Ila majibu ya Clam VEVO nimeyakubari sanaaa 😂😂😂😂😂😂😂 lakn mbona unamlazimisha kuzungumzia maisha ya watu wengine 😂😂😂
@Teddy-k9o3v6 ай бұрын
Ndivyo walivyo waandishi wengi wanapenda kuleta uongo uongo na uchonganushii...anauliza Radio ya Alkiba inazuia watu wenye Radio mbona wao wanambengo TV?? Wamemzuia Nani kuanzisha online TV?? Au waliooanzisha Mbengo zingine zikafaaa...anaumwa mavi kweli huyu mdada
@mpitimbitv12216 ай бұрын
Upo njema sana kaka kwenye sekta hii
@rashidgona18086 ай бұрын
Mm nikaekewa big boss na snake boy mmmmh bid boss ndo hatari zaidi
@alphoncekalama43465 ай бұрын
Big Boss is the series that has really made me know this man Clam big up king am eagerly waiting for Big Boss season two
@Goodluck_Tv.4 ай бұрын
Vevo napenda kazi zako na mungu akuzidishie bt unachelewa kutoa
@CosmasMshomal6 ай бұрын
Nakukubali mtu mzima clam
@MohdMohd-fv1my6 ай бұрын
Keep it up we sio mwanamuziki ....I love the courage and well mindset of yours Vevo..
@soudytv74716 ай бұрын
Mwandishi hana ueledi amewekeza kweny kuuliza mambo yasio muhusu umbea tu poor
@chigody_plannet6 ай бұрын
Wakwanza leo likes zangu😂😂
@alphoncewilliam43256 ай бұрын
Hongereini sana ila msikpoi naigeria mfano kwenye micholo chukueni yakwetu mfano wagogo warangi wasukuma itapendeza
@boniphacemabele45025 ай бұрын
We Dada vipi we uliza mambo ya snake boy tu masuala ya muziki wapi na wapi
@MussaBakari-fz1fj6 ай бұрын
😂😂
@HappinessJohn-vw8hk6 ай бұрын
Nimependa majibu Yako clam mtu unakataa swali lakin bado anangangania
@Ushindipeter6 ай бұрын
The best actor in Africa
@MaulidiHimidi6 ай бұрын
Mwandish maharage, Ali kiba kafunguwa radio, hahahaha mamae walai
@KagoriManyanda6 ай бұрын
mtu anakwambia tuachane nayo hayo Bado umekazania tu jmn maswali mengine hayafai kbs😠😠
@SheillahNduhi6 ай бұрын
Movie nice
@JohnsonMwashao8 күн бұрын
Vp seson3 ipo au haipo tujue mashabiki zako
@yussufamani79956 ай бұрын
Uyu muwandishi wa khbar bdo naona hjawa na ushawishi mzuri wa kuhoji na stick to the point inayomuhusu
@GeraldoCiprianomadodoGeraldo6 ай бұрын
Más força Kaká,,,una juá🇲🇿🇲🇿
@Josamjosam86 ай бұрын
Huyu dada anatafuta kutukanwa auvp
@IdiIbrahim-k4o6 ай бұрын
Vevo juyanini anapeda kujitapa
@JohnsonPhirbety5 ай бұрын
Tukizungumzia sineki boy😂😂😂😂
@IreneMukhwana-er3oc4 ай бұрын
Next plz
@allyissa75636 ай бұрын
Good 👍
@HAMISIALI-d7g2 ай бұрын
Kaka clam hataki kuongea chochote kuhusu mambo ya watu ila dada amchochasana clam
@SadaSada-w1z5 ай бұрын
Ungepunguza pozi lkn
@IdrisMungoma6 ай бұрын
We ban clam vevo sio wa chapati na maharage
@condeboy257tv95 ай бұрын
Vp Kuhusu Mistake .
@aishaomar22876 ай бұрын
Clam swaum maqbul❤❤❤
@aishaomar22876 ай бұрын
Ila laylat muelewe clam,maswali ya uzushi na swaum si poa...calm hapendiiiii😂😂😂
@Zadig_Le_Juste6 ай бұрын
Clam wa Leo sio Clam wa Chapati na Maharage.This time he's mature na Rey umbea wake umemponza😂
@mohammedkidody56186 ай бұрын
Hii season 2 imezidi kuwa yamoto🔥hongera sana clam
@Mrsmussa-wn6kv6 ай бұрын
Nampenda clm hapendi unafiki wakumuongelea mtu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mungu akubariki na kazi zako
@mjukuuhotelitv77366 ай бұрын
Clam unajibu kistar kaka Mungu akuongezee wewe Hauna unafiki ya wa2 hayakuhusu ni kweli kaka
@luckydubebello11316 ай бұрын
😂😂😂na huyu ni bwana ya mtu na hizo movie not me siwezi
@mobastian50506 ай бұрын
Maswali gani ya kuuliza hayo dada clam umejibu vizuri sana❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@Twigamnyama16 ай бұрын
Kamkomesha😂
@MussaBakari-fz1fj6 ай бұрын
Atoe tena movie yamkono
@mrsinia30646 ай бұрын
Unapenda e 😂😂
@MussaBakari-fz1fj6 ай бұрын
@@mrsinia3064 sanaaaaaa
@CrsAlzaid6 ай бұрын
Yani unataka mtu aongee vitu vyamtumwingine Ili iweje yani kumbe nyinyi.mnapenda vile wasanii wakigombana
@JanvierIrengenshamamba6 ай бұрын
Clam umejibu Safi sana 😂😂😂
@gastonmulondani89006 ай бұрын
Unakwenda kuziba pengu la Kanumba ww kijana
@Rehema-r8n6 ай бұрын
We want to see season2 big boss
@Kim.Bashir6 ай бұрын
😂😂😂😂😂ila clam bana sopoa kwanini aongeleye watu wasomuongelea😂😂 tokapaa
@davidmutiso78206 ай бұрын
Wanahabari mnapenda uchochezi sana
@fazeelshomary87436 ай бұрын
Hawa waandishi mnawatoaga wapi aisee? Mbona maswali ni mengi sana, bajeti ya snake boy season 1 vs season 2, designer wa mavazi, dialogue, yani udaku ndio content anayoijua
@LouisBushiri6 ай бұрын
Wapasha abari nyinyi ndo chanzo cha ugovi wama stars, kwanini unamsukuma bwana VEVO aya ongele mambo ya watu !? Iyo tabiya sio nzuri dadangu, inaonekana kuwe wewe ni mchonganishi ata kwenye familia yenu 😏
@rashidgona18086 ай бұрын
Huyu mwanahabari ananikera mambo ya alikiba ama harmonize na diamond,, clam inamhusu na lipi
@mrsinia30646 ай бұрын
Et bwana 😂
@JoshFlexjr6 ай бұрын
This guy is genius, the way he answeres question He is really a genius watching you from Zambia Congrats 4 ur good work u are doing Clam vevo 👏
@abdillahhassan82286 ай бұрын
Yaani wana habari sjui ata wanajifunxa wapi kuuliza maswali yaani mtu ana kazi mpya tena msanii wa filamu unamuuliza mondi harmonize shame
@zalelbalawy24596 ай бұрын
Muandishiii unazengua sanaaaaaaaaaaaa
@muhammedkhamis25666 ай бұрын
Nakukubali clam sana🔥🙌, ushauri wangu wa leo kwako jitahidi kaka kwenye matamshi Kwenye "R" & "L", "H"&"A" N.K weka panapostahiki❤️
@DishaniDisha-zm2gm6 ай бұрын
Good job
@PatrickJonh-s3l6 ай бұрын
Aisee wewe ni mwanaume wa kweli mkuu majibu ya kiume oya big up sanaa💪💪💪 minde yuor business 😂😂😂
@IrakozeNasra6 ай бұрын
😆😆😆😆😆il Vevo bhaaan ni unamajib mujarab kw kl😂😂😂nimeipend aisee wat achen umbea w kuingilia mamb y watu w ongelea jambo la Snake boy itakua bor zaid😆😆😆kupatishan t dhambi mtu ameswaum zake uj kumuingiz ktk mada zingin😏
@princeweddymusic45666 ай бұрын
Wa mwisho leo jmn nipeni likes zangu tafadhariii
@Teddy-k9o3v6 ай бұрын
Clam umemkomesha huyu Dada Hivi waandishi wa habari ninyi niwaongo?? Waandishi wachonganishi au mnamatatizo ganiii Hii unayo hoji unahoji music au movies za Clam Clam umemuweza...akitaka maswali hayo akaulize wanasiasa au waimba taarabu...wewe ni another level broo...wasikuhoji maswali yakijinga hayo
@MagrethThobias-fm8bm6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@IrakozeNasra6 ай бұрын
hakik nimeipend na anajib kw utulivu haki😂😂 nd wakome hapend kuingilia vit vy watu huo nd uwanaum❤❤
@MagrethThobias-fm8bm6 ай бұрын
We mtangazaji acha kumlazimisha kuzungumza mabonya watu
@dvdkim2246 ай бұрын
Nimependa sana majibu ya kutopenda upepo wa kumtoa kwenye alichostahili kukiongelelea. Nadhani huyu dada kapata funzo kama mwanahabari.
@jamaal13006 ай бұрын
Mtafute shadow tujue nae alienda wapi
@TheresiaTemu-ye1lm6 ай бұрын
Huyu mwanahabari vp? Mbona anamaswali ya kijinga?
@MwahuiLewa-j4h6 ай бұрын
Dada mbona unamulazimisha aonge mambo yasiyo muhusu?
@clovisashuza19766 ай бұрын
It could be better to continue Big Boss instead of this! We are waiting for it!
@DausonWilsonDauson-jj8oz4 ай бұрын
nalia na mwakatobe 😃😃 na vitako vyenuu
@LaureineFaida6 ай бұрын
Guys I'm in love with clam vevo ❤😂🎉
@haronmaghanga75506 ай бұрын
Clam bravo,u mind ur business solely
@AmuriMukumbamotard6 ай бұрын
Good Vevo nimekubali sana majibu yako
@mubarakkassimu6 ай бұрын
Tunataka big boss clam
@TheFreemusicband2436 ай бұрын
Clam vevo wewe jamani 😅😅😅😅 hakika una weza kujibu😅😅
@SuleimanSalim-q9j6 ай бұрын
Wazi clam napenda najib yak
@SalmaMligwa5 ай бұрын
Dada unamtafuta nn clam jaman kilaakikukwepa upo acha mambo yako clam asante kwa majibu yako bomba
@ArceneSangwambiana5 ай бұрын
Clam wewe kwenye usoni ni clam Vevo lakini kwa kazi wewe ni kanumba akuna tofahuti
@jeannotledenokambalemuchun30844 ай бұрын
Clam Vevo ni mwenye hekima sana kweli. Nakubali huyo kijana
@AlfaJohnn5 ай бұрын
Uyu dada nae vipi huyu anataka kugombanisha watu inshort
@Nassor23776 ай бұрын
Vevo yupo vizuri yaani ninampa cheo cha master ..anajubu kwa kutulia na personality alionayo ...safi vivo
@salmaabduillahi57296 ай бұрын
Nataka mume kama clam😂😂😂😂😂😂😂😂nimependa majibu😂😂😂😂
@LouisBushiri6 ай бұрын
really bravo my brother CLAM for your wisdom and your responsibility, that's how a responsible man should behave, I really appreciate your charisma brother 🤝
@edmondmfuranzima19675 ай бұрын
Hongela sana for the way unavyo jibu.
@SÙAREZMAHANGOBYAOMBE5 ай бұрын
Clam kweli mnjanja sana kbs😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@gracebakunzi23995 ай бұрын
Clam anamajibu ya hekima,hongera sana bro
@BrunoNyembo6 ай бұрын
Ongela bro saabu Wa pasha habari wana penda ku weka watu kwenye fitina
@sophianyamvula70806 ай бұрын
😂😂😂umbea umekupodza dda ye2 😅😅clam hongera sana ❤❤❤
@PedroJacobRomãoRomão5 ай бұрын
Endeleia napenda sana sneck Boy
@stephensimiyu75046 ай бұрын
Season 2 episode 6 haipo ama vipi
@JolieMhz6 ай бұрын
Clam Vevo anajibu vizuri aca kumlazimisha jamani
@ExmanExman-rg4bx5 ай бұрын
We dad acha maswali ya kitoto
@ExmanExman-rg4bx5 ай бұрын
We dad acha maswali ya kitoto
@Sabrinaclement-ri3ck5 ай бұрын
Majibu yk mazuri sana😂😊
@TheresiaTemu-ye1lm6 ай бұрын
Klam upo vizr huyu dada anakera sana
@YordanyDieudonne-f8p6 ай бұрын
Nilikubali sn big boss iyo ilikua kili ya mwaka
@IbrahimOrma2 ай бұрын
Clam 😂😂😂😂😂😂
@AraBia-u6e6 ай бұрын
Mwandishi wa habari n mnafki😂😂😂🤗
@Adriano-ru4up5 ай бұрын
Clam una high think capacity
@Mr._pusco5 ай бұрын
Congratulations Clam Chris
@LatifaKakore6 ай бұрын
Kiukwe zote ziko vzr
@MagrethThobias-fm8bm6 ай бұрын
Good Clam una majibu mazuri
@Vvvvbbnnbbnn25 ай бұрын
Noma sana aisee
@BrayoComedian-ro8kh2 ай бұрын
Kiburi
@JohnBwija-xg5pf6 ай бұрын
Clam vevo ni mwamba sana ❤❤❤
@babylonemabreka87006 ай бұрын
Huyu dada nilikuwa namkubali sana ila naona anaanza kutoka nje ya uwezo wa kazi zake sasa au labda ndo uzee sijui