MASANJA SIJAITWA KAMA WACHUNGAJI WENGINE / WANANISHANGAA

  Рет қаралды 141,452

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

3 жыл бұрын

MASANJA SIJAITWA KAMA WACHUNGAJI WENGINE / WANANISHANGAA

Пікірлер: 326
@doriszephania3503
@doriszephania3503 Жыл бұрын
Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Masanja , nimemuona Mungu aliye hai ndani yako!!!!! Baba, Baba, Babaaaaaa! Wewe ni Jembe la Yesu! Yaani Mungu amekukusudia! Yaani kwa wewe Mungu anasaga saga na kuponda ponda maadui. Masanja, kwa kuvuka huo mtego aliouandaa shetani, Umeongezewa nyota ,na cheo Mbinguni kwa Jina la Yesuuuuuu!
@nestorykamole7525
@nestorykamole7525 Жыл бұрын
Mtumish yesu aliulizwa maswali hakujibu hubiri neno na MUNGU wa Mbinguni atakuinua
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 3 жыл бұрын
Masanja bora hao wanakuja na vimini na jinsi makanisani wanajulikana kuliko wanaokuja wamevaa nguo ndefu kumbe ni malaya adabu hawana wezi na dhambi zote hapa duniani zao. Hivi Yesu akija hapo kanisani atawahukumu hao wenye jinsi, wale wakuu wa makanisa na makanzu yao Yesu aliwaumbua maana walikuwa wanawahukumu watu sana mmoja wao akasema amefuata amri za Mungu tangu utoto, Yesu akamwambia bado moja hujafanya uza ulivyonavyo ukawape maskini yule kuhani roho ilimuuma sana, Yesu akamwambia ni rahisi kwa ngamia kupita ktk Tundu la sindano kuliko tajiri kuurithi uzima wa milele, kuhani alijiona ni mtakatifu na amefuata sheria zote kumbe hatupo chini ya sheria tena na bali chini ya Neema.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Amen Mungu akushike mkono wake ukushike nakuomba usome Isiya 41:1 InatoshaYesu alisemwa itakuwa sisi sisi? Mungu ana wewe Pastor Masanja. Tunakuombea mpaka shetani ashindwe.
@JoakimuJonh
@JoakimuJonh Жыл бұрын
Postor mungu akuinue saana mafundisho yako ni ya kristo kwel kalibu bukoba tena
@amanimugabe
@amanimugabe Жыл бұрын
Amen mtumishi, kweli tuna kungojeya Congo ujebaba
@amanimugabe
@amanimugabe Жыл бұрын
Pasteur ubarikiwe na bwana wetu yesu kristo kwa mafundisho
@mariachengula5166
@mariachengula5166 Жыл бұрын
Amen
@farajagabriel9924
@farajagabriel9924 3 жыл бұрын
Mchungaji asante kwa mafundisho mazuri,naomba kinanda kipunguzwe au kuzimwa kabisa kwani neno ni la muhimu zaidi tusikie kwa utulivu.
@jackmacha6057
@jackmacha6057 2 жыл бұрын
Ni kweli waondoe kinanda
@evastesheni8024
@evastesheni8024 3 жыл бұрын
ubarikiwe mchungaji tumrudie Mungu in Jesus name
@silyviapaul2676
@silyviapaul2676 3 жыл бұрын
Kaka masanja uzidi kubarikiwa jamani nawish kuudhuria kwenye madhabau yako hakika u watofauti sana Mungu azidi kukutia nguvu na akuongezee BARAKA kila iitwayo leo
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana wewe unaelewa Mungu ni nani sio wanaohukumu watu.
@kilelechaimani.8956
@kilelechaimani.8956 3 жыл бұрын
That's my pastor,l wellcome you all to our church.
@nickytajiri6879
@nickytajiri6879 3 жыл бұрын
Mungu alikuja kwa wenye dhambi
@nyudaalpha6407
@nyudaalpha6407 3 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana miaka 2 uko church ndo ukaokoka, kweli majira sio kulazimisha AMEN
@ezekielmligo6623
@ezekielmligo6623 3 жыл бұрын
Masanja jaribu kujifunza zaidi usijiamini sana hutashaurika jua unamtumikia Mungu katikati ya wanadamu.
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 3 жыл бұрын
Ameeeen mchungaji, pia tunaomba unapohubiri mpiga kinanda apunguze sauti tuskie vizuri bila kuskilizia
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
aminaa sana MWANA WA MUNGU, yupo mbabe wa wababe na MFALME WA WAFALME
@edwinaoduol5474
@edwinaoduol5474 2 жыл бұрын
Wape vidonge vyao, Tumshukuru Mungu kwa vyote alivyotupa Amen.🙏
@MarcoJoseph-np3nd
@MarcoJoseph-np3nd 5 ай бұрын
Mungu akutumie pastor
@brunompolle1404
@brunompolle1404 3 жыл бұрын
Mungu akusimamie katika yote uyafanyayo nimeona Mambo ya ajabu sana mungu kakuinua Sana katika kuinua injili amen
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 3 жыл бұрын
Kabisa!!.Wao wanafikiri wabaya sio wa kwao. Pastor Emma kusanya wabaya wote uwaombee. Siku ya mwisho wataulizwa sijui watajibu nini? Kazi ya Yesu iliyomleta dunia kwani ni ipi? Watujibu hao wachungaji.
@jackobgalish5742
@jackobgalish5742 3 жыл бұрын
Dunia iko spidi saanaa 😅 Mungu atufunulie yanayompendeza👏
@shabanfitnesstv3977
@shabanfitnesstv3977 3 жыл бұрын
Nadhani tunahitaji wachungaji wengi sana kama pastor masanja. Yesu alikuja kwa wenye dhambi. Amina sana pastor
@justineonline6556
@justineonline6556 3 жыл бұрын
Mungu aseme nawe Jambo Kuna kitu hujaelewa kuhusu Mungu 🙏
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 kabisa masanja ni mtumishi wa mungu ila anatuigizia sana move, ila ni sisi tuyafate yale neno la mungu linasema basi. hayo mengine tumwachie apitae majina yote 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@juliusgidion3983
@juliusgidion3983 3 жыл бұрын
Ameeeeeeen mtumishi wa Mungu nimekuelewa Sana tu
@daviddanken6093
@daviddanken6093 Жыл бұрын
Da uimara huu Kama kwel unatoka kwa mungu wa Ibrahim, the man is very strong.!! Namwachia mungu.
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 3 жыл бұрын
Amen Amen 🤲🙏🙏🙏hili ndilo neno hallelujah
@stevenmsaaada.msaada.389
@stevenmsaaada.msaada.389 3 жыл бұрын
Nimeamini biashara matangazo hakika. Uyu mdada mahipsi uyu atapelea waumini wengi sana kanisan kwa masanja.
@brownhenry1916
@brownhenry1916 3 жыл бұрын
Ndio ulichokiona ibada nzima?
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 3 жыл бұрын
Aisee nimekuelewa sana, Mungu anisamehe nilikuwa mmojawapo kati ya hao, nikubali tu, Mungu anisamehe, now i support you brother
@justineonline6556
@justineonline6556 3 жыл бұрын
Nashkuru kwa kunielewa kaka , huyu mtumishi bado hajamuelewa Mungu vizur ipasavyo , Sasa IPO siku Mungu atamfunulia live , hatoamini macho yake ,maana Mungu achezewi ,ataniwi, na pia Mungu huwa apendi mzaa , Sasa haya yanayofanyika kanisani mwake nin ? Kama sio mzaa ? Basi Ipo siku Mungu atanena nae , na ataongea kwa hasira na hasira yake Mungu ukitoka salama Basi hutabakia Kama ulivyo , ipo siku tuu ,tupo hapa Mungu atamjibu tuu ,
@lameckbinigo2897
@lameckbinigo2897 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka mana umetambua
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 жыл бұрын
Napendaga majibu yako,mchungaji anatumia maneno ya Mungu ili mtu aone mwenyewe kubadilika na siyo kama kukamata watu kwa mateke kuwabadilisha,nakukubali.
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 3 жыл бұрын
Amina mtumishi wadog zake Roho mtakatif ni weng San
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 3 жыл бұрын
Acha Yesu akutetee kaka usipoteze muda wa kujibu mwanadamu.
@mariachengula5166
@mariachengula5166 Жыл бұрын
Amina ubarikiwe mchungaji Mungu azidi kukuinua
@xmaramoja362
@xmaramoja362 3 жыл бұрын
Nakuelewa Ng'wana wane. Wengi ni wanafiki wanavaa suti na kujifanya watakatifu lakini ndani ni mbwa koko. Uko poa masanja uko wazi hii inadhihirisha usafi ulio ndani yako.
@sebastiansempindu6860
@sebastiansempindu6860 3 жыл бұрын
Nakubari Mtumishi nakuelewa saana Mungu akutie nguvu simama kwenye with wako
@theotimumuhairwe1693
@theotimumuhairwe1693 3 жыл бұрын
Ni kweli mtumishi
@fridahkarimi5510
@fridahkarimi5510 3 жыл бұрын
🇰🇪Nikiwa Kenya huwa nafuatilia mafundisho yako,God bless you vessel of God,😀😂 Amen yesu ametutengeneza kwa Neema
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 9 ай бұрын
Yes F Karimi ila tumia herufi kubwa kuandika Yesu.... Barikiwa mnoooo... Tz tunamshangilia Mungu kwa Watumishi kama Massanja... Ataeleweka tuuuu. Amina...
@Filmz639
@Filmz639 2 жыл бұрын
Nipe tano mwanangu🤣🤣🤣
@juliusgidion3983
@juliusgidion3983 3 жыл бұрын
Chapakazi, Kama Mungu anakuelewa inatosha hata Kama wao wasipokuelewa 👍👍👍🎤🎤🎤
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 3 жыл бұрын
"Master DTEM" anasema, kazi ya Mungu ni ya Mungu na si Wanadamu. Mungu azidi kukusimamia.
@juliusgidion3983
@juliusgidion3983 3 жыл бұрын
Ameeeeeeen
@elyudsaleh6044
@elyudsaleh6044 3 жыл бұрын
umenikumbusha na kunielimisha zaidi mtumishi. barikiwa.
@kichujatv8648
@kichujatv8648 3 жыл бұрын
Masanja bhana! Hya!
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 3 жыл бұрын
Mmmmh....! Huyo Yesu akirudi duniani sijuwi atafikia ktk madhehebu gani na siku ya hukmu/siku ya Kiama mbele ya Mungu Mola Muumba sijuwi atasimama na kundi la madhehebu/Kanisa gani?! "Mpanzi alikwishapanda mbegu njema lakini adui akaongeza kupanda magugu ktk mashina ya ngano alokeisha panda mpanzi, tusubiri siku ya mavuno....." Magugu hayooo... MWENYE MASIKIO ME ASIKIEE...
@adoniaceisaya700
@adoniaceisaya700 3 жыл бұрын
Okoka acha stori Kanisa Ni Moja Tu!! Mungu mmoja,Yesu mmoja na Roho Mtakakatifu
@upendokameno2455
@upendokameno2455 3 жыл бұрын
Umenenaaa Mtumishi wa Mungu, Kuna Mahal umenitoaaa
@sifaelymoses7642
@sifaelymoses7642 3 жыл бұрын
Kama tumitwa kutafta utukufu waetu sawa ila kama ni wa Mungu acha kujitafutia haki ya kibinadam tafuta Mungu sana na ukubari kukosolewa
@arafaswalehe4660
@arafaswalehe4660 3 жыл бұрын
Nliwahi kusema kuna wewe ni Mtumishi mzuri ila kwa MTU Mwenye dini bila ufunuo WA roho mt hawezi jua,baada ya kuisikiliza hii tu nmetiwa moyo kumbe ni MUNGU alikua anasema ndani Yangu,tatizo ulokole wamapokeo sio wokovu WA kristo halisi,chaps Kazi,Na ni vzr kumsikiliza Mungu.
@lusungukitago9000
@lusungukitago9000 3 жыл бұрын
Huyo wa kinanda anapiga kelele sanaaaaaaa
@adamzachariakinyekile6948
@adamzachariakinyekile6948 3 жыл бұрын
True kinanda apunguze
@vagasonmwani5122
@vagasonmwani5122 3 жыл бұрын
Msaka tonge huyo .Mungu ni mtakatifu Mungu hawezi kufata kama sisi tunavyo taka .Mungu anatutaka tuishi tufate kama yeye anavyotaka.
@mlawimweusi8473
@mlawimweusi8473 3 жыл бұрын
Maandiko yanasema kua tukijiita watakatifu tunamfanya Mungu kua ni muongo
@kanaanimkisi5290
@kanaanimkisi5290 Жыл бұрын
Nakukubari Sana Mchungaji Masanja
@victaeliud948
@victaeliud948 3 жыл бұрын
MUNGU atuongoze kwenye haki yake,kweli na utakatifu maana ndiye atakayemhukumu kila mtu kwa kipimo chake
@julianamganwa9917
@julianamganwa9917 3 жыл бұрын
Piga kazi kaka, kwa Mungu mbali sn sio km binadamu wanavyodhani
@blessingsingers9921
@blessingsingers9921 3 жыл бұрын
God bless you pastor
@gorethisalimu6351
@gorethisalimu6351 3 жыл бұрын
nimekwelewa mchungaji masanja. mungu azidi kukutumia. mimi nime badilika kupitia maubili yako.
@marcomayalla5138
@marcomayalla5138 3 жыл бұрын
Umeitwa na wazungu sio mungu wakweri
@adoniaceisaya700
@adoniaceisaya700 3 жыл бұрын
Wakweli Amemuita wakweri hajamuita!!!
@sikilamtaki853
@sikilamtaki853 3 жыл бұрын
Kinanda kipo juu sana kuliko saut ya mtumishi
@dostovan5142
@dostovan5142 3 жыл бұрын
Neno liko juu zaid
@jacobnkondola9252
@jacobnkondola9252 3 жыл бұрын
Barikiwa saana,...
@Nashondaniel
@Nashondaniel Жыл бұрын
Nakukubali Sana
@festochristopher7293
@festochristopher7293 3 жыл бұрын
DAaah aseee safi saana nimeupenda ujumbe wako mtumishi
@johnmaganya920
@johnmaganya920 3 жыл бұрын
Mungu akutunze Mtumishi
@merrynmwambene5109
@merrynmwambene5109 3 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji tunapokea kwajina ra YESU KIRISTO
@elizabethlulandala5149
@elizabethlulandala5149 3 жыл бұрын
Barikiwa sanaa
@isackibrahimtz
@isackibrahimtz 3 жыл бұрын
Umenibariki Kaka Angu Mungu Akuwezeshe.
@apostlesamwelisautiyasimba238
@apostlesamwelisautiyasimba238 3 жыл бұрын
Haleluyaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@edwinbyamungu2350
@edwinbyamungu2350 3 жыл бұрын
Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi. Acha wazinzi, wachawi waje ili wapate neno ili waokoke,
@prophetmlokozi4633
@prophetmlokozi4633 3 жыл бұрын
Na bado awajasema usiogope
@martinsimtenda2599
@martinsimtenda2599 3 жыл бұрын
Pastor Masanja piga kazi wanadamu hutawaweza wanamaneno mengi. Timiza wito wako aliyekuita ni Mkuu Sana
@rymondchale1177
@rymondchale1177 3 жыл бұрын
Ubarikiwe KAZI ya injili ni kumbadilisha mtu
@pastormoseschami7208
@pastormoseschami7208 3 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa Pastor tunaipata hiyo taabu Sana
@heriethinnocent3283
@heriethinnocent3283 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeeeen baba. MUNGU akubariki sanaaaaaaaaaa kwa neno lenye uzima
@ezekielmligo6623
@ezekielmligo6623 3 жыл бұрын
Neno la uzima?
@methodp4950
@methodp4950 3 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi!
@eliasjosephmarwa3866
@eliasjosephmarwa3866 3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mtume
@Mwakilasa51
@Mwakilasa51 3 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa songa mbele ingeku Mimi ningekua na shaka lakini ukiona kunakupigwa mawe una kitu kikubwa sana Mungu akuinue kwa viwango vya juu walitamani uwe Kama wao lakini wewe SI Kama wao songa mbele katika zamu yako
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 3 жыл бұрын
Kabisa kwa swala ls kutobagua watu nasimams na wewe mwanawane uko sshihi . YESU HSKUJA KUFIA WATAKATIFU SLITUFIA WAZAMBI.
@johnjuma3345
@johnjuma3345 3 жыл бұрын
Badilika kama kweli umeitwa na MUNGU wa kweli
@zachariamigwiza9976
@zachariamigwiza9976 3 жыл бұрын
Mungu akupe uzima
@cosmaskapinga8943
@cosmaskapinga8943 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@emmanuelteemba8288
@emmanuelteemba8288 3 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana mtumishi wa MUNGU
@elisantennko7811
@elisantennko7811 3 жыл бұрын
Uko vizur pastor
@georgeswai9817
@georgeswai9817 3 жыл бұрын
Napenda sana yesu anavyotajwatajwa,sipendi wanavyotajwatajwa,wasanii wabongo freva
@gabrielkimario1891
@gabrielkimario1891 3 жыл бұрын
Karibu Sana mkesha wa vijana hapa Emus center ubungo,,, Katoliki church...njoo tukae pamoja na Yesu mpaka saa 10 alfajiri
@newchemchem567
@newchemchem567 3 жыл бұрын
Songa mbele ndugu
@varmandavarmtv8999
@varmandavarmtv8999 3 жыл бұрын
Kweli ujaitwa kama walivyoitwa maana walioitwa hawajawai kutupa neema kama utoazo ww unaubili lililokweli
@hygienenjovu4464
@hygienenjovu4464 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏 be blessed more
@bishopfestobenjamin6118
@bishopfestobenjamin6118 3 жыл бұрын
Upo sawa mtumishi
@mnchaneltz
@mnchaneltz 3 жыл бұрын
UBARIKIWE MTUMISHI WATU WAJUE KANISA NI KARAKANA INA KILA AINA YA CHOMBO KUNGEKUWA KUNAENDA WATAKATIFU KUSINGE KUWA NA SAABU YA KUABUDU MUHIMU KUISHI KWA MISINGI YA KI MUNGU
@armanyabdallaofficial7110
@armanyabdallaofficial7110 3 жыл бұрын
Frm kenya 🇰🇪 ijst love this pstr anaongea ukweli mtupu
@armanyabdallaofficial7110
@armanyabdallaofficial7110 3 жыл бұрын
Tunaomba mialiko baba
@stadiusjustus6167
@stadiusjustus6167 3 жыл бұрын
Mungu akubatoki zaidi
@jamessoke4454
@jamessoke4454 Жыл бұрын
You're right pastor, ninakukubali sana
@alexmbembati7738
@alexmbembati7738 3 жыл бұрын
I get you pastor keep it up an big up
@salvatorealexander997
@salvatorealexander997 3 жыл бұрын
dont know if you guys cares but if you guys are stoned like me during the covid times then you can stream all the new movies and series on Instaflixxer. Been watching with my gf for the last couple of days =)
@merrickjagger1704
@merrickjagger1704 3 жыл бұрын
@Salvatore Alexander Definitely, have been using InstaFlixxer for months myself =)
@daudmshimbe4642
@daudmshimbe4642 3 жыл бұрын
Kwakwel pastor nimekuelwa sana unazungumza vitu vya kiroho kabisa. wasio na Roho mtakatifu hawawez kukuelewa
@evangelistregnath5765
@evangelistregnath5765 3 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor kitambo sana npo azania secondary nakuona jangwani na mito ya baraka
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
amina sanaa MWANA WA MUNGU
@leonardjoseph4206
@leonardjoseph4206 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana maan yapo makanisa ni kusemana tu et kaavaje wanazani kanisan waje walio Safi tu wakat kanisan ni kama gereji kila aina ya gar bovu lije ili litoke limepona co mm huwa nakuelewa sana
@dicksonlaston2175
@dicksonlaston2175 Жыл бұрын
Waambie mtumishi maana kuna wanajifanya wameokoka kuliko wenzao
@hdmusicsounds2601
@hdmusicsounds2601 3 жыл бұрын
Mpiga kinanda apunguze sauti ilituwe tunasikiliza vzr maneno ya MUNGU
@hadassahmakuna7954
@hadassahmakuna7954 3 жыл бұрын
Kelele zimekuwa nyingi za kinanda ushauri Muda wa neno asipige labda pale penye point hiyo itakuwa nzuri zaidi
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 2 жыл бұрын
Masanja the problem, people takes God's work and they apply to regular ,l wish they could let God do his work( judge). Tell them dressing will never take anybody anywhere. To make matter worse the people saying that are born again people. So l wonder where are we going? Keep up the good work Masanja
@julliusmasai-kanyosa6889
@julliusmasai-kanyosa6889 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mwana one!
@danielkamendu2153
@danielkamendu2153 3 жыл бұрын
NAKUELEWA SANA BRO MUNGU AKUPAISHE
@danielpraise6066
@danielpraise6066 3 жыл бұрын
Mungu akuinue mtu wa Mungu nikija Dar es salaam nitakanyaga kwa hiyo madhabahu
@rosemanyoga2883
@rosemanyoga2883 3 жыл бұрын
Mmmmmmmh, Daniel praise uko hapa ubarikiwe kwa kisikia huo ujumbe
@jumahamic9104
@jumahamic9104 3 жыл бұрын
Usiache kuja kanisani na kimini mhhh
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 3 жыл бұрын
MAKANISA LAZIMA YAWE MENGI KULIKO MABAA.YESU AINULIWE
@aetiusaugustine395
@aetiusaugustine395 3 жыл бұрын
Wekeni link jaman ili tusambaze hujumbe kwa ulimwengu umjue Mungu
@upendojoseph469
@upendojoseph469 3 жыл бұрын
Ubarikuweeee
@augustinomwanantala3989
@augustinomwanantala3989 3 жыл бұрын
Am blessed by your Massage , Barikiwa Bro n Pastor Masanja
@gooddeeds162
@gooddeeds162 3 жыл бұрын
“Message “ 😊
HUYU NDIYO KIBOKO YA ASKOFU GWAJIMA
4:56
Cg Online Tv
Рет қаралды 307 М.
#1# OMBI FUPI SANA LAKINI MATOKEO MAKUBWA SANA (SEH YA 1)
35:22
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 55 М.
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 24 МЛН
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,4 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН
MAJINA YOTE, NI MBELE ZAKO BWANA, SIONI MWINGINE MIMI, USIFIWE BWANA & MUNGU UNAISHI Min Danybless
34:11
HEAVEN SOUND ONLINE TV KENYA[MinisterDANYBLESS]
Рет қаралды 412 М.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 692 М.
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 21 МЛН
TATIZO LINANZIA HAPA FAMILIA NYINGI HAZISHI KATIKA UHALISIA "PASTOR MGOGO
10:55
Askofu Gwajima alipua moto tena | Atokeza mbele tena kwenye vita
28:27
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 434 М.
IL’HAN - Eski suret (official video) 2024
4:00
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 881 М.
Saǵynamyn
2:13
Қанат Ерлан - Topic
Рет қаралды 2,9 МЛН
Ozoda - JAVOHIR ( Official Music Video )
6:37
Ozoda
Рет қаралды 10 МЛН
akimmmich (feat. Turar) - UMYTTYŃ BA?| official lyric video
2:54
IL’HAN - Pai-pai (lyric video) 2024
3:24
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 91 М.
Қанат Ерлан - Сағынамын | Lyric Video
2:13
Қанат Ерлан
Рет қаралды 3,2 МЛН