Jamani fundisheni watu neno la mungu kwa nini mambo ya kishirkina?
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
Tumrudie Mungu Ndugu zangu Mungu ni Mkubwa Tuache Maasi Dunia sio chochote hii Kila kitu tutakiacha na Tutarudi Kwake Sawa ndugu zangu!! Tuache Shirki pia ni Mbaya sana mungu hapendi... Hapo Vipi Kaka Salumu🤝🤝
@jemimajerome39718 күн бұрын
Hii ni sehemu ya sanaa ambayo mwandishi kama kutumia upande huo kuwakilisha watu wanaoishi kama hao
@Beb-r9v8 күн бұрын
@@OfficialDubu_tz😂😂😂ila dubu
@sosomokobiasharamgaya30208 күн бұрын
😂😂😂😂 Dubu
@CrsAlzaid8 күн бұрын
Kuna misikiti makanisa nadhani hizo ndo sehemu maalum zamambo ya mungu muachen kijana wetu afanye kazi zake kwa amani
@macklinafesto935818 сағат бұрын
Kazi nzuri dubu leo nimependa zaidi ❤🎉
@kondemagoh9 күн бұрын
Wakwanza timu dubu konde magoh apa 💪
@cynthiaagutu6979 күн бұрын
Kazi nzuri ila mnachelewesha sana❤❤🔥🔥🔥
@ArabiDua-ct8bl8 күн бұрын
Kazi mzuri ìla munachelewesha sana
@AzizahMbonde8 күн бұрын
❤❤ yan we dubu noma sana yan na big misondo
@fatumasaidmajero20508 күн бұрын
Hongera sana dubu much love❤❤❤
@KelvinDiksoni4 күн бұрын
Kazi nzur sana
@حليمه-خ3ح8 күн бұрын
Kazi safi big up manzee n vp muendelezo😊
@angeledga56514 күн бұрын
Chingi bana na sura lake kama sanamu la makubusho😂😂😂😂
@OmariJumaaWaziri8 күн бұрын
Duh Yan utani wao Hawa ndege wa Moto na nyani ngwengwe ni ubaya ubwela kweli😂😂 Kama unawakubali like hapa👍👍👍👏👏😊
@kayejipaul20 сағат бұрын
Wanafurahisha sana aisee
@Lidya-e1i9 күн бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉nikiwa wa kwanza leo nmengojea sana
@SophiaMabula7 күн бұрын
Jmn hawa wa2 watakuja kufa ndege wa moto ,ngwengwe duuuh ubaya ubwela❤❤
@ZaiLilanje8 күн бұрын
Kazi mzuri ila mnachelewa sana jamani🎉🎉🎉
@Dooh2949 күн бұрын
Wakwanza leo, wapi likes jamani, kazi nzuri dubu🎉🎉❤
@GolingoIbenzi8 күн бұрын
Mnachelewesha sana kazi zenu mpaka zingine mnaziachia njiani
@Mainatongwe8 күн бұрын
Nimechelewa jmn siombay kazi nzur udugu wangu dubu
@RayvannyAli8 күн бұрын
Kazi mzuri ila munchelewesha sana ❤ @Rayvanny 🐅🇲🇼🇲🇼
@Mizaname5 күн бұрын
Ahhhh utani basi,Aishi mpaka iishe noma sana🫵
@HatungimanaRahma-r7l8 күн бұрын
Iyi team naipend sna kwasabab movie zao ni fupi sana alafu nzur ❤❤onger snaa dubuuuuu
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🙏🙏
@doctorsharifusharifutibatv84698 күн бұрын
WAKO vizuri sana
@Joan-c2r8 күн бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri from Kenya
@KhadijaMasoud-m6u8 күн бұрын
Kibonge jiniasi kwa kufanya mabaya ndo akili hy😂😂
@Hatungimanaiddympolebamarire8 күн бұрын
Munacherewesha ao ndoyule msemo bizuri habitaki harakaaa dubuu salut
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🙏
@ZaituniRajab-n2x6 күн бұрын
Mwenyez mung tu awasaidie kwa kila jmbo maan team dubu kusema ukweli wapo vzr na nawakubali ❤❤kinoma mwaaaah na poleni kwa na changamoto mnazokabiliana nazo 🤭😍🤭😍
@OfficialDubu_tz6 күн бұрын
Tunashukuru sana Mungu akuongezee na wewe pia❤️
@KisingeliTalent-d6g9 күн бұрын
Aya nyan ngwengwe wangap hapo namba moja nimetulia hapa 😂😂😂
@MichelleSwai7 күн бұрын
Nimeipenda Sanaa hizi episode kuanzia ya episode ya 4 -6 tamuu Sana maana ni nzr aisee nipo chini ya magoti yenu tupeni episode ya 7-15.
@Msaniitz8 күн бұрын
Dubu kazi nzuri sana🎉❤
@EuticusWabwire8 күн бұрын
Jamani huku Kenya tunangoja next episode,, watching it from Nairobi Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JoyWairimu-qv5gp8 күн бұрын
Wew eleze
@Brunotarimo108 күн бұрын
Kazi nsuri sana dubu, from Gikombaa nairobi
@Maryam-e2x8p8 күн бұрын
Mandonga yuasumbuliwa na mapenzi❤❤❤🇸🇦
@HatungimanaRahma-r7l8 күн бұрын
Jamanii tupeni muendelezo wa fortune 😢😢😢
@neemahajj8 күн бұрын
Kwa mara y kwanz dubu amezuia kombora🤭👊uko juu🔥🔥
@machozimukucha8 күн бұрын
Nawakubali sna pia nawapenda sn kwakazi Nzuri munazo zifanya❤❤❤🎉🎉🎉🎉💯💯🔥🔥🥰
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🙏
@OmmyDseven8 күн бұрын
Bro mko vzr sanaa kitolondo noma ila mkitoa kwawakaty ndy mtazid kukua lkn mnachelewesha sanaaa maua yenu🎉🎉🎉
@ggfwtgg16528 күн бұрын
Mi nacheka nyani ngwengwe na mwalimu moto 😅😅😅ubaya ubwela 😅😅😅
@Lea-tj5kf8 күн бұрын
Nljua kamuona jmn dubu kumbe ndoto😮gud job kaka
@Samiyabahatinanti7 күн бұрын
😁😁😁🤣🤣cingi ananiuwaga sana
@AliMunga-c8n7 күн бұрын
Kazi nzuri bro dubu big up sana
@RizikiZiki8 күн бұрын
Kiti moto na Nyani Ngwengwe munamambo nyiye ongera Dubu kwazi nzuri🎉🎉🎉🎉
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🙏
@aishaomar22878 күн бұрын
Yani dubu😂😂😂 ukaamua umfushe mdada wa watu na marashi adhimu😅
@Ludovickmunishi8 күн бұрын
Aiishi adi iishe 😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela
@MercyOdera-d2r8 күн бұрын
Kazi safi sana dubu
@JaphetKarisa-d4g8 күн бұрын
Yeeees kitorondo umeweza kuivuta fimbo
@DanielMepukori8 күн бұрын
Hae
@kingyohaner48558 күн бұрын
Kazi nzuri saana dubu❤❤❤
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🙏❤️
@Mizaname5 күн бұрын
Dubu umeziwia kimbola noma sana
@RyanGerald-j2u8 күн бұрын
Kazi nzur sana🎉🎉🎉
@MaimunaNangabo8 күн бұрын
😂😂😂jamani mwalimu moto unanifurahisha sana 😂😂❤🎉🎉❤❤hongera
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🙏
@JoyWairimu-qv5gp8 күн бұрын
2naogoja sana nawapenba san
@Kaske-bleumartin9 күн бұрын
Nice from merekani wa kwanza leo
@HappyMoses-rt1nv8 күн бұрын
Nainjoy sana❤❤❤❤🎉🎉🎉
@JosephineApondi-m4i8 күн бұрын
Kazi zuri sana dubu❤❤❤
@esterkimalio88468 күн бұрын
Mandonga acha wivu,,,na acha roho mbaya
@SophiaNdagwa7 күн бұрын
Good job dubu na team yak🎉🎉
@MillicentMoraashMongeri-s8p8 күн бұрын
Nimeipenda hiyo❤❤❤❤❤wauh
@saumjuma39407 күн бұрын
Jamani harryporte unachelewa Sana na hilo abaya vua vaeni kam chingy mbon movie zote havaagi mabaibui
@ashamwanganzi64008 күн бұрын
😂😂😂ubaya umbwela nyan n mtumishi moto nyie 😂😂😂😅
@alfredtebeka24976 күн бұрын
Jamani mbona kitoronto ni mzuri❤❤ kama uwa🌹🌹
@OfficialDubu_tz6 күн бұрын
🥰
@EzekiaMsemwa-sk7ow8 күн бұрын
Wahisha mnachelewa sana wanaaaaa
@ThamaratiHamisi8 күн бұрын
Dubu nakupenda we kaka, unaniondolea stress zote nikiwa naangalia kazi zako, unajua alafu unajua tena
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🙏
@RajuShabani8 күн бұрын
Asante dubu
@Newtonwafula-g3s8 күн бұрын
tubu tunataka 7 tunakupokesa sana kazi yako sisi wake🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko na wewe
@ibrahimukombe8 күн бұрын
😂😂😂😂😂dubu nakuaminia kwa Leo 😂😂😂😂 umeniweza umezuia kimbola Leo😁😁😁😁😁
@OfficialDubu_tz8 күн бұрын
🤣
@kangamnhamajanja8 күн бұрын
safi dobu
@Awoshy6 күн бұрын
Siunajua Dubu ndio michezo yake ya kujifunika uso😂😂😂😂😂😂😂ila kimbola 😂😂😂kitakuja kiwauwe wanafunzi wallah sio kwa kuanguswa huko😂😂😂😂😂😂
@lizchepkorir20008 күн бұрын
nyani mgwengwe na mwalimu moto mtakuja kuniua jameni😹😹😹safi sana Dubu 🎉🔥🔥🇰🇪
@ButoyiRukiya8 күн бұрын
Namimi wataniwuwa😂😂😂😂
@fatumaselemani38078 күн бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤mbona autumi linki jamani
@JenipherMsisi8 күн бұрын
Mnatuweka Sana jaman❤🎉🎉
@paulrimba6548 күн бұрын
Good job dubu and crew, much love from Kenya
@MaSuzy-zf8ol8 күн бұрын
😂😂😂😂jmn mbona ujapa tena😂😂😂
@QueenTelly-y5h8 күн бұрын
Safi sana ilamnachelewesha
@bonifacedaniel-ng2hf4 күн бұрын
Happy nikweli fundisheni watu kua dunia iko mwishoni jamani wamgeukiie munga atuokoe amen
@OfficialDubu_tz4 күн бұрын
❤️
@AnganileMendamenda5 күн бұрын
Kunvt vng sana vya kujifunza ktk move hii ingawa watu tunaitazama kwa upande was Imani lkn tunapaswa kua makini kwa Kila jambo kama chobi