MAPYA YAIBULIWA "MSIGWA HAFAI CCM, SGR TUMEPIGWA BILIONI 700, TUNADANGANYANA TANZANIA SIO SALAMA"

  Рет қаралды 46,720

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 165
@gracefoya4609
@gracefoya4609 3 ай бұрын
Kweli unafaa sana kuwa msaidizi wa Tundu Lisu. Hongera sana . Nami naitamanj hiyo Tanzania unayoelezea . Mungu akupe maisha marefu uioe hiyo Tanzania "mpya"
@ROBERTMGOGOSI
@ROBERTMGOGOSI 2 ай бұрын
Nice comment ever seen
@AustineMosha
@AustineMosha 2 ай бұрын
Kiukweli anachokieleza kiongozi huyu wa chadema nakiona kuna mantiki na Mungu anajambo la muhimu na nchi hii .Mungu tunusuru na ukatili unaofanywa na watu wasio na hofu ya Mungu . Inusuru nchi hii katika wimbi la siasa ya uhasama tuwe pamoja na viongozi watende haki. Kuwe na hofu ya Mungu waache uovu
@waziradam2794
@waziradam2794 3 ай бұрын
Asante sana David. What goes around comes around. Watch your back pl’se. You have entered enemy territory!
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 3 ай бұрын
Tukiondoa tofauti ya vyama, sisi sote ni watanzania, Serikali itoe tamko tusitekane kwa itikadi tukajenga visasi vya kiitikadi kati yetu. Kwa kuwa watekaji ni watumishi wa serikali ya ccm, Na watekwaji ni watu wa vyama vya upinzani, Serikali iliondoe hili kwa kauli thabiti ilihutubie taifa na kupiga marufuku vyombo vya usalama kuteka wananchi,ili raia tuamini kwamba hakuna mkono wa serikali katika utekaji. Serikali ikiendelea kukaa kimya na kugeuza utekaji kama mambo ya kisiasa kuna hatari kubwa ya kuwafanya wananchi kutekana kati ya wanaoteka,na wanaotekwa.
@AustineMosha
@AustineMosha 2 ай бұрын
Hongera sana David Jumbe mungu akulinde fumbua watanzania akili na mawazo.amina
@brightergermanus2163
@brightergermanus2163 2 ай бұрын
MUNGU TU NDIYE MLIPA KISASI WA KWELI NA ANAYESIHILI. MLILIENI MUNGU NA KUMUOMBA AWALIPIYE KISASI AMINNI. KABISA MUNGU ATASHUKA NA KUWAPIGANIA ANASUBIRI MUMUOMBE TUUUKWA JINA LA YESU KRISTO AMIN AMIN
@paull8659
@paull8659 3 ай бұрын
Kuna haja ya kutumia nguvu kuindoa CCM milele.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 ай бұрын
Haya tangulia tukuone
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 ай бұрын
​@@walidmgonja3644Bila shaka wewe unafurahia sana yanayofanyika
@ROBERTMGOGOSI
@ROBERTMGOGOSI 2 ай бұрын
Raisi ndiyo anaye asisi hayo mambo huyo jamaa anaongea nini??? Punguzeni ujinga watanzania tuchukue hatua
@TumsifuMushi-o4r
@TumsifuMushi-o4r 3 ай бұрын
Itakuwaje Kama mahojiano haya yapewe nafasi kwa vyombo vyetu vya habari Kama TBC,ITV nk
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 2 ай бұрын
😂😂😂 haaa haaa hatari
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 2 ай бұрын
TBC tv ya CCMO waweke hayo madini thubutu hasirani haito wezekana b !
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 ай бұрын
😢😢😢HIVII HUYU ALIYEIPITISHA KATIBA HII MBOVU ALITUTAKIA NINI SISI WATANGANYIKAA😢😢
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 3 ай бұрын
Nyerere na wakina piusi msekwa na jaji warioba ingawa toka zamani sasa warioba anaipinga anaiona sio katiba ya kwendana na maisha yasasa ukizingatia tuko mfumo wa vyama vingi ila majambazi wachache wenye uroho wa madaraka ili waendelee kuneemeka na familia zao
@solomtz7049
@solomtz7049 2 ай бұрын
Brother tumeingizwa cha kike, halafu huyu mtanazaji ni ccm kabisa
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 3 ай бұрын
Upo vizuri sana ndugu hata tukae IPO siku watanzania watakuja kujitambua
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 2 ай бұрын
Mwandishi huyu safi sana anafaa kuwa CNN BBC
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 2 ай бұрын
Mchakato wa kuchukua form Mwaka 2020 ulikuwa wa hatari sana. Ule mshike mshike haukua wakitoto
@Hemedmikole-r9e
@Hemedmikole-r9e 2 ай бұрын
Mi nashangaa sana selikali ya ccm wanaona wao wapo juu ya shelia watambue yana mwisho haya
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 ай бұрын
WELL SAID KIONGOZI
@AustineMosha
@AustineMosha 2 ай бұрын
Huyu kiongozi ana uwezo mkubwa sanasana wa kujieleza na ana uwezo wa uongozi Mungu ampe uzima,afya na waendelee kutujenga wananchi kwa imani kubwa bila kuteteteshwa na kuyumbishwa
@EvaKiswaga-j2o
@EvaKiswaga-j2o 2 ай бұрын
Ni kweli majambazi hayo. Na ndio maana yanang'ang'ana ni ktuibia tu. Na mafisadi kweli
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 3 ай бұрын
Kweli kaka nchi yetu imekuwa siyo seemu salama ya kuishi
@shabanadam4476
@shabanadam4476 2 ай бұрын
Excellent conversation congratulations and big respect 🙏
@meiruzibwe9145
@meiruzibwe9145 2 ай бұрын
Waaooh Ahsante kwa kufikisha ujumbe.
@evelina9621
@evelina9621 2 ай бұрын
Pelekrni.umoja.wa.mataifa.utekaji.watu.tanzania.ikome.hili.jambo
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 3 ай бұрын
Upo sahihi kabisa jino kwa jino
@GodwinIssack
@GodwinIssack 2 ай бұрын
Msigwa roho fisi tu yule mwendawazimu.
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 3 ай бұрын
Ccm mnasikia hata nyinyi mnauzwa .hasara inayo patikana wote mtalia tena sana tena watekaji ni watanzania tumejisahau mfano munyampara akiwa jera anajiona yeye siyo mfungwa.anapiga wenzake anapewa buti mkanda sare anajiita mimi munyampala. Hivohivo mnatuteka mnasahau kuwa tunapigania haki zetu sote kuna siku mtakumbuka
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 2 ай бұрын
Safi sana kiongozi alafu ndg mwandishi umeshindwa kweli kuweka picha yetu ya treni umeweka treni ya kenya inamana umekosa picha kweli
@MwatijaFikoti
@MwatijaFikoti 3 ай бұрын
Kaka kweli unaongea Kwa hisia kali.unachoongea ni ukweli kabisa watanganyika tutasafa sana.
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 2 ай бұрын
Wadau acheni huu msemo wa kusema Tz ina amani, hakuna mwenye amani, Tz kuna uvumilivu tu na sio amani , elewa amani inatoka moyoni, tofautisha amani na utulivu ndio mseme tz ina amani, tunahitaji katiba mpya mchana kweupe.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 ай бұрын
Akili huna,umeandika utumbo gani hapo!
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 2 ай бұрын
@@walidmgonja3644 utumbo wa chawa dume
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 2 ай бұрын
@@walidmgonja3644 utumbo wa chawa dume
@efremmwalongo828
@efremmwalongo828 2 ай бұрын
Safi sana bro
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 3 ай бұрын
MASAOUNI ,Dr.MMWINYI ,NCHIMBI, LUGOLA,hayo yakuppewaa,Sierro, waliopewa posti hizo ,nichai kwao na CCM ,HONGERA YA Mwinyi kwa kazi Nzuri za kuwalpua WAUWA MSHO ,salipewa URAISI ZNZIBA .... CCM OYEEEEEEEE
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 3 ай бұрын
Kwa taarifa yako juma huyo unaye msema tutamkumbuka kwa kuuza aridhi na mali zetu kwa waarabu hilo tu ndo tutamkumbuka nje na hapo hatokumbukwa kwa lolote hivyo usimfariji
@ROBERTMGOGOSI
@ROBERTMGOGOSI 2 ай бұрын
Nyie viongozi fanyeni kazi ya kuunganisha wananchi wataingia barabarani bila kuwahitaji nyie wakipata elimu vizuri.
@patricklameck2425
@patricklameck2425 2 ай бұрын
Unaongea bila ushahidi unaropoka tu. Wewe hata baiskeli ya miti umekwisha wapa wanachi. Watu wanafurahia SGR wewe unapenda. Ufai hata ubalozi wa nyumba 10.
@PietroPescatore-b3g
@PietroPescatore-b3g 2 ай бұрын
SGR inasimamiwa na nani?
@yahayaramadhani6418
@yahayaramadhani6418 3 ай бұрын
Yetu macho, karibu nahamia Zanzibar jamani. Kwani Kumenoga sana, Bara mhmm!!!
@rayamgeni9772
@rayamgeni9772 2 ай бұрын
Njoo tu huku ndo kumeoza
@gidongailo7174
@gidongailo7174 2 ай бұрын
Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza jamhuri ya Muungano wa TANZANIA badala ya kutengeneza kitu inaitwa Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar
@hadrianmlelwa9599
@hadrianmlelwa9599 2 ай бұрын
Anafaa sana.
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 2 ай бұрын
Kweli uko vizuri unacho sema ni kweli😢
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 ай бұрын
HATUKO SALAMA
@solomtz7049
@solomtz7049 2 ай бұрын
Kabisaa
@AustineMosha
@AustineMosha 2 ай бұрын
Duuuu viongozi wa chadema wana akili kubwa mungu wanasuru na mabaya eawafumbue wwnanchi mawazo waweze kudai haki zao jmn kuna ukweli nausikia hapa unaogopesha
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 2 ай бұрын
Msigwa amesha toboa madudu yenu ya Chadema ni Saccos tuuu mbona Mbowe anawaibia munamuacha tuu😂😂
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 ай бұрын
Kaiba nini,unaacha kupinga ufisadi unaosababisha kukosa huduma muhimu kama maji na barabara unahangaika na visenti vya upinzani
@CharlesMwakajinga-r5d
@CharlesMwakajinga-r5d Ай бұрын
Madudu gani msigwa anomba huruma ccm chadema haijawahi shika dora tunaishi kwa michango yetu
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 3 ай бұрын
Wacha ubwege ccm hawana inchi wewe bwege bandali hukumbuki masai wanapata shida wewe unaona vema. Tozo za umeme zimeongozeka ccm mnabariki
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 3 ай бұрын
Viongozi wabaya wataziponza familia zao vizazi vijavyo vitapata taabu mno wafurahie tu ujinga wawazazi wao ila watalipa tu aminini ipo siku
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 3 ай бұрын
Kwili ni usalama bandia
@PietroPescatore-b3g
@PietroPescatore-b3g 2 ай бұрын
Je, wawekezaji wa kisasa wanaweza kuteua serikali waitakayo wao 2025?
@usafiaps318
@usafiaps318 2 ай бұрын
Sema Ukweli Wote.Nchi Inauzwa Tukiwa Tunaona.SGR Akili Za JPM.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 ай бұрын
Upigaji mkubwa sanaaaa yaani mnavyotuammbia sisi wananchi tunaumia Sanaa.
@CharlesMisungwi-f8t
@CharlesMisungwi-f8t 2 ай бұрын
KuiondoaCCM kama mtajiwenu eti Lisu nikupigwa risasi.. hiyomtafute kazinyingine ikulu wanaingia kwamtaji wakuiteka nguvya umma mujitafakari napropoganda zakufikirika itawachukua hatakarne moja bilskuchukua dola Houston utani.
@gracefoya4609
@gracefoya4609 3 ай бұрын
Nimekuaminia Mwanachadema imara. Usije kutuangusha kama Msigwa, amejiaibisha mwenyewe. Mungu akuimarishe na kukulinda kijana wetu. Hawapendi kusikia maneno kama yako.
@BozaDizamile-u1d
@BozaDizamile-u1d 2 ай бұрын
Hiyo Ndio Dawa Ya Kuiondoa Ccm Atakae Usika Kumuengewa Mgombea Yoyote Wa Chadema Asibakishwe Tumechoka Kufanywa Wajinga
@IssaJohn-kk8pb
@IssaJohn-kk8pb 2 ай бұрын
Kweli mwenzako akimwaga mboga wewe mwaga ugali uko vizuri sana
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 2 ай бұрын
Acheni kuikosowa serikari takatifu ni watu wazuri sana nyinyi mnatukana viongozi.
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t 2 ай бұрын
Utakatifu ni ukuu wa Allah tu.
@mtewelemtewele0260
@mtewelemtewele0260 3 ай бұрын
Nimetokea kumpenda huyu mwamba anajuwa kujenga hoja ila bila kumsahau mtangazaj yuko vidhur
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 2 ай бұрын
Djumbe ni Mwamba wa CDM Singida kzkazn tunajivunia
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 2 ай бұрын
Ndugae alishasema Mama anauza Tanganyika japo hata yeye alikuwa shetani nusu malaika na sasa yanatimia Mama kizimkazi anatuza tukiwa na Mgovi yetu ya bara!
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 3 ай бұрын
Watekaju ni CCM. U must forme young TZ..
@GodwinIssack
@GodwinIssack 2 ай бұрын
Watekaji wanafahamika ni wale waliotajwa na Mh. Benson
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 3 ай бұрын
Hii ni akili kubwa kiukweli nchi miaka 70 tunajadili ujenzi wa kiwango cha lami ambayo inaangusha magari hovyo mno... ni hatari sana
@meyasadavid9801
@meyasadavid9801 3 ай бұрын
Atugombei urais kwa hisia ndugu
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 2 ай бұрын
Wenyeviti wa mitaa ni tatizo sana
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 2 ай бұрын
Na mjibu maswali yuko vizuri mnooo
@efremmwalongo828
@efremmwalongo828 2 ай бұрын
Endelea sana kutupatia elimu watanzania
@SarahSwale
@SarahSwale 2 ай бұрын
Hana jipya huyo kiongozi, ana akili ya kitoto sana. Matope mtu. Hana suluhu ya tatizo bali ni mkuzaji wa tatizo na uchochezi. Kazi kuponda wenzie tuu, Suala la utekaji ni siri kubwa na hilo halina vyama maana hata CHADEMA kunamafia watekaji rejea maelezo ya Dr. Slaa aliyekuwa Katibu mkuu CDM ya ukili kuwa kulikuwa na Utekaji ndani ya CDM.
@johnfani9380
@johnfani9380 3 ай бұрын
Bora kupigwa Kuriko visionekane kabisa
@petermogha7025
@petermogha7025 3 ай бұрын
Sio kweli nakufuatilia maongezi yako. Endelea Tukusie roho inauma nakutani CDM hoyeee
@SaidiMohamedi-n2u
@SaidiMohamedi-n2u 2 ай бұрын
Rooo yangu hinauma sana
@brightergermanus2163
@brightergermanus2163 2 ай бұрын
TATIZO LENU NI KUWEKA WAZI MBINU ZENU NA MIKAKATI YENU YA SIRI . MSITANGAZE HADHARANI MIKAKATI YENU. BALI IWE SIRI YENU ILI WASIJUWE NA KUPATA MBINU YA KUWADHIBITI
@FurahaNelson-z6c
@FurahaNelson-z6c Ай бұрын
Majibu ya viongozi hayarizishi
@SeveriniPeterMkini
@SeveriniPeterMkini 2 ай бұрын
Hesabu ya umbali kutoka DSM kwenda kokote nchini, umbali huanzia CLOCK TOWER jirani na Railways-Police-Station
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 ай бұрын
Maneno mengi hayasaidii kitu.
@SaidShabani-s4o
@SaidShabani-s4o 2 ай бұрын
Acheni uongo nyie kila siku tumeibiwa kila siku tumeibiwa elezeni bac namba tulivyoibiwa hamna maelezo
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 2 ай бұрын
@@SaidShabani-s4o yaani kama hujui tumeibiwa tembelea migodini nani wamiliki nenda Loliondo na kifaa utambuzi kitakuambia uko katika ardhi ya Emirates nenda bandarini utamkuta DPW misitu si yetu ni ya wageni nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya bure waliozinunua wameziuza kwa billions gas si yetu ingawa iko nchini yote aliyoacha Nyerere tumeuza au kugawa bank kubwa ya NBC iliyokuwa mpaka vitongojini tuliiza kwa billion moja upo Tanzania na huyajui haya tuko mbioni kuuza mwendokasi subiri nawe uuzwe ndiyo utavuta shuka kumbe kumekucha
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 2 ай бұрын
Wewe unajua jiinsi gani wizi unavyo fanyika halafu unataka kusema watu wakwambie!!!!!
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 2 ай бұрын
Ukiwa kwenye mfumo wa huo wizi na ubadhirifu wa pesa za wananchi na kuuza rasilimali za Tanganyika, huwezi jua wizi unafanyikaje! Lazima ujitoe akili tu! Ila siku za Mungu zinakuja hao mafisadi, majambazi, majangiri, majizi ya rasilimali za Tanganyika yatalia na kusaga meno! Ngoja wananchi waendelee kupata Elimu kama hii vizuri.
@TeamKRX
@TeamKRX 2 ай бұрын
Nina asili ya Kiarabu Ila daah hawa watu Naona samia anajiona muarabu Sijui Hawajui Nash’angaa
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 3 ай бұрын
Huyo mtangazaji ni chawa
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 3 ай бұрын
jino kwa jino😂😂 eti wakimuengua wa chadema nao wana muangua wa ccm😂
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 2 ай бұрын
Lakini hao mnao wasema polisi wako busy kukamata wadangaji.
@simonsadala2386
@simonsadala2386 3 ай бұрын
Lissu ndiye kiongozi aliyetupotezea viti vya ubunge awamu yake akiwa mgombea wa Urais chadema tulianguka kwa 100% hatumtaki 2025
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Kwa wizi kura ilikuwepo? Acha mnafiki.
@waziradam2794
@waziradam2794 3 ай бұрын
Nadhani weye ni fala upinde au both!
@floraashery224
@floraashery224 3 ай бұрын
Wewe boya
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 2 ай бұрын
Viti vilivyopotea Ni vya mamako, ulikuwa hujui kilichotokea?
@simonsadala2386
@simonsadala2386 2 ай бұрын
@@erestizacharia4758 🤣🤣🤣🤣🤣 umejaaa kwenye 18 nachokijua ni kwamba 2015 Mzee Lowassa alikisaidia Chama kupata viti vingi vya wabunge na madiwani lkn 2020 Lissu akatupotezea majimbo yoteee
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 2 ай бұрын
Huyu bwana ana faa kuwa mwalimu wa jukwaa la siasa,,hata majibu yaake yanatunzinka akilini
@AthumanDauda
@AthumanDauda 2 ай бұрын
Akili kubwa
@DamaryMkindi
@DamaryMkindi 3 ай бұрын
WAELEZENI WATANZANIA SGR TUMEPIGWA JE BILION 700
@feruzyjuma
@feruzyjuma 3 ай бұрын
Ujinga Tu,,,mbona hamuiangushi serikari mbovu
@fidelnkurunziza
@fidelnkurunziza 2 ай бұрын
du nihatari kwakwel bora mngu ajetu hikikizazi kifutwe kije kingine mana inauma mutu uriye mpa madaraka anarudi kukuuwa
@AlphaBarageti-ru5xj
@AlphaBarageti-ru5xj 3 ай бұрын
Msigwa ambaye ni mchungaji falsafa yake ya kusema waamini wake wakitenda dhambi zinazotendwa na wafuasi wa shetani , atamkubali shetani na ataamua kuwa mfuasi wa shetani . Hakika limenishangaza . Sasa anasubiru apewe kazi ya kumtakasa shetani aliyempinga. Yetu macho na masikio tuuone huo utakaso wa kumtakasa shetani
@BozaDizamile-u1d
@BozaDizamile-u1d 2 ай бұрын
NIKIFANIKIWA KUFUNGUA KITUO CHA REDIO HUYU MTANGAZAJI HATAKUA WA KWANZA KUPATA KAZI YANI JAMAA KM SIO MTANGANYIKA BONGE LA MTANGAZAJI MAOJIANO HAYA AYAWEZI KUFANYIKA TBC ITV AU KITUO CHOCHOTE TANGANYIKA MIDIA ZOTE. TANGANYIKA ZIMENUNULIWA NA CCM WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA
@henryguerrinoh160
@henryguerrinoh160 2 ай бұрын
Mfaume mlali
@IssaIra-j9u
@IssaIra-j9u 2 ай бұрын
Unamuigizia Salim kikeke , hapo ndio mnafeli
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 2 ай бұрын
Wewe unamuga Nani na akili yako?
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 3 ай бұрын
Hakika Hilo nani naliunga mkono wamezidi wahuyo hão wa ccm
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 2 ай бұрын
Watu wanatekwa, mkuu wa dola kimya, alafu uzur kashatuambia atakuwa chura, ndio maana kila janga abakaa kimya, arusha na mapikipiki yaliotokea , yeye kimya, eti mnasema tuna amani, wenye amani ni wanaokula nchi kwa kufuru ,
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 ай бұрын
Acha umalaya na kudanga,fanya kazi uachane na kulalamika mitandaoni
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 2 ай бұрын
@@walidmgonja3644 kakojoe ukalale
@petermogha7025
@petermogha7025 3 ай бұрын
Usifiche family yako ccm haina hofu kama cdm njoo tz sio kenya.
@richardhosea8827
@richardhosea8827 2 ай бұрын
Acha tupigwa gawa kwa wtz miion 67 vijisent
@EvaKiswaga-j2o
@EvaKiswaga-j2o 2 ай бұрын
Au utekwe
@philimonndinadyo2120
@philimonndinadyo2120 2 ай бұрын
Kunawatetezi wawa Rabu hivi wemwislaam unaweza kupewa hata mita moja ya ardhi huko arabuni mbona mnakuwa wajinga ooh ubaguzi wa kidini Samia akawape shamba lake si ardhi yetu
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 3 ай бұрын
Wee mwandishi acha ujinga wako unaotaka Miami isha waTanganyika. Uchumi ukishanyang' anywa utasafiri na nini esse?
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 3 ай бұрын
Wananchi hilo tunalijua kwamba Lissu alipita lakini mwenendo wa ccm na serikali yake 2020 ulikua mbaya sana wa kuvunja katiba na sheria za uchaguzi ikatwaa ushindi nchi nzima kwa nguvu ya dola! Na sasa bado aliyeingia kwa hisani ya kikatiba nayeye amekataa maridhiano ya kuundwa upya kwa tume huru ya uchaguzi,na kuzuia katiba mpya ya wananchi. Lengo la serikali hii kwa watanganyika ninini?!
@eliewardeneliewarden4069
@eliewardeneliewarden4069 2 ай бұрын
Nyinyi wachaga hamtapewa nchi munamipango ya kuharibu nchi endeleeni kuwa watoa taarifa.
@simongwandu7392
@simongwandu7392 3 ай бұрын
Lisu hatafanikiwa kabisa asipoteze
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Wewe ndiye unatafanikiwa?
@evelina9621
@evelina9621 2 ай бұрын
Tunakurisha.mm.kwetu.mi.ma.mkanana..milimami
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
huyu mtangazaji waajabu kweli..anakaa na kutoa interview lakini yuko anachat na watu. kwann lakini?
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 3 ай бұрын
Endelea na uchawa wa ccm IPO siku
@athumanmapunda
@athumanmapunda 2 ай бұрын
Mwongo msenge sana huna adabu mkundu wa mama yako siasa ya maji taka
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 2 ай бұрын
Yeye ametukana usikute hata nyumba huna
@solomtz7049
@solomtz7049 2 ай бұрын
Acha kutukana bwana
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 ай бұрын
Akili zako ni kama za punda tu kama Jina laki
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 ай бұрын
Hujiheshimu
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 ай бұрын
Hata kama mngefanya jpm alikuwa hashikiki,mtu wa haki yule mabwege nyie acheni angalieni Sasa iiiiiiiiiii nchi imeenelea ngoringoro wanyama wanastarehe,na bandari inaingiza trilioni kumi Kwa wiki ,mama anafanya kazi,samia oyeeeeee
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 3 ай бұрын
56:31 wewe ni kihiyo
@hopefully7090
@hopefully7090 3 ай бұрын
Hizo hela zimekusaidia nini?
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 3 ай бұрын
Jinga
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 2 ай бұрын
​@@davidkawesa3594kwa kweli ni jinga boya inaelekea kalamba matapishi
@liberatusmsasa7103
@liberatusmsasa7103 2 ай бұрын
Mbumbumbu mkubwa wewe! Acha uchawa wa ki mavi! Msikurupuke kubwabwaja mambo msiyoyajua.
@knight6757
@knight6757 3 ай бұрын
🤑....
@djumakonki1964
@djumakonki1964 3 ай бұрын
😮😮😮Hatari !!! Ukisikia mtu anawataja waarabu ujuwe hapo kuna ubaguzi wa kidini ! wazungu na nchi zao wanaitwa kwa jina la wawekezaji ! Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa kidini. wakati uliopita Hakuna mtu alieruhusiwa kuongea. kaja kiongozi mwingine na kuruhusu haki ya kujieleza sasa maelezo yenyewe ndiyo kama haya tunayoyasikia. Wananchi wa Libya hivi sasa wanakumbuka Rais Gaddafi. watanzania au Watanganyika epukeni sana maneno ya kueneza chuki na ukabila! mtakuja kujuta na kumkumbuka huyu mama Rais samia suluhu Hassan.
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 3 ай бұрын
Afadhali wao wanaitwa waarabu wazungu wanaitwa mabeberu.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 3 ай бұрын
Kwani warabu ni dini? mbona kana hujitambui wewe mwarabu anaitwa mwarabu kwa uarabuni wake mzungu anaitwa mzungu kwa uzungu wake usiingie dini hapo kama ni dini hata wazungu wana dini lkn wanatajwa wao kama wao na si dini yao, hivyo acha uchochezi
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 3 ай бұрын
Aah hovyoo. Wewe jumakadege umefanya utafiti gani kuhusu ubaguzi wa kidini? Uarabu sio Uislamu,na uislamu sio dini ya waarabu bali uislamu unatumia lugha ya kiarabu kufundisha! Je,tumewekeza uarabuni kama waarabu wanavyowekeza kwetu kwa mikataba isiyo wazi? Tafakari
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 3 ай бұрын
Warabu wenyewe sikuiz huko uarabuni wanabadili dini kwa kasi wanaingia kwenye ukiristo wewe bado umebong'aa na uislam tu, kalaga bao
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 3 ай бұрын
Maandishi ni yako yamejaa udini hakuna jipya hapo mwl nyerere alijikinga na ulanguzi WOWOTE lkn maamuzi yanayayofanywa bila kufuata katiba ni kwa kujinufaisha hivyo waarabu wamekuwa bora kuliko wamaasai ni kwa ajili ya dini
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 3 ай бұрын
Kwani waarabu ninani kwenye nchi yetu wewe juma hao waarabu wananchi zao sisi hatuwahitaji hapa kwetu Tanzania wao sana nchi wana rasilimali zao hivyo kuwa taka waarabu sio udini bali ni kwa ivamizi wao na kutuibia rasilimali zetu wakishirikiana na viongozi wetu wadio na uzarendo wala utu juu ya taifa hili hivyo kuwataja waarabu sio udini kwanza toka hapojuma nanda uarabuni
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 54 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 700 М.
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 105 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26