MAONI YA AHLISSUNNAH KUHUSU MNAQASHA WA TANGA

  Рет қаралды 2,647

Yusuf Abdullahi Alnaufaly

Yusuf Abdullahi Alnaufaly

Күн бұрын

Пікірлер: 32
@rushu1232
@rushu1232 Жыл бұрын
Hakuna aleishinda wala alioshindwa ikiwa hoja zilijibiwa kabla ya nikash Sh. Hajji upepo alijibu Sh.Diwani amewafundisha balagha na maani pia hawajakubali nalakushangaza nina alikua ref ndio akawapatia wao kikombe cha ushindi.
@rachidmuhammad3356
@rachidmuhammad3356 Жыл бұрын
Sheikh jibu hoja 19 za bachu acha rawama
@ismailseleman2952
@ismailseleman2952 Жыл бұрын
Kiukweli shekh umekosea Haukuongeakwahekma waowamefikisha vile walivyoweza
@omarally6819
@omarally6819 Жыл бұрын
Endeleeni kuwafanya wapumbavu hao wafuasi wenu, ambao wakati wana kufateni wanafumba macho na masikio. Nasio sisi kutupumbaza kwa upumbavu kama huu na uongo wa wazi kama huu. Hamuoni ata hayaaa!
@aliali-gw5pq
@aliali-gw5pq Жыл бұрын
Afadhali babu kwa kuwaliwaza wajukuu zako maana kule tanga mliumizwa
@AbdallahMikidadi-cd1km
@AbdallahMikidadi-cd1km Жыл бұрын
Sisi watu wa twarika kazi yetu kukohoa maa Shaa Allah
@teedosuleish6155
@teedosuleish6155 Жыл бұрын
Mnaocomment hua hamjasoma ni wabishi tu
@abuuamourmuhamed1934
@abuuamourmuhamed1934 Жыл бұрын
Hahahahaaaa twarika hahaaaa
@yyyyyy4144
@yyyyyy4144 Жыл бұрын
jibu wewe yale maswali 19 ya barazanji acheni twarika kukohoa kama muna nimonia
@hamudy0073
@hamudy0073 Жыл бұрын
ajabu ni eldoret mjadala ulikuwa hujielewi la kujibu na marungi jee umeacha mwenye ?hao wanaokusikiza wajuwa kuwa wachonga marungi na kula mgokaa au mwenye hakemewi na wafuasi wao ni kama pastor akifanya dhambi ni sawa tu ?
@fahadbabuy
@fahadbabuy Жыл бұрын
Watu wa Twariqa🙆🏽🙆🏽🥱hii dini ukivaa kanzu tu basi unajiona ulamaaa😂😂😂hamna mpango wowote munashindana upumbavu ata wavuta bangi wasingebishana
@FarahJey
@FarahJey Жыл бұрын
Semeni nyinyi watu wa bidaa ndio munavyo julikana, wateni kujipatika jina la utwarika,marina yenu ni ahlul bidaa
@UmAkram-z1u
@UmAkram-z1u Жыл бұрын
maulid bidaa ni uzushi na twareka sio dini
@masoudshaban6609
@masoudshaban6609 Жыл бұрын
Suala sio kushindwa...jibuni hoja acheni ngonjera😂
@OMAR-se6rb
@OMAR-se6rb Жыл бұрын
Duuh kwaiyo ww unazo hadthi😀
@husseinadam1278
@husseinadam1278 Жыл бұрын
hawo wasomi wenu wambieni watowe majibu angalau Moja
@teedosuleish6155
@teedosuleish6155 Жыл бұрын
Mm naeza nikakusaidia ....uliza nitakujibu mm
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Mwandishi rekebisha hap sio ahlu Sunna ni ahlul bidaa
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 Жыл бұрын
We muhabi mbona unateseka
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
@@mhusinigau3231 nimemrekebisha hao Wana Sunna ipi mpaka mnawaita ahlu Sunna hao ni ahlulbidaa
@yusufathman2478
@yusufathman2478 Жыл бұрын
Ahlul bid'ah si ahlul sunnah
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 Жыл бұрын
Kumbe mawahabi ndio Ahlu Sunnah hahaha hahaha. Nyie mawahabi sio Ahl Sunnah
@massoudsaid765
@massoudsaid765 Жыл бұрын
Kweli shekh wametuwangusha mwaka huu
@alijabal5323
@alijabal5323 Жыл бұрын
Hao wasomi wenu wajibu hizo hoja kwa dalili wacheni porojo.
@husseinadam1278
@husseinadam1278 Жыл бұрын
jibuni hizo hoja mlizopewa Kwa dalili za Quran n Sunna kama mnaweza
@fikafikan8484
@fikafikan8484 Жыл бұрын
Ww una akili hakuna hoja aliotoa kwa quran wala kwa barzanji hoja ametoa kwa kitabu chengine muogopeni mungu
@jumamahmoud9271
@jumamahmoud9271 Жыл бұрын
@@fikafikan8484 wewe kweli mgonjwa maana sheikh sabas aliulizwa je haya aliosema sheikh muhamed bachu yamo kwenye kitabu cha barzanji akajibu ndio sasa wewe unasema hoja hazikutolewa kwenye kitabu cha barzanji na hali yakua sheikh sabas mwenyewe amekiri kua yale yote yamo kwenye barzanji.
@husseinadam1278
@husseinadam1278 Жыл бұрын
hakuna tofauti na biblia kwa uongo
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 Жыл бұрын
Sheikh dini si kitu chakufanyiw ushindani tukatafuta aliye shinda na aliye shindwa. Tunakiri kwamba ziko hadithi dhaifu katika vitabu vingi hata kama hatutakiwi kuzifuta katika hivyo vitabu lakini hazifai kutumiwa naiwe hicho kimehaririwa na mwanachuoni wakutegemewa katika enzi zake. Hakuna hakika kaziweka yeye hadithi hizo au mayahudi na manaswara na mashia wamezipachika wafanikiwe katika wayatakayo.
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 Жыл бұрын
Naona ni makosa ukiona kitu kisicho faa kisha wewe ukitumie. Tena kwakuwafundisha watu. Allah atuongoze tuijue batli na tuikemee tusibaki katika hila zakubishana nakutafuta mshindi hiyo ni fitina ya shaitwani. Allah wa rasulu aalamu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 Жыл бұрын
Wewe umeumia njoo Kwa Yesu kristo mwokozi upone. Hachana na njia isio sahii
@FarahJey
@FarahJey Жыл бұрын
@@prochesernest5439 Wewe kama ni myahuda, toka hapa na ukristo enda kanisani,au ingia kwenye uislamu
Majawabu muhimu kuhusu kuangalia nyota|Ramli|Muhammad Bachu
11:24
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
SHEKHE MZIWANDA ASEMA NENO KATIKA MJADALA WA TANGA
4:59
Yusuf Abdullahi Alnaufaly
Рет қаралды 10 М.
HELP!!!
00:46
Natan por Aí
Рет қаралды 12 МЛН
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 34 МЛН
Ouch.. 🤕⚽️
00:25
Celine Dept
Рет қаралды 28 МЛН
Namna Ya Kuoga Janaba /How to perform Janaba - PART 4
11:52
TEAM ALI DOCTOR
Рет қаралды 451 М.
Ustaadh Abdurrahim وقد آن للقلم
12:20
Abdulkadir Simba
Рет қаралды 5 М.
Adela i Lom u duši - Alaj imam malu | 2001
3:35
Kemix ♫︎
Рет қаралды 2,3 МЛН
MTOTO WA BACHU AMEFANYA TOBA KWA MAKOSA ALOYAFANYA
2:40
Yusuf Abdullahi Alnaufaly
Рет қаралды 4,2 М.
Qaswida yenye mafunzo mema zaidi - Walia nini mwanangu
8:47
Mchomi TV
Рет қаралды 7 МЛН
KASWIDA YA MAULIDI SI" BIDAA YA WAINUA MASHEIKHE ILALA Dsm
4:03
Abuu Othman Tv
Рет қаралды 3,2 М.
TOFAUTI BAYNA SALAF /SALAFIYUN/SALAFIYYAH/KHALAF KHALF  SH.MZIWANDA
13:59
Yusuf Abdullahi Alnaufaly
Рет қаралды 47