اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فى الجنة يارب العالمين
@ashrafkhamis10512 жыл бұрын
Mola Amrahamu sheikh Abdillaahi Naasir amlaze pema pamoja na wema
@salimmaulanaalhabshy51972 жыл бұрын
Allah amrehem shekh wetu tumeshuhudia kua amefanya kazi kubwa ya kuelimisha watu imani sahihi ya uislaam, yy ameondoka lkn mafunzoyake daima yatabikia kuwepo Allah amjazi kila lakher shekh Abdillah nasr, na Allah atupe kher nasi tuliobakia naatufishe tukiwa waislaam kamili, ameen
@eddiebulharn50162 жыл бұрын
Mungu amulahamu mze wetu , Uganda message
@alinassir78462 жыл бұрын
Shukran Ramadhan! Mngu amwekee baba yetu pema kwenye wema. Ameen
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
الله يرحمه رحمة واسعة
@hassansamojah19282 жыл бұрын
Subhanallah
@salimmaulanaalhabshy51972 жыл бұрын
Innaa lillaah
@fauziaabdullah37332 жыл бұрын
innalillah waina lillah rajiun
@nasirshekhi60702 жыл бұрын
Inna lillahi wainna illah rajiun ☝️
@mikyfosikama87522 жыл бұрын
INALILAH wainalilah rajiun
@charmto0012 жыл бұрын
INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUN
@ahmadgumman98902 жыл бұрын
Mmekuja na dini mpya
@feiz31802 жыл бұрын
surah al imran.3:103 And hold firmly to the rope of Allah all together and do not become divided. And remember the favor of Allah upon you - when you were enemies and He brought your hearts together and you became, by His favor, brothers. And you were on the edge of a pit of the Fire, and He saved you from it. Thus does Allah make clear to you His verses that you may be guided. Dini ya kiislamu ni moja tu. Kama mtu atajifanya haifahamu hii aya akatafuta dini nyengine basi yuko kwenye hasara.
@kenyamoja1792 жыл бұрын
swalah ya maiti pia iemegeuzwa jamani
@ahmadgumman98902 жыл бұрын
Waswahili mushanunuliwa na mashia, mwauza dino yenu kwa upuzi
@kenyamoja1792 жыл бұрын
ndugu zangu hi kusoma katika kaburi imetoka wapi kwani yeye alikuwa sheikh hajui hio maswali mpaka mumsome hebu amkeni jamani akili ni mali.hao wate ni maimamu munawataja wametoka wapi ALLAH AWANGOZE.
@muadhibrahim69142 жыл бұрын
Alhamdu li llah. One majuusi down.
@omadal12 жыл бұрын
@muadh Ibrahim who is this "majuusi? If u can explain plz
@muadhibrahim69142 жыл бұрын
@@omadal1 The one buried
@muadhibrahim69142 жыл бұрын
@@omadal1 He began his Iranian sponsored crusade if I am not mistaken either 1981/82 at the Jeffery ithna eshari Mosque by criticism of the sahabas and single handed converted the swahilis to zoroastrianism
@omadal12 жыл бұрын
@@muadhibrahim6914 i dont see reason ya kubishana na wewe but i really sympathy u if u dont know worth of the Late Almarhum (Mola amrehemu)
@muadhibrahim69142 жыл бұрын
@@omadal1 Kid. Don't be moved by emotions. He was a sellout going for the highest bidder since the Lancaster House when he sold the coastal aspirations.
@badilamu2 жыл бұрын
He got paid to abuse al Islam he doubted the Quraan abused swahaba made fun 9f the swaheeh sunnah sorry but he was a traitor
@badilamu2 жыл бұрын
So is that idiot they all about money they are not scholars
@feiz31802 жыл бұрын
Tuwe katika wilaya ya ahlul bayt. Maana yake nini?. Tuwe mashia?. Au ?. Maana sijaiona kwenye Quran au Hadith ila nimeona kuwa , tuwe waislamu, "Ya ayyuhal-ladhina amanut-taqullaha haqqa tuqatihi wa la tamutunna illa wa antum muslimun".Ayah 102 ya Suratu Al -Imran
@mohammadaliahmed80762 жыл бұрын
Kwa Quran umepata wapi Fajr iwe na rakah 2.Au Maghrib iwe na 3. Ndio sababu baada ya Hajj ya Mtume,Mtume alituambie tu shikane na Quran na Ahlul Bayt yake ndio tusipotee.
@awadhba-armeh82362 жыл бұрын
@@mohammadaliahmed8076 katika Qur'an hakuna swalatul fajr iwe rakaa mbili lakinii katika Qur'an iko "walaa tamuutunna illa wa antum muslimun". Vipi halafu aende kinyume aseme usitufishe ila tuwe katika wilaya?
@mohammadaliahmed80762 жыл бұрын
@@awadhba-armeh8236 akhii wilayah ya Ahlul Bayt ya manisha nini? بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَنِ ٱلرَّحِيمِ إِنَّمَا وَلِيُّكُمُ اللّهُ وَرَسُولُهُ وَالَّذِينَ آمَنُواْ الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلاَةَ وَيُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُمْ رَاكِعُونَ "In the name of God the Merciful, the Compassionate: Only God is your wali and his messenger and those who believe, establish worship, and pay the poor due while bowing down (in prayer)."[Quran 5:55] Kama tunasema walii wetu ni Muhammad (s.a.w) na Aale Muhammad kuna makosa gani hapa?
@feiz31802 жыл бұрын
@@mohammadaliahmed8076 "tu shikane na Quran na Ahlul Bayt yake" hamna hiyo. Huwo ni uzushi.
@mohammadaliahmed80762 жыл бұрын
@@feiz3180 Sahih Muslim Book 31, Hadith Number 5920/5923.