Haji Manara leo kaongea na waandishi wa habari ikiwa ni siku moja imepita baada ya Yanga SC kutwaa Ubingwa wao wa kwanza baada ya kukaa miaka minne bila taji la Ligi Kuu.
Пікірлер: 138
@mamboshepea88882 жыл бұрын
Manara usihofu...waja kazi yao kusema...Allah atakulipia Insha Allah
@subirajohn7282 жыл бұрын
Jamani eeeeee wenye kukeleka na wakeleke Manara ndio huyoooo😳😳😳😳 na Yanga yake chezea Manara wewe hapana chezea❤️❤️❤️
@rubensaitoti68392 жыл бұрын
Hongera sana kaka Mungu akulinde ishalaa
@vanbraiysee28582 жыл бұрын
Jifunze kuandika sio ishalaa Ni ishaAllah
@renniepaul87652 жыл бұрын
@@vanbraiysee2858 🙌🤣
@Emanuel_Shehiza012 жыл бұрын
Usipende kujisifu kwamba we ni bora mbele za Mungu
@mashaurimwita6810 Жыл бұрын
Kaka nakupenda San na mungu akupe maisha maref
@muunganosenyagwa39162 жыл бұрын
Hongera sana Mzee. Wa. Yanga yangu
@mfalmekaitaba24252 жыл бұрын
Mm ni #Simba ila hongera sana #UncleManara wng mm ni shabiki yako wa mda wote.
@leonardgervas75152 жыл бұрын
Mungu akulinde mwana nchi mwezetu
@PanadolOfficial.2 жыл бұрын
Nikweli
@elbarrey33052 жыл бұрын
Ila kwa namna nyingine yupo sahih manara.. binaaadam hatuna uwezo wa kumkomoa binadam mwenzio 😊😊
@muzdalifahameir65982 жыл бұрын
Kazi kazini
@zabibuboko70552 жыл бұрын
Pore sana hongeraa
@islabocco4782 жыл бұрын
Nakupenda haji 💚💛💚💛
@sultanabdillah17992 жыл бұрын
Hongera sana bro
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 sijui na mimi niende yanga nimfuate manara???
@jasminmgimwa84222 жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@BarakaWaya2 жыл бұрын
Apo waandishi wa habari wanakula za uso
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
🦁🦁🦁ila tu bro kweli kalma unayo
@Yu-jr9uf2 жыл бұрын
Semaji la mabingwa wa nchi
@mutavijeniffer88952 жыл бұрын
Tambaaa
@amdanyusufu18412 жыл бұрын
Wakele wakele
@revocatusreuben46052 жыл бұрын
Hamna kitu wew
@dgoamo_tz80642 жыл бұрын
dah, hii nchi uhuru umezidi sana
@lewismpangala9272 жыл бұрын
Enjoy home
@salim02tv242 жыл бұрын
Manaraaa
@salehewaziri82312 жыл бұрын
Tambaaaa ndiohuyohuyooo
@magariabdallah80662 жыл бұрын
Imekula kwako
@abdallaali54672 жыл бұрын
Allah azidi kukulinda
@musanjama75552 жыл бұрын
Huyu mnafiki sana kazi kuliakulia tuuu
@suleimansaid26332 жыл бұрын
Huyu jamaa tunamchukulia poa lakini huyu kaucheza mpira nje ya kiwanja na kafanikiwa... Hongera.
@ndayishimiyeabdulkabir97932 жыл бұрын
Allah kareem baba🙏🙏🙏
@allymarijani68692 жыл бұрын
mwananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiih
@hamzahassan20792 жыл бұрын
Aluatani Haji manala Weww umejaaliwa shee Wanaumia bule binadamu juu yako Wewe ni mkubwa sana sasa wao Awapendi
@hamzahassan20792 жыл бұрын
Tatizo mtu Akisema Yupo tasnia ya michezo basi kama sibaba mama Atamwita tu wewe ni Manala
@NR-ll4sr2 жыл бұрын
Mkubwa mungu tu
@hamzahassan20792 жыл бұрын
@@NR-ll4sr duniani pia Tunawakubwa wetu sawa
@NR-ll4sr2 жыл бұрын
@@hamzahassan2079 kwa kauli uliotoa hapo haimaanishi wakubwa km wazazi, wewe umemaanisha mkubwa hasaa,,,,trust me mkubwa mungu tu ,,,always praise God utafanikiwa, sio kiumbe mwenzako👏
@hamzahassan20792 жыл бұрын
@@NR-ll4sr urikua ujafahamu nnacho kimaanisha bc Natengua Kaurii Iritu ...🏆
@mpmchuma2 жыл бұрын
kaka Milard Ayo umepotelea wapi facebook hatupat habari zako
@aminaally84752 жыл бұрын
Eti wakere anawaker nani hasa hakerek m2 hpa akazane kuurowanish mdomo wake uckauke
@hosea79192 жыл бұрын
Semaaaa👌🏻👌🏻
@ozildabetie44752 жыл бұрын
Ngoja yanga wakutusi na wao haya bna c tupo
@julaimalidadi63942 жыл бұрын
huna lolote tahira kwa mpra gan ulio kuwa unacheza kelele tu za maneno
@aishaswalehe68482 жыл бұрын
Yaaanga tamu
@edwinjohn63342 жыл бұрын
sasa manala kwani uwezi kuongea mpaka uitaje simba pumbavu zako😂😂😂😂
@gracengonde85532 жыл бұрын
Bwege bwege linatumiwa 😏😏😏
@kassimrajabu78052 жыл бұрын
Diamond kanileta hapa
@augustineaugustine26962 жыл бұрын
Caf.Champions league. atakua kimya acha aongee saiz...
@amosirwegachungura90452 жыл бұрын
Ila jamaaa anaipenda sana simba
@luckyvenance45762 жыл бұрын
Mbn Skuile simba ilivyofungwa uliduwaa kwanza badae Ndo ukaanza kushangilia et why
@aminaally84752 жыл бұрын
Atajua hajui na hatuta teterek we kazan kuhangaik. Huwez ongea bila kuitaj cmba?
@zulfaismail46802 жыл бұрын
Naenda kule
@ashurasiaini76542 жыл бұрын
Nani kama yanga
@hosea79192 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 manara wewe unajua kukera haswaa
@hasasu45322 жыл бұрын
Mmb
@sinanindola932 жыл бұрын
Haiombwi ivooo 🤣🤣
@jumadavis29212 жыл бұрын
Kumbe we mshamba unashindw kusungumzia club Yako unalopoka
@tonietonietonie14542 жыл бұрын
Manaraaaaaaa
@kisinza.emmanuel.76832 жыл бұрын
Manara kwenye ubora wake, semaji la afrika.
@emmanuelmwanzalima83372 жыл бұрын
Manara haujielewi
@rajiboy94852 жыл бұрын
Yanga mabingwa tutaongoza miaka ata kumi
@NR-ll4sr2 жыл бұрын
Huna lolote,,,na huyo Daimond afanye music asijitie kwenye fitna
Kwahyo mwarabu ndo chanzo cha ubingwa uto😅😅 basi Mayele na wenzake hawana kazi pale pitch
@zainayolamu64862 жыл бұрын
Huyu naye anaongea nini kwani
@hamisibakali92712 жыл бұрын
AWAKAMILIKAGI AWA
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
jamaa ana maneno ya shombo saaana miaka sita mfululizo dah haya!
@kassidpandu8662 жыл бұрын
Wee kweli chawa Kila Mtu Maarufu bc wewe unajidai Rafiki yako wacha upuuzi huo
@kingdardykingdardy12052 жыл бұрын
bila kuongeleya cm ulipwi kaziunayo 😂😂😂😂 pambana mshahara upande unakaunawaza watuu mashayakoyanakushinda motounakukaribiya. We jiachiyetuu
@qpwisdomchengula89472 жыл бұрын
Mbna una ujasiri Mungu anavyo ishi apo kileleni usishangae ukabaki tu kuongea
@tanzaboy48242 жыл бұрын
Sema uyu jamaa mbona aongelei yanga
@chedielimrutu69552 жыл бұрын
Acha kulalamika kila siku wewe kwani una nini? Ngoja tuone huo uongo wako wa back to back tulia kula hela usipayuke sana.
@josamjoel20792 жыл бұрын
Katika zile back tu back kwan mpka sahv kuna alipokosea kusea back to back au kuna ambapo kapungukiwa
@hdmsasa33552 жыл бұрын
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN kzbin.info/www/bejne/eZXcqZ1rrtKCiJY
@nasrakambimton95222 жыл бұрын
Yani ili nijeu Sana ataraman Wala ata yamsing akun kajambe mbele
@mohayussuf20572 жыл бұрын
Porojo bla blaaa domo kaya
@zanzibar.2 жыл бұрын
Huyu jamaa kichwa kibovu sana
@lastsimbatv14972 жыл бұрын
Huko umefata doo na umaaruf only that hakun back back hata 2 Ynaga one day utataman kurudii simba
@hashimahashimu73662 жыл бұрын
Ujapaka mafuta mbn sura iményauka
@taseleli91812 жыл бұрын
Sasa unajitamba nini si uendelee tu kula maisha huko uliko punguza mdomo nawe unadhani Mungu ni wa kwako tu? Kila mmoja ana Mungu acha kubwabwaja.
@OmAn-jo8mr2 жыл бұрын
Huna sitara hata kidogo ujijuwi tu huyo damondi anaishi kwa uchawi wewe ndio unampapatikiya nase tumsikiye mpumba tu
@ramosrobert76562 жыл бұрын
Huna Akili punguza upuuzi
@tenijabu44032 жыл бұрын
Hayo maneno yatakuponza kaka kumbuka unaposema maneno mengine weka akiba utakuja uumbuke .
@salim02tv242 жыл бұрын
Aumbuke vp ? Nam2 anatafutaa
@zainabucharles68412 жыл бұрын
SSa unalalmika nini hakuna la maana njaaa inakusumbua wwe nani subiri kimataifa kutwa kujilalamisha hovyooo
@amosrurwechu32832 жыл бұрын
Ila jamaa yani unajiona kama yani bila wewe yanga awashindi
@tahiyasaeed2 жыл бұрын
Kajambe huko 🤣🤣🤣🤣🤣. Ila all the best 👏🏻👏🏻👏🏻
@anthonymushi13692 жыл бұрын
Pigia kelele saani yako isivunjike ila usisaau akuna binadamu wa kuaminika kazi kwako mze wa Tambo
@tonietonietonie14542 жыл бұрын
Na nyimbo walisha zitunga mze muvi usiseme
@zaitunihasani21892 жыл бұрын
Huyu mwe mwakani atalia hazarani
@kuluthummmetisha46302 жыл бұрын
Manara karama tosha
@dakotakipaji22702 жыл бұрын
We munafik sana kila kitu simba kuma wew msenge una ufalume gani
@yahkiwera36112 жыл бұрын
Mhh
@BigDreamsWorldwide2 жыл бұрын
Hahahaha ila huyu jamaa kama demu sasa apo kaz usemaji ipo au michambo nara sasa simba wenyewe wapo tu
@kijanisaini56882 жыл бұрын
Makolo mnahenyeka
@ahmedhuwel95882 жыл бұрын
Mpumbavuu huyoo mbona anahangaikaa na vitu havimhusu
@khalifasaidi70032 жыл бұрын
Wwe mwimba taarabu mzuri
@ludigoludigo30102 жыл бұрын
Chunga Domo Hilo, si utulie basi, mdomo wa Nini? Ndo kweli shoga hana akili
@hamisiomari76242 жыл бұрын
Matuc ndugu
@allymtungunyu24252 жыл бұрын
Una stara wewe ulosema unashindwa kwenda gest sababu ya umaafu na kulindwa? We geuza tu maneno ujifariji leo unawadanganya et miaka 10 nilosema maana yake 6 ya yanga 4 iliyopita ndo simba km hawana akili watakuelewa
@husseinmaula59142 жыл бұрын
Mpaka leo Bado unaumia Kwa kua una maisha ya ziki ulipo
@amaniabdallah13592 жыл бұрын
Huyu manara bado anaumia na simba lakini walimjua ni mtu wa fitna kila sehemu anayokwenda hapo yanga wamekjvumilia sababu wamepata ubingwa tu umemfanyia nugaz fitna mpaka ukamnyang'anya kazi yake alafu unajidai mtu wa munguu wakati ubingwa wenyewe mmewadhulumu baadhi ya timu wadhulumishi
@mariamkalekwa49182 жыл бұрын
Rudia
@doison44932 жыл бұрын
Sema huyu kafyobe hana akiba ya maneno. Muisilam gani mwenye kinyongo kiasi hicho Simba 🦁 kashaondoka kutwa nzima yeye na Simba 🦁 halafu mwanaume mzima itakuwaje uwe na kinyongo na mwanamke huo niufinyu wa fikra
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
Na hao wanaomdhalilisha vipi?
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
Kwani wewe unatetea nini, usimba?
@OmAn-jo8mr2 жыл бұрын
Damondi mshenzi kama wewe usiofazira na wara ufaziriki
@Lassana7552 жыл бұрын
Fadhila, wala, hufadhiliki. Jifunze kuandika kiswahili vizuri kuma wwe
@hdmsasa33552 жыл бұрын
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN kzbin.info/www/bejne/eZXcqZ1rrtKCiJY
@janethjustin20412 жыл бұрын
Huna jipya manara Kama ungekuwa unajiweza usingeenda yanga timu uliyoitukana na kuikashifu mnafiki mkubwa wewe
@mudighurayra2 жыл бұрын
Mpira hauna ivo boss
@ayubjeremia85092 жыл бұрын
We fala tu sijawhi kukuelewa ww zeruzeru2
@ramsonramadhan41562 жыл бұрын
Sasa Manara Clip nzima unalalamika tu ...Mbona huongelei mpira? wewe ni msemaji wa team kubwa sio Kujiongelea mambo binafsi
@yussufritzy76842 жыл бұрын
Analichokifanya ni kuongelea comment ya Mondi,,, ambayo ilikuwa ni swali alilokuwa ameulizwa