Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati
@cookingwithmimmo Жыл бұрын
Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana
@patriciandinda85823 ай бұрын
Wow the chapati ever🙏🙏
@esterdanford55638 ай бұрын
Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?
@zengeummu9575 Жыл бұрын
Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii
@malkiafoods Жыл бұрын
Barikiwa sana love
@MissRahma-z2h2 ай бұрын
Jamani dada sorry naomba unitajie hz ingredients bulizzoweka chumb sukar na nn
@abdullahalmahrooqi83067 ай бұрын
Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!
@magrethmlewa34224 ай бұрын
Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya
@abdullahalmahrooqi83064 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.
@abdullahalmahrooqi83064 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?
@ElizaJovitaАй бұрын
Kwan ww xi upokee elimu unayopewa kucha zinakuhusu nini umbea tu afu ww mwanaume acha hizo
@mercymuhunyo8434 Жыл бұрын
From Tiktok am here❤
@abdullahalmahrooqi8306 Жыл бұрын
Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.
@malkiafoods Жыл бұрын
Angalia kwenye description box dear
@NackNzily3 ай бұрын
Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp
@AshuraJuma-r5d Жыл бұрын
Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz
@SaudaMuhammedyussuf Жыл бұрын
Mimi nataka kuku😊😊😊😊
@kakozietho230310 ай бұрын
❤❤❤❤
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘
@delightnkya6086 Жыл бұрын
Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati
@JobNdeke Жыл бұрын
🎉🎉
@zengeummu9575 Жыл бұрын
Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo
@TeclaMtweve9 ай бұрын
Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui
@makynicky297020 күн бұрын
Inaweza kuwa moto wakupikia. Umeweka mdogo ndio zinafanya ziwe ngumu ,,,moto unatakiwa uwe wa saizi ya kati
@roseberryhamoud6542 Жыл бұрын
Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.
@nattymnaro541 Жыл бұрын
Samli ipi unatumia Malkia?
@zainablema17 Жыл бұрын
❤
@maryjoseph92610 ай бұрын
Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu
@lilianjulius9500 Жыл бұрын
Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢
@AAA-zu1vy Жыл бұрын
Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅
@Awatee11 ай бұрын
@@AAA-zu1vy😂😂😂
@TimaFood-r2p Жыл бұрын
Wanawekaga hamira hawasemi
@sary-s6i Жыл бұрын
Alf kweli nimegundua
@happylema67639 ай бұрын
Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Ndio kila mkunjo unamatokeo yake
@fooddiarytz Жыл бұрын
Chapatii ❤
@HappynesMedard Жыл бұрын
Nielekeze vitu ulivyochanganya
@esthermollel1461 Жыл бұрын
Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio, usiweke dear
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Hello
@neemakusenha2540 Жыл бұрын
Dada unga ni ppf??
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio dear
@faridarashid11983 ай бұрын
kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu wrong personal hygiene