Bola umwambie waandishi wa habari wa tz washamba sana
@maryamsuleiman63409 сағат бұрын
Angalau mmebadisha muelekeo ,karudi mwenyewe mjini mwenye Kiki zake ,ijapo karudi vibaya safarihii ,ilikua Tundu Mbowe ,Samia 😂😂😂😂😂😅
@RamadanPaul3 сағат бұрын
Mchungaji Mkharim sana ❤❤❤. Natamani ungekuwa sheikh mashaallah ❤❤❤
@selemanitimbano20 сағат бұрын
Nakukubali sana mzee
@BideoMukambilwa6 сағат бұрын
Acha TUNDU LISU ahihendeshe Tanzania, hivi ukimtembelea mwizi na wewe ni mwinzi au acheni ujinga
@HusseinChai-n4g13 сағат бұрын
Mtu wa maaana sanaa huyu ahsanteh sana mtumishiì
@starlonejadamskp822415 сағат бұрын
Upo fact sana mchungaji
@hamidasaif406519 сағат бұрын
❤kweli mchungji niwivu 16:34
@Mariam-fm8vq15 сағат бұрын
Nakupenda bure baba 😂😂😂😂❤❤❤
@GabbyGabiny19 сағат бұрын
Safi sana mchungaji
@RonnieBertin4 сағат бұрын
Leo umepatikana swali 1majibu 10000 kazi unayo
@baloz89742 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@christiankambuga933810 сағат бұрын
Christian kambuga nawapata kutoka Northiwest Klerksdorp south africa 🇿🇦 asante mchungaji ku uchambuzi
@adamlubawa128111 сағат бұрын
Mtangazaji wewe ni mbea na una wivu na MONDI NA UNAPENDA SANA KUULIZA MASWALI YA KUTAKA KUMDHALILISHA INAWEZEKANA HATA WEWE MTANGAZAJI UNAHEMEWA KISOGONI
@LilianBitwaleСағат бұрын
Mwandishi ageuziwa kichambo 😂😂😂😂😂 acha umbea diamond akisema hupat faida na hata akisema pia hupat faida
@RamadanPaul3 сағат бұрын
Harmonize alivaa sketi. Wasanii wengi wametoboa pua. Vipi nao walienda kwa P Diddy
@dimojaydan63445 сағат бұрын
Nikweli baba japokua zambi zetu nyekundu Kama damu mungu uzisafisha nimejifuza kitu apo
@maryamsuleiman63409 сағат бұрын
Nikweli baba ,kilajambo nifundisho nahata hawo P Diddy wahapa kwetu waumbuliwe pia
@ThomasGai-kz5cu3 сағат бұрын
Mbona amesha sema kwa vijana na amewashauri wafanye kazi, unarudia tu aseme neno ulitaka neno gani?
@AbdumanMlungaСағат бұрын
Mchungaji Mungu kakujalia akili nyingi sana na busara nyingi sn
@LuganoMwalwembe10 сағат бұрын
Asante mchungaji karibu ipinda kyela
@allyrashid91916 сағат бұрын
Inshu ya didy imekuwa trending,sasa musikatae watu kuizungumzia
@KingstonbagamoyoСағат бұрын
Hajanja angefaa kuwa rais wa tz maana namkubali sana ,,mungu atakuingoza
@KizaKibakuli16 сағат бұрын
Hamo chid malioo wengi wametoboa au nawenyewe wamepitiwa umekalia kuuliza unafiki namaushungi yako pumbafu sana ww
@MorrisMwaipopo7 сағат бұрын
Kweli kabisa baba unayosema ni kwel kabisa maana watu wanahukumu,bila kumuombea huyo mkosaji ili mungu amsamehe makosa yake na atubu
@jumakambaya29798 сағат бұрын
Huyu mtangazaji hana chakuuliza zaidi ya mondi aoni kama anakosea kwa familia
@KizaKibakuli16 сағат бұрын
Hata ww binti unae uliza umelikazania sana ukipata wapumbafu wenzio ndio laha yako wasanii wangap wametoboa pua maskio wangap wamevaa sket unauliza ujinga tu
@allyrashid91916 сағат бұрын
MUIKATAZE DUNIA NZIMA WATU WASIZUNGUMZIE INSHU YA DIDY
@solomonjackson38278 сағат бұрын
AMINA SANA MTUMISHI NIMEKUELEWA PIA NIMEJIFUNZA KITU
@TimotheoNtibayaga19 сағат бұрын
Ivi wewe mtangazaji au lamuli chonganishi
@siphifahashimu9723Сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤ mwamba ndio huyu kanyoooookaaaa
@revinaraphael-bk8fu17 сағат бұрын
Wananiuzi sana waandishi wa habari wanapenda kugagana na kitu kimoja
Arf mchungaji Ananja kira ck nakukalibisha kwenye Usilamu, uko vizuri sana kwenye maongez yako
@josephlorri4318 сағат бұрын
Karibu mrembo kwa Kristo, utafunguliwa vifungo vyako vyote.. njoo kwa upendo wa kweli
@NasoroMaurid4 сағат бұрын
Kweli kabisa
@bobsalim42855 сағат бұрын
Anaongea sana
@josephlorri4318 сағат бұрын
Huyu dada ametumwa kuja kudhalilisha... waandishi wengi jamii ya huyo dada wanajionaga watakatufu.. uwongo na uzushi tu.. inawezekana hapo ukimkagua hana marinda
@RonnieBertin4 сағат бұрын
Siku hizo hakuna wahandishi ni upumbavu tu
@Dicksonperez-tw5ky20 сағат бұрын
Mgotee Mzee
@TimotheoNtibayaga19 сағат бұрын
Wewe unafaa uwe mshauli wa rais afu mtangazaji namuona kama mchonganishi
@Wamisangi7 сағат бұрын
Mshauri wa rais wa wasafi labda? Learn how to spot manipulations and lies. Shetani ni Baba wa uongo wote. Usiwe kama waandamanaji wa CDM kufuata mkumbo bila kutumia akili wakikamatwa na polisi wanatupwa kwenye karandinga na pengine kusindikizwa na virungu, mateke vibao nk. Boss na nwanae wakikamatwa wanawekwa kwenye Vx na cruiser zenye viyoyozi khalafu eti mnadanganyika kudai haki sawa kwa wote. Mathayo 8:44
@MtanzaNia-su2wx9 сағат бұрын
Nice🔥🔥
@lucykristensen71458 сағат бұрын
👏👏👏😍😍🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@mwajumamande847716 сағат бұрын
Ila huyu mch...haijawah kutokea duniani,,,amenyooka kama rula...namkubali sana mi binafc
@Wamisangi8 сағат бұрын
Yesu alienda kwa makabaha kufanya ukahaba??? Ama alienda kuwapelekeaa habari njema ya ukombozi. Kwa hiyo huyu alienda huko kumhubiria Priddy aache maovu au walishiriki hayo maovu na mwenyeji wake?!!! Eti mwanadamu ameumbwa kwa hiari!!! Sasa kama walikuwa wanawekewa vilevi vya kuleweshwa na wasiwe na fahamu na wafanyiwe huo uovu. Hapo nafasi ya hiari iko wapi?! Deception, deception and deception again? Hii ndio silaha ya shetani na watumishni wake. Waefeso 6:11 Ukisomwa na ule wa 17.
@merrynancesimon15625 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@kazinaimwishehe-ec3xu7 сағат бұрын
Pafu daddy 😂😂😂😂😂
@RathikaRathika-o9i9 сағат бұрын
❤❤❤❤
@zamalisaide320919 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@subralugege701919 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@paticotz251318 сағат бұрын
So kila aloenda kwa pididy kafanya uo uchafu bn mbona mi nlienda tukacheki movie tukacheza game nikaona kaenda chumba kaja na mafuta nikamuuliza vp broo unaenda kuoga mbona mafut tena akasema amna siendi kuoga nikamwambia poa ngoja nikabani cd ndo moja kwa moja airport nikarud dar
@RehemaabasiAlly17 сағат бұрын
Sasa umejuaje diamond kilichompata? Unajuwa mbona ww ulikimbia nduki?
@starlonejadamskp822415 сағат бұрын
Uliliwa wewe
@feysalramadhan854120 сағат бұрын
Mzee ukovzur
@joycerugomola902618 сағат бұрын
Mchungaji una buisara sana. Mungu azidi kukubariki 🙏
@joycerugomola902618 сағат бұрын
Busara
@HassanYusuph-n3z9 сағат бұрын
Safi Sana Mzee uko vizuri mwalimu,Leo hii Jamii imejawa na chuki nafsin,ujinga umewatia Giza Nene Sana,