KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 17
@jonathansirkintungi743422 күн бұрын
Hujui kitu ww ndio machawa wa msomali. Mlisema chama amekwisha leo kahamia yanga chama hana mbadala simba. Ninyi ni mashetani mbona mnatuyumbisha?
@stellamboya867322 күн бұрын
Ni sawa hamna mbadala wa chama lakini chama tayari hakuwa sahihi kucheza simba tena hilo mkubali au mkatae chama angezidi kubaki simba basi angezidi kuigharimu simba ni wakati wake wakuondoka
@controlcil477422 күн бұрын
Unajipya salamba wewe uchambuzi ujui tena unashabikia utopolo wazee
@charleskuyeko440022 күн бұрын
Mimi ni Simba kakini nimekubaliana na Salamba. Simba itatuchukua muda kuwa title contenders wa ligi kuu. Hawa Vijana waliosajiliwa Simba ni wazuri sana lakini hawana uzoefu wa shuruba za ligi kuu yetu. Kwenye michezo ya CAF ni tofauti Simba wanaweza kufika mbali na hawa watoto kama wataclick. Lakini ubingwa hapa bado. Ila nimkosoe kidogo Salamba. Chama alipokuwa Simba alimwita mzee ambaye hana jipya la kuisaidia Simba na kweli ndivyo ilivyokuwa. Sasa hivi Chama yuko Yanga anamfagilia na kumpa maua yote. Huu ni ushabiki unaochanganywa na taaluma. Ukizidi unakupunguzia heshima.
@adamgwila339522 күн бұрын
Kwa sisi Simba tunajenga Tim yetu tumeleta wachezaje kupambania nembo ya simba,hatujaleta wachezaje kuwa mbadala wa Fulani hapa
@luindabablui721322 күн бұрын
Msenge tu huyu QUMA
@user-mw5xs2wx8n21 күн бұрын
Huyu jamaa Hana marinda mpuuzi tu
@Esterkomba-ef7eb20 күн бұрын
Hana mbadala kwako
@user-gb2pl3ln9m22 күн бұрын
Ovyoooo
@Esterkomba-ef7eb20 күн бұрын
Ww siyo Simba nitimu msomali
@JohnTendwa-gn1nl22 күн бұрын
Alafu pia, salamba anadai kuwa simba inachukua wachezaji kutoka nchi ambazo ligi zao haziko juu kama ya Tz, na simba imekivunja kikosi chake chote, hebu atuambie hao yanga waliwatoa wapi hao wachezaji wake? Ni misri, moroko, Tunisia au algeria? Na yanga walikijenga kikosi chao kwa miaka mingapi?kama yanga walipata mafanikio kwa pangua pangua kila mwaka wa Eng Hersi, lini wamekosa ubingwa ktkt ya uongozi wa Hersi ? Au atuambie inginia anayemsifu uongozi wake una miaka mingapi yanga? Hawa ni walewale waliokuwa wakiita simba mbovu, simba wazee nk, kumbe wana lao jambo. Tuwaangalie Raja casablanka, mwaka juzi walikuwa na kikosi chao kipya na isingekuwa kukosa uwakilishi kupitia ligi yao, bado wangesumbua sana ktk ligi ya mabingwa au shirikisho mwaka jana, hata hivyo ligi yetu pia iko nyuma sana kuliko ukanda wa kaskazini, kwani vilabu vyetu hapa ni viwili au vitatu tu, tungekuwa kama ukanda wa kaskazini ungeikuta simba iko nafasi ya saba au nane, ndio maana miaka yote ya utawala wa simba bado yanga dhaifu yenye bakuli ilikuwa ipo nyuma ya simba, alafu tunaisifia yanga wala hakuna mchambuzi anasema ligi yetu ni mbovu.
@user-ib7kx9dc5m22 күн бұрын
Wewe mkunduu
@kakakodokodo747722 күн бұрын
Mbona mapema mnaanza kuongea hasa wewe unaejifanya data basse sehemu nyingi wakati simba ndio kwanza ananoa kikosi chake na hakuna halieona wakicheza hao wachezaji wapya hivyo wacha polojo zako
@adamgwila339522 күн бұрын
Tatizo wachambuzi hawa ujuaji mwingi tim hata hazija cheza
@adamgwila339522 күн бұрын
Tatizo wachambuzi hawa ujuaji mwingi tim hata hazija cheza
@adamgwila339522 күн бұрын
Tatizo wachambuzi hawa ujuaji mwingi tim hata hazija cheza
@adamgwila339522 күн бұрын
Tatizo wachambuzi hawa ujuaji mwingi tim hata hazija cheza