Pastor Mmbaga! Ubarikiwe! Kiiila siku unajambo kwa ajili yangu, nafuatilia saaana mafundisho yako, Ni heri niweke bando nikusikilize. Ninamiaka 4 sijawahi kulipia king'amuzi, ni heri ninunuwe bando,nisikie jambo kutoka kwako! Umeniokoa sana sana sana! Mungu akutumie hadi umalize kazi yake. Barikiwa na jamii yako.
@fatemajohn3195 Жыл бұрын
Ameen mtumishi hata mm pia hiyo waga inanitokea sana
@ruthkiboko38443 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pastor Mmbaga tunabarikiwa na mahubiri sana... sana injili hii inatukuza kiroho kadiri tunavyofuatilia mahubiri
@jessikaakinyi84453 жыл бұрын
Ameeeeen Mungu anastaili zake naomba anipiganie ktk hili langu
@roselineombati670 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂,aki ukweli Kuna wkt nilifunga na kuweka nadhili kabla sijamaliza mfungo wa wiki tatu siku Moja asubui nikaota verse kwa biblia nikasoma but sikutilia manani kumbe mungu alinipa jibu na sikumwelewa,Hadi nikaanza kuchanganyikiwa mpaka nikauliza swali Mahubiri TV tho sikujibiwa nikaacha,ajabu ni kua mungu alirudia kunionyesha zaidi kua ninavyotaka kufanya sivyo,tena Jana nikarudia lakini mwishowe ni vile vile tu,ulipokua kwa stewardship juzi tu ikafundisha kua mungu anaagiza ukwame Ili Yale yangekukuta yapite kwanza ndipo aruhusu upite.hilo lilinisaidia mawazo nikatulia mpaka wkt mungu ataniruhusu.barikiwa sana
@heppy8968 Жыл бұрын
Amina 🙏
@roselineombati670 Жыл бұрын
Amina,ndio maana napenda kurudia mara nyingi kuwatch hii video inafariji kweli kweli
@jasminishabani15415 ай бұрын
Kwa kweli
@roselineombati670 Жыл бұрын
Nilijua kua maombi ya kufunga na isitoshe kutoa nadhili maombi yote mungu anajibu vile tunataka kumbe sio,nimemuelewa Sasa,
@isaacmogambi66723 жыл бұрын
Thank you pastor David for good preaching God bless you so much..🙏 🙏🙏🙏🙏
@MarylilianMogore7 ай бұрын
Pastor unasema shetani sio mtu, shetani ni nini?
@rahimajuma53063 жыл бұрын
Bwana akubariki na watumishi wa mungu
@heppy8968 Жыл бұрын
Amina nabarikiwa Sana na somo hili 🙏
@esthermsely35373 жыл бұрын
Amen🙏
@wadyanali9003 жыл бұрын
Nimeokolewa kwa neeema
@j4gchannel3453 жыл бұрын
Barikiwa sana
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Mbweha wakamuunga mkono Samson
@azaransari73073 жыл бұрын
Napenda unavyofundisha kwa uhalisia. GLORY TO GOD. greeting from German 🇧🇪
@rosepeter89963 жыл бұрын
Amen 🙏mchungaji barikiwa sana.ama kweli nikiwa sijasikiza clip yako kwa siku nahisi kuna kitu nimekosa rohoni mwangu.mahubiri yako yananifariji sana.mungu na akubariki.🙏
@dukemayo7853 жыл бұрын
Na neema yake bwana itufuate milele a “Kenyan”I can’t miss your teachings any invitation to America visit Texas mostly Arlington area
@timothywandera16813 жыл бұрын
Kwa mda wote nimekufuatilia sana, ila swali langu ni, kila mchungaji akiniombea na nimualike kwangu nyumbani atakuja mara ya kwanza bali hawezi rudi tena na pia hata mawasiliano hupotozea kabiza, zaidi ya mara sita hivi je kuna shida gani kati yangu na hawa watumishi?
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Mafundisho mazuri napenda sana Mchungaji Mungu akubariki.
@jeconiajosia19993 жыл бұрын
Yaani pastor mahubiri yako huwa yananibariki sana sikosi kufatilia nini leo umekizungumzia twabarikiwa zaidi ya unavyofikiria
@priscillaheri68233 жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu. Kwa Neema tunaishi na kujifunza mengi. Kupenda neno kama hili ni Neema na kulifanyia kazi ni Neema. Mungu atuhurumie kwa rehema zake azidi kujitwalia utukufu!👏👏
@elizafanzabron5922 жыл бұрын
Ninavokupenda wew bas tu, nampenda Mungu aliye ndani yako na ninakupenda wew ambae Mungu anakutumia
@seiframadhan33872 жыл бұрын
Nakupenda pastor kwa sababu unahubiri uhalisia wa maisha yetu ya kila siku na ndy maana tunakuelewa sana na unabadirisha maisha yetu kwa kiasi kikubwa
@lutemahindiakaje50463 жыл бұрын
Mungu atukuzwe Kwa ajili Yako Pr Mmbaga
@peninadunda63483 жыл бұрын
Amina mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu kila kukicha
@perisbosibori85243 жыл бұрын
Thank you pastor Mmbaga for the wonderful teachings. It has been an awesome week of great blessings for me. Barikiwa sana pastor na familia yako.
@rahimajuma53063 жыл бұрын
Mungu akulinde na kukujaza baraka mara dufu
@verdianajohn76343 жыл бұрын
Mungu. Akubariki kila mara maana unatusogeza karibu na Yesu kila wakati