MAPENZI NI GAME [ EPISODE 14 ] Love story💞

  Рет қаралды 60,095

KING_NOELY1

KING_NOELY1

Күн бұрын

Пікірлер: 361
@NajimaShabani
@NajimaShabani 11 күн бұрын
Mnaicheleweshaaa jmn mpk tunaisahauuu Kam unakubaliana na mm weka likee bs❤🎉❤🎉❤🎉❤
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 11 күн бұрын
Maua kayabanangaa yamemkutaa wahenga walisema mwanamke mjinga huvunjaa ndoa yake kwamikono yake mwenyewe wanawake kunachakujifunza hapaa 🙏❤️❤️❤️
@gracemremi8359
@gracemremi8359 9 күн бұрын
Sio wahenga ni biblia🏃
@gracemremi8359
@gracemremi8359 9 күн бұрын
Sio wahenga ni biblia 🏃
@FarajaNziku
@FarajaNziku 11 күн бұрын
Khaa papi nae kapenda I 😂😂😂 maneno kama yote ili lamama aelewe lakini kisasi hapa hapa duniani nayeye yatamkuta maana anependa 😂😂😂
@JescarGirbert
@JescarGirbert 11 күн бұрын
Yani humu badala ya kutoa ushauri au kucoment mnakaa kuomba like tu... Basi bhana na mm naomben like zangu 😅
@IrineMary-ps2mm
@IrineMary-ps2mm 11 күн бұрын
😂😂😂
@kasongi_mimi7594
@kasongi_mimi7594 10 күн бұрын
😂😂
@AllyAhmed44
@AllyAhmed44 11 күн бұрын
Ttz hii movie inachelewa sana😢 ila n mzur san big up✌️💯
@Hadijawashuma
@Hadijawashuma 11 күн бұрын
Kwanza mi hadi niliisahau😢😮😢😮😢😢😮
@MamuDavid
@MamuDavid 11 күн бұрын
Kabisaaa inachelew sanaaa jamn mjitahidi kuwahisha
@AllyAhmed44
@AllyAhmed44 11 күн бұрын
@@Hadijawashuma kabsa yn
@AllyAhmed44
@AllyAhmed44 11 күн бұрын
@@MamuDavid lkn ulimalza movie kwanz kabla ya kuja kwny coment section 🤔🤔🤔😂??
@SaidTeritoLaizer
@SaidTeritoLaizer 11 күн бұрын
Hiyo ni kweli kabsa
@NamaaAntoni
@NamaaAntoni 11 күн бұрын
Mimi wa pili leo naomba laik zangu
@athmansaid-m5i
@athmansaid-m5i 10 күн бұрын
Maua mtoto mzuri nakupenda mnooo love you MD romantic.
@MenadiPacha-i2v
@MenadiPacha-i2v 11 күн бұрын
Kazi nzuri Mungu awatiye nguvu
@GraceRobat-bz5lk
@GraceRobat-bz5lk 10 күн бұрын
Aisee muvi nzuri sana na inafundisha
@ELKAKEMUNTO
@ELKAKEMUNTO 11 күн бұрын
Kila mtu Ni Wa Kwanza uku,,,mm Ni Wa pili,,wapi likes zangu
@ChichiMackson
@ChichiMackson 11 күн бұрын
Fanyien kaz kila mtu kuwalalamikia mnachelewesha hamuoni kua shida hiyo
@KarolinaOman
@KarolinaOman 10 күн бұрын
Haaaaaaa ,umenifurahisha pap unachana mstar ,eety hisia zinatengenezwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Asha-t5o
@Asha-t5o 11 күн бұрын
Maua. Moyo ukichoka hutoa. Maamuzi.acha. Kikurambe. Uliowaona wana. Thamani Leo. wote. Wamekuruka
@jamesmayala4523
@jamesmayala4523 7 күн бұрын
Hako kawimbo jamn
@stellasaid-h7n
@stellasaid-h7n 6 күн бұрын
Jmn m piah nakapenda
@SohpiaChristian
@SohpiaChristian 11 күн бұрын
Movie nzuri sama mnachelewesha Jaman jitaiid
@DicksonKiplimo-f4u
@DicksonKiplimo-f4u 11 күн бұрын
WA Kwanza Leo mnipee like zangu please 🥺
@officialfighter-o9b
@officialfighter-o9b 11 күн бұрын
Chukua😂
@Riziki.AliSalim
@Riziki.AliSalim 11 күн бұрын
Napenda mafundisho yenu 🎉🎉🎉
@bilajasho449
@bilajasho449 10 күн бұрын
Hivi hizi like mnazoomba nichakula ama
@HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
@HabibaAthumanMwaboko-vq4qk 11 күн бұрын
Papi kumbe unapesa mbona usimsaidie maua na alikuwa akikusaidia kipindi ww ulikuwa huna nikwel ukipendewa pesa na zikiiaha penzi limeisha papi ww Mungu akuone
@MerryMgonja
@MerryMgonja 7 күн бұрын
Hii movie bn maua alivyokua na noel papi alikua anamtaka sasa ameachwa na yy kaamua ajikatae 🤣
@MariamuAkonaay
@MariamuAkonaay 11 күн бұрын
Mimi wa nwishooo Sasa staki shobo za like
@JabiriMiraji
@JabiriMiraji 11 күн бұрын
Kaka hongera sana hii move ninzuri mno ubarikiwe
@EstherIrakoze-d6w
@EstherIrakoze-d6w 11 күн бұрын
Na mimi wakwanza kutoka burundi tujuane
@tereciahm8741
@tereciahm8741 11 күн бұрын
Niuzie hio simu maua❤
@christinasimon2861
@christinasimon2861 7 күн бұрын
Mwanaume siku zote sio ndugu yako ndiyo maana tumeambiwa tukae nao Kwa akili upo nyonyo 😂
@DeboraSangaya
@DeboraSangaya 8 күн бұрын
pole nmejifunza kitu kwako madiya❤❤❤❤
@MohamediShirazy
@MohamediShirazy 11 күн бұрын
King noely mnaichelewesha sana hii move ni tamu sana
@MamiiJeamy
@MamiiJeamy 11 күн бұрын
Yan movie n nzuri lkn shida inachelewa kishe n fupi sana waaa🎉🎉🎉❤❤
@mariaowenya8378
@mariaowenya8378 10 күн бұрын
Kweli hii ni game of love maua umetisha
@Tiffany-l5e
@Tiffany-l5e 10 күн бұрын
Kweli kabisa move nzur hadi nzuri tena shida nikuchelewesha rekebisheni hyo kitu
@PENDODASTANILINJE
@PENDODASTANILINJE 9 күн бұрын
❤pe🎉ndan sana hii move ila mnachelewesha mauwa umeyadabanga
@Tice_tz
@Tice_tz 11 күн бұрын
Kazi nzuriiii kaka nimependa natamni nijiunge n nyie sem nd hiv,nawaombea tu ndugu zangu
@SimonMaiko-g2m
@SimonMaiko-g2m 11 күн бұрын
Kwakweri munacherewesha kutuma munakaa muda murefuu Sana
@MamuDavid
@MamuDavid 11 күн бұрын
Kingine move inakaa mda mrefu kipande kimojaaa papiii anajieleza.sanaa matunyima vipande vingine
@MwanahalimakisuluKisulu
@MwanahalimakisuluKisulu 11 күн бұрын
Yaan had kero
@RachelBakari
@RachelBakari 4 күн бұрын
Jmn kama unaungana na mm gonga like,, Noel n handsome 😋 jmn
@MerryMgonja
@MerryMgonja 7 күн бұрын
Sijui hii movie inafurahisha au inahudhunisha 😊😢
@paulmweleli9140
@paulmweleli9140 10 күн бұрын
Mapenzi n game 🔥Papi pink😂
@RuhumurizaJohn-h8z
@RuhumurizaJohn-h8z 7 күн бұрын
Mbona hii movie inachelewa sana jameni
@JosephMlasu
@JosephMlasu 3 күн бұрын
Daaaa!! Fundisho kubwa Sana kwenemaisha🙏🙏
@DiegoHddacosta
@DiegoHddacosta 9 күн бұрын
Kazi nzuri hata kama inaenda slow mpambana donta tv munatisha
@khadejarajab844
@khadejarajab844 7 күн бұрын
Umeyatakaulimfanyiya maovu
@MagrethAdam
@MagrethAdam 7 күн бұрын
Kwakua inachelewa kutoka weken B's ht dakika 50
@ElizabertCosmas
@ElizabertCosmas 10 күн бұрын
Jamani mbona mnatuachia pazuri alafu mnatoa mojamoja uhondo unabakia njiani shida Nini jaribuni kutoa hata tano Basi Kama mko na Mimi naombeni like🎉🎉🎉
@Hassanmalambo
@Hassanmalambo 11 күн бұрын
nawapenda nyote mungu awabaliki
@godiankipara3759
@godiankipara3759 10 күн бұрын
Nzuri kinoma ila vipande vichache
@LilyAman-o5f
@LilyAman-o5f 8 күн бұрын
Msichelew iv bn
@DottoEmmanuely-p7n
@DottoEmmanuely-p7n Күн бұрын
Move Kali Sana I'll inachelewa king nakukubali
@JosephDismas-f7w
@JosephDismas-f7w 11 күн бұрын
1 JD like please ❤🎉🎉🎉
@UnrulyHope-e9j
@UnrulyHope-e9j 11 күн бұрын
Waaah nimeisubiria sanaa❤🎉 big up king Noel💪
@ChrisantJohn-d3l
@ChrisantJohn-d3l 10 күн бұрын
King nimeupenda msemo wako wa big time nitautumia sana
@TresorPaypay
@TresorPaypay 11 күн бұрын
Wapili nimimi leo nipeni like zenu
@MudyaKapaya
@MudyaKapaya 9 күн бұрын
We papy upo vzuri kwenye mistari dar umetisha mwamba nimekielewa Sana kipande chako big up
@EmanuelSayaya
@EmanuelSayaya 7 күн бұрын
Maua mh mh mh
@jacksonjumanne4934
@jacksonjumanne4934 11 күн бұрын
Nakubali sana kaka
@VenerandaGabriel
@VenerandaGabriel 11 күн бұрын
Mnachelewa sana sisi tunachoka kusubili😢😢
@HappyGerald-c8k
@HappyGerald-c8k 11 күн бұрын
Maua hela ya Kula huna ya kulewa unayo? Nimeipenda 🤣🤣
@HellenDeus
@HellenDeus 11 күн бұрын
Mpaka tunaisahau jitaidi broo kaz nzur sanaaa Ila mnacheleweshaaa
@SamweliJuma-h9x
@SamweliJuma-h9x Күн бұрын
Mbona mwachelewesha bana ,nafile ilinvio tamu ,alafu mwachewasha ,fanya chapu bana
@WillyDemakufu
@WillyDemakufu 10 күн бұрын
Tunangoja sana bana hii story n ya kubamba
@HassaniAbdallah-s8o
@HassaniAbdallah-s8o 3 күн бұрын
Good work 🤝🤝🤝👏👏👏👏
@ShamsaHajj-zq6rz
@ShamsaHajj-zq6rz 9 күн бұрын
Aki mnachelewesha lkn i really love this ❤❤
@BeethCharles-p2d
@BeethCharles-p2d 3 күн бұрын
Nikiolewa sitaki utani nitakua makin asanten kwa kutuleyea mov yenye mafunzo
@Justinchalamila
@Justinchalamila 9 күн бұрын
Wanaumee tutafute jamn alafu tupunguze kupenda sana
@Mgodza
@Mgodza 11 күн бұрын
Unakaa Sana kwann
@YusufSalah-q1w
@YusufSalah-q1w 10 күн бұрын
Ni mzuri kwa kinawatu kama Hawa hapa duniyani ambao hawabadiliki hata usemeje
@ChrisantJohn-d3l
@ChrisantJohn-d3l 11 күн бұрын
King big up kwakweli
@monicahjoseph2528
@monicahjoseph2528 11 күн бұрын
Jamn jirekebishn xx kama mashabk zenu mwatukalisha Sanaa 😢nn mbaya wajmn ila twapwnda sanaa❤❤
@FaustiniShija-f7f
@FaustiniShija-f7f 10 күн бұрын
Maua Bado ajasema yaaaan mpaka aseme🤣🤣🤣kazi nzuri
@zainabKhamisi-v4b
@zainabKhamisi-v4b 9 күн бұрын
Mjitaid bc muwe mnawai kutoa move nzuli sana
@MaryamHassan-l2j
@MaryamHassan-l2j 11 күн бұрын
Kazi nzuri bro
@Sabokuyagira
@Sabokuyagira 10 күн бұрын
🎉wanaume kama wanapenda kuingilia waume wenzie hawajuwi kufanya au maamuzi yeyote
@makhobiomondi4156
@makhobiomondi4156 10 күн бұрын
Jamani mnaichelewesha sana ila ninzuri sana
@IreneRuben-d9z
@IreneRuben-d9z 8 күн бұрын
Nzuri lakini maua uje uchukue dawa yakutoa sugu kwenye vidole
@MichaelOmary-z7r
@MichaelOmary-z7r 10 күн бұрын
Mung awatie nguvu ya kufanya vizuri zaid
@SalmaIsaa-sm6ky
@SalmaIsaa-sm6ky 3 күн бұрын
Munachelewa Sana kutoa episodi kwa wakati changamkeni kutoa episodi kwa wakati ila mziki upo poa sana
@DoriceNamaswa
@DoriceNamaswa 9 күн бұрын
N kwel wanakaa sana
@kasongi_mimi7594
@kasongi_mimi7594 10 күн бұрын
Mnachelewesha sana, hadi tunaikatia tamaa!
@constanceamina4963
@constanceamina4963 8 күн бұрын
La mama siumuelewe Papi aky 😂😂😂😂😂😂😂
@HappynessMathiad
@HappynessMathiad 11 күн бұрын
Jamn umejua kumnyoosha maua big up
@HappynessMathiad
@HappynessMathiad 11 күн бұрын
Ila t vipande vyenu sehem1 inachukua mda maongez yanakuwa meng
@fatmaubwa-z8s
@fatmaubwa-z8s 11 күн бұрын
humu ndani nmekuta majeruhi wengi sana wanaomba like wamekanyagwa vichwa😂😂😂 acha niite gar la wagonjwa😂😂😂
@KanezaevelyeneF
@KanezaevelyeneF 7 күн бұрын
Nabapenda❤❤🎉🎉🎉
@MaryMwende-r4w
@MaryMwende-r4w 11 күн бұрын
Akh naombeni like ❤❤❤
@AngelKitomari-q3z
@AngelKitomari-q3z 10 күн бұрын
Nani mwingine ameona tunyonyo twa maua 😂😂😂
@ABUUChaz
@ABUUChaz 10 күн бұрын
Fanya kaz king 🤛
@LightnessMunisi-z3y
@LightnessMunisi-z3y 11 күн бұрын
Movie nzur san lakn mnachelwsh kurush jamn mjithd mwahsh
@ABUBAKARSAMIJI
@ABUBAKARSAMIJI 4 күн бұрын
Mauw ww ni hatar wape v2❤❤❤❤❤😊😊😊😊
@WitnessIpetania
@WitnessIpetania 11 күн бұрын
King noel leta nyngne chap iko safi japo inachelewa
@kamanlumu
@kamanlumu 11 күн бұрын
Mnachelewa sana kuitoa
@ashakomba8034
@ashakomba8034 11 күн бұрын
Wapo wengi haooo ulikua hujui😅😅😅umepigwa apo pole toka ukatafte kszi 😂😂😂😂
@NahlaNahla-u3w
@NahlaNahla-u3w 11 күн бұрын
Kazi mzuri lkn heee mnaichelewesha sanaa tuu jitahidini kidogo
@RozPeter-s5z
@RozPeter-s5z 11 күн бұрын
Yaan ngoma droo nimepenta hii movi yani king noeli love u❤❤❤
@wambimwambizo3614
@wambimwambizo3614 11 күн бұрын
Waoooh❤❤❤
@ZephaniahSekwa-fl2go
@ZephaniahSekwa-fl2go 11 күн бұрын
Daaah😂😂😂🙌🙌🙌
@wambimwambizo3614
@wambimwambizo3614 11 күн бұрын
Nimeua​@@ZephaniahSekwa-fl2go
@JuhhClass
@JuhhClass 3 күн бұрын
Muwe mnatoa muendelezo kwa wakati mnatukata steam mashabiki zenu
@YUSUFUKURUPU
@YUSUFUKURUPU Күн бұрын
Unakoelekea mauwa utajiuza utakuwa zaidi yadanga dadadeki zako
@IvanGIfanda
@IvanGIfanda 9 күн бұрын
Mpo vzur
@KenedMwansasu-bg9pi
@KenedMwansasu-bg9pi 8 күн бұрын
Sema kweli wanachelesha
@TimeAly-z1l
@TimeAly-z1l 11 күн бұрын
pole sana mauwa 😂
@BarasellaDama
@BarasellaDama 11 күн бұрын
Hii movie ya fundisha Yani mpango wakando Huwa hapendi Bali kuvunja na akivunja huondoka
@EzekielJoseph-n7p
@EzekielJoseph-n7p 11 күн бұрын
Majuto ni mjukuu .Mwanamke mjinga huivunja nyumba kw mikono yake mwenyewe❤❤❤❤❤ .Papi nakuona unavyo mwaga misitar😂😂😂😂
@bernadmakolela1638
@bernadmakolela1638 9 күн бұрын
Sema Maya sio mke hajitambui kabisa, mpk hapo noel hajakosea Maua sio mke hana aibu
@paulinajuvence-rn7rz
@paulinajuvence-rn7rz 11 күн бұрын
Movie ni nzuri sana ila wanachelewesha sana
MAPENZI NI GAME { EPISODE 15 } LOVE STORY 💞
34:33
KING_NOELY1
Рет қаралды 17 М.
MAGIC RING | FULL MOVIE |
1:13:45
CLAM VEVO
Рет қаралды 511 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 99 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 31 МЛН
NYUMBA YA JIRANI  Ep. 01 [SWAHILI MOVIE]
17:58
Rhyhno films
Рет қаралды 2,8 М.
How to Act When a Woman Ignores You (Destroy Her EGO) | Stoicism
18:34
MAPENZI NI GAME | EPISODE 13 | Love story 💞
25:52
KING_NOELY1
Рет қаралды 85 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 99 МЛН