Masanja Mkandamizaji afanya kufuru angalia mwenyewe

  Рет қаралды 259,736

Y.N.M PRODUCTION

Y.N.M PRODUCTION

7 жыл бұрын

Пікірлер: 35
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Safi sana masanja maana umeshika chenye nguvu-JINA LA YESU UNG'ALE NDUGU KAMA MCHANGA WA BAHALI
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 6 жыл бұрын
wengi mnapenda tukana tukana. ila ujanja wa mwanadamu ni pale uzima unapokua ndani yake. fahar ya kijana ni kumjua Mungu
@onesmojeremia9713
@onesmojeremia9713 7 жыл бұрын
hakika waniabudio katika roho na kweli wataishi kwa amani na furaha.
@millicentakinyi5504
@millicentakinyi5504 7 ай бұрын
😂😂🎉
@valavalajacob6702
@valavalajacob6702 7 жыл бұрын
lmanuel kama kweli umitwa achana na usanii ,huwezi kutumikia mabwana wawili
@godfreykawibesele8545
@godfreykawibesele8545 4 жыл бұрын
Akika wamwaminio halisi wanamfifu BWANA katika roho na kweli
@Hassan_Mengi
@Hassan_Mengi 7 жыл бұрын
Naona watu waliokombolewa kwa damu ya Mwana Kondoo waki-HAVE SOME FUN. Bwana akubarikini sana.
@pendovincent3167
@pendovincent3167 7 жыл бұрын
😊😊😊tutapita katikati Yao.
@husnatwaha3911
@husnatwaha3911 7 жыл бұрын
safii
@sureboy45
@sureboy45 7 жыл бұрын
Wawooo
@chrismassawe326
@chrismassawe326 7 жыл бұрын
hahahaaaa
@lydiaaruba6670
@lydiaaruba6670 6 жыл бұрын
Anyway i dont charge
@njendahdehunter3609
@njendahdehunter3609 7 жыл бұрын
kweli mungu haoni mioyo ya baadhi
@esthermnyasenga1808
@esthermnyasenga1808 6 жыл бұрын
kabisa mwaka huu lazima tupite ktk yao amina
@fridafreward805
@fridafreward805 7 жыл бұрын
mwansasuuuuu
@zeblufingo8361
@zeblufingo8361 7 жыл бұрын
NIMEIPENDA HII KANDA SAFI SANA
@mariamumussa6136
@mariamumussa6136 7 жыл бұрын
makubha
@michaelsayi8917
@michaelsayi8917 6 жыл бұрын
mh!mung anajua
@jonaselias7729
@jonaselias7729 7 жыл бұрын
hakuna lolote apapita katikati ya nani huyo masanja atapita katikati ya vichaa wenzake
@amanidaudi210
@amanidaudi210 6 жыл бұрын
Jonas Elias mbona umepanic mzee?
@amanidaudi210
@amanidaudi210 6 жыл бұрын
Jonas Elias vp Kwan ww mzima?
@magynzioka1122
@magynzioka1122 4 жыл бұрын
Wewe m moja wao naoana mahana sio kwa majibu haya mta shirikiana kupita katikati ya hao vicha ulio waona
@adambanda165
@adambanda165 4 жыл бұрын
wao wimbo mziri
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 4 жыл бұрын
Uchaguzi ukipata wasimamizi toka nje CHADEMA itapita katikati ya CCM. Maendeleo ya nchi hii yanaletwa na kodi zetu zinazokusanywa na fedha za ndugu zetu wanaoporwa fedha zao halali na MAGUFULI huku zingine akienda kuzificha RWANDA kwa KAGAME. Huru Magufuli ametufanya Watanzanioa ndondocha huku maendeleo yakielekezwa kwake na kanda ya Ziwa. Anao ubaguzi sana katrika kupitisha miradi ya maendeleo huku matumizi ya miradi mingi hayako wazi. Fedha za Umma zinatumika bila kusimamiwa na wahusika wakiwepo WABUNGE. Rais yuko Ziarani kuna Gari linabeba fedha za kuhonga watu wamchague 2020 alafu anajigamba atamaliza rushwa. Hivi Rushwa itaishaje wakati Magufuli ndie mtoa rushwa mzuri. Anawahonga watu wamuandike vizuri kwenye mitandao. Mfano mziri ni anapowahonga watu kama MUSIBA wamtangaze kwenye vyombo vya habari na kuwatukana viongozi waliopita kuwa hawajanya chochote. Magufuli amekuwa Waziri kwa miaka takribani 20 alishindwa nini kutumia mafungu aliyopewa ya Wizara ya ujenzi kununua ndege au kukarabati reli. Alikuwa anatoa ushauri gani kwa MKAPA na KIKWETE kujenga uchumi kwa kukusanya kodi. Utaona kuwa alikuwa hana msaada wowote kuwashauri wenzake ili avizie kukaa IKULU awaseme. Kila Mtanzania anao uwezo wa kusimamia IKULU asiyeweza anyamaze kimya. Mbona Rais wa Marekani alikuwa Manager wa Mohammed Alli na mcheza Restling na ameweza kusimamia Taifa la Marekani. Asieweza kugombea Urais 2020 anyamaze kimya tunaoweza na kujiamini kuwa tunaweza tutagombea. "TUTAPITA KATIKATI YAO"
@zanmedia5225
@zanmedia5225 7 жыл бұрын
Kama jina la yesu ndo lenye nguvu na tumuone sasa apite katikati yao.....pumbavu zenuuuu
@hassanihussein4479
@hassanihussein4479 7 жыл бұрын
rama hhhhhh
@gracelucas8422
@gracelucas8422 7 жыл бұрын
Hassani Hussein safi
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 жыл бұрын
Rama Leader haaaahaa
@merichomgonafivi9701
@merichomgonafivi9701 7 жыл бұрын
Rama Leader uko
@hosealwila4976
@hosealwila4976 7 жыл бұрын
duuuu
@seifbakari8252
@seifbakari8252 7 жыл бұрын
clip ya kihuni, wamejaa wahuni, macho yao ya kiujanja ujanja, nashindwa kutafsiri neno "hela" kuna watu wanapiga hela na wengine wanawapandisha wenzao kileleni, kweli nimeamini wewe masanja ni FULL MAUJANJA
@jovinkarekezi1283
@jovinkarekezi1283 7 жыл бұрын
seif bakari
@elizabethelia1220
@elizabethelia1220 7 жыл бұрын
seif bakari ud
@amanidaudi210
@amanidaudi210 6 жыл бұрын
seif bakari mbona umepanic ndo wanapita katikati yako hivyo
MASANJA MKANDAMIZAJI ASIMULIA HISTORIA YAKE | ATOA SOMO KWA VIJANA
13:59
MWAKIBOLWA TV TUKUYU DAY THREE
54:38
ALLEN CHISUNGA
Рет қаралды 79 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 36 МЛН
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
JOKAJOKA
Рет қаралды 42 М.
80 Year Olds Share Advice for Younger Self
12:22
Sprouht
Рет қаралды 1,2 МЛН
Masanja Mkandamizaji - "MOYO MWEUPE" (Official HD Music Video)
7:01
7 Fatiha 7 Ayetel Kürsi 7 İhlas 7 Felak 7 Nas Kur'an-ı Kerim Rukye
24:23
fussilet Kuran Merkezi
Рет қаралды 76 МЛН
MASANJA AIGIZWA LIVE NAYE AKIWA HAPO HAPO
14:23
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 902 М.
أذكار الصباح بصوت الشيخ العفاسي | Morning Athkar | Les invocations du matin
23:25
MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
6:15
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 99 М.
Say mo & QAISAR & ESKARA ЖАҢА ХИТ
2:23
Ескара Бейбітов
Рет қаралды 2,3 МЛН
Iliyas Kabdyray ft. Amre - Армандадым
2:41
Amre Official
Рет қаралды 1,3 МЛН
LISA - ROCKSTAR (Official Music Video)
2:48
LLOUD Official
Рет қаралды 120 МЛН