Рет қаралды 13,651
MATAPELI PAPA wa ARDHI DAR WAANIKWA - WAZIRI SILAA AFUNGUKA - "NATOA MAELEKEZO KUSAIDIA WANANCHI"...
Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. Jerry Silaa amesema mpaka sasa katika mambo waliyofanyia kazi hasa katika kliniki ya Ardhi katika jiji la Dar Es Salaa wameweza kuwafahamu matapeli wa ardhi 7 na kati yao wawili tayari washawafanyia kazi na kuwachukulia hatua za kisheria.
Silaa ameyasema hayo leo wakati akitoa taarifa ya matokeo ya kliniki ya Ardhi ndani ya mkoa wa Dar Es Salaam.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: kzbin.info/aero/PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx