitahidi 😂😂😂
@johnnanjero54316 жыл бұрын
Nakupenda sana professor ubarikiwe
@sifagubandja15892 жыл бұрын
Papa I will miss you forever and ever my best teacher
@stellaedward77266 жыл бұрын
Very interesting mheshimiwa
@onesmojeremia97136 жыл бұрын
Mwl..ulichokisema nikweli kabisa mm hili tendo LA ndoa linasafisha akili kweli. kweli
@yohanasimtenda7486 жыл бұрын
kweli kabisa, Mafundisho kama haya ni adimu sana kwa wapendwa.
@fidelakili85446 жыл бұрын
Ina ku bidi kuja apa Congo
@liliansanga81886 жыл бұрын
amina baba, napendaga sana vile unafundisha, nakumbuka nilikuaga mbeya ulifundisha pale teku hall, ubarikiwe mno mchungaji
@user-sk2xr7yv3h6 жыл бұрын
Nice mafundisho Baba ubalikiwe
@davineryohannes89424 жыл бұрын
Saw pastor
@yohanammbaga38356 жыл бұрын
Barikiwa sana mwalim nimejifunza sana
@user-ui5ut6xp3z6 жыл бұрын
Ha ha Mr Miti mingi uwi Eti kwan unaenda kupndsha magunia grofan
@vesitinalevocatus48866 жыл бұрын
nakupenda sana maana huwahufichi unafundisha sawasawa bilakuchengesha
@alexandrinadomaino98686 жыл бұрын
Asante mkuu kwa mafundisho mazuri
@agathonliabwike71355 жыл бұрын
Very nice message nimeipenda mchungaji
@finiasfidelis14755 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri Dr
@thedylembris47016 жыл бұрын
Karibu Arusha mtumishi
@edwinmwenda58515 жыл бұрын
Somo zuri nimelipenda
@catherinegachii67466 жыл бұрын
wooow what a lesson ....
@nikkilaizer17076 жыл бұрын
kweli Doctor upo vizur sana nmebarikiwa na kujifunza sana
@luciekalume57846 жыл бұрын
Sasa mwanaume mwenye hataki kufanya tendo landowa huyo nimuzima kweli?
@martinerichard58274 жыл бұрын
Thank you Mwalimu kwa mafundisho mazuri, Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani! Mafundisho yako daima yatadumu mioyoni mwetu!
@imanimagesa19664 жыл бұрын
tunashukuru mchungaji kwa mafundisho ya ndoa ubarikiwe sana
@eliphaseibrahim6466 жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana katika somo hili japo ni kijana, Shukrani za dhati zimwendee mwalim wa somo hil
@amourtotale7094 жыл бұрын
I cant believe you are gone.😱😱😭😭 you did your part.rest in power in heaven pastor.
@samalmbise88875 жыл бұрын
Asante kwa somo mchungaj
@doramarcel10135 жыл бұрын
Nimelielewa saaana hili somo, ubarikiwe saaana mkufunzi
@evachanjarika1706 жыл бұрын
Mungu atusaidie. Amen
@asifiwejohn61245 жыл бұрын
hakika mtumishi barikiwa sana
@salimalqartubi30385 жыл бұрын
somo zuri sana nazidi kujifunza ubalikiwe sana mtumishi
@sarasospeter82805 жыл бұрын
ubarikiwe.sana.kwa.fundisho.kubwa.
@alenjames68106 жыл бұрын
Dah!!!!Barikiwa sana mtumishi , Nimejifunza kitu japo sijaoa
@pendodaud72446 жыл бұрын
Alen James Naomba uoe alen james
@michaeljonas74976 жыл бұрын
+Pendo Daud my best we umeolewa?
@olivermfinanga12685 жыл бұрын
Alen jemsi fany uoe mtumish
@AliMohamed-kd1uc6 жыл бұрын
napendaga masomo yako ubarikiwe sana
@hamiscosmas46676 жыл бұрын
Asante mwalimu
@jacobtesha40436 жыл бұрын
Asante mwl.
@fettyfetty60915 жыл бұрын
Ubarikiwe kwakweli
@aishahaisha49415 жыл бұрын
Kwa kweli nimepata hatua kwenye mafundisho yako ya ndoa ubarikiwe Sana
@barakasylvester836 жыл бұрын
hongera sana pastor.
@einothroberth17065 жыл бұрын
Ila kwanini unawatetea wanaume tu kwanini usiongelee pande zote, mimi naumia kwasabab unakuta unamfanyia Mwanamume Kila kitu lakini bado hatulii
@gideons52656 жыл бұрын
Mwalimu wangu unagonga hatari..... Am Gideon Lulabuka
@user-ui5ut6xp3z6 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa elimu
@rahmamusa11524 жыл бұрын
Somo zuri ubarikiwe
@estarmunuo42325 жыл бұрын
Good
@hellenjonson92475 жыл бұрын
Ntakua nampa mume wangu kila anapohitaji
@khalidkhalfan18826 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji ahsante kwa mafundisho
@gerwaldalwena12106 жыл бұрын
asante Kwa masonzo mazuri ya ndoa
@salehelufedha8336 жыл бұрын
Nice cut
@patrickmbogo18855 жыл бұрын
Duh ubarikiwe sana bishoop yanii mungu akupe maisha malefu somo nxuri sana
@mwandjammbandoci10293 жыл бұрын
Nimecheka sana ila umeongea point mwalimu, pumzika kwa amani
@moidasilwamba14826 жыл бұрын
Umeeleweka Mwl.
@aronmbele88286 жыл бұрын
Mmmmm safi
@fibioko89166 жыл бұрын
amen
@wilfredroberttv76194 жыл бұрын
Hii ni ukweli kabisa
@AliM-di8dz6 жыл бұрын
Jamani sasa mhhhh kila.. wakati tu kazi IPo.
@SirdickOmondi4 жыл бұрын
Halleluyaaah.....
@angelshoo11535 жыл бұрын
Huwa simkinai huyu baba sindano za moto kama kawaida 😂😂
@annamushy29205 жыл бұрын
Nimefrahi Bba ila wanaume hamrithikiii mmezidi kuchepuka mno,kila mnachokiona mnataka kufakamia hata kama umetoa kwa mkeo muda huo huo.
@barikiwa226 жыл бұрын
Sawa ila bado wanaume wengi ni waroho hata uumpe vp bado Hilo tendo ataenda inje kupata pia.
@bongetpinto27426 жыл бұрын
umempa mara ngapi kwa wiki na bado akaenda nje?
@mwashasule66895 жыл бұрын
Inategemea
@crispinankya74375 жыл бұрын
Hangay
@josej98885 жыл бұрын
Uzidi kubarikiwa mchungaji.
@elibarikimaussa9075 жыл бұрын
kweli ulichosema mimi mwenyewe naweza kila siku ni kwamba ninapotezea tu siku zingine
@zulfaibrahim67664 жыл бұрын
For sure,,,, daaaa....
@julianacharles98286 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂asiote anakumbizwa. Duh!isee 😂😂😂
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Haifai kutumika mwanamke kinyume na maumbile,imesahaulika hii , pamoja na siku za hedhi .
@happynesssulle83695 жыл бұрын
nice
@mwashasule66895 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@SallykenyaKenya5 жыл бұрын
Very nice
@enosjames93425 жыл бұрын
Asant kwa ujumbe wako
@mollelaloice3986 жыл бұрын
somo zuri kiukwel
@dengerengisaruni18595 жыл бұрын
Wewe ndoo mchungaji wa ukweli achana hawa watapeli wa siasa
@alexandrinadomaino98686 жыл бұрын
Onesmo Jeremia umenifurahisha
@innocentvalentinb524 жыл бұрын
Rest In Peace ✌️ my Paster
@josephinemkirindi36716 жыл бұрын
Thanks nimekuelewa mwalimu
@miltonnasony77855 жыл бұрын
good
@scolaroselaurent32674 жыл бұрын
Bwana asifiwe naomba nisaidie nachanganyikiwa simuelewi mume nisaidie nimechoka nipo Jirani na kanisani kwako napaje Huduma nisaidie nimefika mwisho
@gloryanistarick28484 жыл бұрын
R.I.P. tutakukumbuka kwa vingi.
@yudaseleman83204 жыл бұрын
Anaeolewa anakunywa bia kunandoa apo?
@christinewomanoffaith54796 жыл бұрын
👍
@hopeian42454 жыл бұрын
RIP Pastor
@pastorbugeraha65296 жыл бұрын
yaani ww mbaba unanibariki saaana
@albertoarcangel58595 жыл бұрын
😳
@akinyililian33306 жыл бұрын
Nani mwalimu wa ndoa ni mitimingi
@nisilemwalwiba46396 жыл бұрын
mtumish ubarikiwe sana nimeelewa sana na tusiishie kusikiliza Bali tubadilike
@neemajelemiah7666 жыл бұрын
kweli na ndo maana wsnaume wengi wanachepuka, Lol...