MAMA ALIYEMWAGA MACHOZI MBELE YA MWANAE ASIMULIA, "NISIMTUPE AMA KUMUUA, NISAMEHE MWANANGU"

  Рет қаралды 34,330

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 118
@islamsadiki7259
@islamsadiki7259 2 жыл бұрын
Sote tuseme alhamdullah
@abdulshakurothman5719
@abdulshakurothman5719 2 жыл бұрын
Alhamdulillah, Mama mama mama 💖
@jacklinnajackson4554
@jacklinnajackson4554 2 жыл бұрын
Maisha hakika nia safari ,hongera kwa kumpata mwanao,. Mimi nami nawatafuta watoto wangu Rebeka na Neema tumepotezana nao toka mwaka 2013
@yvetteuwase2740
@yvetteuwase2740 2 жыл бұрын
Asante mutoto mzuri ❤️💯
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 жыл бұрын
Nyieee mnaolaumu mnaongeaa tuu hamjui ugumu wa maisha baadhi ya watu wanaopitia....cha kumshukuru Mungu ni alitunza mimba na akazaa na akamkabidhi kwa baba yake.Wacheni kujifanya Miungu watu jamaanii maisha yanatofautiana
@gladysmwendwa3660
@gladysmwendwa3660 2 жыл бұрын
Si mungu watu inamaana kina mama wanaokaa na watoto wao kwa magumu yote ni waajabu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Kbs mpenz hawajui shida wanazo pitia wanawake
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 жыл бұрын
@@gladysmwendwa3660 Wanayo mpnz huyu hakuwa na chochote halafu ukumbuke mtoto akiwa mdogo lazima upate wa kumuachia ndio ufanye hata hiyo kazi yenyewe....kwa ulivyosikia nani angemuachia mwanae ili akafanye kazi na hakuna hata na chumba kidogo weee wachaa maneno ww maisha yaone tuu kama hujapata mtihani huwezi elewa mtihani wa huyu mama
@zalhayahya5658
@zalhayahya5658 2 жыл бұрын
Watu wengine wanapenda kulaumu mtu ashakuambia alikua hana muelekeo hana mama hana baba kashafukuzwa nyumbani angefanyaje afadhali hakumtupa hakumuuwa kamkabidhi babake
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 жыл бұрын
@@zalhayahya5658 Yaani wengine wanajifanya hawajui shida tatizo ndugu yangu.
@nasranasranasriyahay9119
@nasranasranasriyahay9119 2 жыл бұрын
Wallah niliteseka na mimba nikaza Bado mdogo nikajifungua baba yup bize na wanawake ndio San San naona ataakisiikia wamekufa atafurah mana anaga mapenz nikaona maisha magumu nikamuachi mama angu nikatoloka nililudi kumuomba msamah badae San ila sikuwai kumuacha bila msahada chumba kimoja mm watoto nikasema apana leo Hii mama naughty tumemjengea tumfungulia duka
@Madmax_kingTz
@Madmax_kingTz 2 жыл бұрын
Mama ndio mfariji wa familia,, baba ndio msimamizi wa familia .. Eeeh Mwenyezi MUNGU walinde wanawake wote wanaonyanyaswa huko majumbani lakini bado wanapigania watoto wao.. pia Eeeh Mwenyezi MUNGU wape mioyo ya ukakamavu wale woote waliotokwa au kukimbiwa na wazazi wao.. tutokapo twapajua tuendako hatujui🥰🥰🥰🥰
@rahmahassan1157
@rahmahassan1157 2 жыл бұрын
Amin
@archardtegelelwa5867
@archardtegelelwa5867 2 жыл бұрын
Qqqqqqq h
@salamakahindi3038
@salamakahindi3038 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭very sad aki
@emanuel1269
@emanuel1269 2 жыл бұрын
Akuna lawama apo Clouds ongeleni
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 жыл бұрын
Asante Mungu sikuwahi kuwaza kuwatelekeza wanangu na tayari wamekua mmoja Yuko chuo na mwingine Yuko advance MUNGU NI MWAMINIFU SANA
@muraqsunnyva3462
@muraqsunnyva3462 2 жыл бұрын
Inauma sana wanawake tunaumizwa sana na wazazi wenzetu mwanaume wachache ni waelewa ila wengine mmmh mtihani tuu
@mariamhamisi598
@mariamhamisi598 2 жыл бұрын
Mashaallah damu ni nzito kuliko maji
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana, wekeni kutafuta marafiki pia.
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 2 жыл бұрын
Kaona bora ampeleke kwa babaake kuliko kumtupa.....kafanya kitu sahih alikuwa hana njia ya kumtunza na baba alikuwa mara hana matunzo wala hakuwa tayari kumlea...hivyo akatumia njia hiyo
@mwajumakudema5840
@mwajumakudema5840 2 жыл бұрын
"Tangu nimesikia mama kaja sijapata usingizi "dah maskin hii statement imenifanya nitoe machozi
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 2 жыл бұрын
Hongera sana mtoto
@jovinathaphilipo6385
@jovinathaphilipo6385 2 жыл бұрын
Mtoto mzur jaman
@DamaIbra
@DamaIbra 4 ай бұрын
Da hu hujambo dada
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 3 ай бұрын
Sio vya maswali mingi wanafanana ukijuchunguza vizuri.duh miaka mingi sasa mama una miaka 40 na ila kabla hujasema miaka uliyomzaa kijana mpaka sasa nilikuwa nafikiri uko kwenye 50 navitu.yaani unanizidi miaka2 ila muonekano wako na mama yangu mzazi mbona kama mnaendana kiumbri.na mama yangu anakuzidi miaka 18.
@khadijaissa1734
@khadijaissa1734 2 жыл бұрын
Alhamdul llah
@DamaIbra
@DamaIbra 4 ай бұрын
Ntakupataje?
@roseshedrack9209
@roseshedrack9209 2 жыл бұрын
Jamani mimi baba angu natamani kumjua anaitwa adamu mwambora
@ashamahadi5281
@ashamahadi5281 4 ай бұрын
Adam Mwambona yupo
@mariamyusufyusuf1117
@mariamyusufyusuf1117 2 жыл бұрын
Asalamu alakum naomba nambayenu plz
@aminasalim8708
@aminasalim8708 2 жыл бұрын
🙏😭
@dolphinegechuki7707
@dolphinegechuki7707 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@matridawilium9945
@matridawilium9945 2 жыл бұрын
Omba rehema sana kea mungu
@fatumajumanne3529
@fatumajumanne3529 2 жыл бұрын
Kuna wa2 wanaish maisha ambayo hawez kumiliki hata mlo 1 kwa cku ckulaumu hujaua na hukum2pa ulmpeleka kwao MUNGU amjaze kher mtt ya kusamehe na mengne maana wwngne wangeshakudhallsha.
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Aa huyu hakukoseya hata kidogo yeye mwenyewe kashafukuzwa hana kazi hajui aanze wapi wengine huwauwa watoto yeye kampeleka kwao kwa baba yake mbona kafanya vizuri wakupongezwa hasa mimi nnadadada zangu 2 wababa mmoja mbona wote kaleya mama angu mpaka wamekuwa na wazee wao walikuwa wanakuja nyumbani wanapanga wanapangua na mama yangu mpaka leo wanasikilizana
@mmwantika6346
@mmwantika6346 2 жыл бұрын
Ameni
@yvetteuwase2740
@yvetteuwase2740 2 жыл бұрын
My God 😭😭😭😭😭😭❤️
@cityathuman4278
@cityathuman4278 2 жыл бұрын
Mipia natafuta watoto wangu 3kutoka 2010 paka saai wako na babayao ,huko tz miniko Kenya ,hatakama kwamawasiliano
@niselanyakato3033
@niselanyakato3033 2 жыл бұрын
jamani
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 жыл бұрын
💕
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
MUNGU YU MWEMA 😢😢
@nasraanasraa4815
@nasraanasraa4815 2 жыл бұрын
wahoo nifulaha katika familiya yote
@mariamyusufyusuf1117
@mariamyusufyusuf1117 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
2002 mambo ya simu yalikuwa akuna eti jmn kweri?????
@sumimarco933
@sumimarco933 2 жыл бұрын
Simu zilikuwepo japo zilikuwa kwa wale wenye uwezo kidogo kwa mtu wa Hali ya chini uwezo wa simu kumiliki ilikuwa ni ngumu
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 2 жыл бұрын
We ulikua nayo
@magdalenapeter419
@magdalenapeter419 2 жыл бұрын
Zilikua kwa mmoja mmoja
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sumimarco933
@sumimarco933 2 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 wakati huo sikuwa nayo
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
Mtoto kamkubali mamaake sasa yule shangazi kujilizaliza tu
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Jmn wekeni na marafiki pia..
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 жыл бұрын
Kuunganisha family mnaenda adi mikoan au mnatafuta dar pekeyake
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 жыл бұрын
Hadi mikoani wanatuma nauli
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 жыл бұрын
Inshaallah nina mwanangu yupo tabora sijamuona mda namimi nipo mbari kidogo maisha yamenibana tangu 2016 nirionana nae
@ashangalawa9492
@ashangalawa9492 2 жыл бұрын
@@Zahrazahra-ue7bp subiri mwakani mwezi wa5 watatangaza km huko mkoani kuna namb ya cm wanatoa lkn km utaenda ofisini itakuwa vizuri zaidi
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 жыл бұрын
Jamani hata kama umemizwa na Bwana Ako Mme wako ndio kumwuacha mtoto wa miezi 2 hii unahitaji moyo kweli Mi hapana nitaenda naye tu kokote kule
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 жыл бұрын
Mie sowezagi hata kula jaman tunatofautiana mtazamo
@hamidaala2832
@hamidaala2832 Жыл бұрын
hatari.mi.siwe.zi
@ahmadsalim4417
@ahmadsalim4417 10 ай бұрын
Sasa kumpeleka kwa babake na akalelewa na kutanga tanga nae bila huduma yyte mwisho amtupe bora nn?
@gwajetheentertainer363
@gwajetheentertainer363 2 жыл бұрын
ILA WASHUA BHANAAA 😀😀 ETI MTAJUA WENYEWE
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 жыл бұрын
Mimi mwenyewe mateso yalinizidi ilibidi niondoke niwaache watoto
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 2 жыл бұрын
kama hauna uwezo sawa, ila kama una uwezo usiwaache watoto
@benadethafrancis5223
@benadethafrancis5223 2 жыл бұрын
@@khadijamisayo7476 hata omba omba Yuko barabarani na wanae. Ni roho ngumu tu.
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
@@khadijamisayo7476 mimi sikuwaacha niliondoka nao nikalala chini nyumba ya kupanga
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
@@benadethafrancis5223 yaani anaroho ya jiwe
@hanifaomar7438
@hanifaomar7438 2 жыл бұрын
@@maidamwaipopo9603 na mm kwakweli nianguka nao nikasimama nao nimelea kwashida mm mungu ndio anajua sina kazi sina bazi lakini mungu nimkubwa wamekuwa japo haikuwa lahisi
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Huyu Mama Msenge tu. Huwezi kumuacha Mtoto wa miezi 2 kwa mwanaume ukiwa ndiye uliye na maziwa ya mumnyonhesha. Unaweza kuua pia.
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 жыл бұрын
Ata wwe msenge mbwa mmoja wwe mnajua kutomba hudum hana mbwa nyie
@ahmadsalim4417
@ahmadsalim4417 10 ай бұрын
Kumbe angemtunzaje na ushaskia hata kwao alifukuzwa? Au angemtupa jaani ndo ingekua bora?
@hichayasin7244
@hichayasin7244 2 жыл бұрын
MAMA UNAROHO MBAYA WEWE!!!LOOOOO!!!!!!!!?
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 жыл бұрын
Kama wwe
@jenabmakobeh3694
@jenabmakobeh3694 2 жыл бұрын
Mm nisinge kusamehe ww mwanamke kabisa
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 2 жыл бұрын
Hujui yalimkuta yepi...na mbali na hayo...mama hana makosa pia usimhukumu ww muwachie Mungu ndie anajuwa hukmu yke
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Ww apo ulipo huna kosa lolote na hujawahi kosea mtu wala Mungu wako? Bd unapumua usinene yote ukamaliza maisha yanaweza kkugeuka ndg
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 жыл бұрын
Kwani wee ndo nani 😏😏😏😏
@jenabmakobeh3694
@jenabmakobeh3694 2 жыл бұрын
@@mdzainb3722 watakaje kwani
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
@@mdzainb3722 apo chacha kuna mwingine alisema kama mm ndo ningekuwa mwanao usingeniona maisha yako yote, nikasema sas ww kuniona mm itanisaidia nn kwa mfano hata usiponiona? Wanawake tunapitia ving tunavumilia ndo maana wengine wanafia kwenye ndoa wanavumilia kisa wtt ila ni bora uondoke kuliko kufa
@yuriaudi9746
@yuriaudi9746 2 жыл бұрын
Wajing wana wake mnatupa watt
@marrysamweli833
@marrysamweli833 2 жыл бұрын
Sasa we mama hatahaya sin kenge ww eti baba alikuwa hatunzi ndio miezi 2?naulijuwa katakufa lione komwe ka soko labugurun
@magdalenaashery3742
@magdalenaashery3742 2 жыл бұрын
Utakua hujui
@salmanassor8732
@salmanassor8732 2 жыл бұрын
Mhhhhhhh
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 жыл бұрын
👎👎👎👎👎
@lydialaurian4734
@lydialaurian4734 2 жыл бұрын
Angalia na mazingira...alikua na miaka 17/18 na akafukuzwa nyumbani Sasa akili za kumtunza huyo mtoto pekeyake au angemlea vip pekeyake...hujawah fukuzwa kwenu ww na unaujauzito juu ndo mana..
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
masha Allha❤
Остановили аттракцион из-за дочки!
00:42
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,7 МЛН
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 30 МЛН
My Final Farewell Before I Die
17:06
OGS
Рет қаралды 4,3 МЛН
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 8 МЛН
WEMA SEPETU AFANYA KUFURU KWENYE HARUSI YA NANDY NA BILL NASS
8:46