Amina mungu azidi kukutumia nimekwesha kufungulia na magonjwa yamepona yesu atukuzwe
@reginaburetta23042 ай бұрын
Namwombea rafiki yangu Mungu akampatie mbaraka wa watoto
@christinamafuru47842 ай бұрын
Mungu akubariki nilipoteza tumaini lakini kupitia mahibiri hayo Mungu amenipa tumaini jipya l
@zenasmjema40502 ай бұрын
Kwa Mungu Kila jambo linawezekana naomba maombi ya kuombea familia yangu naomba nipate amani ya moyo na niwe mtu wa kusamehe.kuwaombea wazazi wangu na mkwe wangu wapate kumjua Mungu na kumtumainia.maombi ya biashara yangu ipate wateja zaidi .
@Joycependopendo-dv2tb2 ай бұрын
Mungu akubariki pastor Kwa somo hili hakika mungu akuzidishiee hekima Na kibali kikumbwa
@nancymtana18122 ай бұрын
Mungu anikumbuke kila ninaloanzisha linakufa,
@dafrosasunguya78332 ай бұрын
Namuombea mwanangu Arnold,Mungu jifunue Arnold akapokee Ajira ya kudumu kutoka kwako Bwana Yesu Kristo
@JaphetKatemiАй бұрын
Somo hili limenitianguvu nyingi katka maisha yangu Bwana akubariki . Aminaa
@bahatiobamboАй бұрын
Nimesikiliza somo hili baada ya mwezi sasa toka somo limetolewa lakini kwa Imani MUNGU Ametenda.....nmefunguliwa Ahsante MUNGU.
@MahubiriPrMmbagaАй бұрын
Ameeen
@josephinemapande52212 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe naomba mniombee kwa ajili ya familia yangu watoto wangu kazi za mikono yao afya zetu tumtegemee Mungu katika maisha yetu yakila siku
@lucykihara463813 күн бұрын
Shalom nimebarikiwa sana kwa maombi haya.najua kuna mabadiliko kwa familia yetu.amina
@eliyakatembo4162 ай бұрын
Amen..nimebarikiwa sana ..pr. Bwana akubariki
@rahabumorro41482 ай бұрын
Nina muda sifuatilii haya mahubiri lakini leo nimesikia msukumo wa ajabu kusikiliza Asante sana Bwana Yesu
@MARIE-iy4bx14 күн бұрын
🤲🙏,Naamini kupitia mahubiri haya wanangu watakombolewa ...
@makabwakabichi232113 күн бұрын
Amina nazidi kubarkiwa na kufunguliwa na nafeel aman rohoni mwangu🙏🙏
@anastaziatemba549021 күн бұрын
Nimebarikwa sana nimeipona ugonwà wa mwili nanilishakata tamaa mana sikuwa naweza kuomba tena.natamani nipate Musa wakuongea nawe kama utapata kibali kwa mungu
@HOPEBIBLENETWORK2 ай бұрын
Shadrack... Naomba uponyaji wa macho ambayo yamenisumbua kwa miaka zaidi ya 10...na kufunguliwa toka katika nguvu za giza zinazonifuata na nguvu zinazoniletea mikwamo katika maisha yangu hasa ya uchumi
@user-fw6kh3cb4i2 ай бұрын
Naomba uniombee nipate uponyaji napitia magumu ya maisha
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Mungu akutendee
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Mungu akutendee
@helenmugure37962 ай бұрын
Naomba niweze kupona
@ElibarickAllexАй бұрын
libarikiwe jina la yesu, nimependa mafundisho haya
@elishafelesiano2 ай бұрын
Pastor hakika Mungu amekuleta Kwa wakati wake nabarikiwa sana kwa neno lako uchumi wangu umefunguliwa shauku yangu ni kujitegemea kiuçhumi yaani kujajili nikitengenezewa njama kazini lakini kupitia neno hili unalofundisha nimekula nikiliamini nakwambia pastor aliyetaka kunifukuza kazi yeye ndiye amepewa barua ya onyo ya kufukuzwa kazi namshkuru sana Mungu
@fredrickjoseph4962Ай бұрын
Nabarikiwa Sana pasta navipindi vyako MUNGU wetu akubariki sana
@AndrewChirisant2 ай бұрын
ombi langu naomba mungu amupe mwanangu mudogo afia njema
@caromokaya49592 ай бұрын
Mchungaji ombea familia yangu iweze kufunguliwa kutoka umaskini na kizazi chetu kiweze kuendelea
@user-cr1nk1zc5s2 ай бұрын
Umasikini Sio ugonjwa ukifanya kazi Kwa bidii utaukimbia umasikini na uamini katika kile unacho omba MUNGU
@raelmsafiri2 ай бұрын
Ombea mdogo wangu anugua kisukari na ana kidonda kikubwa sana
@masterking5342 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwema nime barikwa sana kwenye iki kipindi
@scolaebenezer45382 ай бұрын
NAWAOMBEA wangu Mungu awapatie kazi za kudumu kuwainua kimaisha
@scolaebenezer45382 ай бұрын
Naomba uniombee duka langu likue,maanalimedumaa sana
@winfridangulimi64992 ай бұрын
Pr David Mmbaga kwa neno la Mungu kupitia kinywa chako naomba Mungu aniinue ktk uchumi wangu pia afya njma
@SuzanShayo13 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI BABA UMENIPA MAJIBU YA JARIBU NINQLOPITIA NIMARAYAKWANZA KUKUSIKILIZA
@veronicawilsonmbwambo1054Ай бұрын
Barikiwa sana
@mtumishiraymond20012 ай бұрын
Amina
@HellenMwakatundu2 ай бұрын
Namshukuru Mungu Leo nilikuwa nasikiliza mahubiri tonses zilikuwa zimenibana baada ya maombi Mungu ameniponya kweli Kuna nguvu za Mungu tuamini jaman
@MichaelDisanto-zq6fk2 ай бұрын
Nimepona kwa jina la Yesu Amen
@dafrosasunguya78332 ай бұрын
Naomba UPONYAJI wa UCHUMI wangu,Mungu aguse hazina za wale aliowainua Kuni support kimitaji Ili wakatimize kama walivyoniahidi KATIKA JINA la Yesu Kristo, Amina
@winfridangulimi64992 ай бұрын
Pr mtumishi wa Mungu aliye hai kwa neno lako naamini nimekuwa juu sana kiuchumi asante sana pr
@kadzocharosilver41122 күн бұрын
Mungu niombeje kiusahihi
@user-ev9yp5zc4m2 ай бұрын
Mafundisho haya ni yangu kabisa... Ndoa yangu...Uchumi wangu ...madeni mengi kuliko mshahara...ukoo unanitegemea....Lakini nimepata Tumaini ktk kusikia fundisho hili.,. Naamini MUNGU nisaidie kutokuamini kwangu
@margaretnthenya-up5gt2 ай бұрын
Amina..Magret naamini Mungu anaona mikwamo yangu...na akafugue familia yangu.🙏🏽
@OwenMbogela2 ай бұрын
Mchungaji barikiwa sana nimeanz kufatilia mafunzo haya baada ya familia yetu kuondokewa na mpendwa wetu ambaye alkuw n nguzo katika familia yetu(BABA) na tukawa katika Sinto faham ya jinsi Gani tutaweza kwenda baada ya Yale yote.....Lkn nashuhudia ukuu huu wa mungu familia yetu inazd kufunguliwa zaid na zaid tofauti na watu walivyokuwa wadhani .... BARIKIWA SANA MCHUNGAJI 🙏🙏
@johnchacha48882 ай бұрын
Ahsante Yesu kwa uponyaji
@mozabayabanda42482 ай бұрын
Moza naomba nipone magonjwa yangu yote maumivu ya miguu maumivu ya kiuno naomba mungu aniponye
@AnnaSamwel-ww6nk2 ай бұрын
Ninaomba muimbee familia yetu upendo, mshikamano utawale ktk maisha yetu
Mchunfaji namshukulu mungu kwa kukutumia utufungue akiri na nakuomba umuombee baba angu mashaka aokoke atoke kwenye vifungo mbal mbali
@SimonMuhuneKitule2 ай бұрын
Pasta asante kwa fundisho hili, kweli ninaamini kuwa mangwanjwa yangu yamekwisha, prostate imekwisha, watoto wote wamefaanikiwa, na hivi Mungu anaogeza tena njia ya mapato yangu
@mamdaliko23622 ай бұрын
Amen pastor
@aumamadina7100Ай бұрын
Asante mungu nimebarikiwa🙏
@maryaugustor69832 ай бұрын
Ukweli kabisa unasema mambo ya ukweli nimeokoka lakini nateseka sana miungu ya kwetu tunaokoka tunaanguka.hakuna hata mmoja amekaa kwenye ndoa,vijana wetu wanavuta bangi walevi wagomvi na hawakuwa hivyo.naomba MUNGU atume NENO moja familia ya AGUSTOR MSARIKIE wapate wokovu.ubarikiwe mchungaji Amina.
@AgnessMrutu2 ай бұрын
NAMSHUKURU MUNGU KWA AMANI YAKE
@LvnessGio2 ай бұрын
Mungu akubariki sana..
@kitunzaesperance32502 ай бұрын
Mungu asifiwe
@user-jl1cn4ke5j2 ай бұрын
: naomb Mungu anirudishie mkewang
@user-dk3xi4pz7o2 ай бұрын
Amina Amina
@furahakitumainiJoséphine11 күн бұрын
Muombee mama yangu anamatatizo
@joshuakitina49292 ай бұрын
Mungu amenipatia amani ya moyo na tumaini jipya kupitia somo hili Mungu akubariki mchungaji
@user-hs8mx6du7o2 ай бұрын
Anaamini Mungu amenitendea
@EulaliaChristopher-qs9mn2 ай бұрын
Ombea family yangu
@RachaelMbeyuАй бұрын
Pastor naomba familia yangu kiuchumi kimaisha naomba mungu atutoe kwa wakat huu mgumu
@olphanyamweya31542 ай бұрын
Ni kweli mchungaji wengi tumekwama Kwa sababu hatujapata utakazo.
@tsongonadine3862 ай бұрын
Nanamushukuru Mungu kwakuniponya nilikua naumwa mkono lakini ulipo omba mkono wangu ukapona Mungu akubariki
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Ameeen
@helenmugure37962 ай бұрын
Nina imani siku yangu ya kufunguliwa ni leo .Nina amani na imani katika jina la Yesu .maombi yang ya mda mrefu yamejibiwa.
@totoothindi42332 ай бұрын
Naomba maombi ya familia yangu hasa kwa kijana wangu Jayden hasibadilike vile ameenda secondary na mimi pia niondolee madeni niko nazo mingi...wanisamehe kwa hizi madeni niliingia bila kujua. Nimepitia mengi.
@godelivesifa74732 ай бұрын
Amen amen amen nimefungulìwa katikajina layesu kristo wanazaret
@JaliwaAdamu2 ай бұрын
Hakika Mungu akubariki sana...ni kila siku lazima nipitie video zako naona mabadiliko makubwa kuielewa biblia
@yvesirankunda20022 ай бұрын
Japo kuwa nasikiliza somo hili baada ya siku nyingi,siku hiyi,nina imani kwamba leo ntapokea muujiza wangu kwa jina la Yesu. Amen
@francoisendungaАй бұрын
Amen nimebarikiwa🙏🙏🙏
@user-gw9cs8km3o2 ай бұрын
Naomba uniombee mtoto wako anaamka usiku Analia bure miaka nane ukimuuliza Hana sababu Niombee nimekwama miaka mingi peza zangu hazitulii Niombee mamaangu mzazi anasahau hajielewi Niombee nijue kuomba Mungu azidi kukubaliki mchungaji
@irenealimasi86572 ай бұрын
Na mimi siku zote hizi nasikiya pembeni nakichwa panauma naomba mungu anifungue.
@janeonsarigo62062 ай бұрын
Asante pastor Mmbaga.Nahitaji maombi kwa mjukuu wangu Neviah ajue kuongea.
@happinessmongare43112 ай бұрын
Ombea familia yangu na my aproval visa in jesus name
@likatiabunuas27012 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@jacintasyombua75122 ай бұрын
Naomba kufunguliwa milango biashara yangu imeenda chini Sana
Mchugaji nashukuru kwa ajili ya kipindi hiki.maana Mimi mambo yangu biashara zangu zimekwama na nimebaki na deni kubwa na nimekata tamaa.lakini kwa neno lako mtumishi ninaamini nimepona.ubarikiwe sana.
@MariamBusele2 ай бұрын
Nmeamini mwanangu amefunguliwa masomomo yake maana glafla alikua kubadilika Ila sasa MUNGU ametenda🙏🙏
@andersonmwazala96542 ай бұрын
Naamini mtoto wangu anatembea Anderson from NRB
@johnsonbhugomola30332 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana u
@JoselineMlama2 ай бұрын
Nasumbuliwa na mambo nisiyoyajua naomba maombi
@Joycependopendo-dv2tb2 ай бұрын
Amen namshkuru mungu nimeaka Salama
@ChristineBinsari-ql5bf2 ай бұрын
ombea familia nyangu na pia wenye wamepoteza familia zao kwa mafuriko. mungu awafariji
@ishmaelsimon66172 ай бұрын
Kwa IMANI BWANA Ameniokoa.
@purity1342 ай бұрын
Amen,mungu nisaidie niweze kuyasahau niliyatendewa wakati nilikua sina kitu,na nifunze kusamehe na kurudiana kama mwanzo
@mariumisaka76582 ай бұрын
naomba maombi kuhusu kunywa pombe na kusoma neno la mungu lijae kwawingi 17:13 17:15 17:17
@magrethsindabaha18512 ай бұрын
Watoto,uvuvio wa roho mtakatifu, uchumi
@carolinemwugusi89452 ай бұрын
Amen Amen Amen
@HOPEBIBLENETWORK2 ай бұрын
Amen... Shadrack following from Nairobi
@totoothindi42332 ай бұрын
Pastor naomba niombee familia yangu
@UserUser-gq1ir2 ай бұрын
Amen
@kitunzaesperance32502 ай бұрын
Nahiji,maobmi kuobmea family yangu, Asant.
@jorammalyabo36622 ай бұрын
asante pasta kwa fundisho ila kuna dhambi nilifanya ila ilikuwa kwa siri bila kanisa kughundua ila inaendelea kuni sumbua nishaka tubu ila inaendelea kunisumbua nina mkwamo kila ninapo pata adjira sabato ndilo ina kuwa tatizo nina acha hiyo kazo
@junessalama91292 ай бұрын
Mchungaji Naomba umwombee mtoto wangu Caroline Sanga Daraja la saba anafeli sana wakati alikuwa anashika nafasi ya Kwanza darasani.
@BarnabasJonas-nv4ig2 ай бұрын
AMINA
@kadzocharosilver41122 күн бұрын
Familiar yetu kila atakaye inuka anaanguka yani tuko halingumu haki nahitaji musaada unifundishe niwezekuvunja hii hali
@RachaelMbeyuАй бұрын
Tuombee tutoke umaskin
@LovelyBreakingWaves-pu5hu2 ай бұрын
Pastor please niombee baba ni mgonjwa then mamangu kafika 78 years kaanza kunyua pombe. Juzi akamjapa baba am feeling pain why my family
@calebmakori2 ай бұрын
pray for Winnie who is insane now 12years pls
@ImmaculeSanstache2 ай бұрын
Jambo mutumishi wamungu ni shindano lwamba kutokea rdc apa tanganika niko nashida mke wangu eko nauguwa paka ivi eko kanisani ayayi pona ukumbuke kweye maombi
@carolinemstationary17602 ай бұрын
Mara maombi yanapo Anza cku zote ninapiga mihayo Hadi natokwa na machozi mengi sana cjajua shida ni nini?!