Kumbe mama dangote sauti yake Kama esma mungu akupe maisha marefu mama
@nandelelwandiko3 жыл бұрын
Aisee, what a beautiful story they have😩 Mom Dangote did an amazing job to take care of these two brothers
@aminamarie23873 жыл бұрын
I love mama dangote akeeeer,👍🏻👍🏻👍🏻🇹🇿❤️❤️
@swabrinahtkhamisy85233 жыл бұрын
Mashallah mama Leo anafuraha sijapata kuona kaongea na ujasiri kwa wanawe mashallah Mola azidi kuwabariki
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Mama. Anapenda kucheka uyu jmn HD raha umepitia mengi kweli na mwanao mashaalah kila raha mama
@agnesoqwaa98483 жыл бұрын
Umenifulahisha sana mama nasbu mungu akubaliki sana kula matunda ya wanao nihaki yako jamanii😘😘
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Jamani mama anacheka kama Esma leo ndio nimeona vizuri
@aminajuma50913 жыл бұрын
Jamani
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Kabisa
@charleszachariashillatu57433 жыл бұрын
@@aminajuma5091 itiwiggeo
@Umande833 жыл бұрын
Mama Dangote, yani unafurahia sana history ya wanao. Mashallah
@punguzauzitofurahiamaisha3 жыл бұрын
Nimependa Sana Hii Story Ya Maisha Yao. Nassib Upo Na Haki Zote Kumpenda Mama Yako. Mungu Aendelee Kukusimamia Na Awabariki Nyote Muendelee Kufanikiwa.
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Sn yn
@melikiadikanyara94503 жыл бұрын
E
@janeonyancha26623 жыл бұрын
Ee liked it
@selemanijidonge31723 жыл бұрын
Jaman mie nmechelewa kucomment nampenda mama dangote
@margarethsaramaki39663 жыл бұрын
Oooh mama Nasib very interesting kwa unavyoongea na baki hivyo hivyo kwa nywele zako very natural Big up mama Dangote🙏🏼🙏🏼💕💕
@mtanzaniahalisimungunimwem6733 жыл бұрын
Namkubali mama dangote milele Ni mama anayejitambua mengineyo Ni maisha tuu
@stevenbugas75543 жыл бұрын
Nani mwingine kafurahishwa na gisi mama Diamond anavyo cheka😀
@rehemavickie65213 жыл бұрын
Mimi apa
@fadhilahaji87193 жыл бұрын
Anacheka kama esma
@salmadalaquimane23643 жыл бұрын
Atar kkkkkk
@bekaali89303 жыл бұрын
Daa! yaani we mchunguzi kinoma nilipoona tu mm mwenyewe nimecheka.
@somoehussein79483 жыл бұрын
@@fadhilahaji8719 kumbe pia ww umeona kabisa kama esma
@vanessajames15673 жыл бұрын
Mama hongera kwa malezi na usimamizi wa ndoto za wanao naamini wanawake wengine wanaolea watoto wao watapata nguvu ya kupambana bila kukata tamaa na Mungu atawasaidia watafanikiwa
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Tupo ndudu wallah naipenda sana hii family maana story ni nzuri mwishoni mavuno yanaonekana,
@restutasweya23583 жыл бұрын
@@queenwinnie256 kabsaa
@wamsufitness32173 жыл бұрын
My love from 254 for this fam in unconditional mama D you've made my night 😘💕
@rachelcostantine80653 жыл бұрын
Nakupenda Sana mama Dangote Mungu akupe maisha marefu yenye baraka ♥️♥️♥️♥️
@khadijaomar27233 жыл бұрын
Dah wanawake kweli tunaweza hongera mama dangote
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Tena sana
@stellandege55943 жыл бұрын
Hongera mama unamoyo mzuri ndo maana Mungu kakubariki kupitia mwanao kumbe haki yko utambe🙏
@annachuma2473 жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza nimesikia sauti ya mama diamond,anaongea kama mwanae esma,love you mama dai
@zabibunduwimana46123 жыл бұрын
Bibi Tiffa hongera sana Mama ulitoka mbari sana na wototo wako yani unacheka kama Esma💞💞
@edisonmaliva17193 жыл бұрын
Safi sana mama dangote.uliamin ukasimamia ndoto za watoto wako,now unaona matunda ya upendo na uvumilivu wako.barikiwa sana
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Mashallah, mama ulipambana, hongera sana Bi Sandra 🙏
@elizabethmapunda68063 жыл бұрын
Mother material ma dangote big up
@deboramuhoja17773 жыл бұрын
Hongera mama Dangote, wew ni mama wa nguvu,
@samanthaali8733 жыл бұрын
Mama ni Mama ila matukio yako ya insta khaa punguza
@hellenashely21673 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Hongera mama kweli ulikua na upendo ndo maana umemuambukiz na mwanao anaupendo kama ww be blessed chimamaa
@brendalisahfredrickk82213 жыл бұрын
Hongera mama dangote umevaa nguo ya heshima leo
@moshiomarymnyeda89073 жыл бұрын
Mashallah 💖 mama acheni ajivuminie utajiri wa watoto wake
@marycianajulius88313 жыл бұрын
Nani mwingine kama mama? ,hongera mama mungu awape maisha marefu wakina mama wote dunian
@amidasuleiman39833 жыл бұрын
Nassib Ana haki ya kukupenda mom acha wa kusema waseme Kila mtoto na historia yake
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Mashallah jamaniii nimeipenda kweli kweli mungu awaangazie nuru popote na mamayao mlezi mashallah
@tabithamogire96703 жыл бұрын
This woman is beutiful
@lightwilliam44433 жыл бұрын
Jomoni mami yuko so fresh😙
@magrethmagretotwara65213 жыл бұрын
Mama wewe ni mzuri sana bibi tiffa
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Mama anazidi kuwa binti
@marthaigobeko11243 жыл бұрын
Ndo maana mwili ulikataa, kunyonyesha vidume wawili so mchezo hongera mama diamond na romyjons.
@mananuracheal47313 жыл бұрын
😄😄😄😄
@stevenbugas75543 жыл бұрын
😂😂😂
@predatorbamboo75573 жыл бұрын
Latbaino
@beautyibrahim84283 жыл бұрын
NI mwili wake tu nae kwa maisha alionayo sasa angekuwa na mwili mkubwa bc angekuwa bonge kuliko ata huyo dada ake
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Tena watoto wakiume nasikia wananyonya sana
@letionnews3103 жыл бұрын
Mashaallah, mama Naseeb kwel nimeamini unayokila sababu ya kujivunia kuwa na watoto hao.. Allah aendelee kukulinda wewe na wanao
@flinchclassic17263 жыл бұрын
Mama huyo jamani much love
@judiththobias32343 жыл бұрын
Mama Romeo anaona aibu ajamrea kabisa mtoto wake
@solangekubota94873 жыл бұрын
Mama Romeo mzuri uyo wahuu
@rehemarwanda60393 жыл бұрын
Interesting story...wow
@winfridagama20423 жыл бұрын
Hongera mama Daimond.
@yusuphjafarijr75833 жыл бұрын
MashaAllah
@fallymetoo1913 жыл бұрын
Interesting 👏👏👏👏
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗jamani mama 🤗🤗🤗🤗
@punguzauzitofurahiamaisha3 жыл бұрын
Huyu Mama Ana Bahati Sana. Hongera Sana Na Mshukuru Mungu Sana. Inawezekana Rodo Yako Nzuri Ndio Maana Mungu Kakupa Watoto Wenye Faida Na Busara. Mungu Akupe Maisha Marefu Mama Yetu
@h.alshidhani89713 жыл бұрын
Bahati au laana
@TamuzaKale3 жыл бұрын
@@h.alshidhani8971 Laana tena? Aisee!
@h.alshidhani89713 жыл бұрын
@@TamuzaKale kwani hujui kama mwimbaji ana hasara kama ni muislamu?
@TamuzaKale3 жыл бұрын
@@h.alshidhani8971 Duh! Mvinyo wa dini umetukubali Waafrika. Kazi badi ipo sana!
@h.alshidhani89713 жыл бұрын
@@TamuzaKale na wala haiishi mpaka qiyaama kisimame.
@xbdbdgdgsbdbbxx42543 жыл бұрын
Mungu akuongezee umri Mama ake na kina Romeo's. Bi Sandra mwenyewe MashaAllah, watu wanakuchukia na kukusema bureee. Wewe ndio nguzo ya maisha ya mwanao kula lala furaia hiyo maisha. 🙌🏾
@user-zz7ep5of2m6 ай бұрын
Mama uyu ajiheshimu mungu akusamehe
@shaphyally78383 жыл бұрын
she make me drop my tears
@aminakilahama18393 жыл бұрын
umependeza mama
@najmandanshau33163 жыл бұрын
Mama huzeek wallah...kweli pesa sabuni ya roho hakika
@sanuraissa38343 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii story jamani bi sandra wewe ni super women
@khamysamursally5932 Жыл бұрын
Kiukweli nakupendaga sanaa Da Sandra mungu akupe mwisho mwema
@YusufAli-ib6xu3 жыл бұрын
Lovely mummy ❤️❤️❤️
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Wallah mama umepambana wacha tu wakupiga midomo waongee vibaya juu ya mwanao na family yako maana midomo ni nyumba za maneno, na naamini dua zako zinasikika sana kuliko hata ya maneno ya watu juu ya family yako, ni haki watoto wakakupenda wewe kuliko hata baba zao maana ni mama mpambanaji, miaka mingi kwako,
@pfhpeacefullheart3 жыл бұрын
Nampenda uyu mama mimi
@munawarkhamis74953 жыл бұрын
Hii nimeipenda....
@ucjvvjcjjvih99343 жыл бұрын
Am muna from TZ pendeza sana mama lao piga kelele kwa dangote
@alajmialajm87943 жыл бұрын
Oooh sasa nishajua kwa nn romy wamuita mwanao... kumbe ww ndo ulomlea hata walinyonya ziwa moja na mond,hongera mama
@ancyrom69293 жыл бұрын
Roho Safi mama
@anuaryally61773 жыл бұрын
Mama d anasauti kama msichana mdogo inapendeza zaidi
@khamysamursally59323 жыл бұрын
Huwa nakupenda bure Mungu awajalie masikilizano na mapenzi yake zaidi na wanao
@firdaussheikh48173 жыл бұрын
Mamake dangote nakuheshimu
@vivianchawe75613 жыл бұрын
Mama dangote umependeza
@azzamahamdu70393 жыл бұрын
Mama simbaaaaaaa
@ManaTV9573 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza nasema hongera MAMA
@hassanchauluwa73083 жыл бұрын
mama dangote anazidi kua kijana
@shallinemerry46602 жыл бұрын
I thought they were blood brothers wow may God bless this woman 😍😍🙏🥰
@sduduzilelambrance16009 ай бұрын
How are they related I don't understand Swahili
@Sppah6973 жыл бұрын
The story is very touching
@sakinaabdallah77133 жыл бұрын
N'a Ricardo jee hujamnyonyesha vipi about mze nyange hujamnyonyesha
@khajihamisi50543 жыл бұрын
ubarikiwe mama!!!!
@madamaggy46683 жыл бұрын
Woooow
@rehemakaberege81193 жыл бұрын
Hongera mama
@jonathanicrisatijonathanic67083 жыл бұрын
Mucheki jiva ana ngoma kali sana
@nandulehamisi14612 жыл бұрын
The only
@rehemamsamba85963 жыл бұрын
Mashallah 🙏
@sherylachieng46607 ай бұрын
Mashalah
@jumarwambo74203 жыл бұрын
Imagine mama Romeo iyo kauli anajisijiaje kuwa mwanawe hakukaa nae
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Hahahaaa inauma, watu wa interview kesho kutwa utawasikia,
@maryamjuma98163 жыл бұрын
Maa shaa allah 🤩🤩😅😅
@aminanaftali5181 Жыл бұрын
Mama.shikamoo
@Jassmin-media-official3 жыл бұрын
Very interested storry
@rayanalmahrooqi46613 жыл бұрын
Mashaallah hadi furaha😢😢
@bonnypaul15162 жыл бұрын
Wewe ni mama mugani
@samicutebby34503 жыл бұрын
Hadi raha jamani😍😍😍
@kingswaggerkitoko60143 жыл бұрын
good job
@iddiseleman3963 жыл бұрын
Uyu mama bule
@florameza34913 жыл бұрын
Mama una pendeza sana ukijiachia hivyo
@alvismumkaranja33603 жыл бұрын
Mama dangote dio kila kitu kwa modi dio maana anampeda sana
@halimaallyazizi4443 Жыл бұрын
Amen amen
@fainnamvungi43643 жыл бұрын
❤❤❤❤
@bashiryusuf96703 жыл бұрын
Poleni rudini kwenye uislamu ww mama Kesho utakwenda mbele ya Allah utajibu nini bd washeherekea jee utasheherekea kifo pia ?itaki llah mche Allah na muache upuzi
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Hayo mambo hata mzee yusufu sasa yamemshinda,
@ritalissu11233 жыл бұрын
Mm na mpenda huyu mama jamni
@henriettenkuba70783 жыл бұрын
Uyu mama kinachomshina niliongea alafu cheko Kama la msichana ambaye anatongozwa barabarani
@queenwinnie2563 жыл бұрын
Kafurahi atajizua vipi hata ESMA mwanae yupo hivyo msikashifu sana wakati wenyewe wameridhika na style ya maisha yao,
@Mjingafaki3 жыл бұрын
Mama unaeleza vizur sana huku unacheka
@janetsesay98613 жыл бұрын
❤❤💯
@SuperKibwana3 жыл бұрын
Mmemkatisha mama alikuwa anaendelea jamani.
@tonykkabwe99373 жыл бұрын
❤️
@winnesakara69573 жыл бұрын
Waaqaa
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗😇😇😇😇😇😇queen🤗🤗🤗🤗🤗
@mwahamedychilungu89813 жыл бұрын
uyu mama ni nikuma tuu anajipya msenge uyu muuwaji uyu