Hiyo ndio tanqa kisomo maalum inshaallah yapo maombi ya mwenye kudhulumiwa tunaimani mwenyezi munqu atamaliza utata huu tena kwa wote inshaallah
@leokamil62847 күн бұрын
Amen
@abdulsalaamkahttan10376 күн бұрын
poleni sana family na chama cha demokrasia na maendeleo😢😢 inauma sana huu ni umafya na unyama.
@YohanaKitiku7 күн бұрын
Poleni sana makamanda
@lusakaone77827 күн бұрын
Yaa Rabbi Tusitiri waja wako, hakuna atakae ishi milele sidhani kama Kuna mtu ataxia 2100 kati ya hao wauwaji
@allynassoro84487 күн бұрын
Jamani niajab Eti watekaji na wauwajiWaunde time kujichunguza mapya haya ,halafu ili iweje, si mngeaza zamani Tulia alisema hakuna utekaji watu hushinwa maisha wakaenda nje ya nchi Basi nae kashaena ila alla atawatosha na vitimbwi vyenu
@kwisa48997 күн бұрын
Hivi wachawi sikuhizi hawapo maana kunafamilia ukifanya tukio kama hili wote wauwaji na familia zao watafata..
@allynassoro84487 күн бұрын
Huyo Wazi masaunimanafata Nini hapo
@kwisa48997 күн бұрын
Serikali inachekesha inaudhuria ili kushudia kama marehemu amezikwa😂😂😂
@Afsa-z2v7 күн бұрын
Masauni unafuata nn huko
@amankayinga34757 күн бұрын
Pole sana rip
@michaelmshighati84327 күн бұрын
Scotland yard wake wachunguze na Satellite
@IsmailLoi7 күн бұрын
Kama Mungu wetu uko upande wa Watanzania utulinde na thulumma hii ya kuwaua watu wasio na hatia 2Nyakati 7:14
@giftkalenge4187 күн бұрын
wanaotuongelea kweli hawapaswi kufanyiwa vibaya
@rebekakulwa61597 күн бұрын
Wa mambo ya ndani bado. Hajatumbuliwa
@deokibona28357 күн бұрын
Kwa kifupi mtuhumiwa hapa ni serikali, kwahiyo hayo mambo ya vyombo vya uchunguzi kufanya uchunguzi ni siasa tu. Waletwe Scotland Yard hapa muone kama watu hawajavuliwa nguo hadharani.
@husseinkonz51927 күн бұрын
Dah hii inaitwa ubaya ubwela kwel kwel police mjitasmin
@christophernzige39137 күн бұрын
Huyo waz anakuja kufanya nini ?
@AngelEmanuel-qn2en7 күн бұрын
Wazri anakuja kuangaria alicho watuma vjana wake wamefahuru kuua au. Ila Hatu ogopi Bali Wana tupa ujasir na mbinu za kupambana nao
@MajutoElliasi7 күн бұрын
Mwananchi atajua barozi wako tu😂😂
@giftkalenge4187 күн бұрын
upo saw majaji na waandishi was kimataifa
@gerald67207 күн бұрын
Masauni alitakiwa kujiuzulu na si kuja kuzika
@christophernzige39137 күн бұрын
Ikiwezekana musisalimiene kabisa
@HASSANWAZIRIGAO7 күн бұрын
HATUJAWAHI KUSIKIA LISTI YA VIONGOZI WA CHADEMA JINA LA ALLY KIBAO UNGOZI HUU KAPEWA LINI
@MsabahAli-d6u7 күн бұрын
Sio kila kiongozi ni maarufu wako viongoz went ata kwenye ccm watendaji na sio maarufu majukwaani
@FucianeBulemo-nd4wc7 күн бұрын
Una ujasili sio mbaya, bas tuchukulie ni raia wa kawaida hii imekaaje
@edisonmjema26207 күн бұрын
Hii inamahusiano gan na kufa kwake acha masiara mazingira magumu aliyopitia hatuyajui 😢