Jamani wana familia mshaurini huyu mzee aachene na hili jambo... ameanza kupauka anaanza kukosa raha yaani anajikaza tuu....😢😢😢 Atakondeana soon... mtihani kwa kweli...... Hataweza kushinda
@reginaldmapunda67022 ай бұрын
Magoma ni mio goni mwa wale waliokuwa wanajinufaisha na maisha yao yalikuwa yanategemea Yanga. Kukosa nafasi ile imemtia kichaa na kuwa tayari jushirikiana na wahuni wasioitakia mema timu ya Yanga. Hata kama ni kweli katiba imekiukwa bado hatua alizochukua hazifanani kabisa na mtu mwenye kuipenda timu yake kwa jinsi alivyokosa hekima, busara na uvumilivulicha ya umri wake, hasa ktk. kipindi ambacho hoja yake aliileta hadharani kwani Yanga ilikuwa na majukumu muhimu ya kutekeleza. Katiba ya Yanga haizuii mtu yeyote kusema hoja yake kwenye vikao halali vya wanachama halali. Unajiuliza alikimbilia kwenda mahakamani kwa sababu zipi , halafu leo anasema yuko tayari kukaa mezani kwani hiyo meza ilikuwa haipo pale alipoamua kwenda mahakamani? Huyu lazima awe ni mfano kwa watu wenye roho za kibinafsi kama huyu. Huyu alipe hizo pesa watu wakapate supu pale Jangwani.
@LinusKyando2 ай бұрын
TARATIBU ZILIFUATWA NDIO MAANA KATIBA ILIBADILISHWA NA WALIOWENGI
@IssaMatandi2 ай бұрын
Magoma ni kichaa.
@mussammanga77912 ай бұрын
Kizungumzwe nini, katiba imeshapitishwa na walio wengi.
@kibiritizuberi93612 ай бұрын
Njaaaa hiyo TU hamna chochote
@deusdeditkullwah55862 ай бұрын
Anaweza akakubari yaishe lakini kumbe snakwrpa kesi ya kugushi mbeleni skakianzisha Tena hamulioni hilo?
@kanyeshahigirimana56862 ай бұрын
Umewaza kama mimi
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
Waandishi nao wana ushabiki sana
@batashqiraa99362 ай бұрын
Watu wote hawajui kuwa katiba imekiukwa ama laa ajue yeye magoma tu peke yake!!!! aaaaaa wewe mzee mimi naona upelekwe mirembe ukapimwe akili, maana ktk taasisi yenye wanachama zaidi ya milioni 2 akatokea mmoja akawaona wote hao hawana akili ila yeye ndio ana akili basi ujue yeye ndio hamna kitu ni box tupu, apelekwe mirembe akapimwe akili
@kimwerihamza41522 ай бұрын
Sasa kila mwanachama wa yanga nae atake kuongea na uongozi wa timu hapo patakuweje sbb yanga ni taasisi kubwa ndani na nje ya nchi na kote kuna wanachama,kifusi wazee kama hawa aidha hawako vzr kiakili ila walipata viongozi wa kuwalea kipindi chao,atupishe tu kila zama zina nyakati zake,hiki ni kipindi cha GEN Z
@majaliwabwitonde69002 ай бұрын
Asubiri kwenda jela
@abdulkheri73222 ай бұрын
Magoma moto alishazoea posho enzi za manji, saiv mambo hayo hayapo 😂
@jimmymnuano71652 ай бұрын
Kaka yangu huyo Magoma na mwenzake ni wapigaji mwanzo waliwahi kumpiga marehem Manji walivuna maganda lakini sasa hivi wamekutana na watoto wa mjini imekuwa ng`adu kwa ng`adu
@rayisadesigns26462 ай бұрын
😂😂😂 ng'adu kwa ng'adu 😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bf2 ай бұрын
UYO MAGOMA ATUMTAMBUI SS KAMA YANGA
@LinusKyando2 ай бұрын
MEZA YA NINI WE WAKILI
@IssaMatandi2 ай бұрын
Huyo chizi afugwe tu.Nani aongee nae na wewe mwanasheria wake ni kichaa pia.
@RabsonSalmon-ys7bf2 ай бұрын
Uyo madramsi"😂 ana sumbuliwa na njaa afu kwani yy ninani pale yanga!?
@reginaldmapunda67022 ай бұрын
Magoma ni katika wazee wanaoishi kwa figusu hapo bongo lakini safari hii imebuma. Wacha safari hii aliwe yeye. Hakuna kumhurumia mshenzi huyo.
@happinessmwisse11522 ай бұрын
Wewe mwanasheria unamlia pesa tu huyo mzeee una lolote
@IssaMatandi2 ай бұрын
Ni vitu gani? Hana akili timamu.
@elipidiusgerazi19242 ай бұрын
Meza ya nini aende mahakamani
@GabrielSky642 ай бұрын
Kwani Nini faida ya mashabiki wa timu si furah tu kikubwa Timu yake ifanye vizuri au labda si wengine hatujui faida Nyingine
@kanyeshahigirimana56862 ай бұрын
Ndo hapo sasa 😊😅
@checkchannel38762 ай бұрын
Yaani yeye huyo kidampa ndio mwenye nia njema sana na Yanga kiasi kwamba anafikia hatua ya kufoji sahihi za akina Mama Fatma Karume?
@TalibaliMuhajir2 ай бұрын
Yetu machotu wachainyeshe tutaona panapovuja
@peterstewart99352 ай бұрын
Azungumze na Yanga nini?wakat siyo mwanachama...anajipaje umuhimu sana katika mambo ya watu?na nyie wanasheria mna wajibu wakumshauri kuwa aheshimu maamuzi ya wengi,wanachama wa Yanga wengi wameamua kuendesha club yao kwa namna hiyo anayopingana nayo yeye,hata kama wanakosea ila ni wao wameamua..yeye alishajitoa kuwa Yanga,haimuhusu tena hiyo.
@stanastana31992 ай бұрын
Magoma apewe timu
@babaharunakipindula38952 ай бұрын
Wazungumze naye kuhusu nini unajua kuna vitu vingine vya kijinga sana