Kumekucha ,,,,, my best choice to Tanzania artist iz mbosso, so you are able to make any choices as you see wiil led to beneficial my brother, I appreciates you much
@HdhdhdhdhJdhdhd-o6c7 күн бұрын
yunus kutoka Mtwara j nakukubari sana kaka wangu
@Trestartz7 күн бұрын
#Kusah bongo flavor ARTIST🇹🇿 number ☝️✅
@BarbaraPatience-qt9cc7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 wacha mama kuki akusikie😂😂😂😂makonzi tuu
@ireneimbuhira77596 күн бұрын
Pia wakati huo wali kua wana lipwa kidogo lakini maisha ilikua nafuu si kama sasa wana lipwa mingi na maisha magumu na matumizi yao iko juu sana
@officialsammapesa5 күн бұрын
Maisha ni Yale yale
@MarcBoniphace-lj8lz4 күн бұрын
Good
@DennisMabuka-tv2bv3 күн бұрын
Hii station ilikuwa noma sanaaa Kenya enzi hizo
@deemoolahthedirector45686 күн бұрын
LUKAS miyeyusho 😂😂😂😂😂
@ahmadamigeyo39296 күн бұрын
Yan masters J we mnafiki sana
@mambadifenda4602Күн бұрын
20 Percent is bigger than all of them💯✅
@RizoIbrahimovich-z4f7 күн бұрын
We Richi aaaah mbon nyingi sana au kwasababu unammuoojii master jay
Saida jamani alikuwa msanii wa kawaida sana uwezi mlinganisha na Juma nature au prof jay.saida alihiti na wimbo mmoja tu chambua kama karanga basi
@Fgldesigns6 күн бұрын
Sasa hiyo nyimbo moja ndo alihit hivyo hivyo kiukubwa
@SaidSalim-s7h6 күн бұрын
Iyo miziki mtu akiongea ikizimwa Kwan inakaaje😮
@TALLUBOY7 күн бұрын
East Africa radio ni radio kubwa na tv kubwa sanaaaa kaka master j nakukubal kinomaaa kaka upo timam sana kwenye uh mziki uh Aaaa unaujua uongei uongo na unaongea vitu ambavyo vitu vipo tu!
@joesplatnumz6 күн бұрын
Mjazeni upepo mbosso then ajionee akitoka 😂😂😂😂 apambane kivyake
@Trestartz7 күн бұрын
JAMANI #KUSAH Humuoni kwenye BONGOFLAVOR
@CyplianSambagi7 күн бұрын
Master jay anaonekana pesa ipo
@zaxy_5ive2 күн бұрын
Pesa inaonekanaje hapo😂😂😂
@CyplianSambagi2 күн бұрын
@zaxy_5ive IQ inaonesha yupo vizur Hana njaa ongea nawe nikuone nikutabilie😁😁
@flova70226 күн бұрын
Hayo makelele vip
@MrHouse-d8b5 күн бұрын
Kabisa kaka est Africa radio na tv imewatanganzaa wasanii wengi sana hata Uganda na Kenya ngoma zao zilitembea sana kwa chanel 5 na East African
@jacksonlwehabula54686 күн бұрын
Master genius sana yuko real sana
@mugadimon35636 күн бұрын
Exactly halafu wengi wanaombishia hawana detail ni blaablaaa
@strong85346 күн бұрын
Punguzeni sauti ya back sounde, hamsikike ftesh
@richardtom386 күн бұрын
Huyu jamaa kuna mda akili nae zinaruka
@MustapherKapangala6 күн бұрын
et wakat nature yuko hot et rich alikua shule khaaa
@yusuphmarijan37045 күн бұрын
Background io nyuma kubwa sana bana
@MikeFuraha-rw6dr7 күн бұрын
Baba lao😂😂😂😅😅😊🔥🔥
@samchris19145 күн бұрын
Lucas Mkenda😂😂
@deemoolahthedirector45686 күн бұрын
Bonge la interview 🔥🔥🔥🔥
@Mryeddy20254 күн бұрын
Li Master J linasemaga Ukweli
@naithamomary59526 күн бұрын
Sawa huyo saida kalori alivykuwa anajaza uwanja ilikuwa kiingilio ni bei gani
@MwanalimaGalgalo6 күн бұрын
Sir necha😂😂
@channyanjen90477 күн бұрын
Zuchu 🎉🎉🎉
@abuumohamed70906 күн бұрын
Rich hauko systematic,hujui kupresent, hesitation nyingi
@happinessmillinga38717 сағат бұрын
RICH NDO HUYO ALIEVAA BLACK?KAMA NI YEYE BASI NAKUUNGA MKONO
@coopare90424 күн бұрын
Punguzeni ngoma kwa interview..wengine hatuna masikio mazuri...
@victormauggo6 күн бұрын
Yote umeongea ila ukiwa wa diamond hapa east Africa hakujawahi tokea ...period
@jacobopaul64405 күн бұрын
Huyu jamaa alishakuwa mchambizi wa mziki Nini 😅😄
@Luckyme-b4i4 күн бұрын
Anajua sana mziki huyu ni producer ❤
@Chillah197 күн бұрын
Simba dangote🎉🎉🎉
@EstomiiJosefu5 күн бұрын
Mbona unafinya vidole sana jama??!!😢😢
@tigejuma98656 күн бұрын
Hapo awali ilikua social media haijakua maarufu kwa baadhi ya inch.......Kila mtu anafanya kwa uwezo wake....alafu kila utawala na Sheria zake...na wafwasi wake.😅
@GasperKapungu6 күн бұрын
Kakwepa swali la Juma nature kwasababu Juma nature alikuwa anarecodi kwa majani tu sio kwa master j
@WistonMushiКүн бұрын
Jeshi 🤎
@EdwardAnthony-c7u6 күн бұрын
Huyu Rich msafi hawezi fanya interview bila kumtaja Diamond
@mbarakasaidi82436 күн бұрын
Diamond akifa atasifiwa nawengi sana nawengi wao wanaomponda leo
@humbleshoal6 күн бұрын
Hapondwi ila mtu akiondoka kwake kwa ubaya, anamfunika mbona iko wazi tu!!?
@KaramaKiumbe6 күн бұрын
ACHA uongo wewe jamaa unaroho mbaya sana!
@Thebatony-a5 күн бұрын
Uwongo huo show gan Saida alijaza na mwaka gan kunA muda ma legend mkitudanya mkumbuke Dunia Kijiji huo ni uwongo seme umemkaa juma neture kwakua hakua katika studio yako
@Mbarukuhawa5 күн бұрын
Alijaza Uganda,na uwanja wa Taifa utakuwa ulikuwa mdogo mwanangu.
@waridahashimu84313 күн бұрын
Alijaza uganda ,mtoto wa elfu 2 huwez elewa😂
@Barakanenealldays7 күн бұрын
Eti alot of equit ndio nn master jay
@magrethmagonza1866 күн бұрын
Huyu kaka mpuuzi sana anajisdhusha heshima anazurula media kumsema dai acha wivu. Mbona nyie mnatafuta vipaj8 Mbona hatuoni wasanii wenu wakiimba km unavyosema kutwa kutoa kasoro onyesheni mfano halafu ndio uchonge mdomo. Mkome kumsema mtoto watu kila siku .
@Fgldesigns6 күн бұрын
Siku hizi wabongo hawaangalii kipaji wanaangalia umaarufu
@denishaule63146 күн бұрын
Yup correct 90%
@Smoke__code86 күн бұрын
Uyo sio kaka ni baba ako
@moyanse6 күн бұрын
Gen Z, dig down thats a Legend
@tariqmbonde15565 күн бұрын
Sizan kama hampend diamond ila mm nahis anazungumza uhalisia kama legendary, na kama ww ni shabiki wa muziki tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 bhas utaelewa
@odenmasebo97776 күн бұрын
ACHENI USHAMBA WA KUWEKA BIT BACK GROUND.....USHAMBA MDA WA INTERVIEW MTULIE
@saidmasoud90047 күн бұрын
Mr. Nice peke yake
@JohnMaros-q8y7 күн бұрын
Kwanini alikiba ayupo kwenye liste ya wasani Wa Bongo
@DhaharaniJongo-gt2un7 күн бұрын
kwa kuwa yeye si msanii
@BigZhumbe7 күн бұрын
Ali Kiba alikua anajambishwa na Mr Nice enzi hizo
@shwaibukhatibu28387 күн бұрын
We hujielew
@shwaibukhatibu28386 күн бұрын
Yuko kwenye wasanii wa marekani
@MimaJuma-h2t6 күн бұрын
😂😂😂maybe wamemsahau bahati mbaya😂😂😂
@sulleymernmannarah79307 күн бұрын
Hii medea kila sik n Diamond
@BarbaraPatience-qt9cc7 күн бұрын
Kumbe pia wewe umeona. Wanamzungumzia yeye tuu
@MichaelMangugi7 күн бұрын
Content nyingi za diamond zinaenda mjini kuliko msanii yoyote fuatilia