#mahubiri MAOMBI MAALUMU DHIDI YA MKWAMO MAISHANI (OFFICIAL VIDEO)| PR.DAVID MMBAGA

  Рет қаралды 10,511

MAHUBIRI TV

2 ай бұрын

Пікірлер: 113
@Joy-mm1ut
@Joy-mm1ut 2 ай бұрын
Amina mungu azidi kukutumia nimekwesha kufungulia na magonjwa yamepona yesu atukuzwe
@reginaburetta2304
@reginaburetta2304 2 ай бұрын
Namwombea rafiki yangu Mungu akampatie mbaraka wa watoto
@christinamafuru4784
@christinamafuru4784 2 ай бұрын
Mungu akubariki nilipoteza tumaini lakini kupitia mahibiri hayo Mungu amenipa tumaini jipya l
@zenasmjema4050
@zenasmjema4050 2 ай бұрын
Kwa Mungu Kila jambo linawezekana naomba maombi ya kuombea familia yangu naomba nipate amani ya moyo na niwe mtu wa kusamehe.kuwaombea wazazi wangu na mkwe wangu wapate kumjua Mungu na kumtumainia.maombi ya biashara yangu ipate wateja zaidi .
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 2 ай бұрын
Mungu akubariki pastor Kwa somo hili hakika mungu akuzidishiee hekima Na kibali kikumbwa
@nancymtana1812
@nancymtana1812 2 ай бұрын
Mungu anikumbuke kila ninaloanzisha linakufa,
@dafrosasunguya7833
@dafrosasunguya7833 2 ай бұрын
Namuombea mwanangu Arnold,Mungu jifunue Arnold akapokee Ajira ya kudumu kutoka kwako Bwana Yesu Kristo
@JaphetKatemi
@JaphetKatemi Ай бұрын
Somo hili limenitianguvu nyingi katka maisha yangu Bwana akubariki . Aminaa
@bahatiobambo
@bahatiobambo Ай бұрын
Nimesikiliza somo hili baada ya mwezi sasa toka somo limetolewa lakini kwa Imani MUNGU Ametenda.....nmefunguliwa Ahsante MUNGU.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Ай бұрын
Ameeen
@josephinemapande5221
@josephinemapande5221 2 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe naomba mniombee kwa ajili ya familia yangu watoto wangu kazi za mikono yao afya zetu tumtegemee Mungu katika maisha yetu yakila siku
@lucykihara4638
@lucykihara4638 13 күн бұрын
Shalom nimebarikiwa sana kwa maombi haya.najua kuna mabadiliko kwa familia yetu.amina
@eliyakatembo416
@eliyakatembo416 2 ай бұрын
Amen..nimebarikiwa sana ..pr. Bwana akubariki
@rahabumorro4148
@rahabumorro4148 2 ай бұрын
Nina muda sifuatilii haya mahubiri lakini leo nimesikia msukumo wa ajabu kusikiliza Asante sana Bwana Yesu
@MARIE-iy4bx
@MARIE-iy4bx 14 күн бұрын
🤲🙏,Naamini kupitia mahubiri haya wanangu watakombolewa ...
@makabwakabichi2321
@makabwakabichi2321 13 күн бұрын
Amina nazidi kubarkiwa na kufunguliwa na nafeel aman rohoni mwangu🙏🙏
@anastaziatemba5490
@anastaziatemba5490 21 күн бұрын
Nimebarikwa sana nimeipona ugonwà wa mwili nanilishakata tamaa mana sikuwa naweza kuomba tena.natamani nipate Musa wakuongea nawe kama utapata kibali kwa mungu
@HOPEBIBLENETWORK
@HOPEBIBLENETWORK 2 ай бұрын
Shadrack... Naomba uponyaji wa macho ambayo yamenisumbua kwa miaka zaidi ya 10...na kufunguliwa toka katika nguvu za giza zinazonifuata na nguvu zinazoniletea mikwamo katika maisha yangu hasa ya uchumi
@user-fw6kh3cb4i
@user-fw6kh3cb4i 2 ай бұрын
Naomba uniombee nipate uponyaji napitia magumu ya maisha
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 ай бұрын
Mungu akutendee
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 ай бұрын
Mungu akutendee
@helenmugure3796
@helenmugure3796 2 ай бұрын
Naomba niweze kupona
@ElibarickAllex
@ElibarickAllex Ай бұрын
libarikiwe jina la yesu, nimependa mafundisho haya
@elishafelesiano
@elishafelesiano 2 ай бұрын
Pastor hakika Mungu amekuleta Kwa wakati wake nabarikiwa sana kwa neno lako uchumi wangu umefunguliwa shauku yangu ni kujitegemea kiuçhumi yaani kujajili nikitengenezewa njama kazini lakini kupitia neno hili unalofundisha nimekula nikiliamini nakwambia pastor aliyetaka kunifukuza kazi yeye ndiye amepewa barua ya onyo ya kufukuzwa kazi namshkuru sana Mungu
@fredrickjoseph4962
@fredrickjoseph4962 Ай бұрын
Nabarikiwa Sana pasta navipindi vyako MUNGU wetu akubariki sana
@AndrewChirisant
@AndrewChirisant 2 ай бұрын
ombi langu naomba mungu amupe mwanangu mudogo afia njema
@caromokaya4959
@caromokaya4959 2 ай бұрын
Mchungaji ombea familia yangu iweze kufunguliwa kutoka umaskini na kizazi chetu kiweze kuendelea
@user-cr1nk1zc5s
@user-cr1nk1zc5s 2 ай бұрын
Umasikini Sio ugonjwa ukifanya kazi Kwa bidii utaukimbia umasikini na uamini katika kile unacho omba MUNGU
@raelmsafiri
@raelmsafiri 2 ай бұрын
Ombea mdogo wangu anugua kisukari na ana kidonda kikubwa sana
@masterking534
@masterking534 2 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwema nime barikwa sana kwenye iki kipindi
@scolaebenezer4538
@scolaebenezer4538 2 ай бұрын
NAWAOMBEA wangu Mungu awapatie kazi za kudumu kuwainua kimaisha
@scolaebenezer4538
@scolaebenezer4538 2 ай бұрын
Naomba uniombee duka langu likue,maanalimedumaa sana
@winfridangulimi6499
@winfridangulimi6499 2 ай бұрын
Pr David Mmbaga kwa neno la Mungu kupitia kinywa chako naomba Mungu aniinue ktk uchumi wangu pia afya njma
@SuzanShayo
@SuzanShayo 13 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI BABA UMENIPA MAJIBU YA JARIBU NINQLOPITIA NIMARAYAKWANZA KUKUSIKILIZA
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 Ай бұрын
Barikiwa sana
@mtumishiraymond2001
@mtumishiraymond2001 2 ай бұрын
Amina
@HellenMwakatundu
@HellenMwakatundu 2 ай бұрын
Namshukuru Mungu Leo nilikuwa nasikiliza mahubiri tonses zilikuwa zimenibana baada ya maombi Mungu ameniponya kweli Kuna nguvu za Mungu tuamini jaman
@MichaelDisanto-zq6fk
@MichaelDisanto-zq6fk 2 ай бұрын
Nimepona kwa jina la Yesu Amen
@dafrosasunguya7833
@dafrosasunguya7833 2 ай бұрын
Naomba UPONYAJI wa UCHUMI wangu,Mungu aguse hazina za wale aliowainua Kuni support kimitaji Ili wakatimize kama walivyoniahidi KATIKA JINA la Yesu Kristo, Amina
@winfridangulimi6499
@winfridangulimi6499 2 ай бұрын
Pr mtumishi wa Mungu aliye hai kwa neno lako naamini nimekuwa juu sana kiuchumi asante sana pr
@kadzocharosilver411
@kadzocharosilver411 22 күн бұрын
Mungu niombeje kiusahihi
@user-ev9yp5zc4m
@user-ev9yp5zc4m 2 ай бұрын
Mafundisho haya ni yangu kabisa... Ndoa yangu...Uchumi wangu ...madeni mengi kuliko mshahara...ukoo unanitegemea....Lakini nimepata Tumaini ktk kusikia fundisho hili.,. Naamini MUNGU nisaidie kutokuamini kwangu
@margaretnthenya-up5gt
@margaretnthenya-up5gt 2 ай бұрын
Amina..Magret naamini Mungu anaona mikwamo yangu...na akafugue familia yangu.🙏🏽
@OwenMbogela
@OwenMbogela 2 ай бұрын
Mchungaji barikiwa sana nimeanz kufatilia mafunzo haya baada ya familia yetu kuondokewa na mpendwa wetu ambaye alkuw n nguzo katika familia yetu(BABA) na tukawa katika Sinto faham ya jinsi Gani tutaweza kwenda baada ya Yale yote.....Lkn nashuhudia ukuu huu wa mungu familia yetu inazd kufunguliwa zaid na zaid tofauti na watu walivyokuwa wadhani .... BARIKIWA SANA MCHUNGAJI 🙏🙏
@johnchacha4888
@johnchacha4888 2 ай бұрын
Ahsante Yesu kwa uponyaji
@mozabayabanda4248
@mozabayabanda4248 2 ай бұрын
Moza naomba nipone magonjwa yangu yote maumivu ya miguu maumivu ya kiuno naomba mungu aniponye
@AnnaSamwel-ww6nk
@AnnaSamwel-ww6nk 2 ай бұрын
Ninaomba muimbee familia yetu upendo, mshikamano utawale ktk maisha yetu
@francoisendunga
@francoisendunga Ай бұрын
Amen nimebarikiwa 🙏
@godelivesifa7473
@godelivesifa7473 2 ай бұрын
Nimefunguliwa kwaimani ndowatangu maishayangu nafamiliya yangupiya katikajinalayesu
@johnsonbhugomola3033
@johnsonbhugomola3033 2 ай бұрын
Mchunfaji namshukulu mungu kwa kukutumia utufungue akiri na nakuomba umuombee baba angu mashaka aokoke atoke kwenye vifungo mbal mbali
@SimonMuhuneKitule
@SimonMuhuneKitule 2 ай бұрын
Pasta asante kwa fundisho hili, kweli ninaamini kuwa mangwanjwa yangu yamekwisha, prostate imekwisha, watoto wote wamefaanikiwa, na hivi Mungu anaogeza tena njia ya mapato yangu
@mamdaliko2362
@mamdaliko2362 2 ай бұрын
Amen pastor
@aumamadina7100
@aumamadina7100 Ай бұрын
Asante mungu nimebarikiwa🙏
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 2 ай бұрын
Ukweli kabisa unasema mambo ya ukweli nimeokoka lakini nateseka sana miungu ya kwetu tunaokoka tunaanguka.hakuna hata mmoja amekaa kwenye ndoa,vijana wetu wanavuta bangi walevi wagomvi na hawakuwa hivyo.naomba MUNGU atume NENO moja familia ya AGUSTOR MSARIKIE wapate wokovu.ubarikiwe mchungaji Amina.
@AgnessMrutu
@AgnessMrutu 2 ай бұрын
NAMSHUKURU MUNGU KWA AMANI YAKE
@LvnessGio
@LvnessGio 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana..
@kitunzaesperance3250
@kitunzaesperance3250 2 ай бұрын
Mungu asifiwe
@user-jl1cn4ke5j
@user-jl1cn4ke5j 2 ай бұрын
: naomb Mungu anirudishie mkewang
@user-dk3xi4pz7o
@user-dk3xi4pz7o 2 ай бұрын
Amina Amina
@furahakitumainiJoséphine
@furahakitumainiJoséphine 11 күн бұрын
Muombee mama yangu anamatatizo
@joshuakitina4929
@joshuakitina4929 2 ай бұрын
Mungu amenipatia amani ya moyo na tumaini jipya kupitia somo hili Mungu akubariki mchungaji
@user-hs8mx6du7o
@user-hs8mx6du7o 2 ай бұрын
Anaamini Mungu amenitendea
@EulaliaChristopher-qs9mn
@EulaliaChristopher-qs9mn 2 ай бұрын
Ombea family yangu
@RachaelMbeyu
@RachaelMbeyu Ай бұрын
Pastor naomba familia yangu kiuchumi kimaisha naomba mungu atutoe kwa wakat huu mgumu
@olphanyamweya3154
@olphanyamweya3154 2 ай бұрын
Ni kweli mchungaji wengi tumekwama Kwa sababu hatujapata utakazo.
@tsongonadine386
@tsongonadine386 2 ай бұрын
Nanamushukuru Mungu kwakuniponya nilikua naumwa mkono lakini ulipo omba mkono wangu ukapona Mungu akubariki
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 ай бұрын
Ameeen
@helenmugure3796
@helenmugure3796 2 ай бұрын
Nina imani siku yangu ya kufunguliwa ni leo .Nina amani na imani katika jina la Yesu .maombi yang ya mda mrefu yamejibiwa.
@totoothindi4233
@totoothindi4233 2 ай бұрын
Naomba maombi ya familia yangu hasa kwa kijana wangu Jayden hasibadilike vile ameenda secondary na mimi pia niondolee madeni niko nazo mingi...wanisamehe kwa hizi madeni niliingia bila kujua. Nimepitia mengi.
@godelivesifa7473
@godelivesifa7473 2 ай бұрын
Amen amen amen nimefungulìwa katikajina layesu kristo wanazaret
@JaliwaAdamu
@JaliwaAdamu 2 ай бұрын
Hakika Mungu akubariki sana...ni kila siku lazima nipitie video zako naona mabadiliko makubwa kuielewa biblia
@yvesirankunda2002
@yvesirankunda2002 2 ай бұрын
Japo kuwa nasikiliza somo hili baada ya siku nyingi,siku hiyi,nina imani kwamba leo ntapokea muujiza wangu kwa jina la Yesu. Amen
@francoisendunga
@francoisendunga Ай бұрын
Amen nimebarikiwa🙏🙏🙏
@user-gw9cs8km3o
@user-gw9cs8km3o 2 ай бұрын
Naomba uniombee mtoto wako anaamka usiku Analia bure miaka nane ukimuuliza Hana sababu Niombee nimekwama miaka mingi peza zangu hazitulii Niombee mamaangu mzazi anasahau hajielewi Niombee nijue kuomba Mungu azidi kukubaliki mchungaji
@irenealimasi8657
@irenealimasi8657 2 ай бұрын
Na mimi siku zote hizi nasikiya pembeni nakichwa panauma naomba mungu anifungue.
@janeonsarigo6206
@janeonsarigo6206 2 ай бұрын
Asante pastor Mmbaga.Nahitaji maombi kwa mjukuu wangu Neviah ajue kuongea.
@happinessmongare4311
@happinessmongare4311 2 ай бұрын
Ombea familia yangu na my aproval visa in jesus name
@likatiabunuas2701
@likatiabunuas2701 2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@jacintasyombua7512
@jacintasyombua7512 2 ай бұрын
Naomba kufunguliwa milango biashara yangu imeenda chini Sana
@mozabayabanda4248
@mozabayabanda4248 2 ай бұрын
Ubakiwe sana Mchungaji
@ElibarickAllex
@ElibarickAllex Ай бұрын
kiusema kweli,, kwetu hakuna aliye soma, ushirikina, wazazi hawana ndoa,
@stellahkiboi
@stellahkiboi 2 ай бұрын
Uniombee nipate riziki pia na jamii yangu
@danielmwakatumaakimu1050
@danielmwakatumaakimu1050 2 ай бұрын
Mchugaji nashukuru kwa ajili ya kipindi hiki.maana Mimi mambo yangu biashara zangu zimekwama na nimebaki na deni kubwa na nimekata tamaa.lakini kwa neno lako mtumishi ninaamini nimepona.ubarikiwe sana.
@MariamBusele
@MariamBusele 2 ай бұрын
Nmeamini mwanangu amefunguliwa masomomo yake maana glafla alikua kubadilika Ila sasa MUNGU ametenda🙏🙏
@andersonmwazala9654
@andersonmwazala9654 2 ай бұрын
Naamini mtoto wangu anatembea Anderson from NRB
@johnsonbhugomola3033
@johnsonbhugomola3033 2 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana u
@JoselineMlama
@JoselineMlama 2 ай бұрын
Nasumbuliwa na mambo nisiyoyajua naomba maombi
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 2 ай бұрын
Amen namshkuru mungu nimeaka Salama
@ChristineBinsari-ql5bf
@ChristineBinsari-ql5bf 2 ай бұрын
ombea familia nyangu na pia wenye wamepoteza familia zao kwa mafuriko. mungu awafariji
@ishmaelsimon6617
@ishmaelsimon6617 2 ай бұрын
Kwa IMANI BWANA Ameniokoa.
@purity134
@purity134 2 ай бұрын
Amen,mungu nisaidie niweze kuyasahau niliyatendewa wakati nilikua sina kitu,na nifunze kusamehe na kurudiana kama mwanzo
@mariumisaka7658
@mariumisaka7658 2 ай бұрын
naomba maombi kuhusu kunywa pombe na kusoma neno la mungu lijae kwawingi 17:13 17:15 17:17
@magrethsindabaha1851
@magrethsindabaha1851 2 ай бұрын
Watoto,uvuvio wa roho mtakatifu, uchumi
@carolinemwugusi8945
@carolinemwugusi8945 2 ай бұрын
Amen Amen Amen
@HOPEBIBLENETWORK
@HOPEBIBLENETWORK 2 ай бұрын
Amen... Shadrack following from Nairobi
@totoothindi4233
@totoothindi4233 2 ай бұрын
Pastor naomba niombee familia yangu
@UserUser-gq1ir
@UserUser-gq1ir 2 ай бұрын
Amen
@kitunzaesperance3250
@kitunzaesperance3250 2 ай бұрын
Nahiji,maobmi kuobmea family yangu, Asant.
@jorammalyabo3662
@jorammalyabo3662 2 ай бұрын
asante pasta kwa fundisho ila kuna dhambi nilifanya ila ilikuwa kwa siri bila kanisa kughundua ila inaendelea kuni sumbua nishaka tubu ila inaendelea kunisumbua nina mkwamo kila ninapo pata adjira sabato ndilo ina kuwa tatizo nina acha hiyo kazo
@junessalama9129
@junessalama9129 2 ай бұрын
Mchungaji Naomba umwombee mtoto wangu Caroline Sanga Daraja la saba anafeli sana wakati alikuwa anashika nafasi ya Kwanza darasani.
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig 2 ай бұрын
AMINA
@kadzocharosilver411
@kadzocharosilver411 22 күн бұрын
Familiar yetu kila atakaye inuka anaanguka yani tuko halingumu haki nahitaji musaada unifundishe niwezekuvunja hii hali
@RachaelMbeyu
@RachaelMbeyu Ай бұрын
Tuombee tutoke umaskin
@LovelyBreakingWaves-pu5hu
@LovelyBreakingWaves-pu5hu 2 ай бұрын
Pastor please niombee baba ni mgonjwa then mamangu kafika 78 years kaanza kunyua pombe. Juzi akamjapa baba am feeling pain why my family
@calebmakori
@calebmakori 2 ай бұрын
pray for Winnie who is insane now 12years pls
@ImmaculeSanstache
@ImmaculeSanstache 2 ай бұрын
Jambo mutumishi wamungu ni shindano lwamba kutokea rdc apa tanganika niko nashida mke wangu eko nauguwa paka ivi eko kanisani ayayi pona ukumbuke kweye maombi
@carolinemstationary1760
@carolinemstationary1760 2 ай бұрын
Mara maombi yanapo Anza cku zote ninapiga mihayo Hadi natokwa na machozi mengi sana cjajua shida ni nini?!
@mamdaliko2362
@mamdaliko2362 2 ай бұрын
Amen pastor
@royalquenn377
@royalquenn377 16 күн бұрын
Amina
@happinessmongare4311
@happinessmongare4311 2 ай бұрын
Hesbon nyariki happiness mongare fortune obongo quinton mugoya