MANARA NA HARMONIZE USO KWA USO, AFUTA KAULI ADAI "HATUNA BIFU, MMAKONDE WA KWANZA SUPA"

  Рет қаралды 158,194

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 126
@caritasmushi8896
@caritasmushi8896 8 ай бұрын
Kujali wagonjwa ni jambo jema na Mungu analithamini. Big up Manara God bless you.
@kennyraphael9839
@kennyraphael9839 8 ай бұрын
Ebwana hongereni sana Team nzima ya JUAKALI ikisindikizwa na dada yetu wa nguvu Lamata!!👍🏾mmefanya jambo zuri na la kihistoria na pia mtu mzima KONDE BOI FOR EVERYBODY 🔥Ahsante sana mzazi na mwingine kaka yetu Haji manara!! Umetisha sana kaka #CancerFree💯Mwenyezi Mungu awazidi kuwaongoza na kuzidi kuwabariki kwa vile vingi mlivyojitolea 🙏🏾Amen
@GodfreyKunambi
@GodfreyKunambi 8 ай бұрын
Harmonizer Hana baya kabis ana Hela ni superstar Lakin hajali anapoona Kuna uhitaj wa sapoti yake ana play pat GOD bless you
@shadrackmohamedi8765
@shadrackmohamedi8765 8 ай бұрын
We are Tanzanians, one love. Huwa watu tukiishi kwa upendo atupunguzi kitu bali tunaongeza furaha na siku za kuishi.
@KMatrix628
@KMatrix628 8 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/kH_dpmqlZrulY7ssi=KM3mm4hpHAKNBazf
@azizakambenga9292
@azizakambenga9292 8 ай бұрын
Nimependa harmonize alivosema km we rafiki yako mm kaka angu
@hadija846
@hadija846 8 ай бұрын
Safi sana 😍💯Harmonize ni namba kubwa sana😍💯
@hadija846
@hadija846 8 ай бұрын
🙏😍
@AluvenceNdelwa
@AluvenceNdelwa 8 ай бұрын
Kuwa maarufu kuna mambo mengi sana nampenda sana konde
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz 8 ай бұрын
Mungu awakumbuke wale wote walioguswa na swala hili mmeugusa moyo wa MUNGU kwa kuwahurumia watu wake 🙏🙏
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 8 ай бұрын
Mungu awabariki wote mlioshiriki 🙏🙏🙏❣️💕
@didokolinzo6388
@didokolinzo6388 4 ай бұрын
très bonne idée
@HarmonizeAniset
@HarmonizeAniset 8 ай бұрын
Harmonize. Msanii mkubwa Tanzania
@KMatrix628
@KMatrix628 8 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/kH_dpmqlZrulY7ssi=KM3mm4hpHAKNBazf
@MamodelPark
@MamodelPark 8 ай бұрын
Exactly
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 8 ай бұрын
Kwa ukubwa upi?
@Immahjr
@Immahjr 8 ай бұрын
​@@frankngoloka2589 bas wew na harmonize nan mkubwa!
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 8 ай бұрын
@@Immahjr Mimi nimkubwa
@agathonyanthony4643
@agathonyanthony4643 8 ай бұрын
Usiamin kila unachokiona social media nimeipenda io
@issakamangila4143
@issakamangila4143 8 ай бұрын
Harmonize bingwa kbs
@Cuteeeee477
@Cuteeeee477 8 ай бұрын
Hamo nampenda bure kajua kumkataa mwandishi akaa misijaja kwa intave
@Damkubawa
@Damkubawa 8 ай бұрын
Safi sana nimependa iyooo
@KMatrix628
@KMatrix628 8 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/kH_dpmqlZrulY7ssi=KM3mm4hpHAKNBazf
@daccoh
@daccoh 8 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/l3KwhqVui79lf7ssi=IMkxofO6UlMPgUce
@KondeMjeshi
@KondeMjeshi 8 ай бұрын
Maisha yanatakiwa ungwana kama uo maisha ndio aya aya big up sana
@nanaritho6850
@nanaritho6850 8 ай бұрын
Manara anapenda tansion mwwnzake harmo hakutaka mambo mengi yaan huyu mzees khaaaa!
@goodlucknjau77
@goodlucknjau77 8 ай бұрын
Huyo mzungu pori mnafiki huyoo
@JohnsonMbogambi
@JohnsonMbogambi 8 ай бұрын
Harmonaz manala 5:53 5:57 5:57
@RealOmmy-ip7yn
@RealOmmy-ip7yn 8 ай бұрын
Daah namba za views zinavyopanda ni nouma sana Millard Ayo 🙌. Naomba interview na Mimi tafadhali🙏
@ndaisengazoya8793
@ndaisengazoya8793 8 ай бұрын
😂
@ndaisengazoya8793
@ndaisengazoya8793 8 ай бұрын
Njoo MSN Tanzania 😂😂😂
@RealOmmy-ip7yn
@RealOmmy-ip7yn 8 ай бұрын
@@ndaisengazoya8793 MSN Tanzania naijuwa sana.
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 8 ай бұрын
Safi sana na Mungu awabariki
@MunirDaniford
@MunirDaniford 8 ай бұрын
Unafiki ni sehemu ya maisha yetu watanzania
@ShabaniSaidi-y1e
@ShabaniSaidi-y1e 8 ай бұрын
Haji m 4:10 4:10 sanii pia
@JohnJonas-b6e
@JohnJonas-b6e 8 ай бұрын
🐘🐘🐘🐘💥💥💥💥💥💥💥
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 8 ай бұрын
mbona manara kama anajipendekeza 😂😂😂
@UpendoJohn-o9g
@UpendoJohn-o9g 8 ай бұрын
Mungu awabariki team Juakali
@allywilson4155
@allywilson4155 8 ай бұрын
Wote mapuwa saws sawa
@cruel_5
@cruel_5 8 ай бұрын
Sema inahonekana kabisa Konde hana ushkaji na Manara jamaa kakataa kabisa kushuka 😅😅
@isaacmwaseba9972
@isaacmwaseba9972 8 ай бұрын
Alikuwa hajavaa t shirt hizo sare zao angeshuka bila nguo ya juu yangesemwa mengine
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 8 ай бұрын
Umegundua manara alihitaji ashuke jamaa kachomoa
@masukuziramadhani9341
@masukuziramadhani9341 8 ай бұрын
Hapo sasa hata kushuka?😢
@samwelsilas629
@samwelsilas629 8 ай бұрын
Kama anajipendekeza hv
@ifozatv2513
@ifozatv2513 8 ай бұрын
Ht mm nmeona 😂
@BashiruMussa-vo9ln
@BashiruMussa-vo9ln 8 ай бұрын
vizuli sana
@IGOFAMILY-o6q
@IGOFAMILY-o6q 8 ай бұрын
Nzuuriiii
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 7 ай бұрын
Mimi naona manara hanataka kuona kila mtu anaishi kwa upendo na Amani Ila kwasababu wabongo ni wanafiki mnapenda kuona huwasama Kati ya vijana wa wili wakitanzania rithi rafiki usirithi adui yaani Wabongo mungeweza dimond na harmonise munge wavuruga hata kuwana Kama notorious big na pac eti manara anajipendekeza kwa lipi jamaa Ana michongo kibao mjini acheni unafiki wabongo na roho za husuda
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
👊✌️👍.
@collineedson9964
@collineedson9964 8 ай бұрын
Maisha yanapaswa kuwa hv achen migogoro
@oscarjulius5723
@oscarjulius5723 8 ай бұрын
❤❤
@chimamilion
@chimamilion 8 ай бұрын
😂😂Harmo anajaribu kumpotezea lkn manara wap
@PaulEbby-n4r
@PaulEbby-n4r 8 ай бұрын
Manara kajibebisha 😂😂😂
@makischocho4613
@makischocho4613 8 ай бұрын
Vizuri sana kabisa ......wa Tanzania nawakubali kuchezea media
@SilasChitui-xk2sw
@SilasChitui-xk2sw 8 ай бұрын
Watanzania mna utoto na uswahili Sana, hapa Kenya kama si pesa hamna mtu anashughulika na maisha ya mwenziye💔💔💔
@loner_wolf
@loner_wolf 8 ай бұрын
Bugatti anataka Kuonyesha ukubwa eti "Shuka shuka " huku anamvuta mkono....... Harmonize mwenyewe Mmakonde mtu wa kujikweza na anajua yeye mkubwa maana ukuu wake sio wa kuchora ,ni kazi zake, mgongano hapo sasa .....
@BilaliHamadi
@BilaliHamadi 7 ай бұрын
Hormonize kwel ndo msanii nnaemkubal nyimbo zake
@HussainMaula-d1g
@HussainMaula-d1g 8 ай бұрын
Hao wote tabulele kwanini wasipatane
@lawskuli9876
@lawskuli9876 8 ай бұрын
Ni dhahiri jamaa anampapatikia Chinga
@Mufti-c7t
@Mufti-c7t 8 ай бұрын
Niwaulize suali? Hivi mnahisi nani anajipendekeza kati ya big na uyo ----?
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 8 ай бұрын
Ila huyu harmonjze jeuri, kwann asishuke kwenye gari??
@leokamil6284
@leokamil6284 8 ай бұрын
Anajiskia sana sio heshima kabisa, ila huyu ushamba ndio unamsumbua. Huwa nakubali nyimbo zake ila tabia yake ya ushamba sipendi
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 8 ай бұрын
Harmonize the Brand
@manasekabusha7180
@manasekabusha7180 8 ай бұрын
alikuwa anasubili sale yaushiliki tishet mbona kashuka
@Fred-Ma
@Fred-Ma 8 ай бұрын
Hiyo ni Brandi,hata hiyo Interview kakataa sana.Moja ya kanuni ya Branding ni Scarcity.
@SilaMinanda
@SilaMinanda 8 ай бұрын
​@@leokamil6284Ata kumkubali wala humkubali matako ww, sasa kushuka kwenye gar ili iweje? Acheni uchawa nyie baki na shoga wenu diamond
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 8 ай бұрын
Tupendaneni kwan hakuna binadamalie kamilika
@daccoh
@daccoh 8 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/l3KwhqVui79lf7ssi=IMkxofO6UlMPgUce
@jailosibrahim88
@jailosibrahim88 8 ай бұрын
Katika viumbe wasioeleweka basi haji manara ni mnafiki sana subili siku akikutana na barbra utaelewa hiki nachosema
@ShabaniSaidi-y1e
@ShabaniSaidi-y1e 8 ай бұрын
Matajili wote
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 8 ай бұрын
Anara sanya vile brow
@flm1530
@flm1530 8 ай бұрын
Tangu lini ufalme wa shetani ukapingana wote ni kitu kimoja
@MariamHamis-t7u
@MariamHamis-t7u 8 ай бұрын
True
@josephntungiye6232
@josephntungiye6232 8 ай бұрын
Umeona mbalisa sana upovzuri
@MariamHamis-t7u
@MariamHamis-t7u 8 ай бұрын
Mathayo 12:25-26 imeopen vzr ndugu
@ChrisTengeneza
@ChrisTengeneza 8 ай бұрын
Bifu tynatengeneza sisi waandishi harmo bifu na manara wap na wap bn
@missiontown001
@missiontown001 8 ай бұрын
Nimeipenda hiyo bond😂😂😂😂
@daccoh
@daccoh 8 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/l3KwhqVui79lf7ssi=IMkxofO6UlMPgUce
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 8 ай бұрын
Tupendaneni kwan cc ni binadam
@PatrickMwamba-p7w
@PatrickMwamba-p7w 8 ай бұрын
Harmonize anatembea na laana...usiku eti ni Popo.. uchawi hutomusaidia kamwe 😭😭😭
@leonardmhagama5828
@leonardmhagama5828 8 ай бұрын
Usirithi adui....adui wa babako sio adui yake..take note
@Bayothomusic
@Bayothomusic 8 ай бұрын
angalia hii kzbin.info/www/bejne/fV7WZ4KNhZuWmMU
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 8 ай бұрын
Manala naomba uwakutanishe diamond ft harmonize watoe nyimbo
@zeyadazeyada8050
@zeyadazeyada8050 8 ай бұрын
Ume ona vibaya
@EARO-p4q
@EARO-p4q 8 ай бұрын
Nilicho kiona hapo manara ndo anamshobokea harmonize ila harmo hana hata mda nae wala kutaka kuongea nae
@Mollel69
@Mollel69 8 ай бұрын
Manara ni Chawa😂😂😂
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 ай бұрын
Exactly
@bebebebe5677
@bebebebe5677 8 ай бұрын
Lamata unampenda San dorah
@YusuphBaura
@YusuphBaura 8 ай бұрын
KAJAL YUPO KUMB 😅
@MakameJumaa-f2y
@MakameJumaa-f2y 8 ай бұрын
Hamna bifu😂😂😂
@BabanahShoo-ms1cq
@BabanahShoo-ms1cq 8 ай бұрын
Temboo atabakii tembooo
@daccoh
@daccoh 8 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/l3KwhqVui79lf7ssi=IMkxofO6UlMPgUce
@ContentGoldenDoodle-uv2xo
@ContentGoldenDoodle-uv2xo 8 ай бұрын
Huyu mana ni chawa wa domond ndo maana tembo yuampotezea lakin manara haoni😅
@nkanenoel8357
@nkanenoel8357 8 ай бұрын
Konde
@Fabianielihaj
@Fabianielihaj 7 ай бұрын
Wewe ni lafiki yako ila kwa kond ni kaka yake
@wilfredfesto
@wilfredfesto 8 ай бұрын
Ukiwa na pesa maeneo kama haya hata wizi ukitokea wewe huulizwi😅
@CathyPeter-zu1jw
@CathyPeter-zu1jw 8 ай бұрын
Diamond ndio maana hakukupa hela kwenye birthday yako ameshakujua ni mnafiki
@JumaAmiri-jz6gg
@JumaAmiri-jz6gg 8 ай бұрын
Namsapoti na yeye ananisapoti🤣🤣🤣🤣 anavo ongea manara mwangalie usoni ????
@happynkya9770
@happynkya9770 8 ай бұрын
kuna kauli mbili hapo za hamonize nimezipenda, moja kasema ww diamond ni rafiki yako mm ni kakakngu, akasema tena usikiamini kila kinachotokea kwenye mitandao
@nth3512
@nth3512 8 ай бұрын
Baadh ya watu maarufu hutoa misaada km agizo la shetani, so msipumbazwe na matendo yao
@erickndunguru1824
@erickndunguru1824 8 ай бұрын
Nilizan nakajala yupoo😂😂
@Nyangondeog
@Nyangondeog 8 ай бұрын
Alikuwepo😂😂
@happynkya9770
@happynkya9770 8 ай бұрын
mkakosa kbsa size ya tshrt ya dora
@saidilome-ue2df
@saidilome-ue2df 8 ай бұрын
Bangi anatumia akili kuongea na media,anajitambua sn yy ni nan na afanya nin.anaelewa lipi lakuongea na wapi
@mahadshekh398
@mahadshekh398 8 ай бұрын
Chawa tu huyo anajipendekeza kwa Harmonize.Body language ya Konde inaonyesha wazi.
@athumanikadria6925
@athumanikadria6925 7 ай бұрын
Tofauti ya manara na harmo ni kwamba harmo ni star zaidi ya manara ila manara anae kibunda wajomba so poa
@ShabaniSaidi-y1e
@ShabaniSaidi-y1e 8 ай бұрын
Haha
@samirmswahili
@samirmswahili 8 ай бұрын
Kitu kizur konde
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 8 ай бұрын
Hivi mwanamke kunyoa kipara ni maamuzi yake binafsi au ya bwana wake??
@saniaidrisa3920
@saniaidrisa3920 8 ай бұрын
Sio maamuzi ya bwana ake bali ni maamuzi ya mume wake Kama ni bwana ake tu bas hana maamuzi hayo🙏
@ramadhanitokwete8069
@ramadhanitokwete8069 8 ай бұрын
Manara ni brand kubwa kuliko harmo
@MakameJumaa-f2y
@MakameJumaa-f2y 8 ай бұрын
Hebu chunguza camera zinamulika kondeboy au manara
@ramadhanitokwete8069
@ramadhanitokwete8069 8 ай бұрын
@@MakameJumaa-f2y manara ni brand kubwa! Period
@ContentGoldenDoodle-uv2xo
@ContentGoldenDoodle-uv2xo 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂brand kubwa yuapagawa na 🐘 atapewa mkonga mwishowe eti konde shuka kwenye gari kama yey brandy si ampotezee jeshi kwn lazima aongeee nae
@redtk2971
@redtk2971 8 ай бұрын
Mmachinga mjanja sana kajua kuwa jamaa anaitaji views kwenye chaneli yake ndio mana kamalizana nae kinafki😂
@SonNathan-p5c
@SonNathan-p5c 8 ай бұрын
🪂🪂
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 8 ай бұрын
mbona manara kama anajipendekeza 😂😂😂
@Ibrah287
@Ibrah287 8 ай бұрын
Sure hata mimi naona hivyo man
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 8 ай бұрын
mbona manara kama anajipendekeza 😂😂😂
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 8 ай бұрын
Jamani yamekuwa hayo tena
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 81 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
MANARA AELEZA KWANINI ALIHAMA SIMBA.
2:37
IP TV
Рет қаралды 409
Jua Kali Leo Ijumaa Usiku 18-10-2024
21:21
KASKAZINI - Tv
Рет қаралды 46 М.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 81 МЛН