Kujali wagonjwa ni jambo jema na Mungu analithamini. Big up Manara God bless you.
@kennyraphael98398 ай бұрын
Ebwana hongereni sana Team nzima ya JUAKALI ikisindikizwa na dada yetu wa nguvu Lamata!!👍🏾mmefanya jambo zuri na la kihistoria na pia mtu mzima KONDE BOI FOR EVERYBODY 🔥Ahsante sana mzazi na mwingine kaka yetu Haji manara!! Umetisha sana kaka #CancerFree💯Mwenyezi Mungu awazidi kuwaongoza na kuzidi kuwabariki kwa vile vingi mlivyojitolea 🙏🏾Amen
@GodfreyKunambi8 ай бұрын
Harmonizer Hana baya kabis ana Hela ni superstar Lakin hajali anapoona Kuna uhitaj wa sapoti yake ana play pat GOD bless you
@shadrackmohamedi87658 ай бұрын
We are Tanzanians, one love. Huwa watu tukiishi kwa upendo atupunguzi kitu bali tunaongeza furaha na siku za kuishi.
Maisha yanatakiwa ungwana kama uo maisha ndio aya aya big up sana
@nanaritho68508 ай бұрын
Manara anapenda tansion mwwnzake harmo hakutaka mambo mengi yaan huyu mzees khaaaa!
@goodlucknjau778 ай бұрын
Huyo mzungu pori mnafiki huyoo
@JohnsonMbogambi8 ай бұрын
Harmonaz manala 5:53 5:57 5:57
@RealOmmy-ip7yn8 ай бұрын
Daah namba za views zinavyopanda ni nouma sana Millard Ayo 🙌. Naomba interview na Mimi tafadhali🙏
@ndaisengazoya87938 ай бұрын
😂
@ndaisengazoya87938 ай бұрын
Njoo MSN Tanzania 😂😂😂
@RealOmmy-ip7yn8 ай бұрын
@@ndaisengazoya8793 MSN Tanzania naijuwa sana.
@Carolina-sm5zt8 ай бұрын
Safi sana na Mungu awabariki
@MunirDaniford8 ай бұрын
Unafiki ni sehemu ya maisha yetu watanzania
@ShabaniSaidi-y1e8 ай бұрын
Haji m 4:10 4:10 sanii pia
@JohnJonas-b6e8 ай бұрын
🐘🐘🐘🐘💥💥💥💥💥💥💥
@muzafarsharif94658 ай бұрын
mbona manara kama anajipendekeza 😂😂😂
@UpendoJohn-o9g8 ай бұрын
Mungu awabariki team Juakali
@allywilson41558 ай бұрын
Wote mapuwa saws sawa
@cruel_58 ай бұрын
Sema inahonekana kabisa Konde hana ushkaji na Manara jamaa kakataa kabisa kushuka 😅😅
@isaacmwaseba99728 ай бұрын
Alikuwa hajavaa t shirt hizo sare zao angeshuka bila nguo ya juu yangesemwa mengine
@michaelthobias99678 ай бұрын
Umegundua manara alihitaji ashuke jamaa kachomoa
@masukuziramadhani93418 ай бұрын
Hapo sasa hata kushuka?😢
@samwelsilas6298 ай бұрын
Kama anajipendekeza hv
@ifozatv25138 ай бұрын
Ht mm nmeona 😂
@BashiruMussa-vo9ln8 ай бұрын
vizuli sana
@IGOFAMILY-o6q8 ай бұрын
Nzuuriiii
@Lodrickmwambene7 ай бұрын
Mimi naona manara hanataka kuona kila mtu anaishi kwa upendo na Amani Ila kwasababu wabongo ni wanafiki mnapenda kuona huwasama Kati ya vijana wa wili wakitanzania rithi rafiki usirithi adui yaani Wabongo mungeweza dimond na harmonise munge wavuruga hata kuwana Kama notorious big na pac eti manara anajipendekeza kwa lipi jamaa Ana michongo kibao mjini acheni unafiki wabongo na roho za husuda
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👊✌️👍.
@collineedson99648 ай бұрын
Maisha yanapaswa kuwa hv achen migogoro
@oscarjulius57238 ай бұрын
❤❤
@chimamilion8 ай бұрын
😂😂Harmo anajaribu kumpotezea lkn manara wap
@PaulEbby-n4r8 ай бұрын
Manara kajibebisha 😂😂😂
@makischocho46138 ай бұрын
Vizuri sana kabisa ......wa Tanzania nawakubali kuchezea media
@SilasChitui-xk2sw8 ай бұрын
Watanzania mna utoto na uswahili Sana, hapa Kenya kama si pesa hamna mtu anashughulika na maisha ya mwenziye💔💔💔
@loner_wolf8 ай бұрын
Bugatti anataka Kuonyesha ukubwa eti "Shuka shuka " huku anamvuta mkono....... Harmonize mwenyewe Mmakonde mtu wa kujikweza na anajua yeye mkubwa maana ukuu wake sio wa kuchora ,ni kazi zake, mgongano hapo sasa .....
@BilaliHamadi7 ай бұрын
Hormonize kwel ndo msanii nnaemkubal nyimbo zake
@HussainMaula-d1g8 ай бұрын
Hao wote tabulele kwanini wasipatane
@lawskuli98768 ай бұрын
Ni dhahiri jamaa anampapatikia Chinga
@Mufti-c7t8 ай бұрын
Niwaulize suali? Hivi mnahisi nani anajipendekeza kati ya big na uyo ----?
@naimasbuguza23958 ай бұрын
Ila huyu harmonjze jeuri, kwann asishuke kwenye gari??
@leokamil62848 ай бұрын
Anajiskia sana sio heshima kabisa, ila huyu ushamba ndio unamsumbua. Huwa nakubali nyimbo zake ila tabia yake ya ushamba sipendi
@sabinaonline65758 ай бұрын
Harmonize the Brand
@manasekabusha71808 ай бұрын
alikuwa anasubili sale yaushiliki tishet mbona kashuka
@Fred-Ma8 ай бұрын
Hiyo ni Brandi,hata hiyo Interview kakataa sana.Moja ya kanuni ya Branding ni Scarcity.
@SilaMinanda8 ай бұрын
@@leokamil6284Ata kumkubali wala humkubali matako ww, sasa kushuka kwenye gar ili iweje? Acheni uchawa nyie baki na shoga wenu diamond
Huyu mana ni chawa wa domond ndo maana tembo yuampotezea lakin manara haoni😅
@nkanenoel83578 ай бұрын
Konde
@Fabianielihaj7 ай бұрын
Wewe ni lafiki yako ila kwa kond ni kaka yake
@wilfredfesto8 ай бұрын
Ukiwa na pesa maeneo kama haya hata wizi ukitokea wewe huulizwi😅
@CathyPeter-zu1jw8 ай бұрын
Diamond ndio maana hakukupa hela kwenye birthday yako ameshakujua ni mnafiki
@JumaAmiri-jz6gg8 ай бұрын
Namsapoti na yeye ananisapoti🤣🤣🤣🤣 anavo ongea manara mwangalie usoni ????
@happynkya97708 ай бұрын
kuna kauli mbili hapo za hamonize nimezipenda, moja kasema ww diamond ni rafiki yako mm ni kakakngu, akasema tena usikiamini kila kinachotokea kwenye mitandao
@nth35128 ай бұрын
Baadh ya watu maarufu hutoa misaada km agizo la shetani, so msipumbazwe na matendo yao
@erickndunguru18248 ай бұрын
Nilizan nakajala yupoo😂😂
@Nyangondeog8 ай бұрын
Alikuwepo😂😂
@happynkya97708 ай бұрын
mkakosa kbsa size ya tshrt ya dora
@saidilome-ue2df8 ай бұрын
Bangi anatumia akili kuongea na media,anajitambua sn yy ni nan na afanya nin.anaelewa lipi lakuongea na wapi
@mahadshekh3988 ай бұрын
Chawa tu huyo anajipendekeza kwa Harmonize.Body language ya Konde inaonyesha wazi.
@athumanikadria69257 ай бұрын
Tofauti ya manara na harmo ni kwamba harmo ni star zaidi ya manara ila manara anae kibunda wajomba so poa
@ShabaniSaidi-y1e8 ай бұрын
Haha
@samirmswahili8 ай бұрын
Kitu kizur konde
@naimasbuguza23958 ай бұрын
Hivi mwanamke kunyoa kipara ni maamuzi yake binafsi au ya bwana wake??
@saniaidrisa39208 ай бұрын
Sio maamuzi ya bwana ake bali ni maamuzi ya mume wake Kama ni bwana ake tu bas hana maamuzi hayo🙏
@ramadhanitokwete80698 ай бұрын
Manara ni brand kubwa kuliko harmo
@MakameJumaa-f2y8 ай бұрын
Hebu chunguza camera zinamulika kondeboy au manara
@ramadhanitokwete80698 ай бұрын
@@MakameJumaa-f2y manara ni brand kubwa! Period
@ContentGoldenDoodle-uv2xo8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂brand kubwa yuapagawa na 🐘 atapewa mkonga mwishowe eti konde shuka kwenye gari kama yey brandy si ampotezee jeshi kwn lazima aongeee nae
@redtk29718 ай бұрын
Mmachinga mjanja sana kajua kuwa jamaa anaitaji views kwenye chaneli yake ndio mana kamalizana nae kinafki😂