Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
Пікірлер: 28
@barakamwantolwa43368 күн бұрын
Daaa Hawa ndio Wa TZ hekima vs Unafiki
@simontamba12857 күн бұрын
Na kuteka ndugu zetu wanawateka kwa Busara Huyu kalewa
@hamisimsosi623717 күн бұрын
Sasa mastar hiyo elimu unayoitoa wewe hao basata wenyewe mboni hawatoi hiyo elimu wako kimyaa wanangoja wapigie fain au😭😭😭😭😭👏👏👏👏👏👏
@AminKanefu20 күн бұрын
Kama hawatakii Ney wamitego aongeee Basiii Raisi amfanye chawa wakee ili apatee yootee ya wananchi Yuko Kwa ajili yeeetuuuu
@johnurio190021 күн бұрын
Master j acha mambo yako kwani kibaya ambacho ney ameimba ni nini ? Ambacho hakitokei tzkwani watu wanapotekwa huoni au wanaokufa huni acha ushmba wanaopotea na ndg zako wewe
@BongoEa21 күн бұрын
Wasaniii mjirekebishe
@simontamba12857 күн бұрын
Kama ndugu yako hajatekwa unaweza ona M J yupo sahihi
@johnurio190021 күн бұрын
Nyie haswa wewe unataka kusifia TU na wewe ndio mmoja wao wa machawa
@ostenmwakasita696021 күн бұрын
Huwo ni ujinga utaombaje kitu unanunua na unahela kweli Watanganyika hawajitambui ww msemaji rekebisha kauli Wamtego Yuko sahihi ww ndio unauchawa
@HalimaRamadhani-w8l20 күн бұрын
Kweli wamitego Yuko byeee
@davidchilumo624619 күн бұрын
Kwan mnaogopa nn kusema wazi wazi??.. Wabongo mtaendelea kua mbumbumbu adi lini???
@SKY-fk3fz8 күн бұрын
Huyu chawa
@nyemowanyotanjemaudm436021 күн бұрын
Kuna watu wanamlaum ney lakin loho zinawauma sana lengo wanatetea ugaliwao ila ukwel wanaujuwa ndo maana mkiwa hiv kila sku itakuwa ngum sana kukomesha ujinga unaofanywa na baaz ya watu hapa nchn
Huyu jamaa ni mjinga kweli kweli.. nani kamwambia kuongea kwa upole ni busara.. huo wenu wa kuogopa kukosoa serikali.. kila siku kusimu mama na mnafinywa
@adambakari927621 күн бұрын
Huyu si anataka ubunge kipind cha magu alipigwa chini na wajumbe😂
@barrynzeyimana627021 күн бұрын
Watanzania wametuma awatetee? Mambo mengine hata Baba kwenye familia hauwezi kua na misemo mibaya mbele ya watoto. LAKINI huko kwa wazungu mambo hayo ni kawaida lakini kwenye familia ambazo zinaitwa za kimasikini
@nyemowanyotanjemaudm436021 күн бұрын
Wewe mastaj ni mnafiki tuu ndo maana mnawakatisha watu tamaa ya kuimba kuliko kuwa tia watu moyo
@chochotekitu-hf6of20 күн бұрын
Mbona wakiwasifia viongozi hamuwapangii maneno ya kuongea? Jichenge muda utaongea
@nyemowanyotanjemaudm436021 күн бұрын
Ney nmusema kweli sku zote.mii naomba sku moja mtaje hata kimoja alicho sema ney kwenye Nyimbo chauongo .kabla hamjamuita ita huko kwenu.sema hamna ayibu tuu nyie mnapenda uongo usemwe kuliko ukwel
@mwalimhamad38255 күн бұрын
Usability ni kufanya kitu mbadala yale yalikua mawazo ya ney wewe fanya yako tuletee mtaani sisi huku ndio marefa tutaamua kukupokea , ney katoka ivo wewe tokea mlango wa mbele