Kweli unafaa sana kuwa msaidizi wa Tundu Lisu. Hongera sana . Nami naitamanj hiyo Tanzania unayoelezea . Mungu akupe maisha marefu uioe hiyo Tanzania "mpya"
@ROBERTMGOGOSI2 ай бұрын
Nice comment ever seen
@AustineMosha2 ай бұрын
Kiukweli anachokieleza kiongozi huyu wa chadema nakiona kuna mantiki na Mungu anajambo la muhimu na nchi hii .Mungu tunusuru na ukatili unaofanywa na watu wasio na hofu ya Mungu . Inusuru nchi hii katika wimbi la siasa ya uhasama tuwe pamoja na viongozi watende haki. Kuwe na hofu ya Mungu waache uovu
@waziradam27943 ай бұрын
Asante sana David. What goes around comes around. Watch your back pl’se. You have entered enemy territory!
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Tukiondoa tofauti ya vyama, sisi sote ni watanzania, Serikali itoe tamko tusitekane kwa itikadi tukajenga visasi vya kiitikadi kati yetu. Kwa kuwa watekaji ni watumishi wa serikali ya ccm, Na watekwaji ni watu wa vyama vya upinzani, Serikali iliondoe hili kwa kauli thabiti ilihutubie taifa na kupiga marufuku vyombo vya usalama kuteka wananchi,ili raia tuamini kwamba hakuna mkono wa serikali katika utekaji. Serikali ikiendelea kukaa kimya na kugeuza utekaji kama mambo ya kisiasa kuna hatari kubwa ya kuwafanya wananchi kutekana kati ya wanaoteka,na wanaotekwa.
@AustineMosha2 ай бұрын
Hongera sana David Jumbe mungu akulinde fumbua watanzania akili na mawazo.amina
@brightergermanus21632 ай бұрын
MUNGU TU NDIYE MLIPA KISASI WA KWELI NA ANAYESIHILI. MLILIENI MUNGU NA KUMUOMBA AWALIPIYE KISASI AMINNI. KABISA MUNGU ATASHUKA NA KUWAPIGANIA ANASUBIRI MUMUOMBE TUUUKWA JINA LA YESU KRISTO AMIN AMIN
@paull86593 ай бұрын
Kuna haja ya kutumia nguvu kuindoa CCM milele.
@walidmgonja36442 ай бұрын
Haya tangulia tukuone
@FridayMwassa2 ай бұрын
@@walidmgonja3644Bila shaka wewe unafurahia sana yanayofanyika
@ROBERTMGOGOSI2 ай бұрын
Raisi ndiyo anaye asisi hayo mambo huyo jamaa anaongea nini??? Punguzeni ujinga watanzania tuchukue hatua
@TumsifuMushi-o4r3 ай бұрын
Itakuwaje Kama mahojiano haya yapewe nafasi kwa vyombo vyetu vya habari Kama TBC,ITV nk
@ayoubmtumishi502 ай бұрын
😂😂😂 haaa haaa hatari
@IsayaSosolo-nx8zk2 ай бұрын
TBC tv ya CCMO waweke hayo madini thubutu hasirani haito wezekana b !
@gowekogoweko58033 ай бұрын
😢😢😢HIVII HUYU ALIYEIPITISHA KATIBA HII MBOVU ALITUTAKIA NINI SISI WATANGANYIKAA😢😢
@faustinebahenobi34123 ай бұрын
Nyerere na wakina piusi msekwa na jaji warioba ingawa toka zamani sasa warioba anaipinga anaiona sio katiba ya kwendana na maisha yasasa ukizingatia tuko mfumo wa vyama vingi ila majambazi wachache wenye uroho wa madaraka ili waendelee kuneemeka na familia zao
@solomtz70492 ай бұрын
Brother tumeingizwa cha kike, halafu huyu mtanazaji ni ccm kabisa
@joachimkalungwana86543 ай бұрын
Upo vizuri sana ndugu hata tukae IPO siku watanzania watakuja kujitambua
@Kwelihukuwekahuru2 ай бұрын
Mwandishi huyu safi sana anafaa kuwa CNN BBC
@bukurunestory35402 ай бұрын
Mchakato wa kuchukua form Mwaka 2020 ulikuwa wa hatari sana. Ule mshike mshike haukua wakitoto
@Hemedmikole-r9e2 ай бұрын
Mi nashangaa sana selikali ya ccm wanaona wao wapo juu ya shelia watambue yana mwisho haya
@gowekogoweko58033 ай бұрын
WELL SAID KIONGOZI
@AustineMosha2 ай бұрын
Huyu kiongozi ana uwezo mkubwa sanasana wa kujieleza na ana uwezo wa uongozi Mungu ampe uzima,afya na waendelee kutujenga wananchi kwa imani kubwa bila kuteteteshwa na kuyumbishwa
@EvaKiswaga-j2o2 ай бұрын
Ni kweli majambazi hayo. Na ndio maana yanang'ang'ana ni ktuibia tu. Na mafisadi kweli
@MjuniLaulian3 ай бұрын
Kweli kaka nchi yetu imekuwa siyo seemu salama ya kuishi
@shabanadam44762 ай бұрын
Excellent conversation congratulations and big respect 🙏
Ccm mnasikia hata nyinyi mnauzwa .hasara inayo patikana wote mtalia tena sana tena watekaji ni watanzania tumejisahau mfano munyampara akiwa jera anajiona yeye siyo mfungwa.anapiga wenzake anapewa buti mkanda sare anajiita mimi munyampala. Hivohivo mnatuteka mnasahau kuwa tunapigania haki zetu sote kuna siku mtakumbuka
@imanuelnguya92772 ай бұрын
Safi sana kiongozi alafu ndg mwandishi umeshindwa kweli kuweka picha yetu ya treni umeweka treni ya kenya inamana umekosa picha kweli
@MwatijaFikoti3 ай бұрын
Kaka kweli unaongea Kwa hisia kali.unachoongea ni ukweli kabisa watanganyika tutasafa sana.
@mayrfrimi47592 ай бұрын
Wadau acheni huu msemo wa kusema Tz ina amani, hakuna mwenye amani, Tz kuna uvumilivu tu na sio amani , elewa amani inatoka moyoni, tofautisha amani na utulivu ndio mseme tz ina amani, tunahitaji katiba mpya mchana kweupe.
@walidmgonja36442 ай бұрын
Akili huna,umeandika utumbo gani hapo!
@mayrfrimi47592 ай бұрын
@@walidmgonja3644 utumbo wa chawa dume
@mayrfrimi47592 ай бұрын
@@walidmgonja3644 utumbo wa chawa dume
@efremmwalongo8282 ай бұрын
Safi sana bro
@mchagagaspar66493 ай бұрын
MASAOUNI ,Dr.MMWINYI ,NCHIMBI, LUGOLA,hayo yakuppewaa,Sierro, waliopewa posti hizo ,nichai kwao na CCM ,HONGERA YA Mwinyi kwa kazi Nzuri za kuwalpua WAUWA MSHO ,salipewa URAISI ZNZIBA .... CCM OYEEEEEEEE
@andrewkissava91843 ай бұрын
Kwa taarifa yako juma huyo unaye msema tutamkumbuka kwa kuuza aridhi na mali zetu kwa waarabu hilo tu ndo tutamkumbuka nje na hapo hatokumbukwa kwa lolote hivyo usimfariji
@ROBERTMGOGOSI2 ай бұрын
Nyie viongozi fanyeni kazi ya kuunganisha wananchi wataingia barabarani bila kuwahitaji nyie wakipata elimu vizuri.
@patricklameck24252 ай бұрын
Unaongea bila ushahidi unaropoka tu. Wewe hata baiskeli ya miti umekwisha wapa wanachi. Watu wanafurahia SGR wewe unapenda. Ufai hata ubalozi wa nyumba 10.
@PietroPescatore-b3g2 ай бұрын
SGR inasimamiwa na nani?
@yahayaramadhani64183 ай бұрын
Yetu macho, karibu nahamia Zanzibar jamani. Kwani Kumenoga sana, Bara mhmm!!!
@rayamgeni97722 ай бұрын
Njoo tu huku ndo kumeoza
@gidongailo71742 ай бұрын
Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza jamhuri ya Muungano wa TANZANIA badala ya kutengeneza kitu inaitwa Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar
@hadrianmlelwa95992 ай бұрын
Anafaa sana.
@jarnskorelly4642 ай бұрын
Kweli uko vizuri unacho sema ni kweli😢
@gowekogoweko58033 ай бұрын
HATUKO SALAMA
@solomtz70492 ай бұрын
Kabisaa
@AustineMosha2 ай бұрын
Duuuu viongozi wa chadema wana akili kubwa mungu wanasuru na mabaya eawafumbue wwnanchi mawazo waweze kudai haki zao jmn kuna ukweli nausikia hapa unaogopesha
@machintangachibwena59222 ай бұрын
Msigwa amesha toboa madudu yenu ya Chadema ni Saccos tuuu mbona Mbowe anawaibia munamuacha tuu😂😂
@FridayMwassa2 ай бұрын
Kaiba nini,unaacha kupinga ufisadi unaosababisha kukosa huduma muhimu kama maji na barabara unahangaika na visenti vya upinzani
@CharlesMwakajinga-r5dАй бұрын
Madudu gani msigwa anomba huruma ccm chadema haijawahi shika dora tunaishi kwa michango yetu
Viongozi wabaya wataziponza familia zao vizazi vijavyo vitapata taabu mno wafurahie tu ujinga wawazazi wao ila watalipa tu aminini ipo siku
@mariaanthoniangowi93763 ай бұрын
Kwili ni usalama bandia
@PietroPescatore-b3g2 ай бұрын
Je, wawekezaji wa kisasa wanaweza kuteua serikali waitakayo wao 2025?
@usafiaps3182 ай бұрын
Sema Ukweli Wote.Nchi Inauzwa Tukiwa Tunaona.SGR Akili Za JPM.
@valenakomba92182 ай бұрын
Upigaji mkubwa sanaaaa yaani mnavyotuammbia sisi wananchi tunaumia Sanaa.
@CharlesMisungwi-f8t2 ай бұрын
KuiondoaCCM kama mtajiwenu eti Lisu nikupigwa risasi.. hiyomtafute kazinyingine ikulu wanaingia kwamtaji wakuiteka nguvya umma mujitafakari napropoganda zakufikirika itawachukua hatakarne moja bilskuchukua dola Houston utani.
@gracefoya46093 ай бұрын
Nimekuaminia Mwanachadema imara. Usije kutuangusha kama Msigwa, amejiaibisha mwenyewe. Mungu akuimarishe na kukulinda kijana wetu. Hawapendi kusikia maneno kama yako.
@BozaDizamile-u1d2 ай бұрын
Hiyo Ndio Dawa Ya Kuiondoa Ccm Atakae Usika Kumuengewa Mgombea Yoyote Wa Chadema Asibakishwe Tumechoka Kufanywa Wajinga
@IssaJohn-kk8pb2 ай бұрын
Kweli mwenzako akimwaga mboga wewe mwaga ugali uko vizuri sana
@emanuelsinyinza2 ай бұрын
Acheni kuikosowa serikari takatifu ni watu wazuri sana nyinyi mnatukana viongozi.
@FarhatSeif-p3t2 ай бұрын
Utakatifu ni ukuu wa Allah tu.
@mtewelemtewele02603 ай бұрын
Nimetokea kumpenda huyu mwamba anajuwa kujenga hoja ila bila kumsahau mtangazaj yuko vidhur
@juliusmlula16582 ай бұрын
Djumbe ni Mwamba wa CDM Singida kzkazn tunajivunia
@IsayaSosolo-nx8zk2 ай бұрын
Ndugae alishasema Mama anauza Tanganyika japo hata yeye alikuwa shetani nusu malaika na sasa yanatimia Mama kizimkazi anatuza tukiwa na Mgovi yetu ya bara!
@albertinamichael61233 ай бұрын
Watekaju ni CCM. U must forme young TZ..
@GodwinIssack2 ай бұрын
Watekaji wanafahamika ni wale waliotajwa na Mh. Benson
@NixonJohnson-r4m3 ай бұрын
Hii ni akili kubwa kiukweli nchi miaka 70 tunajadili ujenzi wa kiwango cha lami ambayo inaangusha magari hovyo mno... ni hatari sana
@meyasadavid98013 ай бұрын
Atugombei urais kwa hisia ndugu
@ezekielmadindula26792 ай бұрын
Wenyeviti wa mitaa ni tatizo sana
@Kwelihukuwekahuru2 ай бұрын
Na mjibu maswali yuko vizuri mnooo
@efremmwalongo8282 ай бұрын
Endelea sana kutupatia elimu watanzania
@SarahSwale2 ай бұрын
Hana jipya huyo kiongozi, ana akili ya kitoto sana. Matope mtu. Hana suluhu ya tatizo bali ni mkuzaji wa tatizo na uchochezi. Kazi kuponda wenzie tuu, Suala la utekaji ni siri kubwa na hilo halina vyama maana hata CHADEMA kunamafia watekaji rejea maelezo ya Dr. Slaa aliyekuwa Katibu mkuu CDM ya ukili kuwa kulikuwa na Utekaji ndani ya CDM.
TATIZO LENU NI KUWEKA WAZI MBINU ZENU NA MIKAKATI YENU YA SIRI . MSITANGAZE HADHARANI MIKAKATI YENU. BALI IWE SIRI YENU ILI WASIJUWE NA KUPATA MBINU YA KUWADHIBITI
@FurahaNelson-z6cАй бұрын
Majibu ya viongozi hayarizishi
@SeveriniPeterMkini2 ай бұрын
Hesabu ya umbali kutoka DSM kwenda kokote nchini, umbali huanzia CLOCK TOWER jirani na Railways-Police-Station
@Aziz-p6s2 ай бұрын
Maneno mengi hayasaidii kitu.
@SaidShabani-s4o2 ай бұрын
Acheni uongo nyie kila siku tumeibiwa kila siku tumeibiwa elezeni bac namba tulivyoibiwa hamna maelezo
@Kwelihukuwekahuru2 ай бұрын
@@SaidShabani-s4o yaani kama hujui tumeibiwa tembelea migodini nani wamiliki nenda Loliondo na kifaa utambuzi kitakuambia uko katika ardhi ya Emirates nenda bandarini utamkuta DPW misitu si yetu ni ya wageni nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya bure waliozinunua wameziuza kwa billions gas si yetu ingawa iko nchini yote aliyoacha Nyerere tumeuza au kugawa bank kubwa ya NBC iliyokuwa mpaka vitongojini tuliiza kwa billion moja upo Tanzania na huyajui haya tuko mbioni kuuza mwendokasi subiri nawe uuzwe ndiyo utavuta shuka kumbe kumekucha
@ezekielkiduge87302 ай бұрын
Wewe unajua jiinsi gani wizi unavyo fanyika halafu unataka kusema watu wakwambie!!!!!
@usembiphonedar56322 ай бұрын
Ukiwa kwenye mfumo wa huo wizi na ubadhirifu wa pesa za wananchi na kuuza rasilimali za Tanganyika, huwezi jua wizi unafanyikaje! Lazima ujitoe akili tu! Ila siku za Mungu zinakuja hao mafisadi, majambazi, majangiri, majizi ya rasilimali za Tanganyika yatalia na kusaga meno! Ngoja wananchi waendelee kupata Elimu kama hii vizuri.
@TeamKRX2 ай бұрын
Nina asili ya Kiarabu Ila daah hawa watu Naona samia anajiona muarabu Sijui Hawajui Nash’angaa
@emanuelsinyinza3 ай бұрын
Huyo mtangazaji ni chawa
@TradersEasyWay3 ай бұрын
jino kwa jino😂😂 eti wakimuengua wa chadema nao wana muangua wa ccm😂
@zabronmwaipungu22122 ай бұрын
Lakini hao mnao wasema polisi wako busy kukamata wadangaji.
@simonsadala23863 ай бұрын
Lissu ndiye kiongozi aliyetupotezea viti vya ubunge awamu yake akiwa mgombea wa Urais chadema tulianguka kwa 100% hatumtaki 2025
@monicamwita78653 ай бұрын
Kwa wizi kura ilikuwepo? Acha mnafiki.
@waziradam27943 ай бұрын
Nadhani weye ni fala upinde au both!
@floraashery2243 ай бұрын
Wewe boya
@erestizacharia47582 ай бұрын
Viti vilivyopotea Ni vya mamako, ulikuwa hujui kilichotokea?
@simonsadala23862 ай бұрын
@@erestizacharia4758 🤣🤣🤣🤣🤣 umejaaa kwenye 18 nachokijua ni kwamba 2015 Mzee Lowassa alikisaidia Chama kupata viti vingi vya wabunge na madiwani lkn 2020 Lissu akatupotezea majimbo yoteee
@bonifacekalima52732 ай бұрын
Huyu bwana ana faa kuwa mwalimu wa jukwaa la siasa,,hata majibu yaake yanatunzinka akilini
@AthumanDauda2 ай бұрын
Akili kubwa
@DamaryMkindi3 ай бұрын
WAELEZENI WATANZANIA SGR TUMEPIGWA JE BILION 700
@feruzyjuma3 ай бұрын
Ujinga Tu,,,mbona hamuiangushi serikari mbovu
@fidelnkurunziza2 ай бұрын
du nihatari kwakwel bora mngu ajetu hikikizazi kifutwe kije kingine mana inauma mutu uriye mpa madaraka anarudi kukuuwa
@AlphaBarageti-ru5xj3 ай бұрын
Msigwa ambaye ni mchungaji falsafa yake ya kusema waamini wake wakitenda dhambi zinazotendwa na wafuasi wa shetani , atamkubali shetani na ataamua kuwa mfuasi wa shetani . Hakika limenishangaza . Sasa anasubiru apewe kazi ya kumtakasa shetani aliyempinga. Yetu macho na masikio tuuone huo utakaso wa kumtakasa shetani
@BozaDizamile-u1d2 ай бұрын
NIKIFANIKIWA KUFUNGUA KITUO CHA REDIO HUYU MTANGAZAJI HATAKUA WA KWANZA KUPATA KAZI YANI JAMAA KM SIO MTANGANYIKA BONGE LA MTANGAZAJI MAOJIANO HAYA AYAWEZI KUFANYIKA TBC ITV AU KITUO CHOCHOTE TANGANYIKA MIDIA ZOTE. TANGANYIKA ZIMENUNULIWA NA CCM WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA
@henryguerrinoh1602 ай бұрын
Mfaume mlali
@IssaIra-j9u2 ай бұрын
Unamuigizia Salim kikeke , hapo ndio mnafeli
@IsayaSosolo-nx8zk2 ай бұрын
Wewe unamuga Nani na akili yako?
@mariaanthoniangowi93763 ай бұрын
Hakika Hilo nani naliunga mkono wamezidi wahuyo hão wa ccm
@mayrfrimi47592 ай бұрын
Watu wanatekwa, mkuu wa dola kimya, alafu uzur kashatuambia atakuwa chura, ndio maana kila janga abakaa kimya, arusha na mapikipiki yaliotokea , yeye kimya, eti mnasema tuna amani, wenye amani ni wanaokula nchi kwa kufuru ,
@walidmgonja36442 ай бұрын
Acha umalaya na kudanga,fanya kazi uachane na kulalamika mitandaoni
@mayrfrimi47592 ай бұрын
@@walidmgonja3644 kakojoe ukalale
@petermogha70253 ай бұрын
Usifiche family yako ccm haina hofu kama cdm njoo tz sio kenya.
@richardhosea88272 ай бұрын
Acha tupigwa gawa kwa wtz miion 67 vijisent
@EvaKiswaga-j2o2 ай бұрын
Au utekwe
@philimonndinadyo21202 ай бұрын
Kunawatetezi wawa Rabu hivi wemwislaam unaweza kupewa hata mita moja ya ardhi huko arabuni mbona mnakuwa wajinga ooh ubaguzi wa kidini Samia akawape shamba lake si ardhi yetu
Wananchi hilo tunalijua kwamba Lissu alipita lakini mwenendo wa ccm na serikali yake 2020 ulikua mbaya sana wa kuvunja katiba na sheria za uchaguzi ikatwaa ushindi nchi nzima kwa nguvu ya dola! Na sasa bado aliyeingia kwa hisani ya kikatiba nayeye amekataa maridhiano ya kuundwa upya kwa tume huru ya uchaguzi,na kuzuia katiba mpya ya wananchi. Lengo la serikali hii kwa watanganyika ninini?!
@eliewardeneliewarden40692 ай бұрын
Nyinyi wachaga hamtapewa nchi munamipango ya kuharibu nchi endeleeni kuwa watoa taarifa.
@simongwandu73923 ай бұрын
Lisu hatafanikiwa kabisa asipoteze
@monicamwita78653 ай бұрын
Wewe ndiye unatafanikiwa?
@evelina96212 ай бұрын
Tunakurisha.mm.kwetu.mi.ma.mkanana..milimami
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
huyu mtangazaji waajabu kweli..anakaa na kutoa interview lakini yuko anachat na watu. kwann lakini?
@joachimkalungwana86543 ай бұрын
Endelea na uchawa wa ccm IPO siku
@athumanmapunda2 ай бұрын
Mwongo msenge sana huna adabu mkundu wa mama yako siasa ya maji taka
@DeusiMorisi2 ай бұрын
Yeye ametukana usikute hata nyumba huna
@solomtz70492 ай бұрын
Acha kutukana bwana
@zebedayokatamaduni96762 ай бұрын
Akili zako ni kama za punda tu kama Jina laki
@zebedayokatamaduni96762 ай бұрын
Hujiheshimu
@sebastiansalamba3133 ай бұрын
Hata kama mngefanya jpm alikuwa hashikiki,mtu wa haki yule mabwege nyie acheni angalieni Sasa iiiiiiiiiii nchi imeenelea ngoringoro wanyama wanastarehe,na bandari inaingiza trilioni kumi Kwa wiki ,mama anafanya kazi,samia oyeeeeee
@NixonJohnson-r4m3 ай бұрын
56:31 wewe ni kihiyo
@hopefully70903 ай бұрын
Hizo hela zimekusaidia nini?
@davidkawesa35943 ай бұрын
Jinga
@Kwelihukuwekahuru2 ай бұрын
@@davidkawesa3594kwa kweli ni jinga boya inaelekea kalamba matapishi
@liberatusmsasa71032 ай бұрын
Mbumbumbu mkubwa wewe! Acha uchawa wa ki mavi! Msikurupuke kubwabwaja mambo msiyoyajua.
@knight67573 ай бұрын
🤑....
@djumakonki19643 ай бұрын
😮😮😮Hatari !!! Ukisikia mtu anawataja waarabu ujuwe hapo kuna ubaguzi wa kidini ! wazungu na nchi zao wanaitwa kwa jina la wawekezaji ! Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa kidini. wakati uliopita Hakuna mtu alieruhusiwa kuongea. kaja kiongozi mwingine na kuruhusu haki ya kujieleza sasa maelezo yenyewe ndiyo kama haya tunayoyasikia. Wananchi wa Libya hivi sasa wanakumbuka Rais Gaddafi. watanzania au Watanganyika epukeni sana maneno ya kueneza chuki na ukabila! mtakuja kujuta na kumkumbuka huyu mama Rais samia suluhu Hassan.
@deven.oauditx75473 ай бұрын
Afadhali wao wanaitwa waarabu wazungu wanaitwa mabeberu.
@ramadhanmahongole92933 ай бұрын
Kwani warabu ni dini? mbona kana hujitambui wewe mwarabu anaitwa mwarabu kwa uarabuni wake mzungu anaitwa mzungu kwa uzungu wake usiingie dini hapo kama ni dini hata wazungu wana dini lkn wanatajwa wao kama wao na si dini yao, hivyo acha uchochezi
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Aah hovyoo. Wewe jumakadege umefanya utafiti gani kuhusu ubaguzi wa kidini? Uarabu sio Uislamu,na uislamu sio dini ya waarabu bali uislamu unatumia lugha ya kiarabu kufundisha! Je,tumewekeza uarabuni kama waarabu wanavyowekeza kwetu kwa mikataba isiyo wazi? Tafakari
@ramadhanmahongole92933 ай бұрын
Warabu wenyewe sikuiz huko uarabuni wanabadili dini kwa kasi wanaingia kwenye ukiristo wewe bado umebong'aa na uislam tu, kalaga bao
@ritchiemuta10923 ай бұрын
Maandishi ni yako yamejaa udini hakuna jipya hapo mwl nyerere alijikinga na ulanguzi WOWOTE lkn maamuzi yanayayofanywa bila kufuata katiba ni kwa kujinufaisha hivyo waarabu wamekuwa bora kuliko wamaasai ni kwa ajili ya dini
@andrewkissava91843 ай бұрын
Kwani waarabu ninani kwenye nchi yetu wewe juma hao waarabu wananchi zao sisi hatuwahitaji hapa kwetu Tanzania wao sana nchi wana rasilimali zao hivyo kuwa taka waarabu sio udini bali ni kwa ivamizi wao na kutuibia rasilimali zetu wakishirikiana na viongozi wetu wadio na uzarendo wala utu juu ya taifa hili hivyo kuwataja waarabu sio udini kwanza toka hapojuma nanda uarabuni