MAPOKEZI YA HABIB UMAR BIN HAFIDH MALINDI 2023-1445 | HABIB UMAR KENYA TOUR 2023
Пікірлер: 26
@daudmharami472211 ай бұрын
Alhamdulillah
@Fumokale11 ай бұрын
MashaAllah mapokezi mazuri yenye nidhamu...hawa ni watu wazima na hishma zao na akili zao..hawangekuja ila kutaka fadhla kwa Allah kwa kumkirimu mwanachuoni...acheni kejeli asije Allah akakurudini kwa maneno machafu munao toa ktk vinywa venu
@omarymussa163811 ай бұрын
Masha Allah
@hassansayyid400111 ай бұрын
MashaAllah Amin
@mibsamswedi92811 ай бұрын
Mashallah Barakallah Swalawaat
@Fumokale11 ай бұрын
Watu wema Allah awakirimu kwa wema na inshaAllah nyote munaompokea Allah atawafanya wema hp duniani na kesho akhira kwa kumtambua mwanachuoni...wenginèwanatambua wakubwa wa vyeo na waimbaji...hp tuko na mwanachuoni ktk wanavyuoni walobakia...Allah amjaalie IKHLAS...amiin
@babuimam55011 ай бұрын
Mawahabi mnashida
@positivevibez00111 ай бұрын
Hahhah😅
@HemedMuhammad-zr3my11 ай бұрын
Karama mwandazimu nyinyi hamujui
@Fumokale11 ай бұрын
Chunga mlimi wako aside Allah akakurudi kwa maneno machafu na stihizai kwa mwanachuoni
@Mariam99-ld4gw11 ай бұрын
Karama@ kwani ushaongea. Na paka au bado 😂😂
@Fumokale11 ай бұрын
Huna adabu..hamujui musemalo mafidhuli
@asifznz11 ай бұрын
Ahlul kubur hawa
@muhideennoor245811 ай бұрын
Muluambiwa muangalie mwahabi mbona mwapenda umbea
@MaulidShehoza11 ай бұрын
Tutakwenda kusimama mbele ya hakimu muadilifu tutajua bayana lakini ww kusema ahlul qubur na hauna uhakika naunacho sema utaenda ulizwa pia
@RayRey-b4x11 ай бұрын
MUNGU AKUSWAAAMEHE KWA KAULI YAKO 😢
@karamakarama463911 ай бұрын
Mukiitwa mashia musikatae.Ayatollah Umar huyo akiwasili malindi sio?Haya mwambiye awatiye peponi kama ana pepo yake huyo.Kazi kudanganya ummah wa kiislamu tu.Elimu ni mwangaza na ujinga ni Giza,amua mwenyewe sasa
@Mariam99-ld4gw11 ай бұрын
Karama@@kama huna cha kusema nyamaza😂😂
@muhideennoor245811 ай бұрын
@@Ahmadasshii-raazy8888hiyo ni kudhihirisha utupu n chuki zao za kiwahabi
@jamalijaha872611 ай бұрын
Eee karama eee tusitengane kwa madhehebu yetu tupendane kwa uislam wetu sio kila coment anatoa muislam wengine ni makafiri tena wengine ni mayahudi wanaingiza chuki ktk dini yetu
@karamakarama463911 ай бұрын
@@jamalijaha8726 hatuwezi kuwa kitu kimoja bana,ukweli usemwe.Kwani hujui kama kuzuwa kwa dini ni UBAYA wamzuilia RASUL wetu?Umoja wa mayai na mawe kwa kapu Moja Kisha wenda mbio kuepuka mvua na umevaa malapa?Haiwezekani mpaka muache kumzuilia RASUL .Kwani c dini ilikamilishwa tu na ALLAH?Haja gani ya kuzuwa?
@karamakarama463911 ай бұрын
@@jamalijaha8726 waabudu wa makaburi nyie kisha tuwe wamoja?La hasha.Ayatollah Umar huyo kaja kwenu,mwambiyeni awatiye pepo kama ako nayo khurafi na mzushi mkubwa.Wacheni kujipotezea wakati kwa shirk Al akbar.Leo nakukanya mimi kesho usipotubia utabakia motoni milele.Sasa kazi kwako kama mimi nishakwambia ukweli wa dini ya kiislamu