Рет қаралды 879
Mangonjwa mengi kwa miaka ya karibuni yamekuwa yakisababishwa na mitindio ya maish ya watu mbalimbali hasa kwenye swala la chakula. wengi wamekuwa wakipuuzia swala zima na vyakula. Huku watu wakijilia chakula wanavyojiskia bila kufata utaratibu wa Mungu na wa kiafya. hivyo kwenye video hii fupi nitazungumzia mambo makubwa 14 ambayo yanatakiwa kuepukwa wakati wa kula ili kuweza kuboresha afya zetu na kumtukuza Mungu. Karibuni wote.