No video

MAGORI ASEMA SIMBA ITAISHTAKI FIFA COASTAL UNION KUHUSU MCHEZAJI LAWI

  Рет қаралды 47,180

MIMI ONLINE TV

MIMI ONLINE TV

Күн бұрын

Mjumbe wa Bodi ya Timu ya Simba SC kwa upande wa Mwekezaji Mohammed Dewji Mo, Crescentius Magori, amepangua hoja dhaifu za uongozi wa timu ya Coastal Union unaodai kuwa mchezaji Lameck Lawi aliyetambulishwa Simba jana bado ni mchezaji wao, na kusema wataishtaki Coastal Union FC na hiyo klabu nyingine ya nje inayomhitaji Lawi. Akihojiwa na E FM.

Пікірлер: 44
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 2 ай бұрын
Mwamba mwenyewe Magoli Hadi moyo wangu sahiz unapumua kwakurud mzigoni watu wakazi nafarujika sana
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 ай бұрын
Yanga ninyi mwaka huu mnakazi kubwa tajiri amerudi mnalo
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 2 ай бұрын
Jasusi la mpira linaungurumaaaa😂😂
@CharlesAlly-jp1ms
@CharlesAlly-jp1ms 2 ай бұрын
Hakuna raha kama kujua sheria
@molenicharles9107
@molenicharles9107 2 ай бұрын
MWAMBA anatema madini🤣🤣💪💪
@makamelila
@makamelila 2 ай бұрын
Viongozi wa coast njaa inawasumbua na haya mambo ya kutumiwq na watu wengine ni mabaya sana wait wamevurunda sasa wanatafuta na wengine wawavuruge lakini sio simba
@angazatv2050
@angazatv2050 2 ай бұрын
Cost Si wapereke ofa kwa simba iwauzie tena
@AnnaNdoss
@AnnaNdoss Ай бұрын
Kwani Mbona Wanatamaa
@hamisimwakatobe706
@hamisimwakatobe706 2 ай бұрын
Simba ina viongozi wasomi sana hapa Tanzania kwa hiyo hizo ni inshu ndogo sana kwao
@user-qg9ps1yf6w
@user-qg9ps1yf6w 2 ай бұрын
Costi wababaishaji hawana sela
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 2 ай бұрын
Wameingia tamaa ya mlungula mrefu😂 Nawashauri wafuate makubaliona ya kimkataba. Laa sivyo watafilisika muda si mrefu. Mungu awajaalie salama wasifikie huko.
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v 2 ай бұрын
Nyuma yao yanga yupooo washindwe nawalegeee simba nguvu moja
@KakeSimba
@KakeSimba 2 ай бұрын
Nguvu 1.
@muddsaid-kn2dq
@muddsaid-kn2dq 2 ай бұрын
mimi nishabiki wa coastal union kindakindaki ila kwa lameki lawi tusishawishiwe tukaingia kwenye mgogoro kisheria tutashindwa tusiingie kwenye huu mtego
@JobnManase-gh2fp
@JobnManase-gh2fp 2 ай бұрын
Coastal viongozi wao wacheni tamaa na ulafi
@claudsaprapasen9068
@claudsaprapasen9068 Ай бұрын
Coast U acheni utoto!
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 ай бұрын
Simba siyonwababaisha kama wengine costal msalimu amri kabla hajafilisiwa
@mmsfuzzsba3816
@mmsfuzzsba3816 2 ай бұрын
COASTAL WAMEINGIA TAMAA
@AbdulrahmanMiraji
@AbdulrahmanMiraji 2 ай бұрын
Viongozi wa Coastal Union wapewe mafunzo ya kanuni za usajili naona wanaanza kuvimba vichwa
@hamidmussa838
@hamidmussa838 2 ай бұрын
Hawa coast washamba sanaa!
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 2 ай бұрын
Mwenye simba yake ameshaanza mambo yake
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v 2 ай бұрын
Simba niwakimataifa wako makini siyojanjajanja
@KakeSimba
@KakeSimba 2 ай бұрын
Awa kost niwajingasana
@DeogratiusMponda
@DeogratiusMponda 2 ай бұрын
Yànga mnashida
@msangazimsangazipapaandomb8761
@msangazimsangazipapaandomb8761 2 ай бұрын
Coastal Union wanatumiwa na upande wa 2. Viongozi wa Coastal wameahidiwa pesa ndefu na mfadhili wa upande wa 2.
@LorynNila
@LorynNila 2 ай бұрын
Coast sio waelewa
@januarysungura8119
@januarysungura8119 2 ай бұрын
Wakawaulize yanga na morisoni
@JuhudiKasanga-yq5ks
@JuhudiKasanga-yq5ks 2 ай бұрын
Rudisha mchezaji wa watu hata mgunda mlimwiba nyinyi majambazi TU wote watoto wa mudi na mudi mwenyewe aibu kweli mpaka costal mnampiga kweli kama kufulia ndo kwishilia mbali kabisa
@monelayongola419
@monelayongola419 2 ай бұрын
Hujui Soka na unaongea kiushabiki. Wenzio wametoa hoja na ufafanuzi. Wewe upo na maneno na hisia zako. HUJAELEWA ufafanuzi au ??. Ikiwa hamriziki. Nendeni FIFA. Mpira Ni wa FIFA sio wa Simba au COASTAL. Mbona kaeleza vzr .
@muddsaid-kn2dq
@muddsaid-kn2dq 2 ай бұрын
huyu jamaa hata ajui watu wanaongea nini kisa kashika kicm chake cha kutachi bas kamsliza ongea vitu vya msingi bro
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu Ай бұрын
Kakojoe ulale maana unatoa Povu hataa Unachoongea hujui
@drvaxminja2133
@drvaxminja2133 2 ай бұрын
Simba inalazimisha tu
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 2 ай бұрын
Inalazimisha nini?
@janeemmanuel3615
@janeemmanuel3615 2 ай бұрын
Acha uongo
@deuckuligwa3645
@deuckuligwa3645 2 ай бұрын
Weka ukwel bas ili tuamin kama ni uongo
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 2 ай бұрын
Ukweli ukoje?
@mazengojohn2090
@mazengojohn2090 2 ай бұрын
Mambo ya kishamba ayo toa hela chukua mchezaji
@a.msanga1621
@a.msanga1621 2 ай бұрын
Shida yako hapo ni uelewa
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 2 ай бұрын
Sio zabibu hizi. Acha ushamba mgogo wewe kaweke ndonya.
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 2 ай бұрын
SIMBA ACHENI UTAPELI
@januarysungura8119
@januarysungura8119 2 ай бұрын
Matapeli wazidi yanga ?
@monelayongola419
@monelayongola419 2 ай бұрын
Kama Simba Ni matapeli, nendeni FIFA mkashtaki . Lkn kiukweli LAWI Ni Mchezaji halali wa Simba s. c. Acheni kupngea kinyuma mwiko bila hoja. Umeshasahau mlilialia kwa MORRISON na tukawashinda Hadi FIFA ??.. utaitaje Utapeli Watu wanafafanua Hadi vifungu na kanuni. NYIE mns uholela ndio maana mnafungiwa hata kusajili . SIMBA wapo smart. Acha kuongea usivyovojua. Sikiliza hoja
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 2 ай бұрын
Jane Huu mpira Sio Danguro. Mjini Moto Zanzibar kabiriti. Iweke kwenye pochi.
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 28 МЛН
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 7 МЛН
STEVEN MUKWALA DESE ! GOALS AND ASSISTS HIGHLIGHTS 2023/2024 SO FAR
3:42
Mukwala Steven dese
Рет қаралды 182 М.
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН