Safi sana masanja maana umeshika chenye nguvu-JINA LA YESU UNG'ALE NDUGU KAMA MCHANGA WA BAHALI
@gideonimathew64916 жыл бұрын
wengi mnapenda tukana tukana. ila ujanja wa mwanadamu ni pale uzima unapokua ndani yake. fahar ya kijana ni kumjua Mungu
@onesmojeremia97137 жыл бұрын
hakika waniabudio katika roho na kweli wataishi kwa amani na furaha.
@millicentakinyi55047 ай бұрын
😂😂🎉
@valavalajacob67027 жыл бұрын
lmanuel kama kweli umitwa achana na usanii ,huwezi kutumikia mabwana wawili
@godfreykawibesele85454 жыл бұрын
Akika wamwaminio halisi wanamfifu BWANA katika roho na kweli
@Hassan_Mengi7 жыл бұрын
Naona watu waliokombolewa kwa damu ya Mwana Kondoo waki-HAVE SOME FUN. Bwana akubarikini sana.
@pendovincent31677 жыл бұрын
😊😊😊tutapita katikati Yao.
@husnatwaha39117 жыл бұрын
safii
@sureboy457 жыл бұрын
Wawooo
@chrismassawe3267 жыл бұрын
hahahaaaa
@lydiaaruba66706 жыл бұрын
Anyway i dont charge
@njendahdehunter36097 жыл бұрын
kweli mungu haoni mioyo ya baadhi
@esthermnyasenga18086 жыл бұрын
kabisa mwaka huu lazima tupite ktk yao amina
@fridafreward8057 жыл бұрын
mwansasuuuuu
@zeblufingo83617 жыл бұрын
NIMEIPENDA HII KANDA SAFI SANA
@mariamumussa61367 жыл бұрын
makubha
@michaelsayi89176 жыл бұрын
mh!mung anajua
@jonaselias77297 жыл бұрын
hakuna lolote apapita katikati ya nani huyo masanja atapita katikati ya vichaa wenzake
@amanidaudi2106 жыл бұрын
Jonas Elias mbona umepanic mzee?
@amanidaudi2106 жыл бұрын
Jonas Elias vp Kwan ww mzima?
@magynzioka11224 жыл бұрын
Wewe m moja wao naoana mahana sio kwa majibu haya mta shirikiana kupita katikati ya hao vicha ulio waona
@adambanda1654 жыл бұрын
wao wimbo mziri
@evansmlalo40494 жыл бұрын
Uchaguzi ukipata wasimamizi toka nje CHADEMA itapita katikati ya CCM. Maendeleo ya nchi hii yanaletwa na kodi zetu zinazokusanywa na fedha za ndugu zetu wanaoporwa fedha zao halali na MAGUFULI huku zingine akienda kuzificha RWANDA kwa KAGAME. Huru Magufuli ametufanya Watanzanioa ndondocha huku maendeleo yakielekezwa kwake na kanda ya Ziwa. Anao ubaguzi sana katrika kupitisha miradi ya maendeleo huku matumizi ya miradi mingi hayako wazi. Fedha za Umma zinatumika bila kusimamiwa na wahusika wakiwepo WABUNGE. Rais yuko Ziarani kuna Gari linabeba fedha za kuhonga watu wamchague 2020 alafu anajigamba atamaliza rushwa. Hivi Rushwa itaishaje wakati Magufuli ndie mtoa rushwa mzuri. Anawahonga watu wamuandike vizuri kwenye mitandao. Mfano mziri ni anapowahonga watu kama MUSIBA wamtangaze kwenye vyombo vya habari na kuwatukana viongozi waliopita kuwa hawajanya chochote. Magufuli amekuwa Waziri kwa miaka takribani 20 alishindwa nini kutumia mafungu aliyopewa ya Wizara ya ujenzi kununua ndege au kukarabati reli. Alikuwa anatoa ushauri gani kwa MKAPA na KIKWETE kujenga uchumi kwa kukusanya kodi. Utaona kuwa alikuwa hana msaada wowote kuwashauri wenzake ili avizie kukaa IKULU awaseme. Kila Mtanzania anao uwezo wa kusimamia IKULU asiyeweza anyamaze kimya. Mbona Rais wa Marekani alikuwa Manager wa Mohammed Alli na mcheza Restling na ameweza kusimamia Taifa la Marekani. Asieweza kugombea Urais 2020 anyamaze kimya tunaoweza na kujiamini kuwa tunaweza tutagombea. "TUTAPITA KATIKATI YAO"
@zanmedia52257 жыл бұрын
Kama jina la yesu ndo lenye nguvu na tumuone sasa apite katikati yao.....pumbavu zenuuuu
@hassanihussein44797 жыл бұрын
rama hhhhhh
@gracelucas84227 жыл бұрын
Hassani Hussein safi
@azizayassin36237 жыл бұрын
Rama Leader haaaahaa
@merichomgonafivi97017 жыл бұрын
Rama Leader uko
@hosealwila49767 жыл бұрын
duuuu
@seifbakari82527 жыл бұрын
clip ya kihuni, wamejaa wahuni, macho yao ya kiujanja ujanja, nashindwa kutafsiri neno "hela" kuna watu wanapiga hela na wengine wanawapandisha wenzao kileleni, kweli nimeamini wewe masanja ni FULL MAUJANJA
@jovinkarekezi12837 жыл бұрын
seif bakari
@elizabethelia12207 жыл бұрын
seif bakari ud
@amanidaudi2106 жыл бұрын
seif bakari mbona umepanic ndo wanapita katikati yako hivyo