Papi kumbe unapesa mbona usimsaidie maua na alikuwa akikusaidia kipindi ww ulikuwa huna nikwel ukipendewa pesa na zikiiaha penzi limeisha papi ww Mungu akuone
@MerryMgonja7 күн бұрын
Hii movie bn maua alivyokua na noel papi alikua anamtaka sasa ameachwa na yy kaamua ajikatae 🤣
@MariamuAkonaay11 күн бұрын
Mimi wa nwishooo Sasa staki shobo za like
@JabiriMiraji11 күн бұрын
Kaka hongera sana hii move ninzuri mno ubarikiwe
@EstherIrakoze-d6w11 күн бұрын
Na mimi wakwanza kutoka burundi tujuane
@tereciahm874111 күн бұрын
Niuzie hio simu maua❤
@christinasimon28617 күн бұрын
Mwanaume siku zote sio ndugu yako ndiyo maana tumeambiwa tukae nao Kwa akili upo nyonyo 😂
@DeboraSangaya8 күн бұрын
pole nmejifunza kitu kwako madiya❤❤❤❤
@MohamediShirazy11 күн бұрын
King noely mnaichelewesha sana hii move ni tamu sana
@MamiiJeamy11 күн бұрын
Yan movie n nzuri lkn shida inachelewa kishe n fupi sana waaa🎉🎉🎉❤❤
@mariaowenya837810 күн бұрын
Kweli hii ni game of love maua umetisha
@Tiffany-l5e10 күн бұрын
Kweli kabisa move nzur hadi nzuri tena shida nikuchelewesha rekebisheni hyo kitu
@PENDODASTANILINJE9 күн бұрын
❤pe🎉ndan sana hii move ila mnachelewesha mauwa umeyadabanga
@Tice_tz11 күн бұрын
Kazi nzuriiii kaka nimependa natamni nijiunge n nyie sem nd hiv,nawaombea tu ndugu zangu
@SimonMaiko-g2m11 күн бұрын
Kwakweri munacherewesha kutuma munakaa muda murefuu Sana